Wa alleykum salaam warahmatulah wabarakaatuh maasha Allah tabaraka Allah #abdurahmanimassawe Mwenyezi Mungu akuzidishie juhudi za kuelimisha #streetda'waa barakallahu feekum #kishkitvonline na crew nzima
Asw cheikh wangu nakubali sana kishki tv kwani anatusaidiya sana kidini .ila nihaya sana kwa wanduguzangu waislam tanzania kwani nabii alitakakuchinjwa hawamufahamu aaaaa tatizo kaabisa inatakiwakwao kusoma dini cheikh
Dah elimu ni faradhi Jaman ....mashekh zetu wanapiga kelele kwenye channel tofauti ulimwengu...lkn hatushughuliki....tuisome dini Jaman tutakwenda ulizwa kesho mbele ya Allah
Hahahahaah dat guy Abdallah amefany wenzie wote wafate mkumbo wake wananukuu tu ila hawajui doh mtihan hakik tunahitaj kusoma dini ila tunaenjoy hiki kipind, jazakamu allahu kheir team kishk , sheikh abdillah big up sana
Hao wanyama hanahitaji kufanyiwa ikram. Wamewekwa katika jua na mchanga hakuna majani wala maji. Wamenyoongeka na wao pia wana huzuni hawajui kusema tuu. Mtume salallahu alayhi wasallam aliwafanyia ikram kila kiumbe
Waleikussalam warahmatullah wabarakat, Appreciate sheikh Masawe ,Allah awalipe kheir, watu turudini kakati dini yetu, hata hujapita Madrass hata kusikiya pia😭😂
Jameni muhim kujifuza dini nimuhim achaguwi utoto ao utu uzima kwakweli swali zuri napia tunaelimika japo tunajua nivyema tuone nawengine kama wamepatia
Mashallah mungu awapetaufiki muzidi kufahamisha diniyetu
Wa alaykum salaam warahmatullah wabarakatuh maa sha Allah
Shukran sheikh masawe kwa kutuletea swali hili zur
Ya subhannallah inasikitisha kweli diin tume ipa mgongo Subhannallah
Wa alleykum salaam warahmatulah wabarakaatuh maasha Allah tabaraka Allah #abdurahmanimassawe Mwenyezi Mungu akuzidishie juhudi za kuelimisha #streetda'waa barakallahu feekum #kishkitvonline na crew nzima
Allahumma amiin
@@rahmaally5128 amiin ya Rabb habibty kupotea nayo😄
Nakuomba ufike hâta Congo Goma hapa cheikh wangu tunakukaribishasana
Maa shaa Allah kazi nzuri
Asw cheikh wangu nakubali sana kishki tv kwani anatusaidiya sana kidini .ila nihaya sana kwa wanduguzangu waislam tanzania kwani nabii alitakakuchinjwa hawamufahamu aaaaa tatizo kaabisa inatakiwakwao kusoma dini cheikh
Asalaam alaikum,wallah ni msiba mkubwa waisilamu hatuisomi dini yetu.
Wallahi waislam inafaa TUISOME dini yetu aibu sana hatuisome dini yetu
Waleykum salam warahmatullah wabarakat mashaalah inshallah allah awafanyie wepes
Mashallah jazakallah kheir
🤣🤣🤣 nmecheka kweli eti nmeungana nae dah🤣🤣 alafu wabishi kweli
Mashaallah Kishki TV na shekhe Massawe,
Maashaallah Allah awahifadhi wana kishkonlinetv
Kuna dogo ndo kaleta jibu apo kaenuka ulip enda kuliza watu wengine ata video yaonesha...mashaallah ustadhi
Waaleykum salaam warahmatullah wabarakatuh sheikh Massawe..shukran
Asalaam alleykum warahmatulah wabarakaatuh habibty #bentybenty hujambo
@@زينببنتسعيد-د9ح waaleykum salaam warahmatullah wabarakatuh habbty Zed Alhamdulillah dia hof nawe
@@bentybenty2343 Alhamdulillah nashukuru habibty mi niko salama
@@زينببنتسعيد-د9ح Alhamdulillah nafrai kuskia ivo dia,Allah akuhifadhi
@@bentybenty2343 Allahummah Amiin ya Rabbil Allamin wewe na Ummah mzima pia
Dah elimu ni faradhi Jaman ....mashekh zetu wanapiga kelele kwenye channel tofauti ulimwengu...lkn hatushughuliki....tuisome dini Jaman tutakwenda ulizwa kesho mbele ya Allah
Waalykum salaam warhamatulh wabarakatuh MASHA ALLAH
Maasha Allah tabaraka Allah sister #ikhilasabubakar
@@زينببنتسعيد-د9ح kheri My sister
@@zainabmaulidi9846 in shaa Allah my dear sister
Jamani watu takriba ishirini wote hawana jibu huu ni mtihani kweli Subhunah Allah 😭😭
Hahahahaah dat guy Abdallah amefany wenzie wote wafate mkumbo wake wananukuu tu ila hawajui doh mtihan hakik tunahitaj kusoma dini ila tunaenjoy hiki kipind, jazakamu allahu kheir team kishk , sheikh abdillah big up sana
Mkumbo wa hatari🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Handshake hiyo handshake hiyo ....... coronaaa😂
Jamanini tukaisome dini yetu bila kuja umri wala majukumu haswaa wazazi tuwasomeshe wanetuu
Ndugu zangu mmenitia aibu sana mmeidhalilisha vingunguti ila Abdallah umetetemeka kwann cjui
Uyu wapili asinge kua na kitete angejibu kabsa maana kiasi alikua anaelekea kujibu
Waaleykum salaam warahmatullah wabarakatuh
Waalaykum salam warahmatullah wabarakatuh mpenzi mtangazaji
Mashalla ustaz
Wallahi wazazi wana kesi kubwa mbele ya Allah
Jifunze quran kusom kuandik gusa picha yang hapo kama hautojli
walikumsalam waramathulai wabarakat
Hao wanyama hanahitaji kufanyiwa ikram. Wamewekwa katika jua na mchanga hakuna majani wala maji. Wamenyoongeka na wao pia wana huzuni hawajui kusema tuu. Mtume salallahu alayhi wasallam aliwafanyia ikram kila kiumbe
Aaahh alie taka kuchinjwa ni Isaka na sio Ismael😳
Waleikussalam warahmatullah wabarakat, Appreciate sheikh Masawe ,Allah awalipe kheir, watu turudini kakati dini yetu, hata hujapita Madrass hata kusikiya pia😭😂
Amiin ya Rabbil Allamin kweli kabisa habibty #furahamossi
Nabii ismaili akaletwa kondoo kw fidia
Nabii aliemezwa na samaki chewa ni Nabii Yunus
Amiin
😄😄😄🤭🤭 mtihani Leo wengi wamechemka, watu wasome dini jmn balaa hini
Mmashaa llah waislam tusomeni jamani tuhudhurieni madarsa tueni makini hii ni khutbah ya kila Eid ya mfungo tatu tueni makini tukienda kuswali
Kipindi hiki mashaallah jadhaakallahu kher
Subhaanallah,
Amepatia uyo kaka amepata shatwir mutazwir
Alafu cameramen alivyonakusudi sasa 😀😀
Mashaallah yn hiki kipindi najifuza
Mmashaa llah waislam tusomeni jamani tuhudhurieni madarsa tueni makini hii ni khutbah ya kila Eid ya mfungo tatu tueni makini tukienda kuswali 🎉
Asalaam Alaykum Warhamatullahi Wabarakatuh myama koondo
Wamepiga cm ao wameulizia wakatajiwa ao mwanzo mbona walikuwa awajui😂😂😆
mashallah
😂😂😂 kumbukumbu zimekuja jamani nani kapana rushwa sheikh naye bana
Mashalla
Asalaam Alaykum Warhamatullahi Wabarakatuh Naabi ismaail
Maa shaa Allah tabarak Allah
Walaykum Salam warahmatulah wabarakatuh mashaallah
Waaleykum salam warahmatullah wabarakatuh
Asallam alaikum warahmatullah wabarakaatuh Alhamdulillah
Allah Akbar
Mashaallah
Subhanallah 😭 mtihani
👐👐👐👐👐👐👐👐👐 mashalla
Alhando lilahi rabi
Assalamu alaikum, nabii alietaka kuchinjwa ni nabii Ismail, na hakuchinjwa na badala yake akaletwa kondoo.
Subhanallah
Ibrahim usimchinje mwanao ibrahim tazama kondoo huyo nabii ismail
Mwalim sio Ismaili Ni Isaka . Mwanzo 22:1-8
Dah jamani tusomeni Dini Yani swali dogo watu linawashinda
Subha nallah
Waalaykum salam warahmatuLLAHI wabarakatuh
Ismaili jina gumu au😢
Assalam Aleykum warahmatullah wabarakatu
Nabii ibrahim
Wa alaykum salaam warahmatullah wabarakatuh
Subhanalla
Shaban Omary umetisha😆😆
Ikhilas @mzima wew
@@saay4273 ALIHAMDULIH Hof kwak habibty wng
@@zainabmaulidi9846 Alihamdulillah buhery mamy
Jamani waslamu mshindwa kujibu swali ya nabi Ismail na mnyama ni kondo
Jameni muhim kujifuza dini nimuhim achaguwi utoto ao utu uzima kwakweli swali zuri napia tunaelimika japo tunajua nivyema tuone nawengine kama wamepatia
Dhaah tumevaliwa na ulimwengu
Nabiii ismail A.S
Waleiku salam warahmatullah wabarakatuh
Nabii alietakiwa kuchinjwa ni Nabii Ismail
Wamepiga cm hao😂🤣🤣
Hakika kipindi kizuli kina elimisha hapo ndipo mashee nijinsi gani kuluani ilivyo sahaulika
Camera man hujambo 🤣🤣🤣nakusalimiya maana sio wakuzm huko
Mtihan
Abdallah ww kwann utetemeke
Mwangia
Inabidi wanapo kosea muwambie wapate kujua kwasababu msipo wambia hawato jua
Ndio aliechinjwa badala yake.
Napenda kweli majibu yao tuu yananichosha,tusomeni jamani
Ismail
Babaake isimaili 😂😂😂😂😂😂😂 mtihan
Masawe kaz unayo mtihan 🙄
Hakika nawafuatilia kipindi hiki ni kizuri na kinatoa mafunzo muhimu kwa Waslam tunaomba na mikoan mfike
Nabii Ismail, mnyama kondoo
Watu wanajua kuescape eti mi mkiristo😃
Kizungumkuti vingunguti
😁😁😁😁😁😁
Nabii alietakiwa kuchinjwa ni ismaail
Ismaili na mnyama mwenyewe ni kondooo
🤣🤣🤣niatari
Subhanalah vingunguti nabii alikuwa yusuph,😭
Nabii esmaeel na babake ibraheem Rehma na zamani ziwandee
Mtume aliyetakwa kujinjwa ni ismail na Allah alitoa fidia ni kondoo .
Kabisa 👌🙏🙏
Sumaili
Assalamu alaikum
Asalaam alaikum shekh wape kisa hicho kwa urefu ili wapate faida , watu hawana elimu ya dini yao.pia wajue na sikuku ya kuchinja .
Akijawai kunipita kipindi hiki
Kinaonyeshwa chaneli gani na mda gani
Kila week jumaa tano
Kishki online Tv
nabii isimail nyama kondoo
Sakina uko wap njoon huku uskie yusuf 😀
Ndio naingia hapa swahiba, eti Yusuf 😄😄 khaa mtihani huu, nafatilia video zote zilizonipita 1 by 1 in shaa Allah
😄😄😄 mmoja asema musa sio
@@sakinat2527 😀😀😀😀
Kipindi kizur