Ombi langu siz Rose mungu hakurudishie chochote shetani alichukwa ......uendele kutumikia mungu my Siz na mungu hashidi kukuinua juu Saidi. Wimbo zako zimekwa baraka kwangu na inanifariji be bless dear.
This song is so amazing ... Nikulinganishe na nani baba Nikufananishe na nani baba Nikuambie kitu gani baba The woman has a revalation this God is God ........
Rose muhando, nina imani huwa anasoma sana biblia kabla ya kutunga nyimbo zake. Huwa anaweka vionjo vya maneno ya ndani kabisa katika biblia kiasi kwamba Mungu anainuliwa kweli anasikia sifa hiyo
May the heavens open for you . I listened to this song in a mat but could not get the title. Have been looking for it for ,9 years now down the line. I'm really touched.
Kweli kabsa utukufu kwa Yesu Kristo.! Kila goti litapigwa kwa jina la YESU,na kila kinywa kitakiri kuwa YESU NI BWANA. Na kila jicho litamuona siku ile! 2019.
Rose your song's are so nice and they bear a holy message of the cross always so touching,How I wish that you could just go back to your trucks since I have a feeling that some of the current collaborations you're being used for celebrity purposes..am not attacking anyone am just a long time concerned listener of your song and the messages they deliver
Btw most of her 2020 collabos aren't that heavenly compared to these old days. Of the latest songs of Rose I think it's only #Agano that potrays the heavenly powers that Rose's songs should carry. These artists are sometimes too selfish. They might be taking advantage of her financial crisis to rise to fame. But her Nov/Dec song is too mwaaah💯💯💯❤️❤️❤️
Huyu Bwana Mungu ni wa ajabu ..punda akaongea ,Balaam badala ya kulaani alitamtaka Barak a ,Mordecai usiku alikuwa amepangiwa kunyongwa asubuhi huo huo Usiku naye Mwenyezi Mungu alimkozesha mfalme usingizi ili Mordecai apate haki yake asubuhi ya machozi ilibadilika ikawa ni asubuhi ya Furaha na machozi ya Furaha Huyu Mungu si muachi .
Nimerudi narudisha utukufu kwa mungu 2024❤❤❤
2023 niko hapa narudisha utukufu kwako baba wa mbinguni.
Malaika wa mbinguni, wakunguta mbawa zao, wainama kuinuka, wasema matakatifu 🙌🙌🙌, eeeeh ndiwe mtakatifu
This one is a blessing to me
This song is a blessing to my hrt i love it God bless rose❤❤❤❤❤
Yesu wangu , hakika nakosa neno kusema , narudisha utukufu kwako tuuuu
2023 bado nabarikiwa sana kweli nakupenda sana milele usifiwe baba
who is listening with me 17th oct 2020...may God bless you Rose.You are such an inspirational ..
My legend of Gospel music. ROSE MUHANDO.
Siku haiishi kama cjauimba au kuuskiza huu wimbo.
Glory to God.
Ubarikiwe sanaa dada roz jmn nakupenda sanaa 2020 like hapo twende sawa
Ombi langu siz Rose mungu hakurudishie chochote shetani alichukwa ......uendele kutumikia mungu my Siz na mungu hashidi kukuinua juu Saidi. Wimbo zako zimekwa baraka kwangu na inanifariji be bless dear.
Tukowote reo tukibarikiwa nahuuu wimbo daaa nyimbo hizi zahapo kare zinasisimuwa dada Rose rudi kwenye upako wazamani
Still fresh 2023 rose mungu akushike Kila wakati
2021 September who prevails with me?
Such a lovely song, powerful praise 👏 & worship.
It's just amazing
Mungu amesikia hakika kilia Chang dada rose hakika nilikuaga mpweke sana naa ashujudiwe baba nyimbo zako hua zinanibarki
Such underrated talent..you don't have to be a pastor to deliver the intended message...keep delivering people from their sins
This song is so amazing ...
Nikulinganishe na nani baba
Nikufananishe na nani baba
Nikuambie kitu gani baba
The woman has a revalation this God is God
........
Nimeutafta huu wimbo muda mrefu sana, thanks rose kwa Wimbo huu mzuri
This is my favorite songs i love it so much thanks you, Ross
I really love this,ua nafeel kama nko mbinguni nikisifu na malaika
Rose muhando, nina imani huwa anasoma sana biblia kabla ya kutunga nyimbo zake. Huwa anaweka vionjo vya maneno ya ndani kabisa katika biblia kiasi kwamba Mungu anainuliwa kweli anasikia sifa hiyo
Kabisa yaani kuna maneno mengi aliyoimba ni biblia tupu
Kweli kabisa hata baki kuwa juu Amani iwe nawe mpendwa
Ameen 🙏 😂 😂💖👌👍 sifa kwako mtakatifu Rose be blessed forever 🙏👊👊😍 love you so much mum
Very true
Halleluya rose Mungu akubariki we kamanda wa Yesu
l feel so blessed ❤
May the heavens open for you . I listened to this song in a mat but could not get the title. Have been looking for it for ,9 years now down the line. I'm really touched.
Alot of people are still in searching...it would be a million views
I appreciate you rose muhando. You have a talent
I'm so much blessed by this song
This song trns me to those days when I was a gospel leader in my church B4 I backslide
My best lines...
Sauti ya Bwana inatetemesha miama ...and so on...
I don't understand the language but I perceive some worss
Still fresh. Keep on preaching the Word of God through singing Rose.
A such a blessings from this touching song💯💯❤️
Sifa na Shukrani kwa Mungu mwenye uwezo na mamlaka,barikiweni sana Dada Rose.
AM VERY APPROACHED WITH YOUR SONGS, I LOVE YOU DEAR SISTER
Mungu awe nawe mama africa,duniani kuna milima na maponde dada usichoke kumtumikia mungu wako.
Mama muhando mrudie MUNGU wa kweli lango bado haijafungwa
This song always bless me ,God bless you Rose, you are my favorite
I love this song. Keep going Rose🔥🔥🔥🔥
Still sounds new, be blessed dada Rose
Its July 2022.....🙏ammen
May God bring you back to your feet Rose, such a blessing
Kweli kabsa utukufu kwa Yesu Kristo.! Kila goti litapigwa kwa jina la YESU,na kila kinywa kitakiri kuwa YESU NI BWANA.
Na kila jicho litamuona siku ile! 2019.
Rose you are left with just a totality of being close to God & never think of anything that is earthly.
Now is your salvation.
Nabarikiwa Sana rose
Hay can from in Moçambique ❣️👌👌
Nyimbo nzuri kweli ulkua kwe ubora wako Rose but now Dah Mungu akusaidie sana urejee upya... 2018 November
2024🤗🥰 Blessed is the lord God almighty ✅
Father be lifted 🙏 God our father
God bless you my sister love you
2023be blessed September to remember ❤️❤️🙏🙏🙏😇🙇
Nani uona nyimbo za rose muhando hasizeekangi Kaa mimi....tugonge malikes tukisonga
Malaika wa mbinguni wakunguta mbawa zao wainama kuinuka wasema mtakatifu ubaririkiwe sana mwimbo mzuli
Awesome 💯
Rose your song's are so nice and they bear a holy message of the cross always so touching,How I wish that you could just go back to your trucks since I have a feeling that some of the current collaborations you're being used for celebrity purposes..am not attacking anyone am just a long time concerned listener of your song and the messages they deliver
Btw most of her 2020 collabos aren't that heavenly compared to these old days. Of the latest songs of Rose I think it's only #Agano that potrays the heavenly powers that Rose's songs should carry. These artists are sometimes too selfish. They might be taking advantage of her financial crisis to rise to fame. But her Nov/Dec song is too mwaaah💯💯💯❤️❤️❤️
2024 and still the song is a blessing
2024 may 5th i am still here thanking the almighty God
Ebenezer iyelele aaah
Yilele ,uinuliwe baba!
malaika wa mbinguni wanaimba 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌aaaaah usifiwe munguuuu
milele usifiwe babaaaaaaa
Halleluyah 🙌
Nyimbonzury barikiwa dad rose
no wonder God had to save you from death...i pray for you always Rose
So powerful and lovely song
aaaah uiniliwe baba,with such annoiting
Nakuombea neema urudi kwenye nyimbo za kumuinua na kumtukuza Mungu, achana na nyimbo za visasi kama wanyamazishe nk Kusasi ni cha Bwana
Nikweri kabisa nikumuombea MUNGU amujaze upako warohomutakatifu wazamani nyimbohizi zinasisimuwa
Amen
Still sounds fresh big up mummy
I love you so much mum
Amen it is true our God Jehovah is the Mightiest
Im blessed
Wimbo nzuri sana
Such a good and a lovely songs
Maseketxe meling
God bless rose
🎉🎉❤
2024🎉
Barikiwa Sana rose muhando
Am blessed
Asante dada
Its June 2024
Huyu Bwana Mungu ni wa ajabu ..punda akaongea ,Balaam badala ya kulaani alitamtaka Barak a ,Mordecai usiku alikuwa amepangiwa kunyongwa asubuhi huo huo Usiku naye Mwenyezi Mungu alimkozesha mfalme usingizi ili Mordecai apate haki yake asubuhi ya machozi ilibadilika ikawa ni asubuhi ya Furaha na machozi ya Furaha Huyu Mungu si muachi .
I have
blessed
Blessed
🎶🎵🎶🎵♥️♥️♥️♥️lovely
mungu wajabu
Yanibariki sana
Napenda huo wimbo
Rose kiwango chako ni hatari sana huu ni wimbo wa kimataifa
@@elinasasanga8538 tru
Kwakweli mungu anamtumia rose
Chini ya jua hakuna Kama rose
🤲🤲🙏🏿🙏🏿🎵🎶🎤🎤🎤😘😘
Its July 2022.....🙏ammen