SHEIKH ALHAD AMWAGA MACHOZI AMLIZA MUFTI , UMETUVUMILIA MENGI, HUZUNI NA MAJONZI VYATAWALA MSIKITINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 сен 2024

Комментарии • 149

  • @highmedland9280
    @highmedland9280 Год назад +7

    Shekh wangu kuondoshwa ktk cheo ulichokua nacho umshukuru sana Allah na uwape shukran walio kutoa ktk uwongozi hio ndio kheri y'ako ya kusamehewa madhambi y'ako kubaki salama na mwenye afya njema,
    Allah akurehem na akufanyie wepesi ktk hajazako njema inshaallah🙏

  • @salmakaratta1420
    @salmakaratta1420 Год назад +3

    Daima vipenzi vya Allah ndy hupitia mitihani migumu,Hivyo Mwenyezi Mungu atakupa njia ya kutokea InshaAllah.

  • @salmasaid1521
    @salmasaid1521 Год назад +1

    Mitihani tumeumbiwa wanadam ila yote ni kumshukuru allah ktk kila mtihani unaokukuta neno moja tu ni kuseme alhamdulillah huwezi jua ya mungu ni kwann wamekuondoa ktk nafasi hii dua yangu kwa allah akujalie subra uvumilivu na akupe kheri hapa duniani na kesho akhera

  • @jasminyabdully499
    @jasminyabdully499 Год назад +11

    😭😭😭Allah akuongeze Sheikh Alhad Mussa

  • @safiambamba8722
    @safiambamba8722 Год назад +7

    Alhamdulillah. Natamani masheikh wetu waachane na kusema mabaya ya watu katika vyombo vya habari na hata katika mijumuiko ya watu mana dininyetu inakataza. Mwite mwambie, mkosoe na mwelekeze ili akawe mjumbe mzuri zaidi kwa waumini wengine
    Jamani it’s not a muslim culture kusimama mbele za watu kumzungumzia vibaya muumini mwenzio. Subhanallah!!

  • @fadhilplatnumz8474
    @fadhilplatnumz8474 Год назад +4

    Huyu ndo stering ✔️ ALLAH akupe nguvu kwahiki kipindi kigumu Shekhe wetu tukopamoja sana nawe usivunjike Nguvu Mkuu Insha Allah 👍

  • @sokoinemallya3395
    @sokoinemallya3395 Год назад

    Huyu shekhe wa mkoa alikuwa anakubalika sana ni kiongozi mwenye hekima na muadilifu sana MUNGU akujalie subira na imani siku moja utakuwa shekhe mkuu wa Tanzania.mimi japo mkristu namkubali sana shekhe huyu anaeongea. Mungu akupandishe juu baba musa

  • @christinaonditi9341
    @christinaonditi9341 Год назад +1

    Allah akujaalie Pepo inshaallah kwa chozi lako la kheri m ele ya mjjumbe wa Allah na !mbele zetu sis zote ameen

  • @daawaonlinetv4486
    @daawaonlinetv4486 2 года назад +5

    ALLAHUMMA GHUFIR LAHU WAARHAMHU MASKANAHU FILJANNA. POLE SANA MUFT WETU, SHEIKH WETU WAMKOA, SHEIKH WA WILAYA YA KOROGWE TANGA, WAFIWA PAMOJA WAISLAMU WOTE MLIYO GUSWA NA MSIBA HUO ALLAH MJAALIYE MAKAZI MEMA MAREHEMU WETU WOTE WAKIISLAM NA UWAEPUSHE NA ADHABU YA QABR KWAREHMA ZAKO TUKUFU

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 2 года назад +7

    Yarabi tuzidishie Imani na mapenzi baina yetu kwa ajili yako.

  • @bonnymwajombe779
    @bonnymwajombe779 Год назад +1

    Kiukweli waislamu mmefeli sana Doctor mwaka mhuni tu wa mjini anawafitinisha hadi mnamuondoa huyu shehk ktk kiti jamani ,kiukwel mimi ingawa ni mkristo imeniuma sana

  • @sabrinamchipu7657
    @sabrinamchipu7657 Год назад +2

    Mie pia machozi yamenitoka mwenyezi mungu akuongoze ila kama umfanya sheria inavyosema katika ili linalokuondoa leo madalakani basi mwenyezi mungu hulipa hapa hapa duniani naka kweli ulikwenda kinyume ba sheria katika ilo linalokuondoa apo ulipo basi mwaka atakaa na mkewe inshallah

  • @kinotasontravel3883
    @kinotasontravel3883 Год назад

    Sheikh Alhad kuwa na subra Allah akupe stahimilivu ndani ya moyo wako mengi uliyatatua kihekima Allah akupe Afya njema

  • @twalibumasoud0783
    @twalibumasoud0783 Год назад +2

    Maalim @alhad twashukuru sana kwakutuongoza paka kufikia Leo kuondoka kwa cheo chako maana kila binadam anamapungufu yake kwakwel umejitahid mwalimu au shekh wetu alhad mussa salum mungu AKULINDE insha'Allah ,,ILA shekh wetu mcheshi we shekh wareed karibu sana katika kitu cha cheo🙏🙏🙏😍😍

  • @fatumakingi9753
    @fatumakingi9753 Год назад +1

    Rizk imeisha babangu inshallah utapata zaidi ya hapo🙏🙏🙏

  • @anikulislam4851
    @anikulislam4851 2 года назад +4

    Alhadulillah Assalatu assalamu alayka yea rasulallah sallallahu alayhi wasallam alllah hafiz alllah huakbar,yes all'answer control of allah no tention, waiting that's right.also, alllah Allahus samad,

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 Год назад +16

    Hapa haikutumika hekma ilifaa hata kwa baadae wamuondoe ila sio kwa hii style maana haikuleta picha nzuri. Kwa sasa, watachimbuka wengi kama kina mwaka. Haijapendeza

    • @sallyandmozachannelchannel37
      @sallyandmozachannelchannel37 Год назад +1

      Ni muda muafaka, kinyume hii kadhia ingeendelea

    • @kalssambaboo9932
      @kalssambaboo9932 Год назад

      Wangeitana huko ofsin wakayaonge wakayqmqliza kuliko hivi mitandaon haileti picha nzur

    • @ادريسالبلوشي-ل9ي
      @ادريسالبلوشي-ل9ي Год назад +7

      Wamemuonea sana sana huyu shekh..kama kweli wamemtoa kwenye uongozi kwasababu ya mke wa mwaka watapata malipo yao hapahapa duniani..maana huyu shekh yeye hakumuita mke wa mwaka aende kushtaki pale bakwata naomba hilo lijulikane

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 Год назад

      @@ادريسالبلوشي-ل9ي hamna sidhani Kama hiyo ni sababu

    • @joycehamis4925
      @joycehamis4925 Год назад +1

      Umenena vyema sana🙏🙏🙏

  • @mariamukila7595
    @mariamukila7595 Год назад

    Ee mwenyez mungu tuongoze wajawako na utuepuxhe na Kila baya lililo mbele yetu na uwajalie upondo maxhee wetu wote Kwa ujumla

  • @nehemiahbudi5753
    @nehemiahbudi5753 Год назад +1

    Umefanya mema sana na pia umefanya mabaya, ila mda umefika wa wewe cheo hicho kukuacha si kwa ajili ya Dr mwaka ila tu mda umefika. Mwenyezi mungu anawapenda waja wake, bado yupo na wewe usilie umesalimika na balaha ambalo lingekushinda, mshukuru Mwenyezi mungu sana kwa kukuepusha

  • @khamisiramadhani3380
    @khamisiramadhani3380 Год назад +5

    Shekhe analilia cheo chake kimekwenda kwa mtu sahihi sana Allah amjalie shekuu mpya khery na baraka zake aenderee kuwa mcheshi kama kawaida yake

    • @wadudi2741
      @wadudi2741 Год назад

      Hhhhhhhhh

    • @abdaraudugu33
      @abdaraudugu33 Год назад

      Wewe simugu huwezijua yamoyoni

    • @twahambowe440
      @twahambowe440 Год назад

      Aamiin Aamiin allaahumma Aamiin

    • @rahmalutengwe2901
      @rahmalutengwe2901 Год назад

      Siku zote kuna vitu 2 yaaani elimu na akili.Yatupasa kutumia akili Zaidi.katika muktadha mbalimbali

    • @saadomar2480
      @saadomar2480 Год назад

      Acha tabia uhaasid kaka haikusaidii. Ebu kua namaneno mazuri yauchamungu.

  • @hussainmaulatz6758
    @hussainmaulatz6758 Год назад +4

    Nimemfahamu shekhe walid nikiwa nasoma kwa shekhe ramia bagamoyo ni mtu mzuri sana na nini dalili za mtu mzuri watu wengi humkimbilia na yeye hachagui wote ni wake kama mzee muhiya na wa wanawe na ndio uislamu ukiwa na cheo usijione bora kuliko wengine ALLHA ATUHIFADH WAISLAMU WOTE ALLHA HUMA AMEEN.

    • @hajimnubi4581
      @hajimnubi4581 Год назад

      Walid yupi sasa,maana wako wawili...huyu alietumbuliwa au alieteuliwa

  • @OmanOman-ky2oo
    @OmanOman-ky2oo 2 года назад +2

    Amin

  • @aminatasaid8531
    @aminatasaid8531 Год назад +1

    Allah akupe subra

  • @mlawatvonline3720
    @mlawatvonline3720 2 года назад +2

    Mashaallah

  • @abdallahsaid8157
    @abdallahsaid8157 2 года назад +2

    MashaAllah!

  • @salmakaratta1420
    @salmakaratta1420 Год назад

    Bismillah,kwa kiongozi mkubwa kama huyu ilitakiwa kutumika hekima na busara kukaa naye kumueleza mapungufu take,kwa maana ss binadamu hakuna mkamilifu.

  • @thabit6861
    @thabit6861 Год назад +2

    Hawezi kuwa na tabia za mtume acha uongo

  • @farajimketo3272
    @farajimketo3272 Год назад +1

    Allah amfanyie wepes

  • @beatricemsita6776
    @beatricemsita6776 Год назад

    Mimi siyo mwislam kwa dini
    Ila tujitahidi kuwaheshimisha viongozi wanao tuombeeni na kutuongoza kwa khaki ya MWENYEEZI MUNGU.
    Hatuwafundishi wasio mjuwa MUNGU kuona Wema na kuonyana kwa upendo na subila kiukweri ni kumpa Adui nafasi
    Ya KUTUKANWA mwenye heshima mpe heshima tujifunze kwa MANABII na mitume kustahimiliana

  • @abuuminya8746
    @abuuminya8746 2 года назад

    اللهم صل على سيدنا محمد عدد ما تنفست الأرواح منذ خلقتها

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Год назад +1

    Nisiwe mnafiki ingekuwa sura ndo uislam basi shekhe huyu angekuwa no.1 ila uislam si sura Mungu anajua yupi muislam Safi

  • @joharilissu1618
    @joharilissu1618 Год назад

    Allah atujalie iman

  • @yahayaolomi1057
    @yahayaolomi1057 Год назад

    Sasa hivi Kawa mpole baada ya kupigwa chini ndio anaonyesha unyenyekevu wamuonee huruma au

  • @haridsalum5545
    @haridsalum5545 Год назад

    Nakumbuka aliwahi kumfananisha magufuri na nabiah Allah Muhammad swallaallah was aley wasalam na hayo ndiyo malipo yake

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 2 года назад +1

    Allahumma Amiin

  • @wspwsp2764
    @wspwsp2764 Год назад

    Ktk cmnt watukanaji wengi .tenawajuuzi kweli ,lakiniyafaa wawepia wenye subira kwani nawao itafikasiku watatukanwa,,,,,,,,kamatudani tudani,,,,,,,,Allah atustir nahalihio

  • @mozasalim9697
    @mozasalim9697 Год назад

    Mwalimu wangu alhad mussa tangia akiwa mwalimu wa madrasat maamory alikua ako na machozi yaharaka sanaaaaa ilikuaga yuatuliza marangine pale maamory tmk.

  • @husseinally5550
    @husseinally5550 2 года назад +5

    Kulia kwa mtu hakufahamishi ukweli wa maneno yake

    • @saimonijonas4356
      @saimonijonas4356 Год назад

      Ukiwa na roho mbaya huwezi elewa nini maana ya machozi.Tena hasa kwa mtu mzima anafanya jambo hilo mbere ya macho ya watu wengi.Hata kama anabaya inamaana hana hata jambo moja zuri alilo watendea waislam?

    • @sufuzo2298
      @sufuzo2298 Год назад

      Hakika inahuzunisha

  • @ummiramadhan5144
    @ummiramadhan5144 Год назад +1

    Am really sorry shekhe wangu

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 Год назад +1

    Braza meni ulijusahau Sana wala hayupo Kwa ajili ya waislam Bali tumbo lako,pole kila jambo huwa huisha

  • @sudaissaid8428
    @sudaissaid8428 2 года назад +1

    msanii no moja Tanzania top in dar

  • @kinotasontravel3883
    @kinotasontravel3883 Год назад

    Ni sheikh wa kuigwa una hekma ulizojaaliwa na Allah

  • @animamichael3968
    @animamichael3968 Год назад

    allahumma amiyn

  • @Ahmadasshii-raazy8888
    @Ahmadasshii-raazy8888 2 года назад

    غفر الله له واسكنه فسيح جنانه

  • @anikulislam4851
    @anikulislam4851 2 года назад +2

    Wa alaikum salaam wa rahmatullahi wa barakatuh

  • @hajihamzaabdulhameed7337
    @hajihamzaabdulhameed7337 Год назад

    Amyna yarab

  • @aramamisamatime3183
    @aramamisamatime3183 Год назад +3

    Shekh Alhad Mussa ulikua sahiii ndoa ailazimishwi ulisimamia haki

    • @user-li4kt7lz1r
      @user-li4kt7lz1r Год назад

      Swali najiuliza hii ndoa ilio ya mwaka ndio yakwanza kuivunja na kama alikosa kwann hawakumkanya yani hii si haki wallah

  • @hassanambarakmbarak8759
    @hassanambarakmbarak8759 Год назад

    ALIKUWA afaa aondolewe kitambo wamechelewa ALIKUWA anaharibu Tanzania kwa kibri chake na kujiona dini anaipeleka kwa KICHWA chake vibaya

  • @rahmayaledi1722
    @rahmayaledi1722 Год назад +1

    Sikuzote vipenzi vyamungu ndivyo vinavyopitia majalibu mengi

  • @salamanauthar5261
    @salamanauthar5261 Год назад

    Jamani jamani jamani😭😭😭😭

  • @nooraallahuakibarumwenyeez3079
    @nooraallahuakibarumwenyeez3079 2 года назад

    Mashaa Allah

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Год назад

    Kumbe watu wazuri anawajua, sjui kwann hakufuata nyayo za hao anaowajua akaparaganyika na njia zake.... 🙄🙄🙄🙄

  • @aishaabdi2059
    @aishaabdi2059 Год назад +1

    😭😭😭😭subuhannaAllah

  • @banihashim5347
    @banihashim5347 2 года назад +3

    Msanii Alhadi, Hapo Tayari Kashamkorofisha Mufti, Ana khofia Kuenguliwa nafasi yake na Ndio Maana Anakimbilia Silaha ya Watoto
    (Kuliaa😭😭😭) Alhadi Ni msanii Sana, Tena Anaweza kuwauza Wooooote hapo, 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @khalidbelhasa2137
    @khalidbelhasa2137 Год назад +2

    UKIZOEA KULA KUKU WA BURE SIKU, UKIWAKOSA ,LAZIMA UZIMIE NA KULIA AU KUCHANGANYIKIWA.

    • @hasnanassoro7142
      @hasnanassoro7142 Год назад

      Muogop Allah,nayy ndo muhukum,tumswalie mtum S,W,W,

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311 Год назад

    Cheikh moussa acha Julia ndo Ivo imebaki wislam kutia magomvi Yao adharani mitandaoni hâta kujizalilisha kwa makafiri

  • @yasiryusra3333
    @yasiryusra3333 Год назад

    Hhh dah noma sana

  • @allythabit3236
    @allythabit3236 Год назад

    Mwenzenu analia kw kukumbuk alivyotumbuliw mengine n zuga tu

  • @hassanambarakmbarak8759
    @hassanambarakmbarak8759 Год назад

    Astagfirullah MFANO wa watuwapeponi

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 Год назад

    😭😭😭😭

  • @mdsaid1527
    @mdsaid1527 Год назад

    Kila Jambo Lina sababu huenda ni kher kwako shekhe kuondolewa katika chemo hicho

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311 Год назад

    Hakuna siri TN baina ya mwislam na mwislam ndugu yake 'kuitana wake chini water shida Zao wenyewe lazima Yao wafike mitandaoni njo wawajue kia wasomi

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 2 года назад +3

    Huyu sheikh anatumika na makafir

  • @hishamally4846
    @hishamally4846 Год назад

    nakshii manii

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Год назад

    Shekhee ALHAD analia mmmmmh kweli. Maji .yamezidi unga cheo. Kineenda kwa kuto kupendana majungu hayoo

  • @sudaissaid8428
    @sudaissaid8428 2 года назад +4

    anakuvumilia sana upuuzi wako

  • @abdulkareemseif1892
    @abdulkareemseif1892 2 года назад +1

    Jamaa anawapeleka watu peponi tu

  • @ummiramadhan5144
    @ummiramadhan5144 Год назад

    😭😭

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 Год назад

    Poole ulijusahau Sana

  • @ramadhanibundala580
    @ramadhanibundala580 Год назад +3

    Asiekujua atakuonea huruma

    • @kessytajiri6320
      @kessytajiri6320 Год назад

      Mwamba Mussa Salum alijawa Kiburi. Acha akae pembeni, imetosha.

  • @sashawambura
    @sashawambura Год назад +3

    Anastahili msamaha kwa kujutia aliyo kosea..

  • @jumahamadomar9124
    @jumahamadomar9124 Год назад

    Kwa nini hawa mabakwata wana videvu vya nandi ndevu kwao hawataki kabisaa sijui kwa nini au ni wale makachero ya nyerere

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Год назад

    huyu kinachoörisha cıo kukosa kaz ya uongoz
    n khof ya kuish hapo mjinin
    maana alkuwa akıwasema mashekh wenzake NJAA tu cjuı hamna pa kwenda
    sasa leo yyy atakuwa mgen wa nani??????

  • @abusultanzimbawy501
    @abusultanzimbawy501 2 года назад +1

    Si ww ulpata Ushee kwa kuaguliwa ulipewa Ushee na wagaga kule Mkoa wa pwani na pia masasi

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад

      WEWE UTOPOLO NDIO MAMBO YENO HAYO 🤣🤣🤣🤣🤣 MTANIIIII

  • @allymwazoa8750
    @allymwazoa8750 Год назад

    Muhadhara huu niwamuda mrefu hauhusiani chochote na yaliyotokea karibuni.Mola ayatengeneze yote yaliyoharibika ktk mambo ya waislamu.

  • @binallyamuz6895
    @binallyamuz6895 Год назад +1

    Ukikosa madaraka na kula hii ndo shida yake

  • @hashimmazige
    @hashimmazige Год назад

    Kupokezana ktk madaraka ni Jambo la kawaida unakililia cheo ulitaka uongoze Hadi kifo? Lazima uamini qadar, pia hata mimi uliniuzi kusimamia kuua ndoa ya mtu si Jambo zuri, wewe ungejisikiaje kama unakorofoshana na mkeo hakuheshimu Halafu ukagundua Kuna kiongozi anampa taraka huoni nawe unamtia kiburi mke wa mwenzio?

  • @omarimasanga
    @omarimasanga 2 года назад

    Huu ni msikiti gani?

  • @rehemamsuya2263
    @rehemamsuya2263 Год назад

    Nimeumia kwakweli ht km ana makosa wasingefqnyq harakq hivyo

  • @abusultanzimbawy501
    @abusultanzimbawy501 2 года назад +1

    Wewe wacha unafiki

  • @kashobatv7710
    @kashobatv7710 Год назад +1

    Shekh akida yake inachangamoto

  • @aleyidukury8333
    @aleyidukury8333 Год назад

    Hubay bin salul kumbe bado mpo ulikuwa shekh wamipasho

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311 Год назад

    Itanani waislam make chini mmalize shida zenu kiwislam kiundugu bila mitandaoni inaumalkn Sawa nyie niwasomi

  • @zaidyabdalah3691
    @zaidyabdalah3691 Год назад

    Unalialia ki sinema tu, kwa makosa yako hukustahiki kuwa Sheikh mkuu.

    • @saidkahulu6112
      @saidkahulu6112 Год назад

      Allah ndo mwenyekujua imani ya kila mtu tusihukumu jamani

  • @saidmussa9587
    @saidmussa9587 2 года назад +3

    Hill jinafka hili halielewek kilsto au pagan

    • @makameshibli2797
      @makameshibli2797 Год назад

      muogope Mungu ndugu yangu una uwezo wa kumjua mnafiki

  • @rosekitunda1563
    @rosekitunda1563 Год назад

    Utumishi ni kalama

  • @aly_asgar
    @aly_asgar Год назад

    Bora katolewa

  • @jumaarashidi6265
    @jumaarashidi6265 Год назад

    tahira

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 Год назад

    Mwaka kapewa nguvu bila jasho

    • @saadomar2480
      @saadomar2480 Год назад

      Lkn alhad nimwanachuoni. .mwaka nimfanyabiashara. Hanalolote

  • @uledihassan6065
    @uledihassan6065 Год назад

    Msanii huyu

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 Год назад +1

    Hahaha umezingua Sana wewe

  • @uledihassan6065
    @uledihassan6065 2 года назад +2

    Hana lolote msanii tu huyu

  • @alhabsi6430
    @alhabsi6430 Год назад

    Sasa anamliza mzee wa watu

  • @markazalqaim
    @markazalqaim Год назад

    🤣🤣🤣🤣shahada ya firaun

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 2 года назад

    Huyu msanii sana katoka kulia kwa marehemu kaja kumlilia mufti eti anamvumilia ili azidi kumvumilia kwa upuuzi wake kilamtu anamjua anaachisha ndoa za watu halafu anawatomgozaa wanawake walioachanishwa na yy dah huyu jamaa noma ila iko siku kiti anachojigamba nacho kitamfedhehesha tu maskini samaah mufti mkarimu mchamungu mtu wa watu ila kwa huyu hapana msani tu

    • @abdulrahmanmwadini5925
      @abdulrahmanmwadini5925 2 года назад +1

      Wewe mpuuzi sana ukiambiwa utoe ushahidi unaoo?

    • @sudaissaid8428
      @sudaissaid8428 2 года назад

      ushahidi anao ndo akasema..kwn we hujui

    • @abdallahally842
      @abdallahally842 2 года назад

      @@abdulrahmanmwadini5925 mpuuzi niww unaeongeaa upuuzi na kutetea wapuuz kuna Lundo la mashahidi ninaaakili timamu najua ninachoandika kwahio usitete watu wenye makosa we unajua kuachanisha wana ndoa arshi inatikisika au hujui dhambi yake kwahio mwambie msanii wako Allah anamuona na atamlipa atubu haraka na awe muadilifu. Laasivo machungu aliowafanyia watu hayatapita bure kamaatadinu tudanu what's goes around comes around hakuna mkamilifu tubuu taubatan nasuhaa

    • @abdaraudugu33
      @abdaraudugu33 Год назад

      @@sudaissaid8428 wewe jivishe uungutu kujifanya unajua yaliyopo nyoyoni mwawatu

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад

      @@sudaissaid8428 MWACHE ALIEULIZWA AJIBU MWENYEWE HAJAKUULIZA WEWE KUNA HESABU SIKU YA KIYAMA

  • @sheikhfirdaus9857
    @sheikhfirdaus9857 2 года назад

    Mashaallah

  • @aleyidukury8333
    @aleyidukury8333 Год назад

    Hubay bin salul kumbe bado mpo ulikuwa shekh wamipasho

    • @ibrahimundee5234
      @ibrahimundee5234 Год назад

      Mungu atuepushe nauchi wamadarak mbaya Sana kulewa namadaraka

    • @magrethchussi386
      @magrethchussi386 Год назад

      Hawakumtendea haki kwa nn wasimuite kwenye baraza hakumlazimisha Mkewe Dr Mwaka kutengua ndoa yake bali ni matakwa yake Queen mbona hadi leo anaitaka talaka yake ilaanazungushwa pana kitu nyuma ya pazia mdhambi kubwa sn mliyomtendea Sheikh kumtengua na inasikitisha sn sn

  • @tracemsolla7604
    @tracemsolla7604 Год назад

    😭😭😭