Wakenya watuma salamu kuhusu Mswada wa Fedha
HTML-код
- Опубликовано: 30 сен 2024
- Kinyume na siku za awali za kusomwa kwa makadirio ya bajeti, hii leo baadhi ya wakenya waliamua kuwafikishia ujumbe wabunge na viongozi wakuu, akiwemo rais kupitia mitandaoni na kwenye simu zao za rununu. Kupitia nambari za viongozi ambazo zilisambazwa kwenye mitandano ya kijamii, wananchi waliwashinikiza viongozi kupinga mswada wa fedha mwaka 2024 unaotarajiwa kujadiliwa wiki ijayo.
Ichungwa you have no moral authority to talk about anything that touches common mwananchi, you have portrayed your true virtue of dishonest and greediness
The most useless mp "mùka wa Ruto "noogle íyo Guok!
mpigs mna tuchesea sana nyinyi tuta kutana kwa debe
Wote ni sawa ruto,gachagua, Raila,uhunye,labda tupate kiongozi kama kibaki.
Osoro acts surprised when he insults people every day
Tunawangonjea wacha wapitishe tutapatana
Mnangoja mfanye nini?
Ruto thinks we're stupid, we will take this country down. Let them pass this nonsense bill and to mps who will vote in favor of this bill, forget that parliament nonsense.
You will not we! Tribal boy
@@Patoh254Somie 🤔
Shame on this people called police,you mean this activist sendind message they way its surppse to be then he gets arestted, waende haiti washike watu hivyo
Osoro simama governor huende nyumbani mapema Kenya kuna shida kila mwaka tax mungu saidia watu wako
I thought ni dci juja huyo msee 😂😂
The problem is not even with increasing of taxes., the problem is we are seeing nothing bad roads everwhere
Unaongelea baraba badla ya mkate mbolea na bursaries pia pereka uko
@@bigdogo3928Kila mtu anaongea juu ya issue pressing sana kwake... All the things make up our frustrations as Kenyans... He is not the enemy... Ruto is...
Afadhali wasijenge roads lkni Mkate iwe 50Bob flat Hatuendi safari ovyoovyo kama ruto
@@bigdogo3928 sasa wewe si barabara ndo inasafirisha ile commodities, style up
The only public participation that is there is the messages sent to them by Kenyans. We don't recognise the one that will be tabled in parliament.
Taxes we really pay bt lets consider the basic needs of our Kenyans people course (+ of -)= empty saving
2027 si mbali
Simple now can't coment anything ako kwa mesha ugali ni mingi 😅
Na izo deals za USA south Korea izo trillions zimeenda wapi
Hii sio serekali ujinga ndio uko hapo
Hhh waziri ndumu aka bange
Amerix to the world
Wabunge Pitisheni Huo Mswada wenu Wa Mkuki Kwa Nguruwe Tamu . Mukipitisha Wakenya Tayari Kufanya kama Zimbabwe Same MUGABE WAY " WE ARE READY 😮waiting IT "
That watchmn must be the most silly
Tomechoka
Uda nikama watoto
Ichug'wa, kuria na Ndindi think they own Mt Kenya region, Mt Kenya region is behind Rigg G.
Ruto ongeza ushuru 😂😂😂 si walikuchagua😂😂😂 Uhuru once said mukadhani ako gauge 😂😂😂
Rhumba Japani
Mimi nimekasika sana Mungu kuja uwaone
If you see osoro talking like this just know that the everything about infamous finance bill has being agreed on...kenyans on their own
Unless we get a leader like kibaki,rest are all political animal including Rao,wanajuana.
Sio poa
Rytk na wahinga wako twawangoja
Ibakura utajua
I don't care
ngombe ww unalewa na mzazi
@@shiwanjiru😂😂😂
Wabunge sio viongozi twawangoja
Ichungwa hana mana kwa wakenya
Tumefika Mwisho
❤❤❤❤❤
Wht is or about love apo😠🤷
Sio matusi ni ukweli
Zakayo ave mercy on this nation
Ihate iyo ishungwa