Wakenya watuma salamu kuhusu Mswada wa Fedha

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Kinyume na siku za awali za kusomwa kwa makadirio ya bajeti, hii leo baadhi ya wakenya waliamua kuwafikishia ujumbe wabunge na viongozi wakuu, akiwemo rais kupitia mitandaoni na kwenye simu zao za rununu. Kupitia nambari za viongozi ambazo zilisambazwa kwenye mitandano ya kijamii, wananchi waliwashinikiza viongozi kupinga mswada wa fedha mwaka 2024 unaotarajiwa kujadiliwa wiki ijayo.

Комментарии • 56

  • @fredricmbuu1974
    @fredricmbuu1974 3 месяца назад +24

    Ichungwa you have no moral authority to talk about anything that touches common mwananchi, you have portrayed your true virtue of dishonest and greediness

    • @unbwogable.
      @unbwogable. 3 месяца назад

      The most useless mp "mùka wa Ruto "noogle íyo Guok!

  • @kennedyochieng9732
    @kennedyochieng9732 3 месяца назад +1

    mpigs mna tuchesea sana nyinyi tuta kutana kwa debe

    • @nesbitmiriti4366
      @nesbitmiriti4366 3 месяца назад

      Wote ni sawa ruto,gachagua, Raila,uhunye,labda tupate kiongozi kama kibaki.

  • @matts6894
    @matts6894 3 месяца назад +9

    Osoro acts surprised when he insults people every day

  • @ngurenjoki9796
    @ngurenjoki9796 3 месяца назад +12

    Tunawangonjea wacha wapitishe tutapatana

  • @apolloobote4772
    @apolloobote4772 3 месяца назад +4

    Ruto thinks we're stupid, we will take this country down. Let them pass this nonsense bill and to mps who will vote in favor of this bill, forget that parliament nonsense.

  • @kamsexsohluvebuoy7696
    @kamsexsohluvebuoy7696 3 месяца назад +2

    Shame on this people called police,you mean this activist sendind message they way its surppse to be then he gets arestted, waende haiti washike watu hivyo

  • @benardoenga2876
    @benardoenga2876 3 месяца назад +4

    Osoro simama governor huende nyumbani mapema Kenya kuna shida kila mwaka tax mungu saidia watu wako

  • @Cirus122
    @Cirus122 3 месяца назад +4

    I thought ni dci juja huyo msee 😂😂

  • @Marto-id1xe
    @Marto-id1xe 3 месяца назад +17

    The problem is not even with increasing of taxes., the problem is we are seeing nothing bad roads everwhere

    • @bigdogo3928
      @bigdogo3928 3 месяца назад +2

      Unaongelea baraba badla ya mkate mbolea na bursaries pia pereka uko

    • @skyhaker4742
      @skyhaker4742 3 месяца назад +3

      ​@@bigdogo3928Kila mtu anaongea juu ya issue pressing sana kwake... All the things make up our frustrations as Kenyans... He is not the enemy... Ruto is...

    • @rockmoneymedia3607
      @rockmoneymedia3607 3 месяца назад +1

      Afadhali wasijenge roads lkni Mkate iwe 50Bob flat Hatuendi safari ovyoovyo kama ruto

    • @JosephKatana-xi3fk
      @JosephKatana-xi3fk 3 месяца назад +1

      @@bigdogo3928 sasa wewe si barabara ndo inasafirisha ile commodities, style up

  • @Collins29
    @Collins29 3 месяца назад +3

    The only public participation that is there is the messages sent to them by Kenyans. We don't recognise the one that will be tabled in parliament.

  • @JohnGakenge-es5gr
    @JohnGakenge-es5gr 3 месяца назад +1

    Taxes we really pay bt lets consider the basic needs of our Kenyans people course (+ of -)= empty saving

  • @Jack_Leadismo
    @Jack_Leadismo 3 месяца назад +1

    2027 si mbali

  • @muriithijoel2705
    @muriithijoel2705 3 месяца назад

    Simple now can't coment anything ako kwa mesha ugali ni mingi 😅

  • @bigdogo3928
    @bigdogo3928 3 месяца назад +7

    Na izo deals za USA south Korea izo trillions zimeenda wapi

  • @AndrewUwani
    @AndrewUwani 3 месяца назад +1

    Hii sio serekali ujinga ndio uko hapo

  • @amournassorsaid7694
    @amournassorsaid7694 3 месяца назад +1

    Hhh waziri ndumu aka bange

  • @adeshmunir5401
    @adeshmunir5401 3 месяца назад +3

    Amerix to the world

  • @babuuosama8752
    @babuuosama8752 3 месяца назад

    Wabunge Pitisheni Huo Mswada wenu Wa Mkuki Kwa Nguruwe Tamu . Mukipitisha Wakenya Tayari Kufanya kama Zimbabwe Same MUGABE WAY " WE ARE READY 😮waiting IT "

  • @tonnyshillings4433
    @tonnyshillings4433 3 месяца назад

    That watchmn must be the most silly

  • @JanesOuma-ch2rx
    @JanesOuma-ch2rx 3 месяца назад

    Tomechoka

  • @JanesOuma-ch2rx
    @JanesOuma-ch2rx 3 месяца назад

    Uda nikama watoto

  • @jmmtm
    @jmmtm 3 месяца назад

    Ichug'wa, kuria na Ndindi think they own Mt Kenya region, Mt Kenya region is behind Rigg G.

  • @shafikarzai321
    @shafikarzai321 3 месяца назад

    Ruto ongeza ushuru 😂😂😂 si walikuchagua😂😂😂 Uhuru once said mukadhani ako gauge 😂😂😂

  • @Syddohmusic
    @Syddohmusic 3 месяца назад +3

    Rhumba Japani

  • @Foundme-m5q
    @Foundme-m5q 3 месяца назад +4

    Mimi nimekasika sana Mungu kuja uwaone

  • @MzeeBoru
    @MzeeBoru 3 месяца назад

    If you see osoro talking like this just know that the everything about infamous finance bill has being agreed on...kenyans on their own

  • @nesbitmiriti4366
    @nesbitmiriti4366 3 месяца назад

    Unless we get a leader like kibaki,rest are all political animal including Rao,wanajuana.

  • @steuerveronicah9676
    @steuerveronicah9676 3 месяца назад

    Sio poa

  • @AndrewUwani
    @AndrewUwani 3 месяца назад

    Rytk na wahinga wako twawangoja
    Ibakura utajua

  • @bernardkanyumu2197
    @bernardkanyumu2197 3 месяца назад +3

    I don't care

    • @shiwanjiru
      @shiwanjiru 3 месяца назад +2

      ngombe ww unalewa na mzazi

    • @dandaggy066
      @dandaggy066 3 месяца назад

      ​@@shiwanjiru😂😂😂

  • @AndrewUwani
    @AndrewUwani 3 месяца назад

    Wabunge sio viongozi twawangoja

  • @AndrewUwani
    @AndrewUwani 3 месяца назад

    Ichungwa hana mana kwa wakenya

  • @briodiaz-qv1iv
    @briodiaz-qv1iv 3 месяца назад

    Tumefika Mwisho

  • @SomoIya-qh7jz
    @SomoIya-qh7jz 3 месяца назад +1

    ❤❤❤❤❤

    • @dandaggy066
      @dandaggy066 3 месяца назад

      Wht is or about love apo😠🤷

  • @jameskinuthia4311
    @jameskinuthia4311 3 месяца назад

    Sio matusi ni ukweli

  • @dandaggy066
    @dandaggy066 3 месяца назад

    Zakayo ave mercy on this nation

  • @Cench6217
    @Cench6217 3 месяца назад

    Ihate iyo ishungwa