MWALIMU NYERER ALIKUWA AJILIMBIKIZII MALI | ALIUNGANISHA MATAIFA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Baadhi ya wananchi wa mtaa wa Bitiama kata ya Vingunguti jijini Dar es Salaam, wanasema wanamkumbuka Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwa uzalendo wake na kutojilimbikizia mali.
    Wanasema Mwalimu alikuwa alikuwa mzalendo wa kweli wa kuunganisha mataifa na mataifa ndio maana alijitokeza kwenye migogoro mingi na kuitafutia suluhu.
    Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
    BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp....
    Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии •