Nonstop - No new friend Freestyle (Dizasta vina)
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- I DON'T OWN THIS BEAT IT BELONGS TO J COLE
NO NEW FRIEND PERFORMED BY NONSTOP
PRODUCED BY CAIDOBEATS [BOOTH LAB MUSIC WORLDWIDE ]
FOR MORE INFORMATION
FOLLOW NONSTOP ON IG ...
FOR MORE MUSIC
NI HUYO MIMI FULL EP www.boomplaymu...
HOMELESS FEELINGS www.boomplaymu...
THANKS FOR WATCHING MAY GOD BLESS YOU ALL
Nonstop NO NEW FRIEND
#trending #rapcha #rapmusic
Dizasta vina ataki vita.
Ila nyie niuelewa wenu mdogo sana
Mwamba hamumuwezi aisee. Yan tuishi umo
Mnaungana sasa 😅😅😅😅😅😅
Hujielewi mbwa ww ..wew ndo Nani unajishobokesha kwa vina
Acha makasiliko tafta hela 🤣🤣
Nyie vijana unganeni Ila dizasta vina mkali Sana wimbo mmoja wa dizasta vina ni sawa na nyimbo zenu zote
True bro ..sasa huyu karap nini?only shit,viankilled them yo and he needs not to respond to this shit
Well said🤣🤣🤣🤣
@@danielngove yaan binafsi namuelewa vina dizasta Kwan uandishi anatumia akili Sana anaongelea yaliyomo
bado sana unganeni mfike 100 alaf mje tena
Kuna watu wanaforce kuingia kwenye njia za dizasta ila hawatoweza yule n another level
True kabisa
Vijana mmefka pabaya kunako elekea litakuf jitu.
Unachakuimba. We matako unaingilia mambo yasiyo kuhusu wahuni tutakupaka mafuta mana kudakia mambo yasiyo kuhusu uoni ushogapia mamae
Sasa weweeeeee hahahaha unachorap ni kipi 🤣🤣🤣🤣🤣
Mliozaliwa 99 mnazidi kujikusanya😀😀
Nyie kaeni kwa ku2lia Msubir mtu Azame MAJII
Nyi undeni makundi yenu ila mfahamu VINA ndio mkali zaidi yenu..
Inajulikana
msimfananishe vin n wakin makini n fid q
Hamna Issue Nyie Watoto.....Style Zenyew za Kurap bado xna......Hta MJIKUSANYE UKOO MZIMA KWA DIZASTA VINA BADO SANA
We ni choko tuu hujui at unachochan
Hata kambare huibukia matopeni kazana kijana ila tsunami ndo dizasta
Mh hahahaha hayaa endeleeni Lakin tafteni mistar mingine hii Kiki mnatembelea weng kuweni wabunifu basiii
1st Beat ni ya j Cole
2nd umejitahidi kuandika
3rd Dizasta best friend ni the best Bado
mwenzenu alishawaua nyie mende kwa bunduki tokea 2019 kwenye NOBODY IS SAFE 😂😂😂
#panorama4life
Good try, umetembea na dundo still kuna ngoma ni kali thou mi ni shabiki wa vina
hawa madogo hata wakiungana 200 wakatoa kila mmoja ngoma yake bado awawezi kumfikia dizasta vina bola wakae tu wasimdiss huyu jamaa Dizasta mana awauwezi moto wake
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥99
Rapper wa muungano
Duh!! Ngoma Kali Sana ila kachanwa msanii wangu hapa😁😁
Sio kila mtu ni lazma aimbe Hip hop aisee wengne mnatia aibu tu🤣🤣
Rapcha
Ngoma mbovu saanaa bro mistari yako n Typo,, (Huwez mdiss dizasta vina kilocal ivo)
Asante kwa ushauli 😂
Hii iko too low...let you ce on your own way...dizasta hamumuwezi bro...he killed it kwa bars tu
Vita hii isiishe mpk nione mnapata pesa
Watoto wa 99 naona adabu Hanna kabisa😂
We n nan tena na umeingiaje an umehusikaje🤣🤣DIZASTA'S FAN😇
Nice try
Ila kwa vimistari ivyo kwa Dizasta bado sana...ongeza bidii nakupa 13%
Afadhali umemsaidia rapcha 😂😂😂😂
Pumba tuu
Amna kitu..
Hamna kitu hapo mbona hukufanya b4
Mnamchezea dizasta vina kawa babu yenu nini 😂
😂😂mwingine kajichanganya uku
Sema bro umemchana jamaa 😅😅😅,, hii vita kama naijua yaani si ndo world war three?@
Kwanza unamkopi dizasta😂😂😂
Nimekubali sna brow
Duh hii ni kali but rapcha muoneshe vina kubwa wa 👃 sio wengi wakamasi
Sema vijana tunakaa kwenye gem
Dizasita vina anawamdu hatakama mngekuja nabibizenu dizasita anawakalisha kwenye dole la kati
Axe bro dizasta wanaungana uku sjui wanataka nn najua uko studio 🎙 bro fans wako tuna subir kuona wakilamba shubili ...
All was well mpaka ulipomtukania mamake? K$ma mamake inafata nini kwenye distrack..... Let us face each other not our innocent parents
Ngoma yake ina tusi hilo hilo mwishon
We hukuwepo akimtukana dadake
Hip hop kubwa itawale kila kona za Tz,na kipaji chamotoo #nonstop maniggah
Non stop🙌 naona vijana wangu unapasuka sas #Scar Dee uko wap bro ✊ mjin hapakalik kabsa
Watu wanataka vita😃🔥🔥
Vita ikianzq ntakwambia
Ungetafuta akili ulikoiweka kwanza Master ndio uandike huu upuuzi. Ona sasa unatia aibu ukoo wako mzima.
Kaz kali sana🙌🙌🔥
🙏
Utumbo
kijana rudi shule kwanza, jifunze kutofautisha kati ya "r" na "l"... af rudi kwenye battle.
Hauna akili
Abdul acha ufala mwamba anajua ila wewe ni chawa wa rapcha kuwa mkweli tuu😂😂😂
@@jeuxsouthern3483 sina ndo maana nimejua tofauti kimatamshi kati ya "Rav" na "Lav"
Unatafuta kick🤣🤣🤣
@Dizaster cheki uyuu😂😂😂
Njaa inatufunza kuheshimu pochi yenye pei, hapa tunaona umuhimu na uwezo wa dizasta hata mm nlkuwa nataka awajibu ila kwa sasa nimeghair asiwajibu tu awaache
Ukiona watu wanamsaidia mtu ujue kashindwa..
Wamesaidiwa wote
Dooooooh"
Angalau weka Wazo zima kwenye Stanza moja, sio unapayuka payuka tu hauna unon stop wowote ww ila ni vzuri umejaribu sio mbaya
aminii angeweka wazo zima kwenye stanza mojaa tuu😂😂
Huyu ni yupi mefanya niwe fan wa game ya Tz big up uko na kitu zaidi aise💥
Much love
Beat kali sanaaa
Conyway The Machine - Fire squad
Nonstop ✅
Town son
Vina mkal sana
Very sure
Uyu chawa nae katok WAP sasa hata froo bado za kitoto japo anajitaid ila kuingilia hii vita unadhan utapat upenyo
Acha ujinga sikiliza ngoma kwa umakini hapo umepayuka buda
Kaka👐
Sisi ndio majaji tunasubilia nani atakae tupa mpila kati ote ni wakali hapa ni kazi tu itakayoongea wana
💥
Bado sana Yan nyepesi mno... Kwa Dizasta Vina mtasubiri sana ata muungane muwe mia 🚮
kwa hiii Ngoma mwimbaji anakubaliana na wanaosema ameondoka #FID-Q na sasa amekuja #DIZASTAVINA
Asante kwa kulijua hilo
umejitaidi ila ur not level with My broo Dizasta haaa he is Genius braa jiangalie utayakanyaga Bob warning ⚠️
Rap yako inaonesha inaonesha unakesha kumsikiliza Dizasta, ila haujamaster skills unazopata. Lyrics bado though unajaribu kum-copy
nomaaa
Motooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
not bad but 99 is fire🚫✴
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Trial
Huyu anapenda amani rapcha anataka vita ila rapcha mkali
Ma7
Rapcha anasaidiwa, alafu mbona ile sio diss track, vina alikuwa anafanya clarification tu🤣
Huu mziki mzee acha kukaza shingo 😂
😁😁😁aya kaskilize tribulation kule
😂 😂 😂 😂 🍿🍿🍿
Ujinga tupu mnatumalizia mb zetu tu
Mbn unalia na akuna alie kuambia uangalie ngoma lenyewe linaitaaa
🚮
Ninacho Amini @dizastavina ni jeshi la mtu m1 dat why @Rapcha_tz Anasaidiwa na wengi..
sasa kama Hip hop ingeshikiliwa na Dizasta vina ,, maana anajua kuanzia history, anajua ku rap, story telling ya real life situation, ana free styles, flow tofauti tofaut, anatunga mwenyewe , na ni msomi ,, ukikaa nae anaongea vya maana ,, sasa hawa wa 99, anaongelea Bunduki anaonesha hata yanayo endelea hayajui, ndio panya road hawa vijana, Dizasta waoneshee kuwa we ndio Aibu itakayo wakuta wakiwa ukweni,, Thank you