Nonstop - No new friend Freestyle (Dizasta vina)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • I DON'T OWN THIS BEAT IT BELONGS TO J COLE
    NO NEW FRIEND PERFORMED BY NONSTOP
    PRODUCED BY CAIDOBEATS [BOOTH LAB MUSIC WORLDWIDE ]
    FOR MORE INFORMATION
    FOLLOW NONSTOP ON IG ...
    FOR MORE MUSIC
    NI HUYO MIMI FULL EP www.boomplaymu...
    HOMELESS FEELINGS www.boomplaymu...
    THANKS FOR WATCHING MAY GOD BLESS YOU ALL
    Nonstop NO NEW FRIEND
    #trending #rapcha #rapmusic

Комментарии • 112

  • @alphamartin9947
    @alphamartin9947 Год назад +2

    Dizasta vina ataki vita.
    Ila nyie niuelewa wenu mdogo sana
    Mwamba hamumuwezi aisee. Yan tuishi umo

  • @williamcuthbert4823
    @williamcuthbert4823 Год назад +1

    Mnaungana sasa 😅😅😅😅😅😅

  • @joycelugenzi1889
    @joycelugenzi1889 Год назад +1

    Hujielewi mbwa ww ..wew ndo Nani unajishobokesha kwa vina

  • @philemonambilikile839
    @philemonambilikile839 Год назад +15

    Nyie vijana unganeni Ila dizasta vina mkali Sana wimbo mmoja wa dizasta vina ni sawa na nyimbo zenu zote

    • @danielngove
      @danielngove Год назад +2

      True bro ..sasa huyu karap nini?only shit,viankilled them yo and he needs not to respond to this shit

    • @johnizoboy
      @johnizoboy Год назад +1

      Well said🤣🤣🤣🤣

    • @philemonambilikile839
      @philemonambilikile839 Год назад

      @@danielngove yaan binafsi namuelewa vina dizasta Kwan uandishi anatumia akili Sana anaongelea yaliyomo

  • @d.i.cthedon5709
    @d.i.cthedon5709 Год назад +3

    bado sana unganeni mfike 100 alaf mje tena

  • @hvannandos7699
    @hvannandos7699 Год назад +9

    Kuna watu wanaforce kuingia kwenye njia za dizasta ila hawatoweza yule n another level

  • @travismlelwa8735
    @travismlelwa8735 Год назад +2

    Vijana mmefka pabaya kunako elekea litakuf jitu.

  • @mbeyaboy5225
    @mbeyaboy5225 Год назад

    Unachakuimba. We matako unaingilia mambo yasiyo kuhusu wahuni tutakupaka mafuta mana kudakia mambo yasiyo kuhusu uoni ushogapia mamae

  • @muuh_barber8578
    @muuh_barber8578 Год назад +2

    Sasa weweeeeee hahahaha unachorap ni kipi 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @afyandogo
    @afyandogo Год назад +3

    Mliozaliwa 99 mnazidi kujikusanya😀😀

  • @bizzleadam9895
    @bizzleadam9895 Год назад +2

    Nyie kaeni kwa ku2lia Msubir mtu Azame MAJII

  • @stevemwachi254
    @stevemwachi254 Год назад +2

    Nyi undeni makundi yenu ila mfahamu VINA ndio mkali zaidi yenu..

  • @legohmike-dw8kx
    @legohmike-dw8kx Год назад

    msimfananishe vin n wakin makini n fid q

  • @bizzleadam9895
    @bizzleadam9895 Год назад +2

    Hamna Issue Nyie Watoto.....Style Zenyew za Kurap bado xna......Hta MJIKUSANYE UKOO MZIMA KWA DIZASTA VINA BADO SANA

  • @yascoguidezanzibar5925
    @yascoguidezanzibar5925 Год назад

    We ni choko tuu hujui at unachochan

  • @hamicthabiit7661
    @hamicthabiit7661 Год назад +1

    Hata kambare huibukia matopeni kazana kijana ila tsunami ndo dizasta

  • @chrissgoodboy1616
    @chrissgoodboy1616 Год назад +1

    Mh hahahaha hayaa endeleeni Lakin tafteni mistar mingine hii Kiki mnatembelea weng kuweni wabunifu basiii

  • @Iamsaintlaurent
    @Iamsaintlaurent Год назад +1

    1st Beat ni ya j Cole
    2nd umejitahidi kuandika
    3rd Dizasta best friend ni the best Bado

  • @tariqchatta4011
    @tariqchatta4011 Год назад +1

    mwenzenu alishawaua nyie mende kwa bunduki tokea 2019 kwenye NOBODY IS SAFE 😂😂😂
    #panorama4life

  • @bakarpaul5046
    @bakarpaul5046 Год назад +1

    Good try, umetembea na dundo still kuna ngoma ni kali thou mi ni shabiki wa vina

  • @maxmilianmexades6684
    @maxmilianmexades6684 Год назад +1

    hawa madogo hata wakiungana 200 wakatoa kila mmoja ngoma yake bado awawezi kumfikia dizasta vina bola wakae tu wasimdiss huyu jamaa Dizasta mana awauwezi moto wake

  • @shabanikatoto7522
    @shabanikatoto7522 Год назад

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥99

  • @franceswamoyo4878
    @franceswamoyo4878 Год назад +1

    Rapper wa muungano

  • @shuzashadyproduction8438
    @shuzashadyproduction8438 Год назад +2

    Duh!! Ngoma Kali Sana ila kachanwa msanii wangu hapa😁😁

  • @alexmwakasape3452
    @alexmwakasape3452 Год назад +2

    Sio kila mtu ni lazma aimbe Hip hop aisee wengne mnatia aibu tu🤣🤣

  • @kikotinationtv48
    @kikotinationtv48 Год назад +2

    Ngoma mbovu saanaa bro mistari yako n Typo,, (Huwez mdiss dizasta vina kilocal ivo)

    • @nonstopafrica
      @nonstopafrica  Год назад +2

      Asante kwa ushauli 😂

    • @danielngove
      @danielngove Год назад

      Hii iko too low...let you ce on your own way...dizasta hamumuwezi bro...he killed it kwa bars tu

  • @gainjulius1164
    @gainjulius1164 Год назад +1

    Vita hii isiishe mpk nione mnapata pesa

  • @kennywizy1009
    @kennywizy1009 Год назад +1

    Watoto wa 99 naona adabu Hanna kabisa😂

  • @allendidas9716
    @allendidas9716 Год назад

    We n nan tena na umeingiaje an umehusikaje🤣🤣DIZASTA'S FAN😇

  • @thomasnachenga795
    @thomasnachenga795 Год назад +4

    Nice try
    Ila kwa vimistari ivyo kwa Dizasta bado sana...ongeza bidii nakupa 13%

  • @Kalifikra
    @Kalifikra Год назад +1

    Afadhali umemsaidia rapcha 😂😂😂😂

  • @abdalahligunga2965
    @abdalahligunga2965 Год назад +3

    Pumba tuu

  • @mageemadia840
    @mageemadia840 Год назад +3

    Amna kitu..

  • @japharymagesa735
    @japharymagesa735 Год назад +1

    Hamna kitu hapo mbona hukufanya b4

  • @Japhary_HHA
    @Japhary_HHA Год назад +4

    Mnamchezea dizasta vina kawa babu yenu nini 😂

  • @dyngoog
    @dyngoog Год назад +3

    😂😂mwingine kajichanganya uku

  • @silverpacino7720
    @silverpacino7720 Год назад +2

    Sema bro umemchana jamaa 😅😅😅,, hii vita kama naijua yaani si ndo world war three?@

  • @ibrahimusuphian454
    @ibrahimusuphian454 Год назад

    Kwanza unamkopi dizasta😂😂😂

  • @IbrahimAli-nt3uf
    @IbrahimAli-nt3uf Год назад +1

    Nimekubali sna brow

  • @michaelabel9853
    @michaelabel9853 Год назад

    Duh hii ni kali but rapcha muoneshe vina kubwa wa 👃 sio wengi wakamasi

  • @amaningobayi7114
    @amaningobayi7114 Год назад +1

    Sema vijana tunakaa kwenye gem

  • @nillyjos1203
    @nillyjos1203 Год назад

    Dizasita vina anawamdu hatakama mngekuja nabibizenu dizasita anawakalisha kwenye dole la kati

  • @honestymwangaya1982
    @honestymwangaya1982 Год назад +4

    Axe bro dizasta wanaungana uku sjui wanataka nn najua uko studio 🎙 bro fans wako tuna subir kuona wakilamba shubili ...

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe Год назад +2

    All was well mpaka ulipomtukania mamake? K$ma mamake inafata nini kwenye distrack..... Let us face each other not our innocent parents

  • @demoboom5219
    @demoboom5219 Год назад +1

    Hip hop kubwa itawale kila kona za Tz,na kipaji chamotoo #nonstop maniggah

  • @mcmswaki255
    @mcmswaki255 Год назад +3

    Non stop🙌 naona vijana wangu unapasuka sas #Scar Dee uko wap bro ✊ mjin hapakalik kabsa

  • @kosgoliath
    @kosgoliath Год назад +1

    Watu wanataka vita😃🔥🔥

  • @detlantamarooned1809
    @detlantamarooned1809 Год назад +1

    Ungetafuta akili ulikoiweka kwanza Master ndio uandike huu upuuzi. Ona sasa unatia aibu ukoo wako mzima.

  • @directorxaimaco5729
    @directorxaimaco5729 Год назад +1

    Kaz kali sana🙌🙌🔥

  • @Mtumishi2000
    @Mtumishi2000 Год назад +4

    kijana rudi shule kwanza, jifunze kutofautisha kati ya "r" na "l"... af rudi kwenye battle.

    • @jeuxsouthern3483
      @jeuxsouthern3483 Год назад

      Hauna akili

    • @godygodyfry8990
      @godygodyfry8990 Год назад

      Abdul acha ufala mwamba anajua ila wewe ni chawa wa rapcha kuwa mkweli tuu😂😂😂

    • @Mtumishi2000
      @Mtumishi2000 Год назад

      @@jeuxsouthern3483 sina ndo maana nimejua tofauti kimatamshi kati ya "Rav" na "Lav"

  • @benithoii2789
    @benithoii2789 Год назад +1

    Unatafuta kick🤣🤣🤣

  • @Stunnerskele
    @Stunnerskele Год назад +1

    @Dizaster cheki uyuu😂😂😂

  • @ronaldou18padri06
    @ronaldou18padri06 Год назад +3

    Njaa inatufunza kuheshimu pochi yenye pei, hapa tunaona umuhimu na uwezo wa dizasta hata mm nlkuwa nataka awajibu ila kwa sasa nimeghair asiwajibu tu awaache

  • @brasioelias2613
    @brasioelias2613 Год назад +4

    Ukiona watu wanamsaidia mtu ujue kashindwa..

  • @jumaamohamed2815
    @jumaamohamed2815 Год назад

    Dooooooh"

  • @privernnorens2317
    @privernnorens2317 Год назад

    Angalau weka Wazo zima kwenye Stanza moja, sio unapayuka payuka tu hauna unon stop wowote ww ila ni vzuri umejaribu sio mbaya

    • @ayoubdaniel
      @ayoubdaniel Год назад

      aminii angeweka wazo zima kwenye stanza mojaa tuu😂😂

  • @jaykaris
    @jaykaris Год назад +1

    Huyu ni yupi mefanya niwe fan wa game ya Tz big up uko na kitu zaidi aise💥

  • @kamtafuteTena01
    @kamtafuteTena01 Год назад

    Beat kali sanaaa

  • @Townsvn
    @Townsvn Год назад +3

    Nonstop ✅

  • @moffimms8211
    @moffimms8211 Год назад +2

    Vina mkal sana

  • @seifbagilo2516
    @seifbagilo2516 Год назад +2

    Uyu chawa nae katok WAP sasa hata froo bado za kitoto japo anajitaid ila kuingilia hii vita unadhan utapat upenyo

    • @godygodyfry8990
      @godygodyfry8990 Год назад

      Acha ujinga sikiliza ngoma kwa umakini hapo umepayuka buda

  • @tyvetz3658
    @tyvetz3658 Год назад +1

    Kaka👐

  • @yusufuhemedy7210
    @yusufuhemedy7210 Год назад +1

    Sisi ndio majaji tunasubilia nani atakae tupa mpila kati ote ni wakali hapa ni kazi tu itakayoongea wana

  • @amaningobayi7114
    @amaningobayi7114 Год назад +3

    💥

  • @priscamwakalindile6689
    @priscamwakalindile6689 Год назад +2

    Bado sana Yan nyepesi mno... Kwa Dizasta Vina mtasubiri sana ata muungane muwe mia 🚮

  • @saidcoutinhophillipe1845
    @saidcoutinhophillipe1845 Год назад +5

    kwa hiii Ngoma mwimbaji anakubaliana na wanaosema ameondoka #FID-Q na sasa amekuja #DIZASTAVINA
    Asante kwa kulijua hilo

  • @bigc5729
    @bigc5729 Год назад +4

    umejitaidi ila ur not level with My broo Dizasta haaa he is Genius braa jiangalie utayakanyaga Bob warning ⚠️

  • @OVMiNG
    @OVMiNG Год назад +1

    Rap yako inaonesha inaonesha unakesha kumsikiliza Dizasta, ila haujamaster skills unazopata. Lyrics bado though unajaribu kum-copy

  • @nyuz_online
    @nyuz_online Год назад

    nomaaa

  • @gidionkadaraja1403
    @gidionkadaraja1403 Год назад +1

    Motooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo

  • @PrincePaul6573-r9d
    @PrincePaul6573-r9d Год назад +3

    not bad but 99 is fire🚫✴

  • @justinetiller
    @justinetiller Год назад

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @agostineminde6025
    @agostineminde6025 Год назад

    Trial

  • @glorykileo8601
    @glorykileo8601 Год назад +2

    Huyu anapenda amani rapcha anataka vita ila rapcha mkali

  • @chattabingwa
    @chattabingwa Год назад

    Ma7

  • @seifumambo1511
    @seifumambo1511 Год назад +1

    Rapcha anasaidiwa, alafu mbona ile sio diss track, vina alikuwa anafanya clarification tu🤣

    • @caidobeats
      @caidobeats Год назад

      Huu mziki mzee acha kukaza shingo 😂

    • @seifumambo1511
      @seifumambo1511 Год назад

      😁😁😁aya kaskilize tribulation kule

  • @fridaypol
    @fridaypol Год назад

    😂 😂 😂 😂 🍿🍿🍿

  • @hassanmakweto6299
    @hassanmakweto6299 Год назад +1

    Ujinga tupu mnatumalizia mb zetu tu

    • @godygodyfry8990
      @godygodyfry8990 Год назад

      Mbn unalia na akuna alie kuambia uangalie ngoma lenyewe linaitaaa

  • @ezysky
    @ezysky Год назад

    🚮

  • @wilsonzakayo7076
    @wilsonzakayo7076 Год назад +3

    Ninacho Amini @dizastavina ni jeshi la mtu m1 dat why @Rapcha_tz Anasaidiwa na wengi..

    • @felixnando9434
      @felixnando9434 Год назад +1

      sasa kama Hip hop ingeshikiliwa na Dizasta vina ,, maana anajua kuanzia history, anajua ku rap, story telling ya real life situation, ana free styles, flow tofauti tofaut, anatunga mwenyewe , na ni msomi ,, ukikaa nae anaongea vya maana ,, sasa hawa wa 99, anaongelea Bunduki anaonesha hata yanayo endelea hayajui, ndio panya road hawa vijana, Dizasta waoneshee kuwa we ndio Aibu itakayo wakuta wakiwa ukweni,, Thank you