Nikki Mbishi - AKILI KUMKICHWA (ProdBy Blaq Ninjah Of BBC)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 дек 2024

Комментарии • 257

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402  2 месяца назад +113

    Lyrics:1
    Hatuendi hivyo sistee,
    Hiyo fake fugure ume-spend fifty,
    Million za kishenzi hizo business,
    Change hiyo vision understand when I speak sense,
    Kutwa hotelini huna kwenu,
    Huna kwako hamzionei huruma k*ma zenu,
    Unaosha vipi mbunye na hizo kucha ndefu,
    Gono lake haliponi mpaka atapo shuka Yesu,
    Usiende pupa peku utakufa mwanakwetu,
    Utatupwa bila wa kukupa hata thank you,
    Nawanyapia halafu nazuga nawadeku,
    Ukihisi nawakandia vunga Assalaam Aley'khum,
    Zinduka toka kwa hiyo day dream,
    Kuota utatoboa ukidanga India na Beijing,
    Urudi Bongo ujiite Bosslady kumbe ni slay queen,
    Mnapenda Wasafi ilihali hamuwezi stay clean,
    Madada poa in the line of duty,
    Hawajui the beauty ain't defined by the booty,
    Siku hizi tako kubwa ni zaidi ya degree,
    Generation Z hawahusiki na 3G,
    Mtamudu majukumu kwa hizo fedha wastaafu,
    Ashura na Mwantumu wanavyocheza kwa rafu,
    Hawajui hali ngumu na cha kupewa hakina nyongeza,
    Wanaitaka pesa ya madafu,
    Ukifua unachekwa na watu,
    Unabezwa hata kundi unawekwa na wafu,
    Unatapikwa ka" ulimezwa na chatu,
    Uwanja una visiki na hukucheza na viatu,
    Hook:
    Lowkey no fame no stress,
    Use your brain life game of chess,
    Don't bring no same old mess,
    Akili kumkichwa ama ujipate homeless,
    Lyrics:2
    Mama yangu angeendekeza njaa kama ninyi,
    Sidhani kama angenizaa star kama mimi,
    Mnapenda sana raha mna tamaa kama fisi,
    Uroho wa mifupa na nyama mbichi,
    Mishangazi hawajiiti manyambizi,
    Watoto wa 2000 nao hawaishi manyapizi,
    Hawaogopi laana wanadai inapenya,
    Na wamama wanafurahi vyenye pipe inatema,
    Nipe nikupe ushaona type hii ya wema,
    Elewa sasa maana mi sitoirudia tena,
    Vijana wanang'ang'ana kurudi walipotoka,
    Tena nyama kwa nyama kwa hundi walizochota,
    Mafundi walizodoka kwa kuzidisha mbwembwe,
    Walitomboka na kujisahaulisha kuna ngwengwe,
    Kwa hii Dunia hatujaja kujenga tu,
    Najua unaniibia ila nakupenda boo,
    Una-date naye na anajua we ni first year,
    Huna cha kumpa anadanga ina-create fear,
    Anatoka na mibaba na unaitwa Bae pia,
    Baby,play your part son and stay clear,
    Hawana huruma hawa viumbe,
    Utafanyiwa hujuma sikushauri hata ujiunge,
    Utaachwa umenuna huna cha kutafuna,
    Umebuma bora ungejichunga usiyumbe,
    Waliumbwa waje kutusaidia,
    Leo wanatupunja hata kutupa hisia,
    Wanabishana na asili wanajifanya wana akili,
    Hawawezi kuwa nawe bila kukudai mia,
    Yaani Free Tu!

  • @djhdscratchmaster4110
    @djhdscratchmaster4110 2 месяца назад +8

    Waliumbwa waje kutusaidia lakini wanatupunjia hata kutupa hisia 🙌🙌

  • @mexcortez
    @mexcortez 2 месяца назад +9

    UNJU THE GREATEST🔥🔥🔥

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 22 дня назад

    Olodumare ni mungu wa kabila la oyuma huko Nigeria

  • @nicolasernest4663
    @nicolasernest4663 2 месяца назад +10

    Sidhani Kama angenizaa Shujaa Kama Mimi... Unstoppable rapper....

  • @erickmoses7430
    @erickmoses7430 2 месяца назад +6

    Aiseeee.... Are we experiencing the active revolution of the MVP of music in TZ!? The controversy will take this song the furthest he has ever been. He is going to bank big from this hit. Right on the money with the hatred of madada wa mjini.

    • @TheGuestofHannah-d7n
      @TheGuestofHannah-d7n 2 месяца назад +1

      Good prophesy but the 'MVP' has definitely hit the pinnacle a decade ago, Son. The Music industrial complex in our country is simply shitful such that im expecting nothing at all.

  • @maxtz4692
    @maxtz4692 2 месяца назад +6

    Salute brooo🙌🙌🙌💪💪🔥🔥🔥siku hizi Tako kubwa ni zaidi ya degree😂😂😂

  • @abditech14
    @abditech14 2 месяца назад +3

    Wakikwambia Nala mbishi waambie Niki ni bro🔥🔥🔥💪

  • @ramadhannassor8288
    @ramadhannassor8288 Месяц назад +1

    Understand when I speak sense

  • @RajabNgome-b3z
    @RajabNgome-b3z 2 месяца назад +7

    Nimesikiliza mara 100 hii ngoma 🙌

  • @andrewshenko6975
    @andrewshenko6975 13 дней назад

    Kwa heshima hakuna Kama unju

  • @LucaWanzuki
    @LucaWanzuki Месяц назад +1

    Umetisha sana bob

  • @theophilwhiteheart1997
    @theophilwhiteheart1997 2 месяца назад +3

    Mmmmm bishiiii🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙌🏽

  • @shukranisibale1739
    @shukranisibale1739 2 месяца назад +2

    Sasa niki huku ndio kwako tunapokujua respect sana

  • @Tanganyika-w5p
    @Tanganyika-w5p 2 месяца назад +2

    Whatsapp Man!!!!
    Bonge la Trakii Bro Nikki..
    Hatariii waliletwa kutusaidia na kwelii wanajifanya wanaakili

  • @alphonceboniphace6813
    @alphonceboniphace6813 2 месяца назад +1

    inabidi utumie akili Kubwa ndo uelewe bars nyingine zinamaansha nn 😁 shout out you #UNJUU

  • @Job-Tv
    @Job-Tv 2 месяца назад +22

    Oya sio sifa tu tununue album

    • @underratedspirit
      @underratedspirit 2 месяца назад +3

      Jamaa kablock watu instagram,asa tunanunuaje??akini unblock nadaka albums he is a good artist

    • @sembojwamaterial8409
      @sembojwamaterial8409 2 месяца назад +2

      We umenuna..?

    • @Job-Tv
      @Job-Tv 2 месяца назад

      ​@@sembojwamaterial8409 mimi siyo Shabiki maandazi nna Album zote za Unju sibongi bongi tu

    • @ShedrackLawrence-u3p
      @ShedrackLawrence-u3p 2 месяца назад

      Hapo sasa anazngua mwamba kama ni kweli na kakublock ulimletea miyeyusho nn? ​@@underratedspirit

    • @AGREYMWANKENJA-ye5sb
      @AGREYMWANKENJA-ye5sb 27 дней назад

      ​@@underratedspirit ukienda kisiasa zaidi anakublock

  • @franklissu589
    @franklissu589 2 месяца назад +2

    "Hawaogop Laana
    Vijana wang'ang'ana kurud walikotoka.
    Play ya part son stay clear.
    Hawana huruma hawa viumbe,
    Waliumbwa waje kutusaidia,
    Leo wanatuvunja hata kutupa hisia,
    Wanabishana na asili...."

  • @samidquiz6316
    @samidquiz6316 2 месяца назад +3

    No hiphop Tanzania without UNJU
    AKILI KIMKICHWA VIJANA TUSISHINDANE NA TULIPOTOKA😂😂😂😂

  • @EmmanuelGisiri-i4t
    @EmmanuelGisiri-i4t 2 месяца назад +1

    Amini unju anajua kam hujaipata hii album fanya uipate mzee

  • @HASANJUMA-gi3om
    @HASANJUMA-gi3om 2 месяца назад +2

    KUMMMMKE HIIIII NGOMA NI YA GRAMMY

  • @mwafrikabarz4507
    @mwafrikabarz4507 Месяц назад

    The Ground King ||• Handakini niko kuna Maarifa

  • @captainb.o.b568
    @captainb.o.b568 2 месяца назад +2

    Baba Malcolm in the building unajua bro bonge la pini

  • @RapperTyger-vv1vt
    @RapperTyger-vv1vt 2 месяца назад +4

    Hiphop ni maisha unayoish hii ngoma ni maisha namuelewa burudan na mafunzo him hum

  • @bittersweet1683
    @bittersweet1683 2 месяца назад +3

    Love from Rwanda 🇷🇼

  • @pitbullfamily4499
    @pitbullfamily4499 2 месяца назад

    😈Real 💯🔥

  • @unjubinunuk5917
    @unjubinunuk5917 Месяц назад

    We ndio yule UNJU BIN UNUKI

  • @suhailsodeh5444
    @suhailsodeh5444 2 месяца назад

    Unju na conboi motooo...da real shit hiphop stand up...

  • @erickodhiambo6994
    @erickodhiambo6994 2 месяца назад +1

    Ngumu kumeza

  • @HussainRamadhan-c8s
    @HussainRamadhan-c8s Месяц назад

    Oya ni Sista gan tena au bongo movie tena

  • @issackmusalika121
    @issackmusalika121 2 месяца назад +3

    Mbishi anaendelea kudhihirisha ubishi wake

  • @didassadik8075
    @didassadik8075 2 месяца назад

    Kabisa

  • @6xin9injez53
    @6xin9injez53 Месяц назад

    kwahiyo unjuu Unamsema MAMA 😅😅😅

  • @abeidmwaikambo3879
    @abeidmwaikambo3879 2 месяца назад +1

    Unju baba🔥🔥

  • @jossporahmsw8420
    @jossporahmsw8420 2 месяца назад

    Duuu! Shaoulin master 😊😊😊🎉🎉🎉mkanda mweusi

  • @ommie_nyzer
    @ommie_nyzer 2 месяца назад +2

    Unju ..baba Malcolm🚨🏁

  • @gbxbarlawz777
    @gbxbarlawz777 14 дней назад

    Hizi ndotrcks za kuskiza sio matiti na matako kwa radio

  • @husseinrajab-w1e
    @husseinrajab-w1e 2 месяца назад +2

    Brother u stay new el days.. 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @EmanuelBlassy-uz4gm
    @EmanuelBlassy-uz4gm 2 месяца назад +1

    Goma kubwaaa ujumbe konkiii Unjuuu nomaaa

  • @yojoruta3379
    @yojoruta3379 2 месяца назад

    UNJU THE GOAT

  • @MuscoPeace-lp9ut
    @MuscoPeace-lp9ut Месяц назад

    Ahhhhh ny wat na nusu🎉

  • @maasais
    @maasais 2 месяца назад +1

    Bongo hip hop has never died! Always lit! Of course R. I. P. Ngwair

  • @rajimwasha5892
    @rajimwasha5892 2 месяца назад

    Unju 🔥

  • @michaelkimaro
    @michaelkimaro 2 месяца назад +2

    Spana za unju🔥🔥 noma sana

  • @jerrylmamba
    @jerrylmamba Месяц назад

    🎉❤❤ low-key

  • @abrahammensa
    @abrahammensa 2 месяца назад +1

    Nyoso 🔥🔥🔥

  • @jbsilulatv4513
    @jbsilulatv4513 2 месяца назад +2

    Mnefiri uunjuu

  • @Kisalaurenceramson
    @Kisalaurenceramson 2 месяца назад

    Ooohh yeah AKILI KUMKICHWA 👑 100% content fully 🙌🏾🧠

  • @charlesabeli9914
    @charlesabeli9914 2 месяца назад +1

    gono lake haliponi npaka ashuke yes...💥💥💥💥✊🏿

  • @stapinuswilliam860
    @stapinuswilliam860 2 месяца назад +1

    Dr unju

  • @FrankSamson-r6s
    @FrankSamson-r6s 2 месяца назад +1

    Oyaaaaaa😂😂😂😂UNJUUUU😂🔥🔥

  • @kaJEMBEvip
    @kaJEMBEvip 2 месяца назад +5

    Mnaosha vip mbunye kwa izo kucha ndefuuu

  • @gerrymainmunisi6677
    @gerrymainmunisi6677 2 месяца назад

    hahahahaha bonge moja la song aiseeeee

  • @IDPressLimited
    @IDPressLimited 2 месяца назад +4

    nikki mbishi mkali sana ila punguza kuchana kivivu

  • @HamiskMatunguli
    @HamiskMatunguli 2 месяца назад

    akili kumkichwa😮😮😮😮

  • @jamalmariam
    @jamalmariam 2 месяца назад +2

    jitu baya

  • @Voiceofpeopleotz
    @Voiceofpeopleotz 2 месяца назад +4

    Vijana wanan'gan'gana kurudi walipotoka noma sana......

  • @bedobizzy55tv98
    @bedobizzy55tv98 2 месяца назад

    NIKKI MBISHI,, umeuaaaaaaa sanaaaaaa,,,,, respect sana mzee wa kijusi

  • @jofreylwena6189
    @jofreylwena6189 2 месяца назад

    niki hakuna mbishi kama wewe broo
    mbishi noma Niki hakuna wa kusema noo ...Akili kumkichwa

  • @SamadyShakhur
    @SamadyShakhur 2 месяца назад

    am from Kenya nikimbishi this album imeweza one of my favourite anatoka na mibaba naunaitwa baby high on bars

  • @petervehael5948
    @petervehael5948 2 месяца назад +1

    Verse kali na beat classic@ninjah

  • @KitangariGenerations
    @KitangariGenerations 2 месяца назад

    Ngoma imenyooka kinoma nooma Mr

  • @RapperTyger-vv1vt
    @RapperTyger-vv1vt 2 месяца назад +1

    😂😂😂 hamzionei huruma kuna zenu

  • @REVOLUTIONARYLYRICS
    @REVOLUTIONARYLYRICS 2 месяца назад

    AKILI KUMKICHWA💯🔥

  • @alphoncesamwel6973
    @alphoncesamwel6973 2 месяца назад

    Nmerudia rudia hii spana ya unju!

  • @slyvanustheobalt4324
    @slyvanustheobalt4324 2 месяца назад +1

    Kazi nzur sana

  • @brian_moseti
    @brian_moseti 2 месяца назад

    Kaangusha bonge la bomu🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @eagleculturetv4692
    @eagleculturetv4692 2 месяца назад

    Mm napenda sana ngoma zako ila napenda uchane sana km jogoo, babutalent, michipuko , nyakt za mashaka,play boy

  • @raphaelchuche6281
    @raphaelchuche6281 2 месяца назад

    akili kumkichwa✍🏿

  • @frankkiambuthi9473
    @frankkiambuthi9473 4 дня назад

    Lines.

  • @josephrichard241
    @josephrichard241 2 месяца назад

    tako kubwa ni zaidi ya digrii

  • @hamphreyalfred1156
    @hamphreyalfred1156 2 месяца назад

    ngoma iko fresh kaka❤🎉

  • @pulltheskymusicgroup4475
    @pulltheskymusicgroup4475 2 месяца назад

    ngoma kali , tupate video mmoja yenye story tamu , no yetu

  • @mgundarajab7371
    @mgundarajab7371 2 месяца назад

    At the end of the day 😅you say that akili kumichwa

  • @gwamakajohn7122
    @gwamakajohn7122 2 месяца назад

    Unju hii kazi nahitaji broo lazima nikuchek bro

  • @nathanjim-wu9pe
    @nathanjim-wu9pe 2 месяца назад

    Izi kwl ndo spana sasa 💣

  • @MinahIce
    @MinahIce 2 месяца назад

    unjuuuuuuuu bin ukweliiii.

  • @ErickTimothy-l9m
    @ErickTimothy-l9m 2 месяца назад

    Nikk mbishi nyie ndo wenye hip hop

  • @allysudi4429
    @allysudi4429 2 месяца назад

    It's crazy💥💥

  • @darhustler
    @darhustler 2 месяца назад

    Kweli spana za ushu 😎

  • @KelvinEdson-v7q
    @KelvinEdson-v7q 2 месяца назад

    ❤nkkimbish💥📻✊

  • @liquidflowz728
    @liquidflowz728 2 месяца назад

    when I grow up I want to be like unju....faaaacts!!!

  • @shukranihamisi9989
    @shukranihamisi9989 Месяц назад

    Pa1 brother

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 10 дней назад

    🔥🔥🔥🔥💯

  • @Deepwizdom
    @Deepwizdom 2 месяца назад

    Oyaaaa nomaa sanaa

  • @francisfelix728
    @francisfelix728 2 месяца назад

    Mc bora wa muda wote Tz

  • @dimosobariki4915
    @dimosobariki4915 2 месяца назад +1

    Fire

  • @Jkone891
    @Jkone891 2 месяца назад

    King love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @abdallahomary5930
    @abdallahomary5930 2 месяца назад

    Unju mtu mbaya 🔥🔥🔥

  • @sosomokobiasharamgaya3020
    @sosomokobiasharamgaya3020 2 месяца назад

    Unjuuuuuuuuuu🎉🎉🎉🎉🎉

  • @shabanrajabu8359
    @shabanrajabu8359 2 месяца назад

    bin unuki 👊👊👊

  • @festomayengo1418
    @festomayengo1418 2 месяца назад

    Noma kaka🎉

  • @jaystrongmagaboy1633
    @jaystrongmagaboy1633 2 месяца назад +1

    Unju fundi

  • @KelvinIsrael-pl6lz
    @KelvinIsrael-pl6lz 2 месяца назад

    Mbishi ni mmoja tuu💪

  • @JULIUSJACKSON-s1p
    @JULIUSJACKSON-s1p 2 месяца назад

    Shairiki kibishiii

  • @JohnMabustar
    @JohnMabustar 2 месяца назад

    Aminia saaana jogoo 😊😊

  • @JoshuaJohnson-zo2nz
    @JoshuaJohnson-zo2nz 2 месяца назад

    Unjuu🎉

  • @johnngelula632
    @johnngelula632 2 месяца назад

    By far the best rapper in tz

  • @titojohn5852
    @titojohn5852 2 месяца назад +1

    Heavy weight tungo Somo limeeleweka kaka@nickmbish

  • @hiwamedia255
    @hiwamedia255 2 месяца назад +1

    Ngoma za kusikiliza ndio hizi hapa.
    Unasikiliza na unagain something❤