SWAUMU ZETU EPISODE 24 MKOJANI,SAMOFI,HAJI ADAM
HTML-код
- Опубликовано: 27 сен 2024
- 𝙏𝙝𝙖𝙣𝙠 𝙔𝙤𝙪 𝙁𝙤𝙧 𝙒𝙖𝙩𝙘𝙝𝙞𝙣𝙜!
🚩 Remember to subscribe and hit the bell "🔔" icon, so you don't miss out of the crazy COMEDY,SHOT CLIP ,MOVIES and SERIES .
Thank you for stopping by 😎 Welcome to #OSOONLINETV 🔥🔥 Swahili COMEDY, MOVIES and goodSERIES that happen weekly 🤘🏽🤘🏽
For branding/ sponsors or any busnes Enquiry.. music email us at osoracar86@gmail.com 🤘🏽🤘🏽
#osoonlinetv#mkojani #Swahilicomedy #swahilimovies
Donate Gofundme: gofund.me/dc21...
SOCIAL MEDIA
Facebook: / oso_onlinetv-105010074...
Instagram: / osoonlinetv
Tiktok: tiktok.com/ZML... - Развлечения
Mkojani yani nakupenda bureee yani uko serious hadi tunahisi aibu watazamaji kwenye swala la mahari😢😢😢
😂😂😂😂😂😂😂😂 hakuna siku niliyowahi kucheka kama leo we mkojani una nini jamani we baba ila nakupenda mno pamoja na vituko vyako🎉🎉🎉
Mkojani kiazi sana hahaha anapunguza mahali siku ya ndoa hii kali ya mwaka halafu tupo robo mwaka
Aibu naona mimi mkojani anavyo mzungusha samofiii😂😂😂
Nakwambia,mkojani hana ata shilingi hpo atazungushwa samofi mpka ndoa ishinde leo😂
🤣🤣🤣🤣🤣Samofi hongera ushenga unaucheza vizur kumuokoa mke wako 😂😂😂
#mkojaniatachukuamkebure
Mkojani kavaa kanzu ya yanga 😂😂😂
Ww fala kweli😅😅😅
Samofiii unacheza ki bazengaa hongera babaa😂😂😂
ai. mkojani unajua kuigiza. kumbe 😂😂😂😂😂😂😂
Duh leo nimechelewa ila bdo nawapa mauwa yenu bado mkojani untsha san ❤🎉
😂😂😂😂😂😂samofi mkojn anakutesa sna
Duu hii ndoa mtihani ila bigup kwako Samofi
Wakwanza mie😂😂😂
Daaah samofi nakubali sana ila mkojan pasua kichwa
mkojani siuseme unaela
Kwa hakili za muoaji msgenga kazi anayo hapo
😂😂😂😂mkojani bhana lini utaacha ugaigai
😂😂😂Mkojani bhnaa eti laki 3
😂😂😂duh mkojani khaaa
Ila mkojani tapelii😂😂😂, laki 5 tena😂😂😂
🎉
Swaumu zetu ❤️
Duh mkojani wee kiboko😂😂😂😂😂
Mkojani unakera kweli Mzee,mbona haujielezi Mzee...
Hiii kichwa ya mkojani ni 🔥
Mkojan mtu wa mission 😂😂😂
Mkojani unatia aibu hahaha wenikichaa
Nmechkaa kinomaa😅😅😅😅
Huyu bibi harusi anaolewaa kwa elfu50 apa 😂😂😂😂😊
Nawakubali sana. Mob❤4rm🇰🇪.. ila mkojani baana hauna huruma n mzee mwenzio, Samofi 😂😂😂
Bwana harusi matata
Samofi anapata heka heka😅😅
Leo nimewahi wa 5 kucoment
❤❤❤❤
Samofi badilisha kanzu
Mkojani hueleweki mpk mashabiki wako hatukuelewe yani katika ubunifu wa film zako hatuezi kujua km utaoa kwa laki3 au bure kabisa 😂😂😂😂😂😂😂😂Big up kw gang nzima
Mkojani na samofi hongereni sana kazi nzuri from +254
🔥🔥🔥
Samofi umetuonesha ujanja wa mjini Leo khaaa ATI kasahau passwed....😅😅😅😅😅
Mama chitunti apewe mauwa yake hapa leo😂
#chituntu
Ushenga wenyewe ndo hvi m hapna
Aibu naona mie jamani
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁mukojani jamani hhhhh😁😁utafikapaka. Kulaki. 😁😁😁😁
Ila samofi kwenye ushenga una faa, et kasahau paswed
Dah mkojani mahari hana😂😂😂😂 samofi kazi unayo
Yes on line
Mkojani Alizoeya Vyabure Amezengua Sana
Tarifa zako nimezipata uniminya mkono😊😮
Hana pesa mkojani anakuzuga tu
daaah mkojni mkolofi sijawai kuona yaani kma mm vile😅😅😅
MKOJANI , UNAUMIZA MBAVU ZETU KWA KUCHEKA 😂😂😂
Gonga like kama unaipenda hii tamthilia
Apo ata mleta adi kwene lak
😂,😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Alafu kumbe nyie huaga mna comment kabla ya kuangalia nimewashtukia 😂😂
😅😅
Mchezo wa kijinga mkojani mukifka mswala km haya yakuelimisha muche comed sas tokealin ndoa mahar yakapelekwa siku ya kuoa na mukifka mnafanya ujinga km huo mnazingua
Hii ni comed kabla hujacoment elewa maudhui yaunachokitazamaa
😂😂😂duh mkojani khaaa
😂😂😂
Yaani naipenda hiii jmn haichelewi kutoka ❤❤
😂😂😂😂😂
Ila Mkojani 😂😂😂😂jamani mshenga mbona mood imekatika😂😂😂😂🙌👏👏♥️
Nimecheka adi tumbo linauma ninachokiomba kwenu msiachane mkonani na samofii kama kanumba na lei yaani mnafanya vizur balaa
Move ambayo haina hata uhalisia sas mt anaenda kuoa anafanya ujinga km huo hem kuwen siriasi kuelemisha jamii
Mkojani umezid bhanaa umeenda kuoa na mabuti alafu ata hukuvua nje
Samofi mbona uongo mwingi na umefunga?😂😂😂
Muowaji namfukuza mapemaaa mapema yani 😅
Ila mkojani sijui lini ataacha ugaigai😂😂😂
Hata hio laki 3,hauna mi nkujua wwe...
Itafika nadae aseme hana hela 🤣🤣🤣
❤
Jamani mkojani mkorifi hhhhhh
Mkojan unaharbu move
Shemeji kachangamka😂😂
Mkojani aaaaa wee kiboko
😂😂mapemaaaaaa
aaah mkojan kazngua
Oya mkojan acha ujinga 😂😂😂😂😂😂😂 kutok mlio mmoja mpaka laki 3😂😂😂😂😂😂
Mkojani jau
Ila samofi utakua mshenga wa kaka angu😂😂maana unajua kunyoosha mambo😂
Unaniminya mkono 😂😂, mi wa mwisho tayari nshapita hapa
Mkoja bando halijaisha Weka Episode babaaa😅😅
Samofi anampambania sana Mwanae🤣
𝙺𝚒𝚓𝚒𝚔𝚘 𝚢𝚞𝚔𝚘 𝚏𝚛𝚎𝚜𝚑 𝚜𝚊𝚗𝚊 𝚋𝚒𝚐 𝚞𝚙