#TEAMKIBA GATHER HERE WE ALL KNOW THE SITUATION OF OUR TANZANIAN FANS DURING THIS SAD PERIOD OF LOOSE #TANZANIAN PRESIDENT SO SORRY But its better TUENDELEE KUSAPORT KAZI HII KUBWA COLLABO YA KIKUBW #GIVEMORE #ABDUKIBA #SINGAH Tuendeee na kazi yetu isogee
Not sure if anyone cares but if you're bored like me during the covid times then you can stream pretty much all the latest movies and series on instaflixxer. I've been binge watching with my brother recently =)
Poleni sana watanzania nilkua nafuatilia sana juhudi zake Kila wananchi wasiokua watanzania walitamani awe raisi wa nchi yao ila Mungu kampenda zaidi ,
RIP the face of Africa content, Mungu amulaze Mahali Pema peponi. 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇹🇿🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯
Unaonaje kama kings wangetoa nyimbo ya pamoja ya kuomboleza, maana kila moja katoa na zipo poa tunamajonzi maana huu mwezi huu sisikilizi mziki zaidi ya maombolezo tu daaaaa, inauma😥😥😭
Haki yimbo hii ni safi sana hata mimi ni kutoka DRC but na ishi Nairobi namliya makufuli sana ningalipenda makufuli arundi jameni ametuacha mapemasana mola amweke mahali pazuri kabisa poleni sana wandungu zangu wa tazania
Japokuwa tuko msibani kama ume rudia hii ngoma nipe liker zangu👏
#TEAMKIBA GATHER HERE WE ALL KNOW THE SITUATION OF OUR TANZANIAN FANS DURING THIS SAD PERIOD OF LOOSE #TANZANIAN PRESIDENT SO SORRY But its better TUENDELEE KUSAPORT KAZI HII KUBWA COLLABO YA KIKUBW #GIVEMORE #ABDUKIBA #SINGAH
Tuendeee na kazi yetu isogee
Hatuja maliza msiba pimbi wew😎
Anaweza sana
Not sure if anyone cares but if you're bored like me during the covid times then you can stream pretty much all the latest movies and series on instaflixxer. I've been binge watching with my brother recently =)
Hu ni msiba wa afirica mzima tuko na nyinyi pamoja 🇲🇿
Jamani Tommy hume niliza mwenzeo 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇦🇪🇦🇪🇦🇪
Ongera Sana tommy flaver,nimeipenda,poleni Sana watanzania,🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Kama we wa kwanza nambie imerushwa na dakik ngap
Wimbo mzur Sana🙏😭😭😭😭
😭😭😭😭😭😭😭😭RIP magu safiri salama baba tutaonana mungu akipenda 😭😭😭😭😭😭😭😭
Pole sana Tanzânia 🇹🇿 Moçambique 🇲🇿pia tuko kwenie uzuni 😭😭😭😭
😭😭😭😭💔💔💔🇹🇿🇹🇿🇹🇿Yaan km sio kweli!! ALLAH amsamehe dhambi zake
Ama kweli kings music wanajuwa
Ata uku kwetu South Africa 🇿🇦 imefika
Pole wa Sani wetu wa King's music na wa tanzanian kwa jumla mungu ami wezeshe from Congo 🇨🇩 we are together😭
Tupo wengi wa Congo 🇨🇩
Mercy boku tuko pamoja tuzid kumuombea
Pole Sana Tommy na tz🇹🇿kua amani yeah 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Asante kaka Tommy kwa wimbo mzur haswa kwa kipindi hiki kigumu cha msiba wa Dunia....Tommy your de Flavour boy....
Mpeni pole mama kiba nasikia kalia sana
Wimbo wangu unao nipunguzia maumivu
Nani kaguswa kama mm😭😭
Ange rudieeee 😭🇹🇿🇨🇩👩👩👦👦😭😭😭😭😭😭😭🤹
Ume toa kitu ni 🔥🔥🔥🙏🙏
Mm nyimbo yako meielewa Sana najiskia Raha inaniliwaza umeimba kaka😘😘🥰🥰
Tommu flavor ni bonge la artist nimerudia mara kumi ila bdo sijashiba kuisikiliza nyimbo hii .... R I P ... JPM
😭😭😭😭😭😭 Rip Baba wa East Africa magufuli may the almighty God grant you Heaven 🤲 🤲 🤲 🤲 🤲
😭😭😭😭😭😭Tuna Lia dah tulikupenda ila mungu kakupenda zaid
😭😭😭😭🇨🇩🦋🇹🇿😭pole sana
Ivi kweli MAGU kaiacha AFRICA bado nko kwa giza...one of the best leaders in AFRICA REST IN PEACE MAGU
Nice song yakutufariji kwenye msiba wa rais wetu wa tanzania❤❤❤❤
Poleni sana watanzania nilkua nafuatilia sana juhudi zake Kila wananchi wasiokua watanzania walitamani awe raisi wa nchi yao ila Mungu kampenda zaidi ,
Angerudi angerudi
Dah ngoma kali tujipe moyo wa Tanzania kwapamoja mungu kayaruhusu
Wimbo mzuri sana ... unatufariji sana .... ahsante tommy.... tangulia uncle magu.
kazi nzuri Tommy Flavour
Angerudi 😭😭😭😭😭😭😭 If I was there I would plead him to come back too. Zambia🇿🇲 mourns with u😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Msiba wa taifa huu jaman,😭😭😭
Poleni Tanzania 🇹🇿 Poleni Africa Yote Msiba hu Niwetu sote 😭😭😭😭😭
Muuh hakika ni noma Tommy flavor
Machozi yatazidi nisi jizuie R.I.P Rais wetu ( John Mpombe Magufuli) poleni wa Tanzania Mungu awape nguvu.
Love from Burundi Bujumbura 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Team sat-b satura King
Kama unasubiria ngoma ya rostam kama mm gonga like tumpunzishe mpendwa wetu
No 1 kings music fan
KINGS4LIFE
MAY YOUR SOUL REST IN PEACE JPM 🙌
From 🇰🇪🇰🇪 Rip John Pombe Magufuli 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
🇰🇪🇰🇪.is mourning too....
R.I.P JPM
#HERO
#AFRICAN ICON
Where are the Congolese who cried and got sad when they heard that President Dr Joseph Pombe Magufuli passed away 🥺
RIP my President Zambians will miss you Mr President JPM
Naumia sana
Poleni sana tanzania🇹🇿 mozambique 🇲🇿està contigo MUNGU ndie anapanga 😭😭😭😭😭
•Kullu Man Alahya Faan,Wayabqaa Waja Hu Rabbika Dhul Jalaali Wal Ikraam🙏🏾🙏🏾
Inauma sana but ur the king and talented enough
🇹🇿🇹🇿🇹🇿😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
asante kaka kwa kuhuzunika na sisi R.I.P baba yetu mpendwa
Barikiwa Tommy flavour kwa wimbo, kweli ANGERUDI, maana aeondoka mapema😭😭😭😭😭😭
Mungu amuweke mahali pema pepon🇹🇿
Really this should be the best song to mourn the😭😭😭😭😭😭😭😭 beloved late magufuli !😭😭😭😭😭😭
Tommy💥💥💥 utafika mbali sana i apriciate mwamba japo ni msiba but dis is the best song ever kuhusu kifo cha mpendwa wetu #Tingatinga
More likes
I'm not a Tanzanian but we are together in this hard time. Mozambique vile vile tunalia.
😭😭😭
IT'S HARD TO FORGET BUT WE SHALL OVERCOME RIP ANKO 🔐 🇰🇪🇰🇪
Duuuu pole saaana Tanzania 🇹🇿
😭😭😭poleni sana watanzania wote kwa ujumla tuko n nyinyi bega kwa bega
RIP the face of Africa content, Mungu amulaze Mahali Pema peponi. 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇹🇿🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯🕯
Tommy kiufup me nime frai kuona uuh wimbo nilitaka niseme daah inamana kings music Amna wa kuimba kutu kizul kaa ichi daah no 🔥🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Unaonaje kama kings wangetoa nyimbo ya pamoja ya kuomboleza, maana kila moja katoa na zipo poa tunamajonzi maana huu mwezi huu sisikilizi mziki zaidi ya maombolezo tu daaaaa, inauma😥😥😭
ukiwa mwanamziki bora kila utachofanya ni bora 💥💥
Meus sentimentos. Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
😭😭😭 mungu amuweke anapo stahil kiongoz wetu 🙏🏼😥😥😥
Pole Tanzania kwa kupoteza raisi wetu mpendwa Africa angerudi
Tommy Flavour we ndio umeaga vizru tumuombee tu
Kwakweli nimekubari huu wimbo unakumbusha mengi I'm respecting your Tommy
Ngoma nzuri kaka.., Rip Mugufuli
Daaaah Tommy una sifa mwanang,,, ngoma ya maombolezo lakini kama hit banger,, we mtu ni shida sana kwenye burudani
😭😭😭😭😭😭 R.I.P chuma kimeondoka nimebakia mpweke wajina katangulia
Nuru imezima Kiza kimetanda😪😭🙏pumzika kwa Amani Baba Magufuli🙏😭😪
Tutaendelea kukumbuka daima JPM🇹🇿🇹🇿
Noma Sana
Daaa tommy jman uniliza tena 😢😢😢😢si kwaumbaji huu jmn
Jamaa anajua sana
Hi nyimbo hatar sanaa
Fundi mmoja tu Tommy flavour 😭😭
Pole sana Tanzânia 🇹🇿, Mozambique 🇲🇿 está contigo🙏
Obrigado mano .deus te abençoê
Obrigado irmao
@@abdullahalqasmi949 De nada irmão 🙏
@@wisdomgroup7696 De nada irmão 🙏
Ahsante kwa pole kaka
Ni huzunieeeee mungu tu wezesheee😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Poleni ndugu zangu wa Tanzania am from Congo 🇨🇩
😭😭😭😭umeniliza Tommy😭😭 kipind kama hch ni cha kushikamana siyo cha kuweka utimu Mara kiba Mara mondi m2 ikifanya kazi nzur apongezwe👏👏👑
Angerudi angerudi angerudi angerudi hakuna kama yeye 💪🙏🙏
Ama kweli kizuri haki dumu 🇹🇿🇹🇿😭😭
Rest In Peace mr president 😢💔🇹🇿(jpm)
Broo tommy umetisha broo nyimbo yako ndo bora ya kumuaga mzee
nyimbo inahuzunisha sana
Inauma Sana tutakukumbuka baba yetu Magufuli uzuni umetuachia wa Tanzania machozi 😭😭🇹🇿yanatutoka tu
Rest in peace Maguguli😭😭😭pole wa Tanzania
إنا لله وإنا إليه راجعون اللهم يحفظه من كل شر 🇹🇷😥😥🇹🇷
Haki yimbo hii ni safi sana hata mimi ni kutoka DRC but na ishi Nairobi namliya makufuli sana ningalipenda makufuli arundi jameni ametuacha mapemasana mola amweke mahali pazuri kabisa poleni sana wandungu zangu wa tazania
Tutakukunbuka 🙏baba 😭😭😭
Dua kwa mzee wetu
R.I.P Magufuli
Poleni sana Tanzania 🇹🇿 kwa pingo limewakuta inauma sana kweli mungu amuifadhi mzee semu pazuri mtu wa watu
Favorite sound Tommy Flavour
RIP BABA 🙏 ⚰ 😢😢😢😢😢😢😢
Mpaka sasa wimbo no 1 wa maombolezo ni huuuu rip John
🙏🏻😥😥😓😓ALLAH AKAWE MHIMILI WA KABULI LAKE😓😓😓😥🙏🏻
Pole sana tz🇹🇿 we are with you🇹🇿🇹🇿
Unajua sana we mtt
Rest in peace my president magufuli
Very emotional song brother 😭😭😭😭
So Sad My water brother😥😥
Pole kaka tommy.pole watanzania wote pamoja.kings music for life
Da bro tommy you make me crying for Magufuli
R.I.P mr President 😭😭😭😭😭😭
😭😭😭😭may his soul Rest In Peace ☮️
Tutakukumbuka daima Baba Magufuli
Daaaaaah sina usemi kuhusu huu wimbo. Rip Baba