Part 2: KILICHOMKASIRISHA MKE WA ROMA MPAKA KUMPOST MADEE, VIPI KUHUSU NAY WA MITEGO
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- Kama ulikuwa hujui sababu za kwa nini mke wa Roma aliposti Picha ya Madee? kipi kilimkasirisha, vipi pia kuhusisana na post ya Nay wa Miteg?
Roma Zimbabwe mm nakuelewa sana hata wacpo kuja cc tuko pamoja nawewe kikubwa zidi kumuomba mungu na imani juu yake hao wengine waache kama walivyo by mnyaq boy
daaaaaah marafiki wengi sikuhiz wanakupenda kwenye raha tu..kwenye shida wanasepa
Dah!binadam ndivyo walivyo, inasikitisha sana.
pole roma achana na hao watu wa kuzusha mm nakufahamu vizuri mkwe wangu ibra huna mambo ya ajabu hayo
Duh watanzania punguzeni kuhukumu kama hatuna uhakika na jambo kaa kimya hujaegemea upande wowote unaye sema hii ni kiki napingana nawe kabisa. Mungu wasamehe hwajui wasemacho.
# viva roma viva
# zimbabwe
Pole sana Roma
Respect ROMA unaongea kwa nidham msanii unaejitambua
From Ireland!peace Roma .Millard you kind of presenters we suppose to have.nimependa ulivyo kuwa unakata sauti ya Roma kwenye mambo sensitive.☺
Hasani said Ali hello guys karibuni kwenye chaneli yangu kucheki maisha ya UJERUMANI . schoraship . bonyeza kwenye picha yangu itakuleta moja kwa moja kwenye channeli yangu au waweza nitafuta hapa youtube kama mamafranjovlogs .msisahau kusubsribe asanteni
Mama Franjo VLOGS safi sanàaaa mamy ake tuko pamoja
Mama Franjo VLOGS nakucheck maana napenda sana maisha ya ughaibuni,maana nahis iko siku nitayafikia, in any ways
Кирилл Горбунов mkalimani tusaidieeeeeee jmn
Кирилл Горбунов mkalimani tusaidieeeeeee jmn
Lazima akasirike me mwenyewe ningechukia nampenda sana huyu dada
dooh Pole sana kaka
Why Umekata sauti,,????itakuwa ni tigo au airtel kwasababu we ni voda.....sio fresh tumeshajua
binadam wabaya xnaaa but Roma uko vizur xnaaaa, mapito tuu mwanang, kikubwa uko hai.
Daaa Roma unajua sanaa blo
Sasa Roma atatafuta kiki ya nn,wakati ni msanii wa kitambo anajulikana tunamkubali saaaana tuuu
Hopeman, asante kwa tusi Barikiwa
Millad ungetuwekea hizo post tuzione wkt unaendelea kumhoji
Good roma
Siamini watu wanaosema ni kiki, mtu afanye kiki ajiumize yeye mwenyew pamoja na Familia yake, hata mimi siamini kuwa ni kiki, ili tukio nila kweli, sema tu pengine waliomteka wamempa vitisho asitoe sir yote, na hata kama ingekuwa ni mimi ningekaa kimya kutokana na usalama wangu endapo kama wamenitisha na jambo lolote la kuhatarisha, mmenielewa mnaosema ni kiki?
jamani tuamini kile kilichomkuta Roma ameshasema hawez kusema kile alichohojiwa wkt ametekwa kwa sabab anaiachia dola ifanye kazi zk dola ikijirizisha ataongea kwenye umma alichohojiwa wkt ametekwa
PICHA HUSIKA kifungua habari anauza K!
akuna mtu anae taka hela coz apigwe had aumie iyo ni never Roma ajachukua hela hay ni mawazo yenu na finyu amini roma ajui chochote ila Roma anachokosea kutoomgea ukweli bac yn bado anarukaruka
vyema mm angu
kutekwa ni jambo si la kawaida,hamuwezijua nyuma ya panzia, sio kila kitu kinapaswa kusemwa
Mie sioni kwa nn hivi vitu uviseme saa hizi kukuamini hitakuwa sidaaa achana nayo hata mie naona Kiki tu
Beatrice Henry mbwa ww kiki mtu ameumia mwili unamadonda
Tatizo ni aina ya pedi unazotumia
KAMILI NA KAMILI UTAPATA VITU VIWILI KAMILI so think twice about this story
Roma unaogopa kufulia kwaajili ya kutetea haki! Siamini unachokisema aisee
Roma ,achana na hao ,wanafiki. Omba yasiwakute
MUNGU unajua Roma
Haha 😂 nimeipenda ile ya madude ya siasa.
😍😍😍😍respect milard ayoo 🔥🔥🔥from +968
roma umezingua kumbe kk kwa maelezo yako ninapata new ideas
Romma unakitu gani chamaana kipya kikafanya utekwe?
Imma Mlowe wapo wanaokiona ila wew ni blind huwez kuona
Kiki ile ulifanikisha sana mkuu....
acha usenge bhaaaas kiki gani
Ndo walewale, kiki aiumize familia yake, yakikufka ndo utaelewa...
+Glory Maimu unawakikaa gani wewe kamaa kiki 😎😎😎😎😎
+Glory Maimu Umeona heeeee!!! mtu afanye kiki familia yake iumie, sifikirii kitu kama hiki
Shabani Shabao kama ni kiki fanya nawew utoke
Fanyan Nazi achana namikiki