Part 2: KILICHOMKASIRISHA MKE WA ROMA MPAKA KUMPOST MADEE, VIPI KUHUSU NAY WA MITEGO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Kama ulikuwa hujui sababu za kwa nini mke wa Roma aliposti Picha ya Madee? kipi kilimkasirisha, vipi pia kuhusisana na post ya Nay wa Miteg?

Комментарии • 50

  • @saulmwakyusa1001
    @saulmwakyusa1001 7 лет назад +6

    Roma Zimbabwe mm nakuelewa sana hata wacpo kuja cc tuko pamoja nawewe kikubwa zidi kumuomba mungu na imani juu yake hao wengine waache kama walivyo by mnyaq boy

  • @mtasma1994
    @mtasma1994 7 лет назад +12

    daaaaaah marafiki wengi sikuhiz wanakupenda kwenye raha tu..kwenye shida wanasepa

  • @gloshyjm2375
    @gloshyjm2375 7 лет назад +10

    Dah!binadam ndivyo walivyo, inasikitisha sana.

  • @davidphares5316
    @davidphares5316 7 лет назад +5

    pole roma achana na hao watu wa kuzusha mm nakufahamu vizuri mkwe wangu ibra huna mambo ya ajabu hayo

  • @jameschanja8304
    @jameschanja8304 7 лет назад +1

    Duh watanzania punguzeni kuhukumu kama hatuna uhakika na jambo kaa kimya hujaegemea upande wowote unaye sema hii ni kiki napingana nawe kabisa. Mungu wasamehe hwajui wasemacho.
    # viva roma viva
    # zimbabwe

  • @alexandrinadomaino1085
    @alexandrinadomaino1085 7 лет назад +5

    Pole sana Roma

  • @nadiamajaliwa1564
    @nadiamajaliwa1564 7 лет назад +3

    Respect ROMA unaongea kwa nidham msanii unaejitambua

  • @hasani565
    @hasani565 7 лет назад +11

    From Ireland!peace Roma .Millard you kind of presenters we suppose to have.nimependa ulivyo kuwa unakata sauti ya Roma kwenye mambo sensitive.☺

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72 7 лет назад +1

      Hasani said Ali hello guys karibuni kwenye chaneli yangu kucheki maisha ya UJERUMANI . schoraship . bonyeza kwenye picha yangu itakuleta moja kwa moja kwenye channeli yangu au waweza nitafuta hapa youtube kama mamafranjovlogs .msisahau kusubsribe asanteni

    • @felistamashinga9134
      @felistamashinga9134 7 лет назад +2

      Mama Franjo VLOGS safi sanàaaa mamy ake tuko pamoja

    • @gracejoseph8506
      @gracejoseph8506 7 лет назад +2

      Mama Franjo VLOGS nakucheck maana napenda sana maisha ya ughaibuni,maana nahis iko siku nitayafikia, in any ways

    • @felistamashinga9134
      @felistamashinga9134 7 лет назад

      Кирилл Горбунов mkalimani tusaidieeeeeee jmn

    • @felistamashinga9134
      @felistamashinga9134 7 лет назад

      Кирилл Горбунов mkalimani tusaidieeeeeee jmn

  • @evamalisa3355
    @evamalisa3355 7 лет назад +3

    Lazima akasirike me mwenyewe ningechukia nampenda sana huyu dada

  • @romanwilliam4919
    @romanwilliam4919 7 лет назад +3

    dooh Pole sana kaka

  • @slayingtee6044
    @slayingtee6044 7 лет назад +3

    Why Umekata sauti,,????itakuwa ni tigo au airtel kwasababu we ni voda.....sio fresh tumeshajua

  • @brownmshan2629
    @brownmshan2629 7 лет назад +3

    binadam wabaya xnaaa but Roma uko vizur xnaaaa, mapito tuu mwanang, kikubwa uko hai.

  • @mkalisantosTV
    @mkalisantosTV 7 лет назад +5

    Daaa Roma unajua sanaa blo

  • @maxmillan7664
    @maxmillan7664 7 лет назад +3

    Sasa Roma atatafuta kiki ya nn,wakati ni msanii wa kitambo anajulikana tunamkubali saaaana tuuu

  • @beatricehenry7101
    @beatricehenry7101 7 лет назад

    Hopeman, asante kwa tusi Barikiwa

  • @nelsonngimbudzi3432
    @nelsonngimbudzi3432 7 лет назад +2

    Millad ungetuwekea hizo post tuzione wkt unaendelea kumhoji

  • @christinahaule9726
    @christinahaule9726 7 лет назад +3

    Good roma

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 7 лет назад +3

    Siamini watu wanaosema ni kiki, mtu afanye kiki ajiumize yeye mwenyew pamoja na Familia yake, hata mimi siamini kuwa ni kiki, ili tukio nila kweli, sema tu pengine waliomteka wamempa vitisho asitoe sir yote, na hata kama ingekuwa ni mimi ningekaa kimya kutokana na usalama wangu endapo kama wamenitisha na jambo lolote la kuhatarisha, mmenielewa mnaosema ni kiki?

  • @rosejohn2488
    @rosejohn2488 7 лет назад +1

    jamani tuamini kile kilichomkuta Roma ameshasema hawez kusema kile alichohojiwa wkt ametekwa kwa sabab anaiachia dola ifanye kazi zk dola ikijirizisha ataongea kwenye umma alichohojiwa wkt ametekwa

  • @renaldakamugishazeramulake940
    @renaldakamugishazeramulake940 7 лет назад +4

    PICHA HUSIKA kifungua habari anauza K!

  • @naurumnazaleti6774
    @naurumnazaleti6774 7 лет назад +1

    akuna mtu anae taka hela coz apigwe had aumie iyo ni never Roma ajachukua hela hay ni mawazo yenu na finyu amini roma ajui chochote ila Roma anachokosea kutoomgea ukweli bac yn bado anarukaruka

  • @JASIRIGR
    @JASIRIGR 7 лет назад +3

    vyema mm angu

  • @raginauthor1881
    @raginauthor1881 7 лет назад +1

    kutekwa ni jambo si la kawaida,hamuwezijua nyuma ya panzia, sio kila kitu kinapaswa kusemwa

  • @beatricehenry7101
    @beatricehenry7101 7 лет назад +3

    Mie sioni kwa nn hivi vitu uviseme saa hizi kukuamini hitakuwa sidaaa achana nayo hata mie naona Kiki tu

  • @petermkuki9794
    @petermkuki9794 7 лет назад +2

    KAMILI NA KAMILI UTAPATA VITU VIWILI KAMILI so think twice about this story

  • @kimongearusha247
    @kimongearusha247 6 лет назад

    Roma unaogopa kufulia kwaajili ya kutetea haki! Siamini unachokisema aisee

  • @lukadelik3652
    @lukadelik3652 5 лет назад

    Roma ,achana na hao ,wanafiki. Omba yasiwakute

  • @sholastika972
    @sholastika972 7 лет назад +1

    MUNGU unajua Roma

  • @Lemalali85
    @Lemalali85 7 лет назад

    Haha 😂 nimeipenda ile ya madude ya siasa.

  • @naimarama5741
    @naimarama5741 7 лет назад

    😍😍😍😍respect milard ayoo 🔥🔥🔥from +968

  • @paulemmanuel9512
    @paulemmanuel9512 7 лет назад

    roma umezingua kumbe kk kwa maelezo yako ninapata new ideas

  • @immamlowe734
    @immamlowe734 7 лет назад +1

    Romma unakitu gani chamaana kipya kikafanya utekwe?

    • @glorymaimu5109
      @glorymaimu5109 7 лет назад

      Imma Mlowe wapo wanaokiona ila wew ni blind huwez kuona

  • @kulwamapunda4414
    @kulwamapunda4414 7 лет назад +2

    Kiki ile ulifanikisha sana mkuu....

    • @shabanishabao4936
      @shabanishabao4936 7 лет назад

      acha usenge bhaaaas kiki gani

    • @glorymaimu5109
      @glorymaimu5109 7 лет назад +2

      Ndo walewale, kiki aiumize familia yake, yakikufka ndo utaelewa...

    • @shabanishabao4936
      @shabanishabao4936 7 лет назад +1

      +Glory Maimu unawakikaa gani wewe kamaa kiki 😎😎😎😎😎

    • @saumuhassan1365
      @saumuhassan1365 7 лет назад +2

      +Glory Maimu Umeona heeeee!!! mtu afanye kiki familia yake iumie, sifikirii kitu kama hiki

    • @glorymaimu5109
      @glorymaimu5109 7 лет назад +1

      Shabani Shabao kama ni kiki fanya nawew utoke

  • @immamlowe734
    @immamlowe734 7 лет назад

    Fanyan Nazi achana namikiki