DEVIL'S HOUSE |part one|.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 июн 2024
  • Nyumba ndio chanzo cha matatizo yote ya hapo kijijini, ikiwemo mauaji na watu kupotea ovyo.
    Je familia hii mpya itaweza kupambana na majaribu hayo? Karibu kufatilia kisa hiki cha kusisimua.
    #snakeboy22 #siriyahuba #ufuo #shetani #kicheche #bhailam #nyamayamwanangu #kipara #mwakatobe #vevowood #mwanamke #directorkakoso #kisiki #sungwi #kifochangu
    Follow us on INSTAGRAM 👇 chiebway_tz...
    Follow us on TIKTOK 👇
    www.tiktok.com/@chiebway_tz?_...
    For Bussiness WHATSAPP ONLY
    +255 764 397 711

Комментарии • 139

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express Месяц назад +37

    ❤ Rangi ya film inanifanya nijiulize hii film ni ya miezi iliyopita au yasasa!?. Kulingana na UZURI wa film napata jibu hii ni kazi mpya baada ya #UFUO. ❤ hii Film ni nzuri sana inashawishi kufatilia scene inayofata kuanzia scene ya kwanza ❤
    #LAKINI Bimigomba msiwe mnampa scene hizo (........) Hizo scene hazia umuhimu ktk film.
    👉 SADRA kwenye swala la ukatili na kutia uhuruma kabobea 😂
    👉 CHIBU anapenda kucheza ni mume wa SADRA 😂 lakini ndie mwanamke anayefit kwenye nafasi za utata na sura yake 😂
    👉 BUTUA ktk ubora wake. #ONYO Butua hakikisha unaachana na kiingereza cha uongo kinakushusha CV. Uko moto sana kwenye scene za sirious unazitendea haki sana.
    💥 GANG ya CLAM VEVO sijawahi kuona mapungufu kwa msanii hata mmoja.
    💥 #CHIBU kazi kwako. Hii film ni 🔥

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 Месяц назад +1

      Apo kwa bimigomba upo sahihi...uhusika huo haumfai😮

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express Месяц назад

      @@aishaomar2287 ❤ sio uhusika haumfai tu.... scene hizo hazinaga umuhimu ktk film. Aidia zipo nyingi sana za kuandaa ambazo zinaweza kumpa mtu jina kubwa na heshima. Mifano ipo mingi kuna wasanii wa kimataifa walipata umaarufu bila filamu zao kuwa na matukio ya ajabu. Inatakiwa waandaa stori wawe makini ktk kutunga... 💥

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 Месяц назад +1

      @@DonMooSTUDIO_Express swadakta

    • @OmanMuscut-ju3xp
      @OmanMuscut-ju3xp Месяц назад

      Nikwe langi siyo po yani jinsi inavyonyesha kama vile enzi zakale za mwalim nyerere

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 Месяц назад

      @@OmanMuscut-ju3xp 🤣🤣

  • @jimmyjeyo7255
    @jimmyjeyo7255 15 дней назад +3

    KAZI nzuri Sana kipara sina tabia za umbea niliachaga

  • @tanuplus
    @tanuplus Месяц назад +5

    Kazi kubwa sana

  • @Giventzmedia
    @Giventzmedia 26 дней назад +1

    Rangi watabadilisha jaman wala msiwe na mashaka izo rat tu kaz nzuri sana

  • @munacute-qc8bu
    @munacute-qc8bu Месяц назад +3

    Wow kazi nzur kipenzi📌❤❤❤❤

  • @MariamOmary-tt3fo
    @MariamOmary-tt3fo Месяц назад +7

    Hii ndo movie sasa 🎉🎉

  • @bongotamuonline3090
    @bongotamuonline3090 Месяц назад +4

    Tunawapenda saana team chibu ❤

  • @Mwandola1
    @Mwandola1 Месяц назад +4

    Kali sana

  • @AnaAna-rc7mh
    @AnaAna-rc7mh Месяц назад +3

    Movie nzuri chukueni mauwa yenu🎉🎉🎉🎉

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 Месяц назад +4

    Mashallah team chibu,kitu kitu🎉🎉🎉...alafu butua kumbe unakua na mahaba 😋, kipara anawaelezea kuhusu nyumba we wampapasa wife ila nmependa jibu lako kwa kipara huyo si dadako wala shemeji yake bali ni "mkeo" 👍

  • @user-bq6tg1bj9s
    @user-bq6tg1bj9s Месяц назад +3

    Kubwa kuliko yani ni ya moto🎉🎉🎉🎉

  • @sifaraha
    @sifaraha 8 дней назад

    move nzuri baaana

  • @halemasuliman-js8ug
    @halemasuliman-js8ug 13 дней назад

    Kazi mzuri

  • @ArafaAmirAmir-ci7ld
    @ArafaAmirAmir-ci7ld Месяц назад +3

    Oooooh maiiiii Butua uko vereeee❤❤❤

  • @shabanimniha57
    @shabanimniha57 Месяц назад +3

    Wa kwanza leoooo, nipeni maua yangu jaman

  • @mjukuuhotelitv7736
    @mjukuuhotelitv7736 13 дней назад +2

    Mmefeli kwenye Rangi bhn ila kzi nzuri san

  • @user-pb2jx5zm3k.MBUZIII
    @user-pb2jx5zm3k.MBUZIII Месяц назад +3

    KAZ ya CHIBU haiwez ikaharibika

  • @issuthegoldissukijanamwema8761
    @issuthegoldissukijanamwema8761 Месяц назад +4

    We kipara unaharibu movie, hizo steely zako ni za kizamani sana enzi za kina chili na zimwi, badilika baba uende na wakati

  • @RashidiMogopa
    @RashidiMogopa 6 дней назад

    rangi umezingua mzee

  • @user-ic8mc3bd8l
    @user-ic8mc3bd8l 10 дней назад

    Much love from Kenya 😮😢😢😮

  • @paulinekombe3753
    @paulinekombe3753 Месяц назад +1

    Nice job chibu🎉🎉

  • @hamzaIlunga
    @hamzaIlunga Месяц назад +3

    From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲❤️

  • @user-dp7ts8yk3d
    @user-dp7ts8yk3d 21 день назад

    Iko pw sana

  • @abdulgeuka3985
    @abdulgeuka3985 Месяц назад +4

    Rangi miyayusho sana

  • @user-gl2bn6ot8e
    @user-gl2bn6ot8e 25 дней назад +1

    Butua ilo kanzu lmekuvaa sana au umeazma😂😂😂

  • @rukingamaboar802
    @rukingamaboar802 8 дней назад

    Bom trabalho irmão

  • @faridamarsha9476
    @faridamarsha9476 Месяц назад +1

    Keep pushing Emmanuel wilson

  • @user-ez9jz1kp5q
    @user-ez9jz1kp5q Месяц назад +3

    Moçambique boa tarde Tanzânia

  • @saidiabdalahshabani941
    @saidiabdalahshabani941 Месяц назад +2

    Chibu mpelekee 🔥 mam mkwe😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 move nzur snaa sem umefer kwenye upande walangi ya move😏

  • @RaphiaKassamaly-sd3uk
    @RaphiaKassamaly-sd3uk Месяц назад +2

    Nimependa

  • @FreddyGisa-dq5ut
    @FreddyGisa-dq5ut Месяц назад +2

    Nawa penda sana

  • @jorgecesilio8862
    @jorgecesilio8862 Час назад

    Kipara ni mwana YANGA

  • @frankmuganyizi5547
    @frankmuganyizi5547 Месяц назад +1

    🔥🔥🔥

  • @user-vj2cm9cc8g
    @user-vj2cm9cc8g Месяц назад +3

    Filamu kiza kingi

  • @remiomar7154
    @remiomar7154 Месяц назад +2

    Yaani heee mumekatazwa kuact uchawi 😂😂😂 sasa mumeamua kututisha n majini 😂😂😂😂 ila team chibu mpo vizuri

  • @user-li4gh8rs6y
    @user-li4gh8rs6y 14 дней назад

    Nice

  • @fpssatanzania2782
    @fpssatanzania2782 Месяц назад +1

    Next please 🔥 🔥

  • @GenerousAfricantours
    @GenerousAfricantours Месяц назад +3

    Rangi usengeeee mkileta Tena marangi ya namna hii siangaliii

  • @SumaiyaWambui3500
    @SumaiyaWambui3500 20 дней назад

    good film lakiny hyo rangi no,,,watching from kenya❤❤

  • @paschalmtatiro9850
    @paschalmtatiro9850 Месяц назад +1

    Keep pushing Broo @chibu

  • @user-lv5iw6wn6q
    @user-lv5iw6wn6q 8 дней назад

    ❤❤🎉🎉❤❤

  • @user-dp7ts8yk3d
    @user-dp7ts8yk3d 21 день назад

    🎉❤

  • @user-tj1wv1xd4m
    @user-tj1wv1xd4m Месяц назад +1

    Bonge1 la series

  • @elithomasmedia800
    @elithomasmedia800 Месяц назад +2

    Hatariiiii hiz za wachacheee

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 16 дней назад

    Yn clam vevo gang hamjawahi kutuangusha hongerrni sana❤❤❤

  • @user-wi4kr2zr7x
    @user-wi4kr2zr7x 22 дня назад

    Chibu umenichekesha kwa hicho kioo du kitanda kwisha

  • @RaphiaKassamaly-sd3uk
    @RaphiaKassamaly-sd3uk Месяц назад +2

    Seen

  • @martinchambala9399
    @martinchambala9399 24 дня назад +1

    Hivi mpaka mnaluhusu mzigo utazamwe mnakua hamkagui kama Kuna hitirafu rangi gani hizi sasa

  • @rojaasha7024
    @rojaasha7024 Месяц назад +1

    Saiv umewezaa na umeweza tena❤

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki Месяц назад +1

    Mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @user-nc5vk9bo7u
    @user-nc5vk9bo7u Месяц назад +1

    🎉🎉🎉🎉 hii kubwa kuliko

  • @user-ck7zi2rq8h
    @user-ck7zi2rq8h 8 дней назад

    Rangi ya nyumba

  • @user-jn9br9kf5y
    @user-jn9br9kf5y 27 дней назад

    🙏🙏🙏❤️❤️❤️🇧🇮

  • @machozimukucha
    @machozimukucha Месяц назад +2

    🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @jacksongodlisten3614
    @jacksongodlisten3614 Месяц назад +2

    Tuondokeeee 🚀 kaka

  • @SultaniHassani-nq8no
    @SultaniHassani-nq8no Месяц назад +1

    ❤❤

  • @gabrielamrutu6277
    @gabrielamrutu6277 Месяц назад +1

    Kazi nzuri ❤ ila shida rangi

  • @chardtz6218
    @chardtz6218 Месяц назад +1

    🎉🎉🎉

  • @jubaidamiss2409
    @jubaidamiss2409 24 дня назад

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @Chazmusic_official
    @Chazmusic_official Месяц назад +2

    Rangi rangi

  • @jimmyjeyo7255
    @jimmyjeyo7255 15 дней назад

    Rangi ya move haipendezi lakn move imeweza

  • @juniorofficallmedia5486
    @juniorofficallmedia5486 26 дней назад

    Tafuta hela chibu😂😂😂

  • @ViolineOnsomu
    @ViolineOnsomu Месяц назад +2

    Kazi nzuri lakini rangi ndio mbaya badilisha

  • @user-ce1vh4rl5c
    @user-ce1vh4rl5c Месяц назад +10

    Movie nzurii sana ila mmetuanqusha kwenye lanqi 😢😢😢

  • @MutranMaokola
    @MutranMaokola 13 дней назад

    Movie nzuri ila Rangi haikutoka Vizuri Chibu jitahidi kwenye Episodes Zinazokuja Ziwe na Rangi nzuri

  • @RamaMkuru-qd3gc
    @RamaMkuru-qd3gc Месяц назад +1

    Move mzuri Ila tunaomba rud kwenye rangi ya kawaida

  • @TantineZuzu
    @TantineZuzu Месяц назад +1

    Big up bro kwa muzigo muzuri ❤❤❤🇧🇮🇧🇮

  • @user-ll4qd3km9e
    @user-ll4qd3km9e Месяц назад +1

    chibu dah

  • @abdalalugo5851
    @abdalalugo5851 13 дней назад

    Fanyen rangi nzur znazoonyesha vzur bc

  • @gugutheartist7352
    @gugutheartist7352 Месяц назад +1

    💪💪👏

  • @Zix-yb1ci
    @Zix-yb1ci Месяц назад +2

    Ni nzuri ❤🎉🎉

  • @amosjunior6352
    @amosjunior6352 Месяц назад +2

    Filamu nzuri sana ila badilisheni rangi jamani

  • @RamazaniMustafa
    @RamazaniMustafa 21 день назад

    Rangi mbovu sana kweli

  • @Mkundaviral
    @Mkundaviral Месяц назад +1

    Twende kk

  • @user-xu5rh6ub5j
    @user-xu5rh6ub5j Месяц назад +1

    Mashallah team chibu

  • @joymkenya2359
    @joymkenya2359 Месяц назад +1

    🎉 congratulations,,, 😅 the movie is very interesting.... 🇰🇪 Kenya we love you TZ.... Mlete pt 2 soon 👍

  • @kidongecomedian
    @kidongecomedian Месяц назад +1

    Kazi kubwa hii kaka

  • @MosesMboya-le9sl
    @MosesMboya-le9sl 19 дней назад

    Rangi banaaa

  • @rajabanabaswa36
    @rajabanabaswa36 25 дней назад +2

    Hello chibu camera yako

  • @Edith-rq3mm
    @Edith-rq3mm Месяц назад +1

    Mama mkwer kukutak mbon kawaida San chibu sasahiv mishangaz ndo habar ya mjinii

  • @dorakwamboka6256
    @dorakwamboka6256 Месяц назад +2

    Naomba pia like zenu

  • @ericnduwimana8246
    @ericnduwimana8246 Месяц назад +1

    Bizuri saana kabisa,mumecheza vizuri,naomba number ya Matrida please

  • @user-ur4qr2bo5p
    @user-ur4qr2bo5p Месяц назад +1

    Jmn kipara muong😂😂

    • @suzan2929
      @suzan2929 27 дней назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Mr.kigoma
    @Mr.kigoma 8 дней назад

    Watu wa hovyo sana rangi gan hii mnatuwekea?

  • @mazikumange9130
    @mazikumange9130 Месяц назад +1

    I'm sorry your breakfast😂 🔥🔥

  • @user-qs8bi1eq8j
    @user-qs8bi1eq8j Месяц назад +1

    Kipara unakera na kizungu chako cha kipumbavu ss tunaangalia mchezo wa kiswahili msituboe

  • @user-gf9xw3hy6g
    @user-gf9xw3hy6g 17 дней назад

    Camera mmezigua kinoma

  • @user-cj7qm2rx4l
    @user-cj7qm2rx4l Месяц назад +1

    Unazingua ufuo hatuelewi imeishaje mambo Gani hayo

  • @Mwanah-cg3ie
    @Mwanah-cg3ie Месяц назад +1

    Chibu fuo VP muendelezo

  • @Yesslarry
    @Yesslarry Месяц назад

    Rangi nzuli ila imeanza na square imekaaje

  • @AllyYamkiwa
    @AllyYamkiwa Месяц назад +1

    Team chibu

  • @lizluvshann
    @lizluvshann Месяц назад +1

    Naomba promotion kwa hawa vijana @Shangilia melody WA ajabu

  • @user-vc6so5cb2z
    @user-vc6so5cb2z Месяц назад +1

    Kazi nzuri ila makazi na mazingira yakazi yenu mjatendea haki

  • @mahmoudnajad217
    @mahmoudnajad217 Месяц назад +1

    Chibuuuuu💪

  • @ChimitaAssane
    @ChimitaAssane Месяц назад +2

    Chibu tunataka ufuo

    • @remiomar7154
      @remiomar7154 Месяц назад +2

      Kweli watuacha sehemu tamu

  • @Edith-rq3mm
    @Edith-rq3mm Месяц назад +1

    Kwan ufuo uliishia wap maan Kila nikitafuta sipat ep ya mwisho

  • @user-lo6sy9zz2f
    @user-lo6sy9zz2f Месяц назад +1

    I which from which ak ww Kipara ww😂😂

  • @elizabethmahenzo7220
    @elizabethmahenzo7220 Месяц назад +1

    ❤❤❤

  • @joshuasakwa1548
    @joshuasakwa1548 Месяц назад +1

    Huyo ndio Sandra najua, sio wale sandra wanyonge wanyonge

  • @AbdulMadenge
    @AbdulMadenge Месяц назад +1

    Asa ndugu ufuo hujamaliza unatutoloea nyingin