Hisia mseto kufuatia hatua ya wizara ya fedha kupunguza bajeti ya taifa kwa shilingi bilioni 144

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 май 2024
  • Hisia mseto zimeibuka kufuatia hatua ya wizara ya fedha kupunguza bajeti ya sasa ya taifa kwa shilingi bilioni 144. wasiwasi umeibuka kuwa huenda madeni ya wakandarasi waliotoa huduma au waliopewa zabuni mbalimbali yakarundikana kwani muda wa kupunguza bajeti si sahihi ikizangitiwa ni mwezi mmoja na nusu pekee mwaka huu wa kifedha umalizike. Wakati huohuo mamlaka ya kukusanya ushuru imerekodi upungufu wa mapato kwa zaidi ya shilingi bilioni mia mbili sabini, na kulazimu uchukuliwe mkopo wa jumla ya shilingi bilioni mia tisa katika mwaka huu wa kifedha . Mkopo huo unahofiwa kufikia trilioni moja malemgo ya ushuru yasipotimia..

Комментарии •