01 RADD KWA MZIWANDA MAASIA HAYALINGANI NA MAULIDI|SHEIKH ABUU KHAWLAH MBWANA ABDI حفظه الله ورعاه

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024

Комментарии • 40

  • @salumselemani8483
    @salumselemani8483 5 дней назад +2

    Mashaallah Allah akufanyie wepesi sheikh Kwa kuwabainisha watu wa bidaa

  • @ABUUBAAZNYUNGU-j4x
    @ABUUBAAZNYUNGU-j4x 5 дней назад +2

    Maa shaa Allah! Baarakallahu fiyk

  • @abbaspaziaog2188
    @abbaspaziaog2188 5 дней назад +1

    ❤❤Baarakanllah fiikum. Tàndikeni. Ĥao. Wazushi walopotea

  • @pablooo4197
    @pablooo4197 5 дней назад +2

    Sheikh wangu Abuu Khaulah (hafidhahullah) nafurahia sana kumsikiliza

  • @muqadam-mk5st
    @muqadam-mk5st 5 дней назад

    Mawahabi muna penda kuzini semeni

  • @golden_Thinkerz
    @golden_Thinkerz 4 дня назад

    Hatuwezi Kumpenda Mtume Kuwapita Maswahaba Mbona Wao Hawakusheherekea

  • @saidishekalaghe3496
    @saidishekalaghe3496 5 дней назад

    Maarifa kidogo sana sheikh huwezi kubishana na sheikh mziwanda hata kidogo.

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e 5 дней назад

      Ana ilmu gani huyo mziwanda zaid kuotsha watu na kuwaweka mbali na sunnah ya mtume na yey anafanya bidaah

    • @darajanida
      @darajanida 5 дней назад

      ​@@AbdulIssa-o7e mwambie abuu khaula atoke uwanjani asiongelee chumbani

    • @darajanida
      @darajanida 5 дней назад

      ​@@AbdulIssa-o7e muwambie uyo shekh wako ajitokeze kwenye ulemjadala alio ombwa ndo utajuwa kuwa shekh mziwanda ana ilimu au hana

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e 5 дней назад

      @@darajanida amna kitu hapo ww ilmu ya bidah sawq lakini ilmu sahihi hana alijuwalo na kama analijuwa anaficha ukweli kwa maslahy yake jambo hili ndo litakwenda kuwaangamiza mashekh wa bidaa wengi kuwaweka mbali watu na sunnah ya mtume wao na siku ya kiama kuna watu watawalaumu viongozi wao wa dini isingekuwa ninyi leo tusingeyapata haya na wao watawajibu na ninyi mlitaka wenyewe kupotea vilevile kwahiyo uwezi sema mtu una ilmu afu unaficha hakki au unamlinia bidah unauwa sunnah za bwana mtume kwa kuzusha matamanio yenu huyo so msomi mlinganizi wa moto

    • @Kekulebenzene
      @Kekulebenzene 4 дня назад

      @@darajanida mziwanda huyu huyu aliyesoma mwisho murawassitwa na kufoji cheti Cha Thanaw?

  • @minaziparasu9074
    @minaziparasu9074 4 дня назад

    Acha kupiga kelele ukatupotezea Mb namba umepewa unachambachamba tuu mtandaoni nakuthibitisha maneno yampotevu munayoyatamka nakuyapa nguvu

  • @AliJuma-k2t
    @AliJuma-k2t 5 дней назад

    Wwe unaeongea ambayehuonekani umejificha nishekhe au msanii?

    • @ibnayub2374
      @ibnayub2374 5 дней назад

      Kwahyo ili uwe sheikh lazima ujirekod video irushwe humu?

  • @ALLYMOHAMMED-ge2cs
    @ALLYMOHAMMED-ge2cs 5 дней назад +1

    Hivyo wewe hujaona kua hivi anavyofanya ndio kujitokeza pia?!

  • @RAMZANJumma-hr3ff
    @RAMZANJumma-hr3ff 5 дней назад

    Acheni utovu wa nidhan

  • @abduwahabi7019
    @abduwahabi7019 4 дня назад +1

    Nimegundua watu humu hawaskilizi maneno na hojja zinazotolewa na shekhe abuu khaullah bali wao wanasoma kuchwa cha khabari alafu wanaanza kukosoa na kutukana, sasa sikilizeni hojja anazozitoa shekhe alafu ndio mtoe koment zenu.

    • @UsalafiniKWETU01
      @UsalafiniKWETU01  4 дня назад

      @@abduwahabi7019
      Na wengi tukisikiliza tutanufaika

    • @darajanida
      @darajanida 4 дня назад

      sasa tuckilize nini wakati kila siku munaongea ayo kwa ayo hamna hoja yeyote labda matusi

    • @darajanida
      @darajanida 4 дня назад

      ​@@UsalafiniKWETU01 faida gani mnaopata au matusi nyinyi niftna kubwa kwenye dini yetu ua uislamu

    • @UsalafiniKWETU01
      @UsalafiniKWETU01  4 дня назад

      @@darajanida
      لا اله الا الله

    • @darajanida
      @darajanida 4 дня назад

      ​@@UsalafiniKWETU01 huo ndo ukweli akhiy hata mkikasirika

  • @user-xh4ym6ik2h
    @user-xh4ym6ik2h 5 дней назад

    utawaona wafuas wa wazushi wakikosa hoja silaha yao yamwisho ni matusi

  • @SalamaKhamis-un8vn
    @SalamaKhamis-un8vn 4 дня назад

    Ulifahamu maneno mazuri nikama vile kitambaa ??😂😂 maneno yakiswahili hamuyafahamu mutafahamu Dini kweli nyinyi??

  • @AbdillahAlly-l8p
    @AbdillahAlly-l8p 5 дней назад

    Kwani nyie masalafi mnatabu sana fateni yenu

  • @darajanida
    @darajanida 5 дней назад

    umetakiwa mjadala umekimbia saivi unatoa vi clpsi toka uwanjani uone

    • @ramadhanmbwana5718
      @ramadhanmbwana5718 5 дней назад

      Mziwanda ndio kakimbia

    • @darajanida
      @darajanida 5 дней назад

      @@ramadhanmbwana5718 kivipi wakati yeye alitowa no yasimu amtafute alimtafuta

    • @darajanida
      @darajanida 5 дней назад

      ​@@ramadhanmbwana5718kivip wakati shekh muharam katowa no za simu amtafute amemtafuta au

    • @MohammedJuma-d2w
      @MohammedJuma-d2w 4 дня назад

      Cio mziwanda kakimbia ni yy a khaula c alipewa namba y cm? Matokeo yake mpaka Leo anasubiri clip y mziwanda ndio aje akosow ? Ndio nn?

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan1452 5 дней назад

    MAULID NI KUMSWALIA MTUME SAW. NA KUZINI KUUA MUUMIN KUMSHIRIKISHA ALLAH SW, VYOTE BORA KWA MAWAHABI KULIKO KUMTAJA MTUME SAW 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @AliJuma-k2t
    @AliJuma-k2t 5 дней назад

    Shekh ww unamkosoa mwenzako wakatiwwe hadidh ndogo tu yamtume umeikosea hadidh inasema kulazwalalaat finnar wew umesema kulazwalat finnar hiyo lamu inavutwa wewehukuvuta hebutueleze umekusudianinitujuwe halafundiouwakosoe mashekh

  • @HussenMatuba
    @HussenMatuba 5 дней назад

    Jitokeze basi wewe mtoto

    • @HussenMatuba
      @HussenMatuba 5 дней назад

      Unaongelea chumbani hahahaha njoo usomeshwe wewe salaf bado sana yani

    • @HussenMatuba
      @HussenMatuba 5 дней назад

      Njoo tukusomeshe

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 5 дней назад

      Shetani wa kuongea jikoni huwa haonekani. Mashetani ya kike hayoo😂😂😂

  • @SaidMadai
    @SaidMadai 5 дней назад

    Acha ujuha jitokeze uwanjani usisemee jikon 😂