Namanisha hizo ni sifa za muhusu ALLAH pekee hashurikiani na mtu. Kumbuka Mtume wetu pia alipatwa na madhara yeye mwenyewe na akamwomba Allah amponye, pia manfaa yalikosekana katika mji akayaomba kutoka kwa Allah. Hivyo hana Mtume wetu sifa ya kuponya na kutia maradhi ila ALLAH pekee ndie anasifika kwa hayo.
Kichwa cha habari hakija kaa kiisilamu. Kwa maana uisilamu ni dini iliyo jengeja juu ya tawhiyd Llahi, kueneza imani kuwa Mtume wetu pia anasifa za kutia madhara na kuleta manufaa ni kuupotosha ummah na kuuzoesha mambo ambayo haujayazoea, bali ni hatari unawaelekeza huenda imani hiyo ikawatoa katika uisilamu.
قل لا أملك لنفسي نفعاً ولا ضرا ---------- mtume hadhuru wala hanufaishi hii ndio itikadi sahihi mtume anasema (لا تطروني كما أطرت النصارى عيسى بن مريم قولوا عبد الله ورسوله )
KAUGA KANZU Ni wauzaji wa KANZU nzuri na bora sana kwa ina zote Kama hiyo aliovaa Shkh na zaidi ya hiyo fika dukani kwetu au tufollow istagram @kauga_kanzu_classic ____________ Ilala-Boma DSM Tanzania. Pangani/Morogoro street no 1 +255 688 425 132
shekh Uko vizur sana, nilipenda ile mada ulio zungumzia Ukubwa Allah..
Mashaallah' MMungu akupe umri na afya..
Ma Sha Allah Sauti yako ya fanana kama ya Sheikh Othman Maalim wa kutoka Zanzibar ya salaam Allah mjuzi wa vyote
Shukran
Bila ya shaka ni mwanafunzike
st mokiwa pengine hta hajaonana amuona kwa tv mungu humjalia mtu kwanjia atakayo
SWALLA LLAHU ALAYHI WASALLAM ❣ ❣ ❣ ❣ ❣ jazak Allah khayran sheikh wetu kwa faida muhimu NZURI Sana BAARAKA LLAHU LAKA FII AHLIKA WA MAALIKA ❣️
Swallallahu alayhi wasallam allahu atuhifadhi inshallahu
HAKIKA UMESEMA KWELI KIUHAKIKA....TENA KWELI YA KWELI YENYE KWELI NA HAKIKA MANENO YAKO NI UKWELI WENYE NURU KUBWA MNO.
Mashaallah shekhe jaza yko iko kwa Allah
Mashaa Allah sheikh yarab akupe mwisho mwema in shaa Allah
Amin
Nakupenda Sheikh Kwa ajili ya Allah.Rabbi akuzidishie ilmu ya kheir uzidi kunufaisha umma.Na ukupe mwisho mwema
Shukran sana sheikh Allah akujaze kheiri
Allahumma Sali A'ala Sayyidinnaa Muhammad SWALLA LLAHU ALAYHI WASALLAMU ❣ ❣ ❣ ❣ ❣
Asante Shekhe mwenyezi mungu akubarik
Masha Allah ❤❤
Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️
Jazaka Allahu khaira
Allah akulipe pepo
Allah akubariki
Mashaallah jazaka kheri
MAASHA-ALLAAH. MAASHA-ALLAAH
Masha Allah tabarakallah
Ma sha Allah sheihk
MashaAllah jazakAllah kheri
Namanisha hizo ni sifa za muhusu ALLAH pekee hashurikiani na mtu.
Kumbuka Mtume wetu pia alipatwa na madhara yeye mwenyewe na akamwomba Allah amponye, pia manfaa yalikosekana katika mji akayaomba kutoka kwa Allah.
Hivyo hana Mtume wetu sifa ya kuponya na kutia maradhi ila ALLAH pekee ndie anasifika kwa hayo.
Shukran
ibrahim ramadhan simalaika yeye
ibrahim ramadhan alokamilika ni allah
Mashallah
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Sub hana Allah
Jazzallahu kheri
Maasha allah allah azidi kukupa ufahamu wangu kaka
Kichwa cha habari hakija kaa kiisilamu.
Kwa maana uisilamu ni dini iliyo jengeja juu ya tawhiyd Llahi, kueneza imani kuwa Mtume wetu pia anasifa za kutia madhara na kuleta manufaa ni kuupotosha ummah na kuuzoesha mambo ambayo haujayazoea, bali ni hatari unawaelekeza huenda imani hiyo ikawatoa katika uisilamu.
Simama nawew utee daawa yako wtu wanahimizuwa kiimani nwa pia toa daawa
Ibrahim ujui na ujijui kisha wataka kutoa oja aya mkweli ni ww
Ibrahim unaongea pumba gan we.
Acha wivi wewe simama na wewe utoe daawa nafsi yako ina chembe ya unafiki acha chuki na hasadi,, sisi tumemuelewa na tunampenda kwaajili ya allah
قل لا أملك لنفسي نفعاً ولا ضرا ---------- mtume hadhuru wala hanufaishi hii ndio itikadi sahihi mtume anasema (لا تطروني كما أطرت النصارى عيسى بن مريم قولوا عبد الله ورسوله )
Qasim watoa hadithi usizozijua maana
KAUGA KANZU
Ni wauzaji wa KANZU nzuri na bora sana kwa ina zote
Kama hiyo aliovaa Shkh na zaidi ya hiyo fika dukani kwetu au tufollow istagram @kauga_kanzu_classic
____________
Ilala-Boma DSM Tanzania.
Pangani/Morogoro street no 1
+255 688 425 132
😁😁😁wesimba unaikumbuka ile dua ? Nimecheka.....
🙏
Mashallah
Maa Shaa Allah
Mashallah
Mashaallah