Sheikh Othman Michael - Ukikithirisha Kumsalia Mtume Muhammad Yote Haya Yanawezekana

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 окт 2024

Комментарии • 49

  • @khairulabdi8231
    @khairulabdi8231 5 лет назад +7

    shekh Uko vizur sana, nilipenda ile mada ulio zungumzia Ukubwa Allah..

  • @zahramunir8596
    @zahramunir8596 5 лет назад +5

    Mashaallah' MMungu akupe umri na afya..

  • @hawaabubakar2619
    @hawaabubakar2619 5 лет назад +8

    Ma Sha Allah Sauti yako ya fanana kama ya Sheikh Othman Maalim wa kutoka Zanzibar ya salaam Allah mjuzi wa vyote

    • @othmanmichael4241
      @othmanmichael4241 5 лет назад +1

      Shukran

    • @stmokiwa6103
      @stmokiwa6103 5 лет назад

      Bila ya shaka ni mwanafunzike

    • @faizasaid8262
      @faizasaid8262 5 лет назад +2

      st mokiwa pengine hta hajaonana amuona kwa tv mungu humjalia mtu kwanjia atakayo

  • @muhammadahmedaliyyu3854
    @muhammadahmedaliyyu3854 4 года назад +3

    SWALLA LLAHU ALAYHI WASALLAM ❣ ❣ ❣ ❣ ❣ jazak Allah khayran sheikh wetu kwa faida muhimu NZURI Sana BAARAKA LLAHU LAKA FII AHLIKA WA MAALIKA ❣️

  • @yanikdabo2137
    @yanikdabo2137 5 лет назад +6

    Swallallahu alayhi wasallam allahu atuhifadhi inshallahu

  • @abalkaram786
    @abalkaram786 5 лет назад +13

    HAKIKA UMESEMA KWELI KIUHAKIKA....TENA KWELI YA KWELI YENYE KWELI NA HAKIKA MANENO YAKO NI UKWELI WENYE NURU KUBWA MNO.

  • @dab8859
    @dab8859 4 года назад +2

    Mashaallah shekhe jaza yko iko kwa Allah

  • @bahatihadijabahati7456
    @bahatihadijabahati7456 5 лет назад +4

    Mashaa Allah sheikh yarab akupe mwisho mwema in shaa Allah

    • @AIF90
      @AIF90 3 года назад

      Amin

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole4000 4 года назад +1

    Nakupenda Sheikh Kwa ajili ya Allah.Rabbi akuzidishie ilmu ya kheir uzidi kunufaisha umma.Na ukupe mwisho mwema

  • @mariamhakizimana5103
    @mariamhakizimana5103 2 года назад

    Shukran sana sheikh Allah akujaze kheiri

  • @muhammadahmedaliyyu3854
    @muhammadahmedaliyyu3854 4 года назад +3

    Allahumma Sali A'ala Sayyidinnaa Muhammad SWALLA LLAHU ALAYHI WASALLAMU ❣ ❣ ❣ ❣ ❣

  • @bebisheni4380
    @bebisheni4380 4 года назад +1

    Asante Shekhe mwenyezi mungu akubarik

  • @omararoza7766
    @omararoza7766 4 года назад +4

    Masha Allah ❤❤

  • @salmaalkyumi6030
    @salmaalkyumi6030 2 года назад

    Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️

  • @muhozamaisara7075
    @muhozamaisara7075 4 года назад +1

    Jazaka Allahu khaira

  • @mira-gq3qg
    @mira-gq3qg 5 лет назад +2

    Allah akulipe pepo

  • @sabihamohamed9311
    @sabihamohamed9311 3 года назад

    Allah akubariki

  • @laylisaid9563
    @laylisaid9563 5 лет назад +2

    Mashaallah jazaka kheri

  • @khalfansuleiman6206
    @khalfansuleiman6206 4 года назад +2

    MAASHA-ALLAAH. MAASHA-ALLAAH

  • @safiamwagiro2435
    @safiamwagiro2435 4 года назад +1

    Masha Allah tabarakallah

  • @kamalsaid558
    @kamalsaid558 5 лет назад +1

    Ma sha Allah sheihk

  • @nafesamohamed7553
    @nafesamohamed7553 5 лет назад +1

    MashaAllah jazakAllah kheri

  • @MazuriyaDINIyaKIISILAMU
    @MazuriyaDINIyaKIISILAMU 5 лет назад +3

    Namanisha hizo ni sifa za muhusu ALLAH pekee hashurikiani na mtu.
    Kumbuka Mtume wetu pia alipatwa na madhara yeye mwenyewe na akamwomba Allah amponye, pia manfaa yalikosekana katika mji akayaomba kutoka kwa Allah.
    Hivyo hana Mtume wetu sifa ya kuponya na kutia maradhi ila ALLAH pekee ndie anasifika kwa hayo.

  • @fatmaameer5333
    @fatmaameer5333 4 года назад +1

    Mashallah

  • @ibrahimmwadini77
    @ibrahimmwadini77 6 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @wildan8520
    @wildan8520 5 лет назад +1

    Sub hana Allah

  • @hawakiza6067
    @hawakiza6067 5 лет назад +3

    Jazzallahu kheri

    • @tatumshakamal7137
      @tatumshakamal7137 4 года назад

      Maasha allah allah azidi kukupa ufahamu wangu kaka

  • @MazuriyaDINIyaKIISILAMU
    @MazuriyaDINIyaKIISILAMU 5 лет назад +1

    Kichwa cha habari hakija kaa kiisilamu.
    Kwa maana uisilamu ni dini iliyo jengeja juu ya tawhiyd Llahi, kueneza imani kuwa Mtume wetu pia anasifa za kutia madhara na kuleta manufaa ni kuupotosha ummah na kuuzoesha mambo ambayo haujayazoea, bali ni hatari unawaelekeza huenda imani hiyo ikawatoa katika uisilamu.

    • @laylisaid9563
      @laylisaid9563 5 лет назад +4

      Simama nawew utee daawa yako wtu wanahimizuwa kiimani nwa pia toa daawa

    • @aminruga429
      @aminruga429 5 лет назад +1

      Ibrahim ujui na ujijui kisha wataka kutoa oja aya mkweli ni ww

    • @khairulabdi8231
      @khairulabdi8231 5 лет назад +1

      Ibrahim unaongea pumba gan we.

    • @mkusamkusa5276
      @mkusamkusa5276 3 года назад

      Acha wivi wewe simama na wewe utoe daawa nafsi yako ina chembe ya unafiki acha chuki na hasadi,, sisi tumemuelewa na tunampenda kwaajili ya allah

  • @قاسممحمد-ص5ت
    @قاسممحمد-ص5ت 5 лет назад +3

    قل لا أملك لنفسي نفعاً ولا ضرا ---------- mtume hadhuru wala hanufaishi hii ndio itikadi sahihi mtume anasema (لا تطروني كما أطرت النصارى عيسى بن مريم قولوا عبد الله ورسوله )

    • @aminruga429
      @aminruga429 5 лет назад +1

      Qasim watoa hadithi usizozijua maana

  • @khalfaankauga294
    @khalfaankauga294 4 года назад +1

    KAUGA KANZU
    Ni wauzaji wa KANZU nzuri na bora sana kwa ina zote
    Kama hiyo aliovaa Shkh na zaidi ya hiyo fika dukani kwetu au tufollow istagram @kauga_kanzu_classic
    ____________
    Ilala-Boma DSM Tanzania.
    Pangani/Morogoro street no 1
    +255 688 425 132

  • @aishaomar4318
    @aishaomar4318 5 лет назад +4

    😁😁😁wesimba unaikumbuka ile dua ? Nimecheka.....

  • @avalonking1655
    @avalonking1655 2 года назад

    🙏

  • @mira-gq3qg
    @mira-gq3qg 5 лет назад +2

    Mashallah

  • @omarimasanga
    @omarimasanga 5 лет назад +2

    Maa Shaa Allah

  • @faizasaid8262
    @faizasaid8262 5 лет назад +2

    Mashallah

  • @khadijaallyissa5340
    @khadijaallyissa5340 4 года назад +1

    Mashaallah