Zama unahoji vitu vya maana na vya kuinspire mashaAllah sio wengine kila siku sijui beyonce wa buza,gigi,na hawana projects zozote wanazoonesha....shout out to u kajala pia
Mungu apewe sifa kiukweli kwakuacha pombe maana ma stars wato munasumbuliwa sana na hilo pepo la kunywa pombe. Mungu awaguse nawengine tusikiye ushuhuda.
Akitoka Millard kwa kuhoji vizuri upande wa wanaume nazani wakike inafata zama yannnn yupo so smart sio maneno mengi anakua direct na kitu anachouliza waooh I do love her jmnnn🥰🥰
@@kimzymamy6594 Inauma sana wallahy, amefanya kila jitihada ya kumlinda mtoto wake, ila inakaa wa moja ni wa moja tu, hata ukimpa mbili, moja bora ipotee tu #Paula
Da zamaradi mmeongea vizuri sana wewe na kajala ila swali muhimu sana hujauliza.... alivyo tolewa gerezani na WEMA SEPETU ..... tatoo yake ya wema.... yama ni matangazo tu ya byashara zake na blablablaaaa..... wengi hatuja furai kwa kweli na tujuane jamani.... but ilikua poa.....🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🇧🇪🇧🇪🇧🇪🇧🇪
ni kweli wanawake tunadanganyika kirahisi. lakini kwa karne ya sasa nadhani ni maamuzi tu ya sisi wenyewe wanawake lamsingi ni kujithamini kujitambua na kujenga udadisi ndani ya binti ili hata akitokea anaedhani anaweza kumdanganya basi kwa udadisi na maarifa na hekima atashindwa huyo mdanganyaji.
Sada Alharthi Hana magumu alopitia ama vitu vibaya alovifanya c kila anaelia nikwamba kafanyiwa vibaya ama kupitia magumu.... wengine wanalia kwa kufanya mabaya kwahiyo wanajuta
Umepitia mengi umestruggle a lot na umeweza kusimama Hongera Sana sbb sio rahisi mungu akuzidishie, na wanaokuongelea vibaya wayaseme na yao kama wanaweza
Kama unajuwa amemwelewa kajala piga like hapa
Nampenda sana kajala yupo really anajielewa sio kama mikapuku mengine ya bongo movie huyo ndio beauty with brain banaa
Hayo ndo maisha yanavyotakiwa kajala hongera kwakubadili mwenendo wa maisha yako ❤️❤️❤️❤️
Nampenda sana huyu dada na mtoto wake.
Yaan napendaga kujifunza kutoka kwake pia napenda life style yake.
Awwwww kajala anaongea kiutu-uzima hadi raha, Mungu akuzidishie maisha marefu Kajala wetu! Zama ua the best💜
I real love Kajala She's pretty and intelligent go girl God is there all the time never give up😍😘
Ipo siku na Mimi nitakuwa Boss. Hongera Kajala
Hatamimi nampenda sana kajala, zaidi sana filamu zake, uzuri na urembo wake....hongera sana na kazi njema.
Kajala we mzuri usiwe unaweka zile nywele fupi hapo umependeza sn, hongera kwa biashara kubwa na nzuri
Hongera sana kajala kwanza kwa kuacha pombe lakini pili kuwa mwanamke imara mpambanaji, keep it up, Mungu akujalie afya njema na uzima yele.
Nimerud hapa baada ya zile video 😥stay strong Mama Paula
Nakupendaga bure kajala you treat as matured
Dada zamarad rkebisha sauti ipo chini sana pia ongera❤🎉
Zama unahoji vitu vya maana na vya kuinspire mashaAllah sio wengine kila siku sijui beyonce wa buza,gigi,na hawana projects zozote wanazoonesha....shout out to u kajala pia
🤣🤣🤣🤣
hahahaha
Una upendo sana uvumilivu mungu huko nawa ubarikiwe wewe na family yako
Mimi interview ya zamaradi kama mtu hajalia siangalii nataka nikisoma comment nione zama weka tissue mezani jamani 😂 😂 😂 😂 🙈
Wewe kama mimi... Ukute hadi awepo studioni kwake
Hongera kwa kwa kuacha pombe inarudisha maendeleo nyuma sana
Kajala usijichubue Mbona we mzuri😘😘
Hongera sana dada kajala office nzuri sana
Mwambiye nampenda sana yani ni mwanamke anajiheshim nakujitambua yeye ninani then she’s not show off like other movie artist
Nakupenda kajala mungu akujalie maisha marefu
Dada zamaradi na kupenda sana
She inspires me much hard working woman
Mmmh .
Hii chai mdangaji tu kama anavyomtrain mwanae
nawapenda sana Paula na kajala
Uliza kapitia mboo ngapi mpaka kufikia hayo maendeleo😎
Nawapenda jamn zama na kajala
Hardworking woman @Kajalaa..💓💓🥂#Zamarad una hoji m2 vizurii hadii achokii jaman bigup 2 u✌🏽✌🏽
Kajala❤❤ nakupenda kweli ntangu zamani ila leo pendo limeongezeka kwamaamuzi uliochukuwa kuacha pombe mungu akuwezeshe
Hongera zama na kajala interview nzuri ila kajala capital c kwa wasanii tuu watanzania wengi wanashindwa kufanya biashara kwa sababu ya capital.
Kajala weusi wako mzuri jamani usijibadilishe rangi.
Mungu apewe sifa kiukweli kwakuacha pombe maana ma stars wato munasumbuliwa sana na hilo pepo la kunywa pombe. Mungu awaguse nawengine tusikiye ushuhuda.
Kajala mpole sana sema mitandao inamponza nampenda sana
Hongera kajala unajielewa sana dear.
Jamani namupendag kajala san💖💖🇴🇲🇴🇲🇧🇮🇧🇮💋💋
nalipenda hili lidada lizuri and bigup kwa kukua mam
Akitoka Millard kwa kuhoji vizuri upande wa wanaume nazani wakike inafata zama yannnn yupo so smart sio maneno mengi anakua direct na kitu anachouliza waooh I do love her jmnnn🥰🥰
Mungu wa ajabu hongera kwa kuacha po oooooombe
Zamaradi you is the best😎
Nakupenda kajara maisha unayo ishi binty yako
Interview nzuri na sauti ni nzuri sana .big up kajala sauti Leo inasikika vzr
Ila miziwadumu
Feelings of a mother is alive.uliona haya
Kajala she's so pretty🙌❤
Munira Ahmed aise munira kila kona upo mh
Mungu akujaalie jmn we dada kajala nakupendaga sana nimim zulfa
Da zama unapenda kutafuta watu machozi🤣🤣 sema unajua
Hongera npe kibarua cha kufanya usafi 😘😘😘👌
Hongera zako kajala mungu akupe unalo lihitaji ameen inshaallah 🤲
Hongera Na MUNGU AKUBARIKI kajala Kwa kuacha pombe na kusimama katka KAZI zako Insha,Allah 🙏 MUNGU AKUSIMAMIE
Vile nampend kajala ' Mwanae paul😍 😍
Nzuri sana nampenda pia sema siku nyingine atueleze kisa chote na jinsi alivyoweza kutoka jela .Asante Zamaradi show zuri.
Alitolewa na wema kwa Pesa lkn alikuwa afungwe miaka 7jela
Alikuaga amefungwa kwa kosa gani dear
Nice Interview 👍 hongereni Wanawake wa Nguvu
Waoo nice iko day nitafka hapo ulipo kajala
Mungu akuepushiye usirudi tena huko.
Nampenda. Kajara hafek maisha nampenda sanaaaaaaa
Mashallah Mzuri Mama paula
Uyu dada anaakil Sana ya utafutaji,nakukubal kajala ata mm nmejifunza kutoka kwako soon nitafungua yang mng akipenda
Amiin🙏🏼😍
She’s very beautiful and humble
Congratulations Kajala
This interview forecasts everything happening today in Kajala's life. Her worst fears are confirmed, sadly
Nimemuonea huruma😢
duh😪
@@ghalibally8252 kweli kabisa mimi pia tena zaidi. amewekeza sana kwa hali na mali kwa bintiye, ila binti mwenyewe kamponza
@@kimzymamy6594 Inauma sana wallahy, amefanya kila jitihada ya kumlinda mtoto wake, ila inakaa wa moja ni wa moja tu, hata ukimpa mbili, moja bora ipotee tu #Paula
@@hukuUJERUMANI kakangu mm mwenyewe nimeishiwa pozi lkn mungu yuko ni kweli walitaka kumkomoa dada wa watu pole snaa mam paula 😥🤲
Zama sijawahi jutia MB zangu kwenye interview zako
mungu akuzidishie
Hongera Sana mwanamke mwenzangu mungu akubariki daima, nawapenda kajala na bbygirl wetu
Hongera Kajala
Da zamaradi mmeongea vizuri sana wewe na kajala ila swali muhimu sana hujauliza.... alivyo tolewa gerezani na WEMA SEPETU ..... tatoo yake ya wema.... yama ni matangazo tu ya byashara zake na blablablaaaa..... wengi hatuja furai kwa kweli na tujuane jamani.... but ilikua poa.....🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🇧🇪🇧🇪🇧🇪🇧🇪
yan mm pia nilitaman kujua hilo kwann walihitilafiana
Mbona alishaisema kipindi chanyuma kwamba hajafuta anayo
@@m.mmarckus6298 but kipindi cha nyuma ndia....anaweza badilisha mawazo ....lol....
Kajala kapendeza sana😍
Nami napenda sanaa
Good interview
Am inspired kajala uko vzr u're so politely my God give u strength
Hongera sana Kajala 😘
Interview nzuri Sana. Lakini hatukujua Kajala alifungwa jela kwa sababu gani.
Dhuluma km ckosei
Kajala nakupenda Sana my sister
Kajala kama uliwacha tembo swadakta kbsa👌
Kuna kitu nimejifunza kupitia wewe,hongera sana
Okoka my sister..
Nampenda sana kajala
Kajala nakupenda sana
Nakupenda sana..lakin napenda zaid ukiwa na konde
zama unajua sana kuhoji
Kajala is so pretty 🇰🇪
Yaani ukinyoa unapendeza zaidi
Umenifunza kajala
Liception ndo nini ??
Hongera sana
Ongera shogaangu upo vizuri
Tukumbukeee hiii jmn tumempenda kajalaa tuendlee kumpndaa nakupndaa sna ni2023 bad naftlya ya nyuma
Kabisa. kajala uko naakili mutu mwenye anakata mutoto Uwo si mama
I love you kajala
Kajala nakupenda dha! Zamaradi mpz safi sana bonge la interview
Mimnanishangazaga hoo tupate msaada, Nakila siku hoo tumefunguwa office hoo byashara. Namkiulizwa nibeigani garama mnasema milioni 70 au milioni 100. Sipesa izo mh
Mashallah, hongera sana kuwa mama bora
So beauty mamy
Nakupenda Sana kajala mwanamke mpambanaji hongera
Hongera Dada
Congratulations Kajala along with Zamaradi
Nimependa sana lkn kajala paula nimwanamke ipo siku atadanganya ss wanawake kudanganya nikawaida
ni kweli wanawake tunadanganyika kirahisi. lakini kwa karne ya sasa nadhani ni maamuzi tu ya sisi wenyewe wanawake lamsingi ni kujithamini kujitambua na kujenga udadisi ndani ya binti ili hata akitokea anaedhani anaweza kumdanganya basi kwa udadisi na maarifa na hekima atashindwa huyo mdanganyaji.
Very good conversation, very clever ladies
Tuongee ukweli wasani sijui namatakwa yao ao hawaolewagi na wakiolewa basi ni kwaka 1 wala myaka 2 na akiza katoto kamoja nanjo basi
U are really my dear
Zamarad ur the best
da zamaradi we nimstarabu Sana onaonekana unahekima mungu akulinde
I love her💞💞💞
Yani zama anamchokonoa mtu hadi akikishe katoa chozi 😄😄 Ila kajala kawa mgumu kdg
Sada Alharthi Hana magumu alopitia ama vitu vibaya alovifanya c kila anaelia nikwamba kafanyiwa vibaya ama kupitia magumu.... wengine wanalia kwa kufanya mabaya kwahiyo wanajuta
Waoooh such an incredible person with high vision ....God bless you kajala😘😘
Boss naomba nilete Cv yangu.
Kaz nzr mama paula
Kajala kwa ukweli hata watu wa ongee vibaya kwaajili ya ya Paula ila tambuwa kama plan yetu Sisi ni kuja kumuowa
Heshima kwa zamarad
Umepitia mengi umestruggle a lot na umeweza kusimama Hongera Sana sbb sio rahisi mungu akuzidishie, na wanaokuongelea vibaya wayaseme na yao kama wanaweza