Kataa makosa ya wazazi wako. Usipo fanya hivyo, basi yale makosa yataendelea kizazi na kizazi na kugeuka kuwa laana! Kwa kifupi mkiwa mnasali msisahau kukataa zambi za wazee wenu.🙏💕
Mwanzo nlitaka kuwaza sio lakn baada ya kusikiliza zaid imenifunza mengi,najichukulia hizo kasoro ndio kama zangu kisha najisahihisha penye kipengele hicho,,Inshaa Allah Mwenyezimungu atupe wepes tuwe wenye kuzingatia yaliyosahihi .
Umelosra sana . Sawa unaweza usopokee but jata jioni kitandani hizo missed calls pigs hata dakika mojamoja kwa wao . Dunia imebadilika kuna vifo vya gafla .
Mpk Leo huwa nikikumbuka kaka ang alivyokiwa hospital aliinita akaniambia njoo unione j2 mie sikwenda nikaja kuitwa j3 naambiwa Hali mbya nilienda hospital lkn hakiweza kuongea pumzii ilikuwa inatoka kdg alifatik nikiwa namshudia had Leo 💔💔
@NikrahAyubu Pole Pole sana mgonjwa akiwaita tuwe na itikadi ya kuitikia wito mwengine huwa pumzi yake ya mwisho kuna mtu. mama ake mzazi kalazwa kila akipigiwa njoo ngoja kwanza bipike mara nile alipoamua kuenda kashafunikwa
Kataa makosa ya wazazi wako. Usipo fanya hivyo, basi yale makosa yataendelea kizazi na kizazi na kugeuka kuwa laana! Kwa kifupi mkiwa mnasali msisahau kukataa zambi za wazee wenu.🙏💕
Amen
Yani mama gig asicho jua akili yako ndio ya gig......ila mi nawapenda❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mama hanaga makosa milele atakama yapo huezi mwambia ila nivile tuna kosea kuwambia ukweliwao na hawapendi sasa daah,mama ni mama🎉
Usiseme hivo kwasababu hayajakukuta ndugu😢
Ila msamehe mzazi pale anapokesea
Masikini mtu na mamake,dunia hii upate mama msikivu na mtoto mwema mwenye huruma na mapenzi raha sana❤
Nimempenda veronica mdogo wa gigy ni mpole sana na yuko na adabu ❤❤❤❤
Haya tunaendelea pale tulipo ishia maisha ya familiya ya gigy ni gigy ❤❤❤
Sasa mzuri si uyo wa helaa 🤪😝 uyo yeye anakuja then hatoi ata Kama anachoo 😢 Wamama hawanaga shukrani utume shida usitume shidaa 😢😅
Upendo ni zaidi ya fedha
Hiii realty yakimataifaaa wekeni maneno ya kingereza hapo chinii ...ili na wa nje wafatilie
Mama gigy n gigy mtupu😅❤
Kipindi hiki Lisalisa namkubali sana 😂😂😂😂😂😂kama aigize vile yani nampenda nimkweli
😂😂yani sisi watoto Kwanza tunaonewe sana tuna huruma sana nakupenda ila tunamisimamo yetu
Umeona ee
Mama angu ukimfokea hivi 😂😂😂atakupa kibao cha kelbu na kuita ukoo wake wote🤣🤣🤣
Wngu uyo
😂😂😂😂😂😂😂
Khaaa ila nimecheka sana na kujifunza pia 😅😅😅🙌🙌
Mwanzo nlitaka kuwaza sio lakn baada ya kusikiliza zaid imenifunza mengi,najichukulia hizo kasoro ndio kama zangu kisha najisahihisha penye kipengele hicho,,Inshaa Allah Mwenyezimungu atupe wepes tuwe wenye kuzingatia yaliyosahihi .
Nawapenda bure jamani ❤❤❤
Pokea simu Vero, Kazi Huwa zinaisha, familia ni Kila kitu
Lisa anaibeba show nzima ingeitwa lisa na wanae au lisalisa
Maisha bila Yesu ni bure
Hongera sana Veronica kumbe ww kwenu ni mlokole
Mama ni mama😅😅😅
Maskini gigi mungu akupe hella nyingi
Msiri wa kwanza ni mama real kabsa
Nampenda mama ❤❤❤
Kumbe gigy kafwata kwa mama yake
😊😊😊😊
Hahahahh nimerejea mara mbili gigyy alivomfokea mamake
Hiyi family inajuwa kunipa raha😂😂❤🎉ila lisa🎉😂❤
Umelosra sana . Sawa unaweza usopokee but jata jioni kitandani hizo missed calls pigs hata dakika mojamoja kwa wao . Dunia imebadilika kuna vifo vya gafla .
Gigi nikama mimi sisi niwatoto walihasle so emotional zawazazi wetu hazitusumbuwi
Naeaelewa san alf fundii wenuuu kibokoooooo ❤❤❤❤❤❤❤❤
Vero km mm😭😭😂
Gigi ana panic kwasababu ameyaona mengi
Nzuri sana hii❤
Mtu akikwambia anaumwa nenda kamuone ikiwa ndio safari yake ya mwisho utajilaumu sio kila kitu hela
Mpk Leo huwa nikikumbuka kaka ang alivyokiwa hospital aliinita akaniambia njoo unione j2 mie sikwenda nikaja kuitwa j3 naambiwa Hali mbya nilienda hospital lkn hakiweza kuongea pumzii ilikuwa inatoka kdg alifatik nikiwa namshudia had Leo 💔💔
@NikrahAyubu
Pole Pole sana mgonjwa akiwaita tuwe na itikadi ya kuitikia wito mwengine huwa pumzi yake ya mwisho kuna mtu. mama ake mzazi kalazwa kila akipigiwa njoo ngoja kwanza bipike mara nile alipoamua kuenda kashafunikwa
@@NikrahAyubupoleee
Hii familia mnh kibokooo
Iyi sasa ndio reality show siyo yale maigizo
natamani ningekua na mama hata kama wa gigi ila ndo ivyo
Giggy❤❤❤
Alicia and her sister CALL her (sio CALLS her), kwa kuwa watazamaji wengi ni waswahili si mngeanza kiswahili tu...au? 😂😂😂😂
Naomba usubscribe na kwanguu 😂😂
Nawapenda
Jasmine kafnana na yule mdada anae imba tanga pepeta yule aloacha mkorogo wmefanana asa
Luiza mbutu😊
@ChristinaMeela ndo uyo luisa
Mnatuchleweshea jmn had tunaumwa😢😢
𝗡𝗮𝗺𝗽𝗲𝗻𝗱𝗮 𝘀𝗮𝗻 𝗴𝗶𝗴𝗶 𝗷𝗮𝗺𝗻 𝗰𝗼𝘇 𝗺𝗸𝘄𝗲𝗹𝗶 𝗶𝗹𝗮 𝘂𝘁𝘂 𝗻𝗱𝗼 𝗸𝗶𝗹𝗮 𝗸𝗶𝘁𝘂 𝗸𝗽𝗻𝘇 𝗻𝗮 𝘂𝘆𝗼 𝗺𝘇𝘇 𝗸𝗽𝗻𝘇❤❤❤❤❤𝗻𝗮𝗸𝘂𝗽𝗲𝗻𝗱 𝗺𝘆 𝗹𝗼𝘃
Nampenda mama mayla
Dawa gani ya pumu inayonywewa na pombe jamani??
Lissa lissaa😂😂😂❤❤❤
❤❤❤
Kuna kipi cha gigy tusicho kijua lkn?😂
nikweli
❤❤❤🎉🎉
nikweli 2:28
❤❤
❤❤❤❤❤❤