GIGY MONEY THE REALITY - EPISODE 06

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 фев 2025
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" RUclips channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi

Комментарии • 66

  • @btylove1870
    @btylove1870 5 дней назад +26

    Kataa makosa ya wazazi wako. Usipo fanya hivyo, basi yale makosa yataendelea kizazi na kizazi na kugeuka kuwa laana! Kwa kifupi mkiwa mnasali msisahau kukataa zambi za wazee wenu.🙏💕

  • @SilvanaKananda-t9c
    @SilvanaKananda-t9c 5 дней назад +10

    Yani mama gig asicho jua akili yako ndio ya gig......ila mi nawapenda❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @fatumajuma1811
    @fatumajuma1811 4 дня назад +6

    Mama hanaga makosa milele atakama yapo huezi mwambia ila nivile tuna kosea kuwambia ukweliwao na hawapendi sasa daah,mama ni mama🎉

    • @MariamJussah
      @MariamJussah 2 дня назад

      Usiseme hivo kwasababu hayajakukuta ndugu😢

    • @MariamJussah
      @MariamJussah 2 дня назад

      Ila msamehe mzazi pale anapokesea

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 3 дня назад +2

    Masikini mtu na mamake,dunia hii upate mama msikivu na mtoto mwema mwenye huruma na mapenzi raha sana❤

  • @Beyonceqme
    @Beyonceqme 4 дня назад +8

    Nimempenda veronica mdogo wa gigy ni mpole sana na yuko na adabu ❤❤❤❤

  • @Shadia544
    @Shadia544 5 дней назад +6

    Haya tunaendelea pale tulipo ishia maisha ya familiya ya gigy ni gigy ❤❤❤

  • @magrethjames5950
    @magrethjames5950 4 дня назад +5

    Sasa mzuri si uyo wa helaa 🤪😝 uyo yeye anakuja then hatoi ata Kama anachoo 😢 Wamama hawanaga shukrani utume shida usitume shidaa 😢😅

  • @mwajabumrindoko-xw9mq
    @mwajabumrindoko-xw9mq 5 дней назад +8

    Hiii realty yakimataifaaa wekeni maneno ya kingereza hapo chinii ...ili na wa nje wafatilie

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly 3 дня назад +2

    Mama gigy n gigy mtupu😅❤

  • @estherminnahboaz6956
    @estherminnahboaz6956 5 дней назад +4

    Kipindi hiki Lisalisa namkubali sana 😂😂😂😂😂😂kama aigize vile yani nampenda nimkweli

  • @sharifabahar9905
    @sharifabahar9905 5 дней назад +5

    😂😂yani sisi watoto Kwanza tunaonewe sana tuna huruma sana nakupenda ila tunamisimamo yetu

  • @Atb300
    @Atb300 5 дней назад +3

    Mama angu ukimfokea hivi 😂😂😂atakupa kibao cha kelbu na kuita ukoo wake wote🤣🤣🤣

  • @JeniEmmah
    @JeniEmmah 3 дня назад +1

    Khaaa ila nimecheka sana na kujifunza pia 😅😅😅🙌🙌

  • @rahmaihucha8577
    @rahmaihucha8577 2 дня назад

    Mwanzo nlitaka kuwaza sio lakn baada ya kusikiliza zaid imenifunza mengi,najichukulia hizo kasoro ndio kama zangu kisha najisahihisha penye kipengele hicho,,Inshaa Allah Mwenyezimungu atupe wepes tuwe wenye kuzingatia yaliyosahihi .

  • @rasoomwatela4281
    @rasoomwatela4281 5 дней назад +3

    Nawapenda bure jamani ❤❤❤

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 5 дней назад +4

    Pokea simu Vero, Kazi Huwa zinaisha, familia ni Kila kitu

  • @alexandrucarmen3185
    @alexandrucarmen3185 3 дня назад +1

    Lisa anaibeba show nzima ingeitwa lisa na wanae au lisalisa

  • @SomaBiblia
    @SomaBiblia 14 часов назад

    Maisha bila Yesu ni bure

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 3 дня назад

    Hongera sana Veronica kumbe ww kwenu ni mlokole

  • @FaustaKessa
    @FaustaKessa 5 дней назад +2

    Mama ni mama😅😅😅

  • @sandrauwasezoe1031
    @sandrauwasezoe1031 5 дней назад +2

    Maskini gigi mungu akupe hella nyingi

  • @RizoIbrahimovich-z4f
    @RizoIbrahimovich-z4f 5 дней назад +2

    Msiri wa kwanza ni mama real kabsa

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 5 дней назад +1

    Nampenda mama ❤❤❤

  • @elizabethvucentkabwa
    @elizabethvucentkabwa 4 дня назад +6

    Kumbe gigy kafwata kwa mama yake

  • @MohdKidabe-e9q
    @MohdKidabe-e9q 4 дня назад

    Hahahahh nimerejea mara mbili gigyy alivomfokea mamake

  • @mandelatv-e3b
    @mandelatv-e3b 5 дней назад

    Hiyi family inajuwa kunipa raha😂😂❤🎉ila lisa🎉😂❤

  • @njuka3515
    @njuka3515 4 дня назад

    Umelosra sana . Sawa unaweza usopokee but jata jioni kitandani hizo missed calls pigs hata dakika mojamoja kwa wao . Dunia imebadilika kuna vifo vya gafla .

  • @bijou5038
    @bijou5038 5 дней назад +1

    Gigi nikama mimi sisi niwatoto walihasle so emotional zawazazi wetu hazitusumbuwi

  • @mwajabumrindoko-xw9mq
    @mwajabumrindoko-xw9mq 5 дней назад

    Naeaelewa san alf fundii wenuuu kibokoooooo ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Assay-gn1wv
    @Assay-gn1wv 5 дней назад +1

    Vero km mm😭😭😂

  • @bijou5038
    @bijou5038 5 дней назад +1

    Gigi ana panic kwasababu ameyaona mengi

  • @marymoshi572
    @marymoshi572 5 дней назад

    Nzuri sana hii❤

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh 5 дней назад +3

    Mtu akikwambia anaumwa nenda kamuone ikiwa ndio safari yake ya mwisho utajilaumu sio kila kitu hela

    • @NikrahAyubu
      @NikrahAyubu 4 дня назад +1

      Mpk Leo huwa nikikumbuka kaka ang alivyokiwa hospital aliinita akaniambia njoo unione j2 mie sikwenda nikaja kuitwa j3 naambiwa Hali mbya nilienda hospital lkn hakiweza kuongea pumzii ilikuwa inatoka kdg alifatik nikiwa namshudia had Leo 💔💔

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 4 дня назад

      @NikrahAyubu
      Pole Pole sana mgonjwa akiwaita tuwe na itikadi ya kuitikia wito mwengine huwa pumzi yake ya mwisho kuna mtu. mama ake mzazi kalazwa kila akipigiwa njoo ngoja kwanza bipike mara nile alipoamua kuenda kashafunikwa

    • @JamilaJumanne-u7q
      @JamilaJumanne-u7q 4 дня назад

      @@NikrahAyubupoleee

  • @everlyne8595
    @everlyne8595 3 дня назад

    Hii familia mnh kibokooo

  • @providencekusinza7122
    @providencekusinza7122 3 дня назад

    Iyi sasa ndio reality show siyo yale maigizo

  • @JosephineMpangala
    @JosephineMpangala 4 дня назад +1

    natamani ningekua na mama hata kama wa gigi ila ndo ivyo

  • @صالحالصوافي-غ5و
    @صالحالصوافي-غ5و 5 дней назад

    Giggy❤❤❤

  • @verbalverbal2019
    @verbalverbal2019 5 дней назад +5

    Alicia and her sister CALL her (sio CALLS her), kwa kuwa watazamaji wengi ni waswahili si mngeanza kiswahili tu...au? 😂😂😂😂

    • @Inshazaempire
      @Inshazaempire 4 дня назад

      Naomba usubscribe na kwanguu 😂😂

  • @irenejustine2455
    @irenejustine2455 5 дней назад

    Nawapenda

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 5 дней назад +3

    Jasmine kafnana na yule mdada anae imba tanga pepeta yule aloacha mkorogo wmefanana asa

  • @FrankAbelly
    @FrankAbelly 5 дней назад

    Mnatuchleweshea jmn had tunaumwa😢😢

  • @FettyRashidy
    @FettyRashidy 5 дней назад +5

    𝗡𝗮𝗺𝗽𝗲𝗻𝗱𝗮 𝘀𝗮𝗻 𝗴𝗶𝗴𝗶 𝗷𝗮𝗺𝗻 𝗰𝗼𝘇 𝗺𝗸𝘄𝗲𝗹𝗶 𝗶𝗹𝗮 𝘂𝘁𝘂 𝗻𝗱𝗼 𝗸𝗶𝗹𝗮 𝗸𝗶𝘁𝘂 𝗸𝗽𝗻𝘇 𝗻𝗮 𝘂𝘆𝗼 𝗺𝘇𝘇 𝗸𝗽𝗻𝘇❤❤❤❤❤𝗻𝗮𝗸𝘂𝗽𝗲𝗻𝗱 𝗺𝘆 𝗹𝗼𝘃

  • @nesymichael4286
    @nesymichael4286 5 дней назад

    Nampenda mama mayla

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 3 дня назад

    Dawa gani ya pumu inayonywewa na pombe jamani??

  • @nahlahassan-fd6le
    @nahlahassan-fd6le 5 дней назад +1

    Lissa lissaa😂😂😂❤❤❤

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 5 дней назад

    ❤❤❤

  • @Assay-gn1wv
    @Assay-gn1wv 5 дней назад

    Kuna kipi cha gigy tusicho kijua lkn?😂

  • @zainabmanyiri3510
    @zainabmanyiri3510 5 дней назад

    nikweli

  • @KiboChacha
    @KiboChacha 5 дней назад

    ❤❤❤🎉🎉

  • @zainabmanyiri3510
    @zainabmanyiri3510 5 дней назад

    nikweli 2:28

  • @FaudhiaWadongo
    @FaudhiaWadongo 5 дней назад

    ❤❤

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317 5 дней назад

    ❤❤❤❤❤❤