Toka nianze mission impossible sjawahi kumuona najma akiwa darasan mm naona tu akifikishwa nje 😂😂😂😂cjawah ona darajani ndani mwisho nje ya skuli naomb tuone darasan kwa kina kina najma😂😂😂
Punguza sigara chado. Ni hatari kwa afya yako. Mimi nikajua tu unaigiza kumbe unazivuta kweli kweli...halafu kwenye comments hakuna anayekushauri kuhusu sigara,wote wanakusifia kwa kazi nzuri...kweli kazi nzuri ila Sigara ni hatari kwa afya yako
Nikiulizwa kati ya mission impossible na dunia ipi movie bora aah wewe nachagua mission impossible ipo moyoni kabisa salute chadomaster unafanya vyema sana ❤you deserve 🎉🎉🎉
Hata pakushika sipajui salamu kageuka chui ooh naomben hii nyimbo yote Aisee chado kama kuna uwezekano wa kubadil mimbaya najma fanya tu iwe imetoka kiukwel hatutak mimba ya mzanzbar hatutakiii
Pole sana chado ila uyo mwarabu ametokea wapi kama msingi ulianza mwenyewe ukajega nakibanda hadi pajulikana nimji wa chado miaka mingitu ulipitia mengi ilimladi tu nyumba isimame leo hii bomowa bomowa wame ibomowa kwa siku moja tu yani imeniuma sana kweli ❤❤❤ila chado usikate tamaha kutereza sio kuanguka uyo niwako najma wewe ndo furaha yake na yeye pia ndo furaha yako chado 🙏🙏🙏🙏🙏🥲🥲🥲🥲🥲
I have followed the series very well from episode one season one upto now for real it's educative to the Young generation that's my take may God bless all of us, watching from kenya to be precise wamunyoro Express 😅
Hakuna kaka kwa hi Dunia huwa anatamani kuona either dada ama mdogo wake wakike anaharibikiwa ukiona kaka au mtoto wakiume kaacha dada ama mdogo ake wa kike kuharibiki ujue Kuna namna dada anakuwa si mwelewa.... So huwa tunaacha waishi vile wanavyotaka ila hawajawahi fika mahali zaid ya kuteswa na mapenz na kupewa mimba isiokuwa na baba #Mzee wa msumari namwelewa sana anaingiza reality
Wangapi tume Miss cheusi media na bonge
🎉🎉🎉🎉
Sasa cheusi ka bonge walienda wapi
Daaaah
Daaaaa umekumbusha kitu muhimu sana
Mm apa
Siwapendi😊
Atakae soma xmx hii mungu ampe itaji la moyo wake❤❤
Aaamin 🤲
Amiin
T
Amina❤
Amin
Kama unaamini uko hai kwa sababu ya uhai wa mwenyezi mungu like apaa❤❤❤❤
Ni MUNGU sio mungu
tumeipata
Amiin
Amina
😊
aki chado ni shujaa kama ni mwengine hangeweza wacha nkupe mauwa 🌹🌹🌹🌹🌹
Tunaongalia mission impossimble mungu atujalie uzima na afya tele🎉🎉🎉
Hv watu mnaabudu MUNGU YUPI SIO mungu
𝐀𝐦𝐢𝐢𝐧
Amin❤
Amen 🙏
Jamani wakina xeusi na bonge
Sema dady anapitia wakati mgum Sana kila siku misala inamsibu daaah pole Sana Baba jojo
Leo me ndo wa kwanza toka kisiwa cha karafuu ZANZIBAR salute zote za hii movie 🎉🎉❤
Maliza kuwatch video kwanza 😂😂😂😂
Nimemaliza taar kucheki @@Marthangenge-m7w
Mtafute zein
Oya tunamtafuta zeini alafu mumemficha muambie anamtoto tumbon kwa najima
@@adamnyangehanapatikana hapa kwenye eneo letu la makachu karibuni sana
..ongeleni timu nzima kazi nzuri iwe muendelezo wa kazi nzuri kama hizi
Ambao wanaangalia movie hii wakiwa kwa kitanda na simu kwenye charger tujuane🎉❤😂😂😂😂
Niko apaaa
Huyo n mm kabisa❤
Tupo wengi
Ngoja mlipuke mtajua mko wangap
Nipo apaa😂😂😂
Tusijisahau sana nadunia kila pumzi yetu ipo mikononi mwa mwenyezimungu tupendane jamani
Ni MUNGU sio mungu
Tusisahau kufanya Ibadat licha ya kupendana
@@MwajumaSaleh-ph9dymwajuma Saleh ni Allah sio mungu
@@MwajumaSaleh-ph9dy saw
Ni kweli
Wa kwnz leo nawakubali sana guzy ila majonzi utasema kweli ila maigizo tu big up 🎉
Chado na kidem jau mnanilizaaa daah
Keep it up all in #mission impossible
Chado jaman Mbona Kam ana dalili za kuja kufaa kwa hii moviee itaaniumaaaa
kama uko hai kwaajili ya Allah sema amina
Amin
Amin
Amiin
Amen
Amin
Polisi amewapa sapoti kubwa san timu chado ,,,like Kumi tu jmani Leo Kwa Mr manyonga maproso
Ewe mwenyew mungu naomba ii mimba iwe ya miezi miwili ili iwe ya chado masta 🙏🙏
Jojo hongera kwa kumkumbusha ali daddy nduguye alifumanuwa🎉🎉🥰
Mim mwenzenu naona uvivu ata wa kucoment maan nikikoment sipat like ata 😢 ila nawapenda nyote mnaofatilia hii move ❤❤
🎉😂❤
Nakupa like na dislike
Unapnda like u zakaz gan
Tuliochelewa tujuane hapa,, leo ni yamoto kaka chado 🎉🎉🔥🌹
Jina la nyimbo..wakati chado amsindikiza kidem jau shule.....
Hakika pamoja na yote tukumbuke mwez mtukufu wa ramadhani upo karibu kam una amin hilo achia like hapa inshallah
Mung atubalik wot
Mii sitamani kabisa chado aachane n najma🙏
Namba moja Niko hapa
Tunakupenda mission impossible njooni tujuane ❤❤❤
Kwani we daddy vipi mbona unatatarika km bisi hujui km mdogo ako alikipeleka kwengine kikashenyentwa muache chado wetu
Kifo🤦♂️kinakuja pasipo na taarifa ndugu zang naihusia nafsi💔yang na nyie pia mdaa tunao tubadilike tuombe mwisho mwema tufe tukiw shahidi insha'allah🤲
Amin thuma Ameen 😊
Aamin inshallah
Khe jaman kutaka like
Amina
Amiin
Toka nianze mission impossible sjawahi kumuona najma akiwa darasan mm naona tu akifikishwa nje 😂😂😂😂cjawah ona darajani ndani mwisho nje ya skuli naomb tuone darasan kwa kina kina najma😂😂😂
Ukitaka uone Kila kitu basi movie itakuwa ndefu sana 😂😂😂😂
Yan umewaz Kam mim kumb😂😂
@girlherself kabisa ndomana ikaitwa movie haya unataka umuone najma akiwa darasani haya nikwel najma anaujauzito au maigizo tuu😁😁😁😁
Ila mashabiki tuna tabu
@aishaomar2287 tupunguze ujuaji
in really chado ametisha sana ❤🔥
Punguza sigara chado.
Ni hatari kwa afya yako. Mimi nikajua tu unaigiza kumbe unazivuta kweli kweli...halafu kwenye comments hakuna anayekushauri kuhusu sigara,wote wanakusifia kwa kazi nzuri...kweli kazi nzuri ila Sigara ni hatari kwa afya yako
Kweli kabisaaa
Kwel asee aache hayo mambo sanaa inamhitaj
Kwel kbxa achaaa
Sisi wote wavita sigara, sema Léo tumepata mshauri asante sana 🙏 j'ameni tupunguze kuvuta Bangi, sigara navienginevyo nimbaya kwa afia yetu😢😢
Nani kasema@@issaKighanga
Unamwamini bwana kua mokonzi wa maisha yako basi sema amen kama unamwamini
Ameen
Ni mwokozi sio mokozi
Makonzi tenaa😂😂
Jaman chado mungu anakuona unavyotufanyia
Nipate mpenz kama chado akiii natulia tulii 😂❤ c ajitokez mtu tupendane chaukwel ukwel na c maigizo😊
Mambo
@chelahkenyah3596 poa
Dah huyu mzee wa misumali jaman🔥🔥
Yani uyu afande nakukubali sana ana tumiya nafasi yake vizuri
Me pia namkubl kinoma noma yn walh❤❤
Nimempenda bure
Nyie ni wezi mtu na mkewe
Ali dadi wacha ujinga unakurupuka Bila kufuatilia au kusikiliza maelezo ya chado😊
kasahau dadake kafumaniwa na Zayn😂🤣🤣🤣
Wee mzee wa misumali utuliee ivyoo ivyoo Iyoo mimba sio ya Kitengo wetu tenah ukoome nyoooo mfuate mzanzibar ukoo Makachu mtupumzushie chado wetu alaah
Makachu yenyewe imefungwa 😂😂😂 amfuate miembeni 😂😂😂 noma sana kitengo kawa mpole hatari chado master asee
Tena atulie atulinze kipwito
Eti makachu😂😂
Achuuz Joburg moja
Wataftaji south Africa 😊 salute chado masta gang😊
wasalimie wanang wa debe natal👊
Najima weeeeeeeh 😢lahaula asiesikia lamkuu huvunjika mguuu kidem jau wewe 😢😢😢😢
Umekua cheusi😂😂😂
Umetisha
@AbdulJ😂😂😂😂uma817
@@AbdulJuma817😂😂😂
Eee,,, Bwana Kitengo Master Heshima kwako💪🏽😑
Hata mkichelewa ila mtaturushia tuu ndo mana tunawapenda❤❤❤
Leo Nahangalia Na majonzi Dada Yangu Kafariki Dunia Rest In Peace 🕊️🕊️ dada I love you 😢😢😢😢😢😢
Pole mwaya😢
Mola Akupe faraja mpnz na marehemu amlaze mahali pema 🙏
R.I.P 😢
Pole
Pole San mpendwa mungu akupe nguv kwakipind huk kigim😢😢
Safi sana team team mission impossible. Nakupenda sana chado master ❤❤❤❤🎉🎉🎉 mko vzr sana
Oyaaa wanao sem Chado anajuaaa muish maish malef🎉🎉🎉
Najma huendi shule mpaka chado jamani ww mtoto mapenzi yame kuchanganya😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂
Kama unampenda Mungu sema amina
Najma huyu😢😢😢Nimeumia sanaaaa
Pole sana chado lla solo hana akili atafia jela manyonga kakimbia
Dah! Mambo Niya moto sana,,,, lkn good job 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nikiulizwa kati ya mission impossible na dunia ipi movie bora aah wewe nachagua mission impossible ipo moyoni kabisa salute chadomaster unafanya vyema sana ❤you deserve 🎉🎉🎉
Unafki 😀
@@HenryTheTiger😂😂😂😂
Umbea wa hali ya juu ckuix mission inachezwa kitoto sana
@@ElizabethSimfukwe-d8q tena mnafki haswa😂😂 wakt dunia ndo kila k2
Excuse me,kila mtu na mtazamo wake,msilazimishe mtazamo wangu uwe kama wa kwenu
Najma anaenda shule sa7 mchana😂😂😂 na hapigwi we uogopi😅
Shule ya chado🤣
Anapigwaje mke wa kitengo😂😂😂😂😂
😂😂😂
@@sharifamahamudu182 umeona eee🤣🤣wajina wangu
@@sharifamasudi-b8u 😁😁😁move zinatujaza ujinga kweli mke wakitengo mtaani na shule pia kitengo mwalimu mkuu ama
Jamani jmapili njema kwa wote wakristo.... mda wote nawaza chado itatoka saa ngapi yani nimechelewa kidogo tu wapewe maua yao jamani 🎉🎉🎉
Chado we ni master kweli nakukubali mwanangu ❤##### kenya 🇰🇪
Ont dirais que mission impossible arriver à sa fin vizuri sana chado ila nakusihi série suivante kichanzicho awe tena stars wa film
Kwa kwel sai mko faster Masha Allah keep it up chado master
Kazi nzuriii kaka chado
Naombeni like zenu
🔥🔥🔥
😢😢😢
Nimeumia sana hik kipand cha chad kumkombatia najma nimejikuta nalia sana nimeumia yan naona kama najma kanifanyia mm vile
Wa kwanza Leo kutoka Kenya wapi likes zangu tafadhali 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Chado unazingua xx BONGE na CHEUSI tiiii umewaweka wap tena
Duh nimekuta watu 64 lkn coment zao wote wanaomba like hii inamana gani jmn baada ya kutoa maoni
Wanakera mno... Utafikiri hizo likes zinawaongezea siku za kuishi😏😏😏 chefu
Wapuuz tu
Wanabowa kinoma
Chado ataenda jela kwa kumtia mimba mwanafunzi na mimba sio yake😢
Kazi nzuri chado nimekupenda bure❤❤
Hongera sanaaaaa 🎉kaka Chado ❤
Leo nimewahi jamani 🥰💃🏼💃🏼
Wanaume ote wangekua kama chado wanawake tusingeteseka nakupenda bule chado baba♥️♥️
Team chado nawakubali Sanaa 🎉🎉🎉🎉big up
Chado una roho ngum utokufa kweli mana unavyoteseka❤❤❤❤
Naona ngwengwe ana homa ya mafua..Allah ampenye haraka
Katika watu wananifuraishaaa ikiwemo na mr manyongaa😁😁
movie kila mda unachungilia youtube kama imepostiwa 😃😃🔥🔥🔥
Yan naweka bado Kwa ajili ya mission impossible
Kwan hujawasha notification?
Chado anamoyo mzur Hadi nimependa angekuwa mwanaume mwingine Najma angekoma respect kwake😊😊
mi leo nmekopa bando naipenda san nikiikosa nalia kiukwel ❤❤
Ka tahira
@@kidemjau😂😂😂
Ila solo ana roho ya kihind boss anaondoka ye anajitoa muhanga PESA NA HURUMA NI VITU VIWILI TOFAUTI😂😂😂
Hata pakushika sipajui salamu kageuka chui ooh naomben hii nyimbo yote Aisee chado kama kuna uwezekano wa kubadil mimbaya najma fanya tu iwe imetoka kiukwel hatutak mimba ya mzanzbar hatutakiii
Hhh sis aoo wa2 wa karafuu
Udede haina haja
Ila brothe hiyo nyimbo nimeipenda❤🎉🎉
Ila kwa kwer manyonga kichwa kibovu sana asee😂😂😂😂
Mbn ii story ya najma na chado km niistolia yngu ya maisha duh kweli we chado umeweza kunigusa🤣🙌🏻
Zain popote alipo akamatwe na achinjwe kwa nini alimwagia ndani mpuuzi sana😢😢
😂😂
MH wee kutoa nje weng wanashindwa
Waoo mission impossibl imetish san❤❤❤❤
Nimehisi kulia juu ya kujitolea kwako Chado 😢 yan hujamuacha mkono hakika una upendo wa dhati
Pole sana chado ila uyo mwarabu ametokea wapi kama msingi ulianza mwenyewe ukajega nakibanda hadi pajulikana nimji wa chado miaka mingitu ulipitia mengi ilimladi tu nyumba isimame leo hii bomowa bomowa wame ibomowa kwa siku moja tu yani imeniuma sana kweli ❤❤❤ila chado usikate tamaha kutereza sio kuanguka uyo niwako najma wewe ndo furaha yake na yeye pia ndo furaha yako chado 🙏🙏🙏🙏🙏🥲🥲🥲🥲🥲
Ila mbon tunaumia Kam kweli Yan Kam ni kweli sio mov
KARIBUNI KWENYE SAKATA LA MIMBA JAY ONCE AGAIN 😂😂😂
ASANTENI KWA SAPPOT NAOMBENI MSINICHUKIE KWA KUBEBA MIMBA YA MPEMBA 😂😂
Kazi nzur
Unajuw san unatakiwa wakupe tuzo my nasubili kumuona mtoto wa mwalabu msewe
Ambie chado a mpende mkewe kama anavyokupenda wewe
Nitakuchapa viboko wewe umeniuliza nikalala bila kuoga na kimimba chako 😢😂😂😂
Nahasira na wewe sana nkikukaribia ntakubamiza mabao
Chadoooo usifeee pls movies itakuwaaa mbaya😭
BIG UP KWA WOTE MNAO XIDI KUTUPATIA SAPOTI YENU🎉🎉 I'M BACK AGAIN ❤❤
Mbona huonekan jmn vip
Uko wap nawew unapitwa na mengi😂😂😂
Cha umbea wetu uko wap jmn
Cha umbea wetu uko wap jmn
I miss u 🎉
Dady umenifulahisha ety ata kula ujuh najma kala lini😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
wakwanza Leo Dah kweli mimewahi naomba like zangu team. chado master ❤❤❤ from
Mwalimu hajui kuvaaa😂😂
😂😂😂😂😂 history huy
Jamani leo mnipe hata like moja tu nimekua wa kwanza😂😂😂
Bonge moja la kipande mm unafik siyoo vitu vyangu hata kidg hiki kipande noma sana mm ukikoseya nakwamby ukiachiya fataki nakusifiya sana
San san kuzur san
Kabisa❤
m leo ni wakwanza naomba like zangu🎉🎉🎉
chado yupo km mpenz wangu yaan ana upendo wa hali ya juu hata km tupo na misunderstanding😅😅 nimependa kwakwe😁😁
WA KWANZA LIKE ZIWE NYINGI KWA MISSION IMPOSSIBLE 👉🏾
Aloo hako Ka nyimbo me nlkupenda sio kuzinizin daah bonge la melod ndyo ilionifanya nafuatilia mission impossible 🎉🎉🎉❤
Jaman chado usimuache najima😢😢😢
I have followed the series very well from episode one season one upto now for real it's educative to the Young generation that's my take may God bless all of us, watching from kenya to be precise wamunyoro Express 😅
Leo me wa kwanza ku like na comment 😊❤❤❤
Majinaaa jmn ya hiziiii nyimbooo jmn 🥹🥹 mtutajieeee
Chine -ANIUE
Zara Queen - KOLEZA
Udede - USINIACHE
Udede -MAUMIVU
Udede -HAINA HAJA
Chine-NAKUKUMBUKA
Ali daddy acha ufala dadaako alichanganya waume alafu chado alikuwa yuakuelezea shida yako unakurupuka tu
Vip keny wazim
An chado mpk huruma an
Jaman zungu c mkono mbovu sasa mbona anahangaika kumbana solomoniii😅
Mam ngwengwe nmekupenda bureeeee mpango ni pesa2
Nakubaliana na wewe chado masta, support zenu kutoka Msumbiji🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Chado master tunaomba kumuona najma akiwa darasani
Hakuna kaka kwa hi Dunia huwa anatamani kuona either dada ama mdogo wake wakike anaharibikiwa ukiona kaka au mtoto wakiume kaacha dada ama mdogo ake wa kike kuharibiki ujue Kuna namna dada anakuwa si mwelewa.... So huwa tunaacha waishi vile wanavyotaka ila hawajawahi fika mahali zaid ya kuteswa na mapenz na kupewa mimba isiokuwa na baba
#Mzee wa msumari namwelewa sana anaingiza reality
Ata mzazi niiivo watto wenyew hawasikii
Kwanin asikali ajavaa Boxa analiaibisha jeshi😂😂😂😂😂😂😂❤❤
Sipend mr manyonga anavo ongea
Anakunjaaa san sur alf anatumia ng kuongea yan kwaufupi anakeraaaaa