ANAMILIKI - A.I.C KONGOWEA HUDUMA CHOIR. (OFFICIAL VIDEO)
HTML-код
- Опубликовано: 18 сен 2024
- Dan 5:18-21
Kwa habari zako, Ee mfalme, Mungu Aliye juu alimpa Nebukadreza, baba yako, ufalme, na ukuu, na fahari, na utukufu; na kwa sababu ya ule ukuu aliompa, watu wa kabila zote, na mataifa, na lugha, wakatetemeka na kuogopa mbele yake; aliyetaka kumwua alimwua; na aliyetaka kumwacha hai, alimwacha hai; aliyetaka kumtukuza, alimtukuza; na aliyetaka kumshusha, alimshusha. Lakini moyo wake ulipoinuliwa, na roho yake ilipokuwa ngumu akatenda kwa kiburi, aliuzuliwa katika kiti chake cha enzi, nao wakamwondolea utukufu wake. Akafukuzwa mbali na wanadamu, moyo wake ukafanywa kuwa kama moyo wa mnyama, na makao yake yalikuwa pamoja na punda-mwitu; akalishwa majani kama ng’ombe, mwili wake ukalowa maji kwa umande wa mbinguni; hata alipojua ya kuwa Mungu Aliye juu ndiye anayetawala katika ufalme wa wanadamu, na ya kuwa humweka juu yake yeye amtakaye, awaye yote.
Your songs are inspirational barikiweni na Mungu awatie nguvu muubiri kwa mataifa yote
Amina, barikiwa Pia.
Here from TikTok glory to God
Be blessed and Glory be to the Almighty God.
Wow wow yaani wow forever in my heart hata na miss kurudi home jamani
Welcome back home.
Pia mm namiss kurudi home😢
Wau nicely, keep it up,
Thank you and be blessed 🙏🏾.
Good job Huduma choir, the almighty God be praised
Amen and be blessed.
Bado naona wazazi wangu wameshikilia huduma waaah judyyy nakuona sanaaa
Kabisa, barikiwa. 🙏🏾
Nice song, I am blessed.
Glad to see you here.
Be blessed as we minister to you.
Wimbo niupendao toka moyoni...aliye juu anamiliki.
Amina, barikiwa Mchungaji Kyalo.
Nice one more blessings to the team 🙏🙏🙏🙏
Be blessed Bw. Nzeki.
Glory to God the creator,kazi safi sana. Be blessed all
Be blessed as well Janet.
My favorite. God bless you pple
Be blessed as well.
Great song indeed 🎵🙏🙏🙏
Be blessed.
kazi njema wanakwaya mbarikiwe sana
Na ubarikiwe pia. 🙏🏾
Touching song ❤❤❤❤❤
For sure, be blessed.
Be blessed Aic Kongowea Huduma choir.
Thank you and be blessed as well Bw.Ndaka.
Baraka tele!..
Barikiwa Sana Sound engineer. 🙏🏾
good songs mbarikiwe sana
Asante, barikiwa 🙏🏾.
Very nice and blessing songs.
May the Lord bless you Aic Kongowea Huduma choir.
Indeed, thank you Bw. Festus.
Amen, may the Lord bless you too as you listen to our ministry. Shalom.🙏🏾
What a blessing song barikiweni sana watumishi
Asante, barikiwa Pia Mtumishi.
What a powerful message
Be blessed Nelly.
Can I be part of this team plz I'm a knew comer of your church
Yeah sure, we have our practices on Tuesday from 6:30-8:00pm and Saturday from 4:00-6:00pm you can join us. You're much welcome.