ipo vzr sana Sema tu umemaliza vibaya ingetakiwa umalize na kitu kitakachomfanya ajutiye ili iwe funzo wa wajinga wengine wanaofanya hvo Big up sana From USA nawapata vzr
Kiukweli umeigiza sijui kwa faida yako kaka kuonekana kwenye camera,,, maana sijaona yaani ile faida ya mtazamaji lesson gani anapata hapa, hapa ulitakiwa uongeze kitu ambacho kingemfanya huyo mwanamke wako ajifunze ili asiendelee kukufikria vibaya, na sisi watizamaji tungejifunza, binafsi baada ya kuiona hii movie mwanzoni nilijua itatamatika hivyo nilivyofkria, wasanii wengi hamna ubunifu mnafanya ili mradi liende Huku hatujifunzi lolote Bali nikimaliza bando la bure
@@hamisimwandu5675kwani kuna yule alikuita uje utazame hii movie ama🤔ww wathani kutengeza movie ni rahisi hivyo kama vile wa comment kirahisi . Kesho ukiamka jaribu kuweka li movie lako ili watu waje watazame
Asijione kuwa wewe ndio make pekeyako duniañi jua kuna wengi walio wazuri wacha wivu wako usio na maana wewe usimsilize mwanamke kafanye KAZI sio kwa mashariti hayo ya mkeo
Kuna jiran yang ivoivo tena yy alikua anamshusha abiria anamlipa kabisaa mumewe kama ela ya kumlipa hana anafanya fujo tu adi mumewe kaacha kaz ya boda anahangaika mtaani na mwanamke kamkimbia
Baridiii la.nyokoo😅😅😅😅looooh sitaki mwanamke wa ivooooo😊
YAANI HII MOVIE NIMEIKUBALI💯👍KUNA JAMAA YANGU ANATESWA DIZAINI HII, MR BOB SOSY A K A KATIA WA ARUSHA MURIET JIRANI NA MH GAMBO
Hatari sana
😅😅😅kimenukaaa😅
Nimesaau kama ni mnaigiza maana uyo mwamke mwenzang nilitaka kumpaneno mungu nilinde
Hahaaaa
ipo vzr sana
Sema tu umemaliza vibaya
ingetakiwa umalize na kitu kitakachomfanya ajutiye ili iwe funzo wa wajinga wengine wanaofanya hvo
Big up sana
From USA nawapata vzr
Nikweli mkuu 🙏🙏🙏
Uyooo sio mwanamke ni kiburiiii😅
Aki walai huyu MKE ni mzuri wakumtafutia sidechick ndio atulie
Nilikuambiqje😅😅😅😅😅
Sas ni umaskiniii uoo tunatiqnq😅
Mkee...wa Jamaa wa ndudhiiii....
Kwa kweli wivu mbaya 😅😅
Umeona
Huyu mwanamke awekwe na Recho wa mke mwenza
Wewe mwanamke hayo uyasemayo kumbuka kuwa kuna mungu na mungu analipa hapahapa duniañi juwa malipo ni hapa kwa mungu zinakwenda hesabu tu
Yaani hili igizo limeniboa kweli.
Kwanini
Tuko wengi 😂😂😂
Nitakupiga adiii ufeeee😅😅😅😅😅
Nategemea sana sapoti zenu mashabiki zangu 🙏🙏🙏🙏🙏❤️💕♥️
Kiukweli umeigiza sijui kwa faida yako kaka kuonekana kwenye camera,,, maana sijaona yaani ile faida ya mtazamaji lesson gani anapata hapa, hapa ulitakiwa uongeze kitu ambacho kingemfanya huyo mwanamke wako ajifunze ili asiendelee kukufikria vibaya, na sisi watizamaji tungejifunza, binafsi baada ya kuiona hii movie mwanzoni nilijua itatamatika hivyo nilivyofkria, wasanii wengi hamna ubunifu mnafanya ili mradi liende Huku hatujifunzi lolote Bali nikimaliza bando la bure
🙏🙏
@@hamisimwandu5675kwani kuna yule alikuita uje utazame hii movie ama🤔ww wathani kutengeza movie ni rahisi hivyo kama vile wa comment kirahisi . Kesho ukiamka jaribu kuweka li movie lako ili watu waje watazame
kama kawaida kaka🤝
Asante dada kwa jibu zuri🙏
Kimwanamke kimeniboa kweli yani kufanikiwa lazima iwee ngumu
Hatari sana
Asijione kuwa wewe ndio make pekeyako duniañi jua kuna wengi walio wazuri wacha wivu wako usio na maana wewe usimsilize mwanamke kafanye KAZI sio kwa mashariti hayo ya mkeo
Kuna jiran yang ivoivo tena yy alikua anamshusha abiria anamlipa kabisaa mumewe kama ela ya kumlipa hana anafanya fujo tu adi mumewe kaacha kaz ya boda anahangaika mtaani na mwanamke kamkimbia
Duuuh 😂😂😂😢
Hii hatari mimi ningekuwa mwanaume naacha kazi tunywe maji mchana usiku ningemkomoa
😂😂
Mwanangu nae zezeta na wewe
Upendo bob
😂😂❤❤
Asa unashindwa kulipiga vibao
Nalipenda
@@mrcheustv7177
Hahaaa nalipenda
Sasa mwisho gani huo
Wewe wanamumeni mjinga huna akili yako niyakushikiwa utaivunja ndoayako kwamikono yakowenyewe ebwana kaowemke mwengine huyo ndipo atakoma nahuyo wivu wake
Courage ma bodaboda😂
😂
Wewewanamke unawazimu huwezi kuchukua kitu alichotumwa na mumeo kamani hivyo kafanye wewe KAZI mumeo akae nyumbani wivu haijengi KAZI ya mumeo
Umeona
Umeona
Hapo kidogo nimeona umetowa maamuzi ulipomuachia yy afanye kazi wewe ukalale
Wewewanamke mpumbavu huvyunja ndoa yake kwamikono yake wivu no kidonda ukiushiriki utakonda ndenda wewe huko kazini dawa kaowe mkewengine
Huo ufala
Ebwana machie yeye hiyobodaboda akafanye yeye alone faida ya KAZI wewewanamke hajielewi Kaka huyo simke muache hafai hata kidogo
Nina ugwadu