VISA VYA MKE WA BODABODA (FULL MOVIE)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • WIVU UKIZIDI NI UGONJWA USIO NA TIBA

Комментарии • 52

  • @ARONPaul-bz3ws
    @ARONPaul-bz3ws 6 месяцев назад +1

    Baridiii la.nyokoo😅😅😅😅looooh sitaki mwanamke wa ivooooo😊

  • @user-we3or9ol4o
    @user-we3or9ol4o 7 месяцев назад

    YAANI HII MOVIE NIMEIKUBALI💯👍KUNA JAMAA YANGU ANATESWA DIZAINI HII, MR BOB SOSY A K A KATIA WA ARUSHA MURIET JIRANI NA MH GAMBO

  • @ARONPaul-bz3ws
    @ARONPaul-bz3ws 6 месяцев назад +1

    😅😅😅kimenukaaa😅

  • @user-cl9tk8hv4g
    @user-cl9tk8hv4g 7 месяцев назад

    Nimesaau kama ni mnaigiza maana uyo mwamke mwenzang nilitaka kumpaneno mungu nilinde

  • @user-ow5dp7vf1u
    @user-ow5dp7vf1u 7 месяцев назад

    ipo vzr sana
    Sema tu umemaliza vibaya
    ingetakiwa umalize na kitu kitakachomfanya ajutiye ili iwe funzo wa wajinga wengine wanaofanya hvo
    Big up sana
    From USA nawapata vzr

  • @ARONPaul-bz3ws
    @ARONPaul-bz3ws 6 месяцев назад

    Uyooo sio mwanamke ni kiburiiii😅

  • @floramacheva5855
    @floramacheva5855 7 месяцев назад +1

    Aki walai huyu MKE ni mzuri wakumtafutia sidechick ndio atulie

  • @ARONPaul-bz3ws
    @ARONPaul-bz3ws 6 месяцев назад

    Nilikuambiqje😅😅😅😅😅

  • @ARONPaul-bz3ws
    @ARONPaul-bz3ws 6 месяцев назад

    Sas ni umaskiniii uoo tunatiqnq😅

  • @hamisimaningi4758
    @hamisimaningi4758 7 месяцев назад

    Mkee...wa Jamaa wa ndudhiiii....

  • @marymwendia5012
    @marymwendia5012 7 месяцев назад

    Kwa kweli wivu mbaya 😅😅

  • @shamsiyasalim6866
    @shamsiyasalim6866 7 месяцев назад

    Wewe mwanamke hayo uyasemayo kumbuka kuwa kuna mungu na mungu analipa hapahapa duniañi juwa malipo ni hapa kwa mungu zinakwenda hesabu tu

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 7 месяцев назад

    Yaani hili igizo limeniboa kweli.

  • @AaAaarehema
    @AaAaarehema 7 месяцев назад

    Tuko wengi 😂😂😂

    • @ARONPaul-bz3ws
      @ARONPaul-bz3ws 6 месяцев назад

      Nitakupiga adiii ufeeee😅😅😅😅😅

  • @mrcheustv7177
    @mrcheustv7177  7 месяцев назад

    Nategemea sana sapoti zenu mashabiki zangu 🙏🙏🙏🙏🙏❤️💕♥️

    • @hamisimwandu5675
      @hamisimwandu5675 7 месяцев назад

      Kiukweli umeigiza sijui kwa faida yako kaka kuonekana kwenye camera,,, maana sijaona yaani ile faida ya mtazamaji lesson gani anapata hapa, hapa ulitakiwa uongeze kitu ambacho kingemfanya huyo mwanamke wako ajifunze ili asiendelee kukufikria vibaya, na sisi watizamaji tungejifunza, binafsi baada ya kuiona hii movie mwanzoni nilijua itatamatika hivyo nilivyofkria, wasanii wengi hamna ubunifu mnafanya ili mradi liende Huku hatujifunzi lolote Bali nikimaliza bando la bure

    • @mrcheustv7177
      @mrcheustv7177  7 месяцев назад

      🙏🙏

    • @BOSSLADY3656
      @BOSSLADY3656 7 месяцев назад

      ​@@hamisimwandu5675kwani kuna yule alikuita uje utazame hii movie ama🤔ww wathani kutengeza movie ni rahisi hivyo kama vile wa comment kirahisi . Kesho ukiamka jaribu kuweka li movie lako ili watu waje watazame

    • @BOSSLADY3656
      @BOSSLADY3656 7 месяцев назад

      kama kawaida kaka🤝

    • @mrcheustv7177
      @mrcheustv7177  7 месяцев назад

      Asante dada kwa jibu zuri🙏

  • @user-er1ll1cc3s
    @user-er1ll1cc3s 7 месяцев назад

    Kimwanamke kimeniboa kweli yani kufanikiwa lazima iwee ngumu

  • @shamsiyasalim6866
    @shamsiyasalim6866 7 месяцев назад +1

    Asijione kuwa wewe ndio make pekeyako duniañi jua kuna wengi walio wazuri wacha wivu wako usio na maana wewe usimsilize mwanamke kafanye KAZI sio kwa mashariti hayo ya mkeo

  • @zulfasaid9506
    @zulfasaid9506 7 месяцев назад +3

    Kuna jiran yang ivoivo tena yy alikua anamshusha abiria anamlipa kabisaa mumewe kama ela ya kumlipa hana anafanya fujo tu adi mumewe kaacha kaz ya boda anahangaika mtaani na mwanamke kamkimbia

    • @Jacklinejohn7
      @Jacklinejohn7 7 месяцев назад

      Duuuh 😂😂😂😢

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 7 месяцев назад

      Hii hatari mimi ningekuwa mwanaume naacha kazi tunywe maji mchana usiku ningemkomoa

    • @mrcheustv7177
      @mrcheustv7177  7 месяцев назад

      😂😂

  • @user-er1ll1cc3s
    @user-er1ll1cc3s 7 месяцев назад

    Mwanangu nae zezeta na wewe

  • @monadinadi5295
    @monadinadi5295 7 месяцев назад +1

    😂😂❤❤

  • @Jacklinejohn7
    @Jacklinejohn7 7 месяцев назад

    Asa unashindwa kulipiga vibao

  • @user-ys9hb1pm1g
    @user-ys9hb1pm1g 7 месяцев назад

    Sasa mwisho gani huo

  • @shamsiyasalim6866
    @shamsiyasalim6866 7 месяцев назад

    Wewe wanamumeni mjinga huna akili yako niyakushikiwa utaivunja ndoayako kwamikono yakowenyewe ebwana kaowemke mwengine huyo ndipo atakoma nahuyo wivu wake

  • @lolyado9379
    @lolyado9379 7 месяцев назад

    Courage ma bodaboda😂

  • @shamsiyasalim6866
    @shamsiyasalim6866 7 месяцев назад

    Wewewanamke unawazimu huwezi kuchukua kitu alichotumwa na mumeo kamani hivyo kafanye wewe KAZI mumeo akae nyumbani wivu haijengi KAZI ya mumeo

  • @shamsiyasalim6866
    @shamsiyasalim6866 7 месяцев назад

    Wewewanamke mpumbavu huvyunja ndoa yake kwamikono yake wivu no kidonda ukiushiriki utakonda ndenda wewe huko kazini dawa kaowe mkewengine

  • @user-ng7pt8oh2q
    @user-ng7pt8oh2q 7 месяцев назад

    Huo ufala

  • @shamsiyasalim6866
    @shamsiyasalim6866 7 месяцев назад

    Ebwana machie yeye hiyobodaboda akafanye yeye alone faida ya KAZI wewewanamke hajielewi Kaka huyo simke muache hafai hata kidogo

  • @user-ng7pt8oh2q
    @user-ng7pt8oh2q 7 месяцев назад

    Nina ugwadu