HOUSE GIRL EP 42 || love story💞💕

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 сен 2024
  • #bongomovie #housegirl

Комментарии • 577

  • @busatitv
    @busatitv  2 месяца назад +133

    Kupata taarifa sahihi za episode zetu mpya, tembelea mitandao yetu ya Kijamii
    Instagram @busatitv
    Facebook @busatitv
    TikTok @busatitv
    Pia tuna Group la WhatsApp

  • @DaisyNyabuto
    @DaisyNyabuto 2 месяца назад +12

    Mapenzi yanatesa unayempenda anapenda mwingine uyo mwingine naye ana mwingine , mwingine kapatwa na mwingine 😢😢😢😢😢 daaaah nipeeni Tano ❤❤❤❤❤❤❤tusisahau kujifunza wanandoa wenzangu

  • @zainaburamadhani2982
    @zainaburamadhani2982 2 месяца назад +16

    Kheee kimeumana, mimba ya mkongo, chiko naye anaamin kua ataitwa baba,
    uwiiiii makubwa cjui nn kitatokea😂😂😂
    Neeeexxxxxttttttt

  • @Mrsmick712
    @Mrsmick712 2 месяца назад +18

    Mr tasha nitafulai ukimpata mke wa chiko kudadeki mtoto anasauti laini uyuuu😂😂😂

    • @elizabethmwafongo7829
      @elizabethmwafongo7829 2 месяца назад

      😂😂achepuke tu apate mimba maana sio kwa kunyanyasika huko

    • @Mrsmick712
      @Mrsmick712 2 месяца назад

      @@elizabethmwafongo7829 yeye inaonesha ana shida tatizo ni chiko mwenyewe

  • @carowamakalo7993
    @carowamakalo7993 2 месяца назад +11

    Mm nasubiri harusi ya zuu na kai ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉

  • @Cuteeeee477
    @Cuteeeee477 2 месяца назад +21

    Tunao isubiri kwa hamu tujuane hapa 😂😂❤

  • @user-pp3vo8rw5j
    @user-pp3vo8rw5j 2 месяца назад +11

    Yan saii najiona mshindi kwa kila upande wa zuu ❤❤❤❤❤

  • @FetrissJanni-lb5il
    @FetrissJanni-lb5il 2 месяца назад +29

    Candy ana nifundisha kua mdomo sio kitu kizur eee mungu naomba niwe maneno mazur na kukaa kimya 😢😢

  • @marrytrance
    @marrytrance 2 месяца назад +85

    Nawapenda wote mnafatilia house girl ❤ kama unanipenda py 😂gonga like hapa

  • @AbdulazizMussa-sy2mz
    @AbdulazizMussa-sy2mz 2 месяца назад +14

    Wanao amini kendi ni malay wanipe lakes kutoka mwanza

  • @mvinyo99
    @mvinyo99 2 месяца назад +25

    Mke wa chiko n pisikalii pia mke wa kiramb ni motooo🥰🥰🥰

    • @user-ii3rb6uj7g
      @user-ii3rb6uj7g Месяц назад +1

      Umesahau bb pia nmkal ila nmekupa comment mana ujaomba

  • @MemoryKamutandi
    @MemoryKamutandi 2 месяца назад +24

    Nataman kay akutane na zuuu❤❤❤❤❤

  • @KampalaKmfzn
    @KampalaKmfzn 2 месяца назад +19

    Kai plz zuu mumependezana sana

  • @user-qm2kb1ln7p
    @user-qm2kb1ln7p 2 месяца назад +11

    Saniya. Umechezeya. Kipiqo. hiyo. Ndiyo. dawa. yamuonqo😂😂😂😂😂😂

    • @AminaNgumba
      @AminaNgumba 2 месяца назад

      Atapigw na nani ten maan bando limekatikia njian

  • @jedenecosta
    @jedenecosta 2 месяца назад +12

    5/5
    Nawafatiria
    Nikiwa
    Nairobi.kenya
    Movie
    Njema

  • @Rahmaomarymangosongo
    @Rahmaomarymangosongo 2 месяца назад +12

    Jamani nimeinjoy mno nilizan aifiki epsod 40

  • @DidaAlly-iz1it
    @DidaAlly-iz1it 2 месяца назад +10

    Msiguse comment yangu sitaki😂😂😂 nawara sitaki Iikee 😂😂

  • @Vincent0piyo-dc1qw
    @Vincent0piyo-dc1qw 2 месяца назад +7

    Jamani huku kila kipindi kinafika kwa muda...Chukueni ladole langu❤❤

  • @MauaSaid-t4b
    @MauaSaid-t4b 2 месяца назад +10

    Au ndio hao wachafuzi wako hadi kwenye busati wanakula futari 😅😅😅maana haifunguki imeingia nikaiplay hola 😅😅

  • @aishaseif-zq6zx
    @aishaseif-zq6zx 2 месяца назад +12

    Jmn Namm nipen like zangu nimekuwa wa kwanza na nimekuwa mfatiliaji Mzur tu

  • @Kinyua-ye8kk
    @Kinyua-ye8kk 2 месяца назад +6

    Candy wewe mnafiki kweli lkni Mungu yupo plan zako ujue zitafeli zote

  • @Zai-q7i
    @Zai-q7i 2 месяца назад +7

    Candy wewe et sania malaya wewe jee chiko mume wako mchepuko wako 😂😂😂😂

  • @HillarySendeu-ht3lj
    @HillarySendeu-ht3lj 2 месяца назад +25

    Yaani mambo fire fire ukitoka hapa unaendelea na nyingine ewaaaah ndo maana tunawapenda na kuwasuport wanao enjoy kama mimi gonga like

  • @privteemail4327
    @privteemail4327 2 месяца назад +7

    Mumetupiga Leo nakitu kizito😂😂😂mbona aifunguki

  • @MillyMjeni
    @MillyMjeni 2 месяца назад +4

    Kumbe kendy kalala na papa na chiku asa mimba ni ya papa hii movie tamu..alafu chiku hazai mkewe ako sawa 😂😂😂😂😂najiendeleza wenyewe wapenzi😂😂😂

  • @merinazyd0532
    @merinazyd0532 2 месяца назад +6

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Cendy ametiwa ka petii😂😂😂😂😂😂

  • @PriscaEmmanuel-fh4yn
    @PriscaEmmanuel-fh4yn 2 месяца назад +15

    Naomba like

  • @anfrashadvertiser4801
    @anfrashadvertiser4801 2 месяца назад +8

    Wale wa HOUSE GIRL GANG😅

  • @user-zw9jg7ne8k
    @user-zw9jg7ne8k 2 месяца назад +11

    Mbona mnachelewesha jamani 😊

  • @Saumu254
    @Saumu254 2 месяца назад +7

    Yaan kumoto kila kikicha yaan candy umeyatimbaaa leo Papaaa baba mutoto😅😅😅😅

  • @user-bf3ij2ie5k
    @user-bf3ij2ie5k 2 месяца назад +2

    Hahaaa sasa nimepata jibu hapa chiko hazai .....hii kimba ya candy niya huyu papaa afu chiko hazai mkewe ako sawa

  • @SalomeMhela
    @SalomeMhela 2 месяца назад +9

    Jaman mnatuacha patam hvyo tuongezeen dk

  • @HalimaJafari-yv2th
    @HalimaJafari-yv2th 2 месяца назад +5

    Makubwa kuliko yote kendi na papa hatari na nusu😅😅😅

  • @user-le6xc6ei5x
    @user-le6xc6ei5x 2 месяца назад +4

    Kwel kendi nyani haon kundule 😂😂😂😂mm hamu yangu nasbr kai amuoe zuu😂

  • @Maftaha-k8m
    @Maftaha-k8m 2 месяца назад +17

    Sawsaw,, yaan candy yupo katikati ya baari na maji yamejaa yamemfikia shingon amebaki kutapatapa2,, kibaya zaidi ajui kuogelea,, alafu maji yenyewe kwa luga yetu ya wadigo twayaita maji ya msindizi yale yakutoa mwezi 😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤ nawapenda sana from Kenya 🇰🇪

    • @Mwandegu
      @Mwandegu 2 месяца назад

      😅😅😅😅Wacha nipite tuu yauma lkn

  • @JustinJoseph-jf9xj
    @JustinJoseph-jf9xj 2 месяца назад +10

    Namba moja leo ❤🎉🎉🎉

  • @terimberejaliajalia8284
    @terimberejaliajalia8284 2 месяца назад +43

    Leo nimekuja tuu mapema nasubilia kwenye mlango😅.jameni na sisi watu wa Burundi tunawatizama sana na tunawapenda.nipeni basi like hata ngapi jameni 😂

    • @busatitv
      @busatitv  2 месяца назад +3

      Tunawapenda sana Watu wa 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

    • @RizikiZiki
      @RizikiZiki 2 месяца назад +1

      Waooo nasi tunawapenda sana wa Tanzanie

    • @user-xo7ns7bc8c
      @user-xo7ns7bc8c 2 месяца назад

      Waaah kumbe Candy kaz unayo mwanadada bado twasema mimba ni ya Chiko kumbe hata kuna mume wa Sania hapo then umsambaze mwenzako kua ni malaya😂😂😂😂

  • @estermpare4078
    @estermpare4078 2 месяца назад +49

    Yaani move ijamaliza ata lisaaa tiarii matahiraa yashaomba like !! Ata kulike hamn wala kusubscribe

    • @HopeMmbando-wb8ci
      @HopeMmbando-wb8ci 2 месяца назад +1

      Atari shoga sijui like zina Hela 😮

    • @KennethMAMBA
      @KennethMAMBA 2 месяца назад +1

      umesema neno wana niudhi hatar

    • @AwadhiMumbu
      @AwadhiMumbu 2 месяца назад

      Nikwel wanaboa san haooo

  • @bethkendi5157
    @bethkendi5157 2 месяца назад +30

    Tunaisubiria Kwa hamu sana

  • @IlhamShaban-vq3kx
    @IlhamShaban-vq3kx 2 месяца назад +3

    Chiko we na kujisifu kote kumbe mimba ni ya papa uweweeeee❤🎉

  • @Lucy-v3y
    @Lucy-v3y 2 месяца назад +3

    Nawapenda sana wanafatilia house girl dj leta vitu ausio nnakukumbali sana🥰

  • @MauaSaid-t4b
    @MauaSaid-t4b 2 месяца назад +6

    Sania bana et hata yeye anamtaka ila msimamo tu😅😅😅😅husemi kama tayari kimekurama chuma😅😅😅😅

  • @jackilinekaini8744
    @jackilinekaini8744 2 месяца назад +7

    Mambo yanazid kupamba Moto wapendwa

  • @JacklineNamahala
    @JacklineNamahala 2 месяца назад +4

    Yan Sasa hv ubaya ubaya tu Iła marafiki 😅😅😅😂😂😂

  • @AbdulazizMussa-sy2mz
    @AbdulazizMussa-sy2mz 2 месяца назад +10

    Nami naombeni Lake kwa wale wanaowakubal busati tv

  • @axmedhussein5721
    @axmedhussein5721 2 месяца назад +27

    Kuna wachoyo wa like..cimtupee jameni...

  • @LydiaJeremiah-vg4vl
    @LydiaJeremiah-vg4vl 2 месяца назад +99

    Walaki moja leo naombeni like ata sifur tuu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mana watu waako bize kuomba jamn kumbe busat mna gawaga like nahamsemi jamn

  • @user-sx6zw1pr1w
    @user-sx6zw1pr1w 2 месяца назад +36

    Kutoka 🇰🇪team Zuu team strong mko wapi tujuane kwa likes💪💪💪

    • @user-qv1jx5nj2u
      @user-qv1jx5nj2u 2 месяца назад

      Team strong tupo tuna enjoy house girl ila kendi pia wewe malaya usiseme mwenzio

    • @user-sx6zw1pr1w
      @user-sx6zw1pr1w 2 месяца назад

      @@user-qv1jx5nj2ukabisa yaani

  • @user-bb6oy5dl6y
    @user-bb6oy5dl6y 2 месяца назад +56

    Ambao walikuwa wakifikiri kuwa house girl itaishia ep40 like hapa 😂😂😂

  • @user-qh3xy2hi4t
    @user-qh3xy2hi4t 2 месяца назад +15

    Nategea chenye caddy atafanyiwa na sania

  • @Zainabu-xn3vd
    @Zainabu-xn3vd 2 месяца назад +18

    Jameni nangoja kwa hamu na ghamu msichelewe please 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @IreneJustine-d9s
    @IreneJustine-d9s 2 месяца назад +7

    Naombeni likeee jamani na mimi❤❤❤

  • @rashdmwikon
    @rashdmwikon 2 месяца назад +31

    Wakwanza mm Leo naomba like nyiing

  • @user-bj1gu8cw3b
    @user-bj1gu8cw3b 2 месяца назад +4

    Kendy acha umalaya usikute na huyo ushamtamani😂😂

  • @Mery-st4nu
    @Mery-st4nu 2 месяца назад +3

    Nimecheka sanaa 😂😂😂😂 alinipiga kubwa nikawa naona wakinamariamu😂😂😂😂

  • @blandinedusabe
    @blandinedusabe 2 месяца назад +8

    Basi team fulus mukija mupitie hapa❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @GloriaNahimana-x8p
    @GloriaNahimana-x8p 2 месяца назад +36

    Leo12naomba mwenye atakuja nyuma anipe like 🇧🇮🎉❤🎉❤

  • @Gloryaidan
    @Gloryaidan 2 месяца назад +4

    Sania mi 5 tenaaa....😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @user-wm7gu8os2i
    @user-wm7gu8os2i 2 месяца назад +1

    Hodi humu ndani nimewakuta house gri naweza kupata laki namieee😂😂😂mana nina shida

  • @user-yk5sl9bk3x
    @user-yk5sl9bk3x 2 месяца назад +5

    😂😂😂😂Jmn naona Kila mtu niwa kwanza Sasa wa mwisho nnan au n mm🙈❤❤🎉nam nipewe likes

  • @GraceJulius-kv3rz
    @GraceJulius-kv3rz 2 месяца назад +24

    Ma mimi nimewah jamani naombeni like 5 tuu

  • @user-vd9cj5ro4u
    @user-vd9cj5ro4u 2 месяца назад +18

    Jaman na me like leo hata siku 1

  • @LindaEDWARD-tu7ho
    @LindaEDWARD-tu7ho 2 месяца назад +23

    Nyie mnaroho mbaya hata like Moja jmn yaan tokea nmeanza kuangalia cjawahi kupata jmn wakenya wenzangu naombeni likes

  • @LydiaJeremiah-vg4vl
    @LydiaJeremiah-vg4vl 2 месяца назад +18

    Kuomba like tuu kusema mme jifunza nini aaah😂😂😂😂😂

    • @user-ii3rb6uj7g
      @user-ii3rb6uj7g Месяц назад

      Comment yako moto 🎉🎉🎉🎉wanakera

  • @MaryChemnyetich
    @MaryChemnyetich 2 месяца назад +16

    Aki leo musininyime like😂😂❤❤❤nimesubiri kwa hamu sna

  • @user-vi2gs5ie9m
    @user-vi2gs5ie9m 2 месяца назад +23

    Leo nimejaribu kuwahi ila tatizo sijazoea kuomba like 😌😌😜😜

  • @user-pi4oi9np3z
    @user-pi4oi9np3z 2 месяца назад +5

    Nyie watu ht mwaboa wallahi mtu akiingia kwa comment aangalie vile movie yaenda ywaona like like tu si m comment vile movie yaenda jamnii achni sifaa

  • @user-vh7gw3we5z
    @user-vh7gw3we5z 2 месяца назад +8

    khaa atal sana mko vizur kwa kuwahi sasa😂😂😂🎉

  • @user-ro7sk9ic7z
    @user-ro7sk9ic7z 2 месяца назад +2

    Huyo jamaa anaeish na baba yake Kai 🎉🎉🎉yuko vizur 😅😅

  • @RahabuMwashilinde
    @RahabuMwashilinde 2 месяца назад +7

    Ila watu mnawahi

  • @salmamwakabutama
    @salmamwakabutama 2 месяца назад +3

    😂😂kilamba ndio mimi sasa nikikuona nasepa sitaki shari

  • @melanianjau3244
    @melanianjau3244 2 месяца назад +3

    Kumbe si mimba ya chiko ni ya papa daaaah candy kashindikana hongera yake🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂😂

  • @kenethmwasenga
    @kenethmwasenga 2 месяца назад +33

    Wakwanza leo nipeni like jameen

  • @Anita-c4n9m
    @Anita-c4n9m 2 месяца назад +30

    WA Mia moja leoo naomben like😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅

  • @christinewanga7385
    @christinewanga7385 2 месяца назад +1

    Mr.Kilamba kwa hii Episode 41 amenichekesha kweli😅 Eti alipigwa kikumbo mpaka nrtwk ikamutoka mpaka akokosa kujielewa ni wa jinsia ngani🙆🤭 Cjui Mariam au Sakina 😂😂🙌

  • @Sayd-pi5lq
    @Sayd-pi5lq 2 месяца назад +2

    Yaani kilamba ukwaju katisha nime kubali kazi bg up sana

  • @fatuma6011
    @fatuma6011 2 месяца назад +3

    Busati mnafanya kaz nzuri hongera

  • @Mrsmick712
    @Mrsmick712 2 месяца назад +2

    Kai na zuu waonane tumemiss kumuona kai na mineno yake ya chombezo😂

    • @HappyJohn-zw5lu
      @HappyJohn-zw5lu 2 месяца назад

      😂nimemis kusikia Zuu uko poa hatuonani 😂

    • @Mrsmick712
      @Mrsmick712 2 месяца назад

      @@HappyJohn-zw5lu usisahau kuweka net na kusali pia

  • @HudhaimaYussuf
    @HudhaimaYussuf 2 месяца назад +2

    Nilidhemma dhikudhemma mimba siya chiko jaman kendi 😅😅😅

  • @user-if4zn5vf5z
    @user-if4zn5vf5z 2 месяца назад +15

    Kma unampend Sania gonga like tukisong mbele

  • @LucyKhachiti
    @LucyKhachiti 2 месяца назад +4

    Zuu tangu atoke mbio bado hajamfikia Kai jameni

  • @RachelJoseph-dy2jh
    @RachelJoseph-dy2jh 2 месяца назад +4

    Kazi nzuri sana❤❤❤

  • @esterkulwa
    @esterkulwa 2 месяца назад +2

    Candy bigup😂😂😂😂😂

  • @nurumwinyi796
    @nurumwinyi796 2 месяца назад +3

    Baa imezua baa kwa candy,haelewi mimba ya nani

  • @jacklineshayo3962
    @jacklineshayo3962 2 месяца назад +23

    Wanaoamin hii movie inakarbia final gonga likes hapaa🎉🎉🎉

  • @user-mb8nc4oh2j
    @user-mb8nc4oh2j Месяц назад

    Bwana kiramba nakupend bure kbs yaani unovo igize kwny film ukiwa n roho nzuri n maisha y kawaid uwe ivo ivo

  • @VailethYusi
    @VailethYusi 2 месяца назад +18

    Wa Kwanza mim naomba like zangu kutoka Dodoma

  • @philomenasteery3685
    @philomenasteery3685 2 месяца назад +1

    Jameni kumanisha chiko hawezi zalisha maana ujauzito ulio na candy sio wake 😮alafu analaumu mkewe kwa kutokupata mtto😂😂😂😂😂waume bana aah 😂😂😂😂😂😂

  • @NeliaDaniel-h9s
    @NeliaDaniel-h9s 2 месяца назад

    kiramba weeee niliwamis na mkeo hasa kale kajina kazi nzuri Busati 💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚🫶🙏💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚

  • @Joanmemusi
    @Joanmemusi 2 месяца назад +3

    Twenty two minutes to go....nasubiri kwa hamu sana

    • @user-ii3rb6uj7g
      @user-ii3rb6uj7g Месяц назад +1

      Hiki kzungu schakenya 😂😂😂

    • @Joanmemusi
      @Joanmemusi Месяц назад

      @@user-ii3rb6uj7g 🤣🤣cha wapi sasa...

  • @user-sc5gt6gs3s
    @user-sc5gt6gs3s 2 месяца назад +1

    Sania ni mmbea kweli na mawigi kama mikia ya kuku 😂😂

  • @directorwizzo3298
    @directorwizzo3298 2 месяца назад +12

    Timu zuu na cay gongeni like hapa

  • @edinagidion5395
    @edinagidion5395 2 месяца назад +2

    Tunaisubil kwa hamu xan❤

  • @Igra254
    @Igra254 2 месяца назад +1

    Naona maajabu kweli mwanamke mdangaji ni mdangaji tu

  • @MetrineKhisa
    @MetrineKhisa 2 месяца назад +15

    Aki s pia leo nmewai mapema like ata moja tu😂😂😂

  • @tausimct
    @tausimct 2 месяца назад +22

    Wakatikati leo naomba like zenu

  • @AliceCharo-wz9oz
    @AliceCharo-wz9oz 2 месяца назад +15

    Naiaubiria kwa hamu 😂😂htkma 41 sijaimliza ju ya network munipee likes guys

  • @user-hf9fh6nk6h
    @user-hf9fh6nk6h 2 месяца назад +1

    Wallah hii kipindi nimeipenda sana toka kanumba afe niliacha kuwarch move zakitanzania lakini toka nilivo kuta hii tiktok nimeanza tena kuwafatilia jamani mbarikiwe kwa kipaji mungu awazidishie ujuzi zaid na sisi tufaidi nawapenda sana jirani zangu 🌹🌹🌹🌹

  • @user-cg8ti1re1t
    @user-cg8ti1re1t 2 месяца назад +3

    mm hata nilidhani imeisha .munakawia sana .kutoa naomben like 🎉🎉🎉

    • @busatitv
      @busatitv  2 месяца назад +1

      Ila ww Muongo, episode ya mwisho imetoka jana saa 3 usiku mpaka kufikia leo tunachelewa kaaaah 🙌🙌

    • @furahamgina1402
      @furahamgina1402 2 месяца назад

      @@busatitvfigisu za wabongo kaka😂

    • @MariaMagele
      @MariaMagele 2 месяца назад

      Nimuongo kweri​@@busatitv

    • @Saumu254
      @Saumu254 2 месяца назад

      😅😅😅😅😅​@@busatitv

    • @irinemmasy8387
      @irinemmasy8387 2 месяца назад

      ​@@busatitvtatizo move ni tamu watu wanataka iachiwe baada ya lisaa

  • @FelisterBuhitu-xf9qv
    @FelisterBuhitu-xf9qv 2 месяца назад +1

    Mbona scene mnzirudia jamanii sa ndo nini dakika chache wahusika wananirudia