#SamiaMotocrossChampionship2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 68

  • @JumaAbdallah-gn5qu
    @JumaAbdallah-gn5qu 3 месяца назад +5

    Makonda 👍 kiboko Nikiongozi Hajawai kufeli Anajuwa kuongoza na kujenga Maendelea Naiyona Arusha mpyaa Zaidi mbele👍👍👍Piga kazi

  • @AlhajiIssa-jb9hr
    @AlhajiIssa-jb9hr 2 месяца назад +1

    Makonda is very bright person 🎉

  • @dannythegreat8017
    @dannythegreat8017 3 месяца назад

    Waooohhh, very impressive.
    Cuddles team ya uchambuzi, your're very smart . Not boaring, your're encouraging, inspiring and appreciative to our vijana on their ride.
    Hongera sana Mheshimiwa Makonda kwa ubunifu, na uwekezaji kwa vijana wetu. Hii sasa itaaongeza dhamani ya mtu anaendesha pikipiki, lakini vijana sasa wataona umuhimu wa kazi yao.
    Kwa hao wachache wanataka kuharibu kazi ya vijana wetu, tutawashughulikia ipasavyo. Arusha oyeeeeeee!!!!!!!!!!!!!

  • @malikkb6444
    @malikkb6444 3 месяца назад +1

    Big up sana. Mwanzo mzuri na kwa mara yakwanza Tanzania tunatengeneza identity nyingine ya mchezo utaoweza kututambulisha duniani..
    Kazi nzuri Mh. Makonda

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 3 месяца назад +1

    Du! Niko Kigoma, hii tunasema imeenda. Kiufupi utadhani tuko Denmark. Big up Paul Makonga the Great RC ever seen.

  • @Nostressalways
    @Nostressalways 2 месяца назад

    Big up makonda,Mwanza tupo nyumaa sana kumbe

  • @zakazakazi-fn6zy
    @zakazakazi-fn6zy 3 месяца назад +1

    Daaa mweli Arusha ni nchii hao maridder ni wanomaaaa ataaaariii sanaaa ni 🔥 🔥

  • @janethayo4967
    @janethayo4967 3 месяца назад +1

    Waaaoooo Arusha yang pendwa ❤

  • @stevenvictor437
    @stevenvictor437 3 месяца назад +1

    Duuuh safi sana, nwapats vzr nikiwa boda ya msumbiji hapa.

  • @YahayaYahaya-h2s
    @YahayaYahaya-h2s 3 месяца назад +1

    Masuuuudd mtalam wetu wa misugu sugu nimemuona bog up bro

  • @CimonMollel
    @CimonMollel 3 месяца назад +2

    Chuga kama mbele big up Paul makonda

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 3 месяца назад +1

    Hii tamu..hadi nimesisimka kwa ninavyopenda michezo hiyo ya bikes 🏍

  • @gladwellmassawe46
    @gladwellmassawe46 3 месяца назад +3

    Olasit🥳🥳🥳🥳🥳

  • @sylvanjosam3402
    @sylvanjosam3402 3 месяца назад +1

    Saf san makonda kula yangu chukuwa🎉

  • @franknnko4744
    @franknnko4744 3 месяца назад +1

    Pamoja sana Arusha

  • @alphagroup9477
    @alphagroup9477 3 месяца назад

    Arusha like America

  • @mamakayla6697
    @mamakayla6697 3 месяца назад +2

    Ni mzuri sanaaa,wakati mwingine wamwage maji kuondoa vumbi

    • @prime_215beatz
      @prime_215beatz 3 месяца назад

      😂😂😂 wamwage maji afu boda ipite utaua watu.. utelezi kidogo tu watajikuta wapo chini

    • @DominicKizwalo
      @DominicKizwalo 3 месяца назад

      😂vumbi ni sehemu mojawapo ya vigezo na obstacles. Yaonyesha ujuzi wa rider uko vipi

  • @AlfredMtandi
    @AlfredMtandi 3 месяца назад +2

    RC wewe nimwamba unaweza, Mungu akurinde nasi tunazidi kukuombea.

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 3 месяца назад

    Mh 💪💪💪💪💪🙌🙌🙌 kweli ww noma 🎉🎉🎉🎉

  • @JolotaErastoJuma
    @JolotaErastoJuma 3 месяца назад +1

    Pamoja sana POUL MAKONDA

  • @WisleyJohn-vy6jp
    @WisleyJohn-vy6jp 3 месяца назад

    Nice things

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 3 месяца назад

    Chuga iyooooo..😊😊

  • @ElibarikiElibarikimrema
    @ElibarikiElibarikimrema 3 месяца назад

    ❤❤

  • @hashimuomary4569
    @hashimuomary4569 3 месяца назад +1

    Kuanzia leo me shabik wa olasiti elisante

  • @stephenmsanzu9850
    @stephenmsanzu9850 3 месяца назад +1

    Makonda safi sana

  • @AllyKadege-on8zb
    @AllyKadege-on8zb 3 месяца назад +2

    Makonda anajua kuwafurahisha watu wake

  • @WazirJuma-gd5oo
    @WazirJuma-gd5oo 3 месяца назад

    Yani makonda hapana wewe nikiongozi bwana unaweza kiivusha hii nchi Kwa kipndi kifupi Sana . Maana umeangalia mbali mno mungu akubariki Sana brother.

  • @ALEXLOTAN
    @ALEXLOTAN 3 месяца назад

    Safi sana mama. Makonda usitoke alusha tutakupa urais aki l love you chuga yangu

  • @FREDDYJuma-gk6lp
    @FREDDYJuma-gk6lp 3 месяца назад +3

    Chuga kama ulaya😁

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 3 месяца назад

    Safi sana

  • @dullayomwinyi3359
    @dullayomwinyi3359 3 месяца назад +3

    Chuga kama mambele yani

  • @JosephMoleni
    @JosephMoleni 3 месяца назад

    Nakupenda makonda

  • @bonifassimon7909
    @bonifassimon7909 3 месяца назад +7

    Hapa dar labda mashindano ya pombe na majungu vitu kama hivi tutaishia kutozama kwa TV tu

  • @LeonardJumanne-p2q
    @LeonardJumanne-p2q 3 месяца назад +2

    Kama mbele iyo ndio arusha

  • @WisleyJohn-vy6jp
    @WisleyJohn-vy6jp 3 месяца назад

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @emmanuelmchomvu2676
    @emmanuelmchomvu2676 3 месяца назад

    Hyo Elisante mamaeee watu wana balaa

  • @rashidlwengo6940
    @rashidlwengo6940 3 месяца назад +1

    Mmh huyo anweza kuwa mwiz huyo

  • @MsafiriRichard-c1i
    @MsafiriRichard-c1i 3 месяца назад +1

    Wapo viruri sana tunaonba tanga pia iwepo kama hii. Au kila mkoa .

  • @AllyNgubo
    @AllyNgubo 3 месяца назад

    yes makonda

  • @allyzubery1768
    @allyzubery1768 3 месяца назад

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 3 месяца назад +1

    Makonda ni raisi ajae

  • @shuaybuMalonga
    @shuaybuMalonga 3 месяца назад +1

    Hawez linganiaha Chuga na mikoa ningne asee Kwa cc 2liowahi zunguka Tz Chunga n Jiji Lina Kila sfa

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 3 месяца назад +1

    Ubaya Wa Tanzania kila kitu kinakua na kumbembeleza Rais. Kwakua wameweka mamulaka kama yote kwa Rais. Rais hana control power nyuma yake. Hakuna utofauti Wa kipindi cha tawala za wazungu na rais Wa Sasa.

    • @sundaystanley5322
      @sundaystanley5322 3 месяца назад

      Unamaanisha nini hapo,hili ni wazo la makonda,na kaamua kuingiza jina la samia hapo kuna shida gani

  • @thomasmunis9814
    @thomasmunis9814 3 месяца назад +1

    A town kama mambele

  • @SirajiRashidy
    @SirajiRashidy 3 месяца назад

    Duuh izo vumbi 😅😅jamn

  • @johngitau6995
    @johngitau6995 3 месяца назад

    Katika vumbi ajali inaweza tokea rahisi,mbona wenye kuanda hawaweki Lori la kunyumyuiza maji na kuondoa hio hatari.

  • @SadikiSaid-cp1pt
    @SadikiSaid-cp1pt 3 месяца назад

    piki piki ndio atuna ira wapo vizuli ira biki piki sio izi sasa

  • @DanielMaksiro
    @DanielMaksiro 3 месяца назад

    NIMEIKOSA HII DAAH😢

  • @evansmoshi1923
    @evansmoshi1923 3 месяца назад

    Dah! ilo vimbu lisije kusababisha ajali

  • @HusnaSimbila-ig7ks
    @HusnaSimbila-ig7ks 3 месяца назад

    Olasitiii

  • @AthumanyMvula
    @AthumanyMvula 3 месяца назад +1

    Wangemwaga ata maji kupunguza vumbi

    • @fahadsalim3000
      @fahadsalim3000 3 месяца назад

      Ukimwaga maji njia😂itateleza kwa bike sio salama❤

    • @JumaDezombie-cn3yu
      @JumaDezombie-cn3yu 3 месяца назад +1

      𝙢𝙖𝙟𝙞 𝙖𝙮𝙖𝙢𝙬𝙖𝙜𝙬𝙖𝙜 𝙝𝙖𝙩𝙖 𝙢𝙗𝙚𝙡𝙚

  • @rashidlwengo6940
    @rashidlwengo6940 3 месяца назад

    Makonda hajawahi kufeli

  • @ShimbaChilemeji
    @ShimbaChilemeji 3 месяца назад

    Olasit anakiwasha haswa