CAG Mstaafu Prof. Assad Aingilia Kati Uwekezaji wa Bandari Atoa Maneno Mazito, Mwabukusi na Wenzak..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • CAG Mstaafu Prof. Assad Aingilia Kati Uwekezaji wa Bandari Atoa Maneno Mazito, Mwabukusi na Wenzak..
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    #cagmstaafu #profmussaassad #uwekezajiwabandari #wakilimwabukusi #mwabukusi #bandari

Комментарии • 100

  • @aminajuma717
    @aminajuma717 Год назад +3

    Mungu ibriki Tanzania

  • @akilimalindevu520
    @akilimalindevu520 Год назад +6

    Kweli baba tozo na ushuru mwingi haukuzi uchumi kwa hili nakuunga mkono

  • @emanuelmbaga6848
    @emanuelmbaga6848 Год назад +4

    Naombeni like zangu nimewahi

  • @funnycomedyvines1467
    @funnycomedyvines1467 Год назад +5

    Tiki Tv naona na bandari mmeamua tusipitwe, mtuletee na Lissu saaa

  • @emanuelmbaga6848
    @emanuelmbaga6848 Год назад +6

    Mzee kama huna Cha kuongea heri unyamaze watanzania wa Sasa sio wale wa zamani

  • @RaphaelMachinda-ih5we
    @RaphaelMachinda-ih5we Год назад +3

    Mitajihiya hutolewa kwaubaguzi ukijulikana ww wachadema hupewi

  • @BenardSambilo
    @BenardSambilo Год назад +5

    Hatuutaki huo mkataba halafu usiwaulize wazanzibar kuhusu mkataba wa bandali

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc Год назад +3

    Ushauri huo ulitakiwa kabla ya mkataba kusainiwa huyu prof Ana uwezo mkubwa,

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc Год назад +4

    Prof Akumbuke Nchi yetu imesumbuka sana na masuala ya mikataba mpaka Sasa inatugharimu sana

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc Год назад +3

    Hayo aliyo SEMA hayawezi kurekebishika yangekuwa mapema Msingi wa mikataba inayokuja ni huo ulio sainiwa

  • @majidukalokola7253
    @majidukalokola7253 Год назад +5

    Msiishie kwa huyo Professerial bali mlete na Tundu Lissu hapa ili kibalance equation.

    • @saturinimushi4746
      @saturinimushi4746 Год назад +4

      Upo Sahihi.
      Tatizo ni kwamba DPWorld Wameahidi kwamba Watajenga Msikiti Mbeya Mjini na Pia Zanzibar.
      Sasa kama Ni Faida itayotokana na Mapato ya Bahari na Bandari Wange balance Kwa kujenga Makanisa Pia.
      Shida ni kwamba Ukiwa Na Ulevi wa Dini Haki ikitolewa kwako ni Sawa lakini Haki hiyo hiyo akipewa asije wa Dini yako Unaona Siyo Sawa Wakati Rasilimali ni Zetu Sote kama Taifa..
      Heri Wangeahidi Kujenga Shule, Hospital, Barabara na Madaraja Vitu vinavyotumiwa na Watu Wote.

    • @mariamnyange199
      @mariamnyange199 Год назад

      ​@@saturinimushi4746kwani hivyo vitu vyote tunashimdwa kujenga sisi wenyewe mbona tunakila kitu tunahaja gani yakusubiri kuja kujengewa na hao warabu?

    • @mediasocialite
      @mediasocialite Год назад

      Hata hivyo prof. ni mchumi siyo mwanasheria. Hivyo amechangia kama mchumi, tatizo amebeza utaalam wa wanasheria. I think Kwa kubeza wanasheria ktk mambo ambayo hata serikali imeshaona kuwa kweli Yana kasoro, inampunguzia credit.

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Год назад

      @@saturinimushi4746 mpumbavu sana wewe mbona hujazungumzia Mou ya serikali na makanisa,,,,mjinga sana

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Год назад

      @@mediasocialite Hilo suala Lina mitazamo yote,,,,ujinga wenu mnaliangalia katika mtizamo mmoja (legal perspective, economic perspective, political perspective)

  • @mariamnyange199
    @mariamnyange199 Год назад +4

    Kwani ni lazima tuwape bandari hao warabu sisi kama watanzania hatutaki tutawapa bandari wawekezaji wengine sio lazima warabu

    • @abdallahrashid169
      @abdallahrashid169 Год назад +3

      Hapo sasa

    • @rebeccamsami4580
      @rebeccamsami4580 Год назад +3

      Waarabu .hapana

    • @mariamnyange199
      @mariamnyange199 Год назад

      ​@@mkudeww ndo wamekutuma uje ujibu comment zetu pumbavu ww Sasa bandari hatuna haja ya kumpa mzungu Wala hao wasenge warabu tutabaki nazo wenyewe watanganyika mzungu mwarabu wote sawa tu coz wako kimaslahi yao na si ya watanzania tunasemajee tumechoka upumbavu wenu

    • @mariamnyange199
      @mariamnyange199 Год назад

      ​@@mkudeww ndo ungekunywa hiyo sumu ufe dakika hii ingewezekana unyongwe kabisa kenge ww

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Год назад

      Mahakama ishawapiga chini tayari na Mwarabu anakuja kupiga kazi

  • @hermanhhaaly9685
    @hermanhhaaly9685 Год назад +3

    Haujausoma mkataba na wanaleta Mambo ya udini

    • @swahiliqueen9920
      @swahiliqueen9920 Год назад +3

      Warabu wenyewe hawawapendi kama nn wako kimaslahi yao tu

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Год назад

      @@mediasocialite wewe ndio mjinga, Hilo suala Lina mitazamo yote,,,, legal perspective, economic perspective, political perspective

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Год назад

      Wewe na wapumbavu wenzako ndio mnaoleta udini, DP world ni wawekezaji tu

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 Год назад

      Kama issue ni pale bandari Dar es Salaam, kwa nini watwae bandari zoooteeee za nchi hii?
      Kwa nini huo mkataba hauna ukomo?
      Kwa nini bandari za Zanzibar hazimo kwenye hilo gulio?
      Sikubali uzuzu ugawe mali za Taifa hili

  • @AkiliNdefu
    @AkiliNdefu Год назад +4

    Hivi huyu CAG alistaafu au alitenguliwa?😢😢

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Год назад +2

      Alitenguliwa kama nijuavyo

    • @DR.SAIFILLAH.5363
      @DR.SAIFILLAH.5363 Год назад +2

      Kisheria huitwa mstaafu

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Год назад

      Huyo alitolewa na mamlaka Kwa chuki tu baada ya kuwaambia ukweli kuwa Bunge ni dhaifu katika kuisimamia serikali kuhusu ripoti zinazotolewa na CAG kuhusu wizi na ufisadi wa Fedha na Mali ya umma, alipoitwa na Bunge kwenda na kutakiwa kufuta kauli yake alikataa na kuendelea kusimamia kile alichoamini kuhusu udhaifu wa Bunge ndio wakamfanyia figisu tena Kwa kuvunja Katiba wakamtoa, hakuna asiyelijua Hilo,,,,,

  • @BeatriceKalembwane
    @BeatriceKalembwane Год назад +4

    Dahhh

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Год назад +4

    Professor anaweza kuwa mawazo yake. Lakini mimi nasema kama mtanganyika nakataaDP WORLD kwa sababu DP WORLD pamoja nayo yote DP WORLD hana makesi mengi sana. Anakesi na Jibuti, Somalia, Kenya na sehemu nyingi. Kwani hso hawataki mapato hayo mazuri, kwa sababu hiyo mama unataka kutuletea kesi na DP WORLD. Kwanza hatuwataki toka mwanzo. Ndiyo sababu amewafanya msiweze kusoma huyo Mkataba ili mkaukubali kimbumbu ili aje apate mapato kutokana na makesi

    • @mariamnyange199
      @mariamnyange199 Год назад

      ​@@DR.SAIFILLAH.5363kumbe kunatahira lingine hapa lisilo ona tatizo juu ya mkataba😂😂

    • @swahiliqueen9920
      @swahiliqueen9920 Год назад

      ​@@DR.SAIFILLAH.5363kwa hiyo kwako ww bandari inauzwa kwa waarabu nisawa?aliekuroga kafa😅

    • @sabinamushi1003
      @sabinamushi1003 Год назад +2

      Naunga mkono🤝

    • @jitukorofi9517
      @jitukorofi9517 Год назад

      Kenya na Somali dp world kuna kesi gani muongo wewe

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Год назад

      Wewe mtanganyika huwataki DP, Sisi watanzania tunawataka,,

  • @brendangabriel1643
    @brendangabriel1643 Год назад +5

    Prof. bado hujajibu maswali tata khsu mkataba. Mkataba wa DPW hautoi mwanya kwa mwekezaj mwingine, wanapewa zoote za Tanganyk, kwa nin za Znzb no? Muda wa mkataba hakuna, mikataba midogo ni siri, hapo vipi tunaelewa nn?
    Ni kweli Prof Shivji, mhadhiri university 47yrs hajui mkataba mbovu au wenye faida?
    Jambo hili liitishiwe mdahalo wa wazi kati ya manguli wa sheria na mikataba vs wanasheria wa uwekezaji ili tupate uhalisia kamili.
    Prof Assad vs Prof Shivji na team zao, waje uwanjani.

  • @jomba6514
    @jomba6514 Год назад +2

    😂

  • @BeatriceKalembwane
    @BeatriceKalembwane Год назад +3

    Kwahiyo tunaandaliwa kisaikolojia ehh

  • @MikidadiMahumbi
    @MikidadiMahumbi Год назад +1

    Darasa zuri sana

  • @MAFUNDISHO1
    @MAFUNDISHO1 Год назад +1

    Proffesor ameongea vizuri! Kuwa na KPI mikataba ya chini, lakini pia nakubaliana na proffesor kwa sababu ya hofu ya huko nyuma ni vizuri wakaweka uko kama ville miaka 20, 15 nk

  • @kitutujuma9602
    @kitutujuma9602 Год назад +2

    Huyu c ndio yule wakati wa magu katolewa.
    Sasa ni mstaafu eti?

    • @alexanderjustine1523
      @alexanderjustine1523 Год назад +2

      Tulia usiyempenda kaja

    • @DR.SAIFILLAH.5363
      @DR.SAIFILLAH.5363 Год назад

      Kisheria ni mstaafu
      Pia mahakama imetoa tamko kwamba Hayati Magufuli alimtengua kimakosa

    • @mariamnyange199
      @mariamnyange199 Год назад +2

      ​@@alexanderjustine1523ndo mmemtuma awasafishe madudu yenu😂😂

    • @sabinamushi1003
      @sabinamushi1003 Год назад +2

      ​@@mariamnyange199🤝👏👏

  • @osodowilberforce2321
    @osodowilberforce2321 Год назад

    Huyu Prof.mbona simuelewi?Samia ameuza bandari zote za Tanzania/Tanganyika kwa DPW,hata bandari za Ziwa Victoria,Tanganyika,Nyasa.Sijui mukataba wa Afrika Mashariki unakubalia inchi binafsi kuuza bandari zake za Ziwa Victoria bila kufahamisha Inchi zingine.

  • @RaphaelMachinda-ih5we
    @RaphaelMachinda-ih5we Год назад +3

    Ameyumba

  • @MikidadiMahumbi
    @MikidadiMahumbi Год назад +1

    Duu nimekuelewa

  • @christosiadanieli6512
    @christosiadanieli6512 25 дней назад

    ni kweli kwa watumishi wa serikali wengi hawafanyi kazi kwa tija

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 4 месяца назад

    Assadi huna akili kwahiyo kusomana wanaweza hao waarabu tu sisi hatuwezi kufanya jibu kwanini imesainiwa kabla ya kupita bungeni na Kwa wananchi

  • @mimiraia2531
    @mimiraia2531 Год назад

    Kama issue ni pale bandari Dar es Salaam, kwa nini watwae bandari zoooteeee za nchi hii?
    Kwa nini huo mkataba hauna ukomo?
    Kwa nini bandari za Zanzibar hazimo kwenye hilo gulio?
    Sikubali uzuzu ugawe mali za Taifa hili

  • @mfirimassawe9023
    @mfirimassawe9023 Год назад

    Pro Asad,naamini unaweza kuwa mshaur no moja was ikulu laki kwa serikali hii watakunyima mbingu bure

  • @ruwaichijoseph5946
    @ruwaichijoseph5946 Год назад

    Kama mmeshindwa kuongoza nchi mpaka mmezeeka matumbo hamna jipya

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Год назад +2

    Kuna watu wanapitisha mizigo yao bure pale bandarini wanaogopa wawekezaji wakija hakuna bure Tena

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 Год назад

      Kama issue ni pale bandari Dar es Salaam, kwa nini watwae bandari zoooteeee za nchi hii?
      Kwa nini huo mkataba hauna ukomo?
      Kwa nini bandari za Zanzibar hazimo kwenye hullo gulio?
      Kina fulani, mtu wenu kaingia choo cha kiume, mistetee uzuzu.
      Sikubali uzuzu ugawe mali za Taifa hili

  • @makameali2133
    @makameali2133 Год назад +1

    Wape somo kina lisu

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 Год назад

      Kama issue ni pale bandari Dar es Salaam, kwa nini watwae bandari zoooteeee za nchi hii?
      Kwa nini huo mkataba hauna ukomo?
      Kwa nini bandari za Zanzibar hazimo kwenye hilo gulio?
      Sikubali uzuzu ugawe mali za Taifa hili

  • @JustinMphuru
    @JustinMphuru Год назад

    Miaka yote Nilikua sijamuelewa, hivi Sasa nimemuelewa vizuri.Kumbe ndio sababu Hayati Magufuli aliielewa Nia iliyokuwepo Moyoni mwake.

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Год назад

      Usisahau kuwa Magu aliiielewa pia Nia ya Lissu iliyokuwa Moyoni kwake,,,

  • @Eizyme
    @Eizyme Год назад

    pro, musa assadi kichele

  • @mfirimassawe9023
    @mfirimassawe9023 Год назад

    Kwanini watu Kama nyinyi mmewekwa mbali na raisi

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Год назад

      Si mwendazake alimfanyia figisu na kumtoa CAG baada ya kuliambia Bunge ni dhaifu katika kuisimamia serikali kuhusu wizi na ufisadi wa Fedha na Mali za umma

  • @osodowilberforce2321
    @osodowilberforce2321 Год назад

    Huyo CAG mustaafu ni pumbavu sana,anaingiza udini kwa kazi ya serkali.Basiaendelee kuwa muislamu mujinga..

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 Год назад

      Kama issue ni pale bandari Dar es Salaam, kwa nini watwae bandari zoooteeee za nchi hii?
      Kwa nini huo mkataba hauna ukomo?
      Kwa nini bandari za Zanzibar hazimo kwenye hilo gulio?
      Sikubali uzuzu ugawe mali za Taifa hili

    • @SarahAdam-c4m
      @SarahAdam-c4m 9 дней назад

      Wewe ndio mjinga

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Год назад +1

    Bandari lazima tuwape wawekezaji mana wanaopinga wanaogopa maslah yao yatakufa

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 Год назад

      Kama issue ni pale bandari Dar es Salaam, kwa nini watwae bandari zoooteeee za nchi hii?
      Kwa nini huo mkataba hauna ukomo?
      Kwa nini bandari za Zanzibar hazimo kwenye hilo gulio?
      Sikubali uzuzu ugawe mali za Taifa hili

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Год назад +1

    Vichwa kama hivi ni adimu sana sasa hivi,,,,pokea maua yako prof.

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 Год назад

      Kama issue ni pale bandari Dar es Salaam, kwa nini watwae bandari zoooteeee za nchi hii?
      Kwa nini huo mkataba hauna ukomo?
      Kwa nini bandari za Zanzibar hazimo kwenye hilo gulio?
      Sikubali uzuzu ugawe mali za Taifa hili

  • @danielachayoAchayo
    @danielachayoAchayo Год назад

    Hata wewe cag hufai kabisa ,mkataba gani hauna ukomo?kama sio kuuza

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Год назад

      Umemsikiliza vizuri au ujinga wako unakuelekeza vinginevyo?

  • @mohammedamour4930
    @mohammedamour4930 Год назад

    Hivi vichwa ndio vya kusikilizwa sio źe comed siasa

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 Год назад

      Kama issue ni pale bandari Dar es Salaam, kwa nini watwae bandari zoooteeee za nchi hii?
      Kwa nini huo mkataba hauna ukomo?
      Kwa nini bandari za Zanzibar hazimo kwenye hilo gulio?
      Sikubali uzuzu ugawe mali za Taifa hili

  • @mfirimassawe9023
    @mfirimassawe9023 Год назад

    Baba fikiria hata kugombea urais

  • @mzarendo.com9624
    @mzarendo.com9624 Год назад +4

    Weee nae usi tutibue nyongo zetu Watanganyika nyau wewe. Mkataba wa DP. WORLD, upo wazi kabisa na wala hauitaji mtu kuwa chuo kikuu ndo uelewe. Tunasema hatutaki mkataba huo ni mbovu. Na kama kuongea juu mkataba huo ni lazima usomee sheria za uwekezaji mambo ya bahari; sasa mbona wewe ni mchumi wa kawaida tu, lakini waongelea mkataba huo wa uwekezaji wa DP. WORLD, hali ya kuwa wewe si mtaaluma wa sheria na uwekezaji uchumi wa bluu?
    Hujioni ya kwamba ni msenge mmoja tu ambaye nyuma yako kuna udini na uarabu ndo umekujaa tu, na si uharisia wa jambo lenyewe ulivyo?
    Kaa kimya kama huna cha kilicho chema cha kuchangia juu ya mkataba huo mbovu DP. WORLD.
    🥺🥺😟😟😳😳

    • @mariamnyange199
      @mariamnyange199 Год назад +3

      Anaongea upumbavu mtupu utadhani anaongea na watoto wadogo wasioelewa mambo

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 Год назад

      Kama issue ni pale bandari Dar es Salaam, kwa nini watwae bandari zoooteeee za nchi hii?
      Kwa nini huo mkataba hauna ukomo?
      Kwa nini bandari za Zanzibar hazimo kwenye hilo gulio?
      Sikubali uzuzu ugawe mali za Taifa hili