FADHILA KWA WAZAZI-MCHINGA SOUND

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 окт 2024
  • Huu ni wimbo mzuri wa dansi Unaoishi daima ambao Ulitungwa na Rogert Hegga aka Caterpillar na kuibwa na bendi ya Mchinga Sound kwa heshima ya muziki mzuri wa dansi ndio maana Tumeweka usipite bila kutoa maoni na kusubchribe channel hii lengo ni kusapoti muziki wa dansi

Комментарии • 77

  • @benjaminsanare-ug6ge
    @benjaminsanare-ug6ge 10 месяцев назад +4

    Tunao usikiliza 2023 kwenda 2024 gonga like zenu apa

  • @hon.geofreywambura1701
    @hon.geofreywambura1701 Год назад +3

    Daaah nakumbuka mbali sana hizi nyimbo jamani .... umevumbua kitu bora sanaaa .... umenifanya nilie machozi

  • @diwanikatayankonko2671
    @diwanikatayankonko2671 Месяц назад +2

    2024 tunatamba nao

  • @MaximeMasinga
    @MaximeMasinga Месяц назад +2

    Nipo tena 2024

  • @mzeewajambo8293
    @mzeewajambo8293 20 дней назад

    Daah ila Muumini Mwinjuma alikuwa hatari😢😢🙌🙌🙌🙌

  • @Praisingthroughmusic
    @Praisingthroughmusic 3 года назад +3

    katapila nyamaza kulia😭 ukilia waniliiiza wanikumbusha ukiwa katapila nyamaza weee🤗

  • @amosmutasa3454
    @amosmutasa3454 2 дня назад

    aliye piga hiyo solo guitar daaah Mungu akubariki sana

  • @AlphonceShija
    @AlphonceShija 5 месяцев назад +1

    Endeleeni kupumzika mahali pema peponi wazazi wangu niliwapenda sana ila mungu amewapenda zaidi 🙏

  • @daud405
    @daud405 2 года назад +1

    duh naikumbuka huu mziki vzr san.ninatokwa na machozi san kipindi hicho ubwabwa maharage ilikuwa mia tatu tu kipindi cha mkapa

  • @jumannelutazi3403
    @jumannelutazi3403 3 года назад +5

    Mwimbo huu una maneno kuntu, wakati mwingine unahuzunisha kwa tulio kosa wazazi wetu lakini pia unatukumbusha tuwaenzi wazazi

  • @FeluziAbdallah
    @FeluziAbdallah Год назад +1

    Wimbo huu nawakumbu wazaziwangu walio tangulia mbele haki

  • @sangomamourice3539
    @sangomamourice3539 2 месяца назад

    Asante wazazi wangu pumzikeni kwa amani ninyi ni watu bora mno asante mchinga hakika uhai ni zawadi mwanzoni mwa 2000

  • @joycemarwa2881
    @joycemarwa2881 2 года назад

    Nikilia sana namkufulu MUNGU....
    Nabaki na uchungu mwingi moyoni.....

  • @jumaakida9671
    @jumaakida9671 3 года назад +3

    Fadhila kwa wazaz wamepata tabu na mm. Ninapata tufurahi wote Mungu anawachukuwa.

  • @fatumamadebe6693
    @fatumamadebe6693 3 месяца назад

    Nakumbuka mbali sana 2024

  • @nzigesalim5056
    @nzigesalim5056 2 года назад +2

    Hii nyimbo tangu inatoka mpaka leo 2022 naipenda sana

  • @rashidsemmy2508
    @rashidsemmy2508 3 года назад +4

    Watunzi walikuwepo walikuwa wanatunga nyimbo kwa vina vya hali ya juu

  • @fundijambia8169
    @fundijambia8169 2 года назад

    Wanikumbusha mbali sanaaaeee

  • @sajjidmbaramwezi6967
    @sajjidmbaramwezi6967 3 года назад +2

    Kitambo ichoooo sauti ya muumini nilikuwa niataliiiiii

  • @ashuralihinda9065
    @ashuralihinda9065 2 года назад

    Pumnzika Kwa amani nakumic mamaanguuu.

  • @isayahungu4998
    @isayahungu4998 2 года назад +1

    Nawapenda Sana wazaziwangu pumzikinikwaamani

  • @mtawabohari6075
    @mtawabohari6075 4 года назад +4

    Safari ya Dar-liwale

  • @iddydaruwesh8650
    @iddydaruwesh8650 4 года назад +7

    Uzuni huongezeka ukiwa hauna wazazi
    Nyimbo ni nyimbo ila ni ukunbusho

    • @kasimmkumba1698
      @kasimmkumba1698 4 года назад

      Hii nyimbo inanikumbusha mbali sana na naipenda kusikiliza kuna isia zinznikumbusha

    • @wardatliban8139
      @wardatliban8139 4 года назад

      Nyimbo taamu

  • @MwajabuMuhomba
    @MwajabuMuhomba Месяц назад

    Pumzikeni kwa amani baba zangu😢

  • @achileusdamiani9331
    @achileusdamiani9331 2 года назад

    Yakale dhahabu

  • @mussakongakonga6416
    @mussakongakonga6416 3 года назад +1

    Nyimbo nzur Sana muumin uko wp kweli umeweka alama kwa nyimbo nzur

  • @priscaungani985
    @priscaungani985 3 года назад +1

    Kitambo sana

  • @yusterowino419
    @yusterowino419 2 года назад +2

    Wapumzike kwa Amani wazazi wangu nawamisi Sana kupitia wimbo huu 😭😭😭😭....Bado Nawapenda sana

  • @godwinmbogo9833
    @godwinmbogo9833 4 года назад +5

    Music ulikuwa enzi hizo aisee, unaweza kudondosha machozi

  • @faridazayumba6935
    @faridazayumba6935 2 года назад

    Huu wimbo hauishi ladha miaka yote

  • @stevenkadege5615
    @stevenkadege5615 Год назад

    Rip bibi mama wajomba daaaa😭😭😭😭😭

  • @jescamoyo2442
    @jescamoyo2442 4 года назад +11

    Hii nyimbo toka imetoka mpk leo cjawah kuisahau naipenda sana 2020 now aisee ni fire

  • @mussakongakonga6416
    @mussakongakonga6416 3 года назад +1

    Unashiba hta kma unanjaa kiukweli umlio na wazaz muwaenz

  • @salmadajuma2987
    @salmadajuma2987 3 года назад +2

    Naipenda sana hii nyimbo na aichuji

  • @godfreymlimbila2770
    @godfreymlimbila2770 4 года назад +7

    Nawakubali sana, wekeni nyimbo nyingi sana humu za sasa na za zamani 👏👏👏

  • @julithamuhale7271
    @julithamuhale7271 4 года назад +3

    Maskini ! Duuh! Mchinga sound mnatuhuzunisha!

  • @maximemasinga9504
    @maximemasinga9504 Год назад

    Daaaa miss my daddy KENED MASINGA❤️❤️ and my mother MARTHA MASUDYA ❤️❤️ rest in piec 😭😭😭😭🙏🙏2023

  • @MwajabuMuhomba
    @MwajabuMuhomba Месяц назад

    18/9/2024 pumziken kwa aman baba zangu

  • @zaitunibonface8441
    @zaitunibonface8441 2 года назад

    Sina chakusema😥😥😥😥😥😥

  • @crabmotility4207
    @crabmotility4207 4 года назад +2

    Huu wimbo unaweza kukutoa machozi

  • @somoesomoe8490
    @somoesomoe8490 3 года назад +2

    Dahuu! Nimelia kwa isia sana😭😭

  • @edanlogistics6889
    @edanlogistics6889 3 года назад +5

    who listen to this song till today 2020

  • @OmarySenkondo-iu8qo
    @OmarySenkondo-iu8qo Год назад

    Mchinga saumd

  • @maryamhumudi7136
    @maryamhumudi7136 3 года назад +1

    Bado nakumbu hii nyimbo naipenda

  • @RehemaSanta
    @RehemaSanta 8 месяцев назад

    Special kwa cc yatima

  • @stephenogwa618
    @stephenogwa618 4 года назад +3

    niliukubali sana huu wimbo na nyingine zilizokuwepo ktk hiyo albam ya mchinga sound

  • @dawayao2837
    @dawayao2837 4 года назад +2

    Mchinga sound katika ubora wao muumini,katapila

  • @mtawabohari6075
    @mtawabohari6075 4 года назад +2

    Nakumbuka safari ya Dar-Locale 2002 kipindi cha masika ilituchukua siku tano!...wakati ule daraja la Mkapa halijaisha, kivuko ni panton, barabara ni ya vumbi.....!

  • @sangomamourice8680
    @sangomamourice8680 4 года назад +1

    asante kumbuku zimerejea hakika music ni kitu kizur kurudiaha hisia home

  • @jaffarykifua2095
    @jaffarykifua2095 4 года назад +3

    Rogati katapila

    • @sapnex965
      @sapnex965 4 года назад

      Zamani walikuwa wanatunga nyimbo nzuri Sana hawakujikita kwenye nyimbo zza mapenzi Kama wanamuziki Wa sikuhizi

  • @msangazimsangazipapaandomb8761
    @msangazimsangazipapaandomb8761 4 года назад +1

    Rogart Katapila(Tanzaniiia). Dogo wake na Papaa Msangazi.

  • @monicampokwa441
    @monicampokwa441 Год назад +1

    Rip Dad and mom ❤️❤️❤️🙏 🙏🙏.

  • @lssamabrouk438
    @lssamabrouk438 4 года назад +1

    Safi sana sana.da....h

  • @bogoheidaso2628
    @bogoheidaso2628 3 года назад +1

    Wimbo mzuri hautasaulika

  • @kisomizaidi4909
    @kisomizaidi4909 4 года назад +1

    hii ndo mziki unaodumu aseee

  • @lisaibrahim8435
    @lisaibrahim8435 3 года назад +1

    2021 twende pamoja

  • @mrishosinyenge8319
    @mrishosinyenge8319 3 года назад +1

    Yani maneno kayapanga kikamilifu na kayaweka ktk nafasi zake hysika nilazima kitu kitolezee

  • @naturalherbs4910
    @naturalherbs4910 3 года назад +1

    🔥🔥🔥

  • @happytarsis6339
    @happytarsis6339 2 года назад +1

    02-02-2022

  • @hamismusa7314
    @hamismusa7314 4 года назад +1

    Tukimalizia 2020

  • @thepijo1264
    @thepijo1264 2 года назад

    Hivi huu wimbo ulitoka mwaka gani, maana nakumbuka nilikua nausikia nikiwa mdogo kati ya drs la 1 au 2. Anayekumbuka pliiz

  • @AthumanAlly-h9y
    @AthumanAlly-h9y Месяц назад

    Kwasasa,hakuna,watunzi

  • @amosjames1103
    @amosjames1103 3 года назад +1

    3/8/2021

  • @kumbukajunior0429
    @kumbukajunior0429 4 года назад +2

    Yakale dhahabu