I have loved the fact that you are real. Hakuna kufunikafunika. Nyimbo zako zimenibariki sana. Asante pia kwa kuonyesha kua wasanii wa injili sio malaika , ni wanadamu na wanakosea wanudhaifu wao. Na si eti kwa sababu wewe ni mwanamke lazima upende kupika ua kuosha. Tumetunukiwa tofauti tofauti. Kuna wanawake ambao mambo ya nyumba hawako kabisa. Lakini Pendo dadangu nenda shule za upishi ujaribu kwa sababu ni mume wako. Pia upendo upitia mume kushiba. Barikiwa sana dada na zidi kuimba.
Kweli mama Nkone wewe kweli mchehi kumbe!! barikiwe sana.Mungu tena awabariki. sasa tunavunjwa moyo na kina mama wengi apo gaspol singers maranyingi kuwachana na waume. Mungu aendeleye kuwa nanyi
Shundwe sana what are you tell our young women to fight there husband if i had power this Tanzanian so gospel singer shouldn't come to Kenya..sama Christin shoshu who just divorced his humble husband coz pesa mingi kenya Lord arise a new generation who will worship you in truth and in Spirit hawa wengine expose them Lord
Muke ni upishi mum. Wana ume wengi utoroka muke wao kwakukosa kujua kupika.maranyingi unapata mwanaume anaeza kutoka na kukula inje. Inawapa mawazo yakua na mpango wa kando.hapo itabidi ujikakamue mum. Usije ukaachwa
Huyu mwanamke sikumfahamu kumbe. Nilidhani ni mature enough mwenye hekima na busara. Pia nilidhani zile hisia unavyoimba unampenda Mungu kumbe ni msanii tu, unawezaje kumnununia mme wako mwezi mzima ili hali ni mtumishi wa Mungu kupitia uimbaji. Sijui wewe ni comedian au shule pia ilikua bahati mbaya.
Jamani yeye nibinadam kama mimi na wewe huduma yakuimba kapewa na mungu nimependa alivo muwazi wengi wanatuvalia ngozi yakondoo kumbe ndani mbwa mwitu asante nkone uwaz wako nifundisho tosha kwa wafichs siri
This is a very humble lady. She is being open about her life , I don't know whether we like it when people fake that all is well. She loves her husband and knows her place. I greatly appreciate her for being real.
samuel muriuki hata mimi pia. Yani nilikuwa namchukulia tofauti kabisa kumbe ni msanii tu. She is normal musician like those Bongo flava we know no different
Kumbe mtani hivi Upendo ... Nabarikiwa sana kila nikisikiliza nyimbo zako
I like the way, you are so open. msema kweli mpenzi wa Mungu. Love you my wifi!!!
😀😀😀😀😀sinimecheka aki huyu mwanadada amenijaza sana,barikiwa sana nakupenda
I have loved the fact that you are real. Hakuna kufunikafunika. Nyimbo zako zimenibariki sana.
Asante pia kwa kuonyesha kua wasanii wa injili sio malaika , ni wanadamu na wanakosea wanudhaifu wao.
Na si eti kwa sababu wewe ni mwanamke lazima upende kupika ua kuosha. Tumetunukiwa tofauti tofauti. Kuna wanawake ambao mambo ya nyumba hawako kabisa.
Lakini Pendo dadangu nenda shule za upishi ujaribu kwa sababu ni mume wako. Pia upendo upitia mume kushiba.
Barikiwa sana dada na zidi kuimba.
Aisèe ckujua kama we mcheshi ivo,,,pia nmependa ni jinsi gni ulivyoelezea mapungufu yko.Nakupendaga sana
Barikiwa sana Dada Upendo. Mungu akupe miaka tele.
Unazidi kunibariki. Umeeleweka.
😂😂😂😂kumbe huyu mama nae n msela
Kenya we love you
Your music bless my heart happy to see you mommy 😘
Ukoka Mkone bado ujabadilishwa
hahaa, upendo Mungu akubariki nimekupenda
Upendo nimekupenda sana kwa kuwa muwazi, maana Luna wengine wanahisigi wachungaji hawagombani kabisa
hahaaaaaaa nimekupendaaa wallah sikuwa najua inautani sanaaa
upendo mkone Leo umenivunja mbavu kumbe pia ww huongea hivyo!! nimekupeda bureee!!! from Kenya working in Saudi!!
nimekupenda wifi yangu ni msema kweli
Kweli mama Nkone wewe kweli mchehi kumbe!! barikiwe sana.Mungu tena awabariki. sasa tunavunjwa moyo na kina mama wengi apo gaspol singers maranyingi kuwachana na waume. Mungu aendeleye kuwa nanyi
Hahaha upendo una mambo akika mungu ufunika watu tabiya.
dadangu umenipa raha sana mungu akubariki sana katika hyo huduma....natamani siku moja tufanye collabo na wewe anakupenda buree mtumishi wa mungu
Love u upendo aya mambo yko...umesema kweli mtumishi
aah ahha hha nimekupenda mpaka basi jaman.. ur very fun
have been looking for this mama really lv sana
nimekupenda bile aise mcheshi afu mkweli dah safi sana mama
duh, upendo nkone we n htr!
yaani imebidi nicheke tu, anavituko kumbe upendo.
haahaahaa. dada mbavu.zangu.mie 😂😂😍😘😘🙆
mtumishi umesema ukweli wa madhaifu yako,injili inataka ukweli,ushauri wangu ni mhimu ujiulize kwanini hupendi kupika?
Imetokea tu Maisha ya mtu si kila mtu anaweza penda Kufanya Vyote
Pika chakula wewe!!! Sifa mojawapo ya mke ni kuokoka!!! Mbena ndugu yangu huyo.
Mungu akubariki upendo nkone mama yng
Hata Mm nimempenda Huyu dada maana angedanganya aseme hatugombanagi, Nampikia.co fresh ulokole ni matendo dada
Nakupenda sana unavituko kweli
Dada yangu umenivunja mbavu, barikiwa.
😂😂😂😂😂😂😂😂 Da UPENDO miss you😂😂😘😘😘
Mmh!! ana vituko Upendo
Shundwe sana what are you tell our young women to fight there husband if i had power this Tanzanian so gospel singer shouldn't come to Kenya..sama Christin shoshu who just divorced his humble husband coz pesa mingi kenya Lord arise a new generation who will worship you in truth and in Spirit hawa wengine expose them Lord
Ahahaha Umejua kunifurahisha mamaangu😘😘😘
😀😀😀upendo wewe umenivuja mbavu
Muke ni upishi mum. Wana ume wengi utoroka muke wao kwakukosa kujua kupika.maranyingi unapata mwanaume anaeza kutoka na kukula inje. Inawapa mawazo yakua na mpango wa kando.hapo itabidi ujikakamue mum. Usije ukaachwa
upendo mama nimekupenda barikiwa
Huyu mwanamke sikumfahamu kumbe. Nilidhani ni mature enough mwenye hekima na busara. Pia nilidhani zile hisia unavyoimba unampenda Mungu kumbe ni msanii tu, unawezaje kumnununia mme wako mwezi mzima ili hali ni mtumishi wa Mungu kupitia uimbaji. Sijui wewe ni comedian au shule pia ilikua bahati mbaya.
Jamani yeye nibinadam kama mimi na wewe huduma yakuimba kapewa na mungu nimependa alivo muwazi wengi wanatuvalia ngozi yakondoo kumbe ndani mbwa mwitu asante nkone uwaz wako nifundisho tosha kwa wafichs siri
Hujayajua MAISHA ndio maana unamlaumu Pendo.
Iko siku utayajua yatakufundisha
Hawa sio malaika Ni binadamu
Hongera wewe ambaye Ni mtakatifu
Huyu mama nampenda sana Kwa ucheshi wake
Big up dada
Nakupenda sanaaaa
Hahaha nakupenda sana mama
I love u Madam Upendo
Dada nakupenda na wewe ndo ulibaki changuo langu hapo kwenye kujikirimu ndo umenitoka yaani
Black Beautful
hahaha I love you mom
upendo mbavu zangu mie
aisee barikiwa wajina penda sana u
😂😂😂😂jamn wewe penda sana
Upendo umeniuaaaa,huku kucheka sio poa jaman
kweli hapo umechemka Dada mwanaume chakula
nimeipenda kwa kusema ukweli.
Umejiachia vilivyo....moyo wako upo wazi...
hahahaaaaaa sikuwezi wewee mama. Ila Ni kweli kabisa ktk ndoa hayo mambo yapo hata tusiposema yapo tu
So real... Nimekupenda bureee
mama unatufurahisha sana jamani nimependa
Nkone wee Hitra aki. Lol i love youuu😍😍
Yan dada nakupenda sana, kumbe mcheshi hiv?
Mmm hapo ni ukweli au ni utani tuu
jaman hv kwann sku hzi mwanamziki wa kidunia akiongea na wa GOSPEL hakuna tofaut, inafaa mnaomwimbia Mungu muwe na kias
Ya moyoni hayana Kiasi
Haiyaaa.... Wewe ni mke kweli
Nimependa umeongea ukweli bila kuficha ila jitahidi kumpikia mume ni chakula
Aisee nmekupenda
Nimekupenda bure vitenge vinaanguka msela wewe unanikumbusha shangazi yangu nimekupenda bure
hahaha jaman huyu Dada no kichekesho tu.amenfraisha mpaka BA's.yaan yey anasema ukwl wake
how normal, funny
Upo vinzr my nakupend bule
Mhuuuuu! Shida sana.......!
ongera nakupenda sana jamani
Pepo la kubadili ngozi toka eti Pesa sijui maji ndo yanawafanya wawe weupe duuh
Jifunze kumpikia mmeo,wadada wana mwisho,iposiku ataondoka
viwango vyako vya utumishi na namna unavyoongea kwa kweli sijapenda kabisa
Wokovu co unyenyekevu Wa nje
Jamani nimejikuta nacheka hadi bass
Nimecheka kwa kweli MUNGU mwema
Umenichekesha leo dada yng mpaka nimekoma.
Mama nakupenda zaid
Wabena bn atari😁😁😁😁
wanawake wa siku hizi bhana, hupendi kupika???? kweli kazi ipo
Nimependa uwazi wako
,upendo dada yangu haaaaa
dada yangu acheni mapodozi jamani Mungu hapendi hayo, musipo acha mbinguni hamuingii
Duh hongera wewe umeshaingia Mbinguni
Unahitaji msaada zaidi
ahahaaha penda sana ww
hahahahahahahaha nimetokea kukupenda mara 70 7
I love her ....rep +254
Ww ni mzungu mamaaa
mikono coca...USO fanta
Yesu yuko kweli hapa?
Kabisaaa .She is real and honest.
Nimekupenda dada cz unazungumza ukweli???
Unataka anene kwa luga kweny interview au vp
Aisee unaongea ukiwa usawa wa mlango nimecheka mpaka bac
nakupenda bure
ninakupenda sana mamaangu
Unamambo kumbe, ila nimependa sana nimuwazi , ila naomba uwe unampikia mmeo
Ndio maana nakupenda
Hapo Dada umechemka sikutegemea kama ungeweza kuongea hayo.
Specioza Alloyce ulitaka asemeje anaongea ukweli
Zaman ulikuwa mweupe au kamera? 🤔🤔🤔
umenifurahisha dada😃😃lkn plz acha cream zinakuharibu
Dada aliacha cream.
Hahahaaaaaaa
Kumbe
I had so much respect for this woman but not anymore , pride just like a peacock
This is a very humble lady. She is being open about her life , I don't know whether we like it when people fake that all is well. She loves her husband and knows her place. I greatly appreciate her for being real.
samuel muriuki hata mimi pia. Yani nilikuwa namchukulia tofauti kabisa kumbe ni msanii tu.
She is normal musician like those Bongo flava we know no different
Bora umesema ukweli
😂😂😂 dah yaani ww
Hahahhahah
jamani
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂duuuuuuuu
😂😂😂😂
Usawa wa mlango hamna kukohoa
ahaaa
Hahaaaaa umenichekesha. very amazing dada
hahahaaa umenifurahisha my UPENDO