Governor Joho: Najitayarisha kuingia serikali ya kitaifa sasa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024

Комментарии • 168

  • @shadrackmasigaTV
    @shadrackmasigaTV 2 года назад +12

    Joho kabisa unatuinua proud for that , 🔥🔥😊😊💘

  • @rosekaibunga6768
    @rosekaibunga6768 2 года назад +6

    When Raila goes out, I will campaign for you as president Joho001.You are the biblical David .I love you brother for holding baba high

  • @haronmwashumbe5896
    @haronmwashumbe5896 2 года назад +7

    It's true Yu have made tremendouse change .Yu made great legecy .health is wealth

  • @sammykamau4575
    @sammykamau4575 2 года назад +15

    Unapodhuru watoto wa watu kwa biashara haramu ndipo ati utajirike, basi Mungu pia ataruhusu familia yako isambaratike. Ya hapa ulipishiwa hapahapa, deni ya Mungu utalipa maziarani.

    • @hassanovajunior6972
      @hassanovajunior6972 2 года назад

      Unaongea upumbavu wewe watu wameharibika miaka nenda rudi acha ujinga nyau wewe

    • @marylukungu8390
      @marylukungu8390 2 года назад

      Jiangalie ndipo uongee acha kupanuapanua mdomo ovyoo . Kwan wee ndiwe ulimsimamia Kwa hivyo biashara.

    • @duduvule8124
      @duduvule8124 2 года назад

      @@hassanovajunior6972 Tulia basi na sisi tuharibu wale wako sio kundu weeeeh

    • @hassanovajunior6972
      @hassanovajunior6972 2 года назад

      @@duduvule8124 daaah na profile kwa juu haya banah🤣

    • @duduvule8124
      @duduvule8124 2 года назад

      @@hassanovajunior6972 Nyau mmoja weeeh😂😂😂

  • @hajjiyasin4255
    @hajjiyasin4255 2 года назад +7

    Mr joho kusema kweli, hakuna hospital county ya mombasa hiyo ndio ukweli mr Joho

  • @MobileNews24
    @MobileNews24 2 года назад

    good

  • @odipocalvin7679
    @odipocalvin7679 2 года назад +6

    The say leaders are born. Joho is a true leader. I have listened to his full speech and everything makes sense. Ako katikati ya serikali ya azimio

  • @chummachamtaani7395
    @chummachamtaani7395 2 года назад

    Lkn tuna toka kwa system brother angalia vizuri bro

  • @shadrackdimata
    @shadrackdimata 2 года назад

    I'm beginning to see a future president in you. May God see you through

  • @lucyngunju8810
    @lucyngunju8810 2 года назад +5

    Nothing new sasa ndio una jua after your term is over eti kuna shida ya ma hosi acha kuta futa sifa buree kabisa 😭😭😭

  • @salimhassan3369
    @salimhassan3369 2 года назад +7

    Maneno na matendo ayafanani😂😅🤣

  • @athumanbirya8419
    @athumanbirya8419 2 года назад +8

    Acha ufala rudisha Barabara ziwesawa kwani kuna dereva alikukulia mkeo?

  • @johnndirangu1053
    @johnndirangu1053 2 года назад +4

    Is this Joho the same person who was blocking Uhuru from attending coast opening projects when the GSU came blocking him on the way when hiding in a bodaboda ,Bure kabisa
    He is just behind Uhuru coz of supporting Raila, nothing else

  • @taucetus3657
    @taucetus3657 2 года назад +3

    Good. You can be proactive when it comes to healthcare by maintaining a clean environment. Now clean up Mombasa and upgrade its dilapidated sewer system. Clean up the beaches.

  • @princessemmy8183
    @princessemmy8183 2 года назад +4

    001joho mwenyewe 💕

  • @mashariki6781
    @mashariki6781 2 года назад +7

    This Slay King has failed as a governor now wants a whole Nation?

  • @mohamedalawyi8336
    @mohamedalawyi8336 2 года назад +2

    Husemi Mji wa Mombasa ni mchafu Sana , taka zimejaa barabarani na Mitaani, Shida ya Maji isokwisha, Barabara zimejaa mashimo , Usiku mabarabani kiza , mataa mengi hayafanyi kazi, maji ya mavi na mikojo yamejaa mitaani hususan Old Town.

    • @issaabdi9129
      @issaabdi9129 2 года назад

      Kwani m nataka joho aje kuwasafishia. Kila nyumba ichukuwe mamlaka yake

  • @carsonchumbatv5096
    @carsonchumbatv5096 2 года назад +9

    Coast is the best hospital ever attended...well planned.

    • @Busia254
      @Busia254 2 года назад +1

      Wee unaishi wapi?

  • @psychedelicmind5743
    @psychedelicmind5743 2 года назад +8

    HAKUNA KITU UNATUAMBIA WE PATIANA STORI ILA JUA BIBI ASHAKUSHINDA SEMBUSE UBEBE KENYA MGONGONI KWELI,JIPE SHUGHULI NYENGINE BWANA WATUAIBISHA WAPWANI

  • @jafarali2372
    @jafarali2372 2 года назад +2

    Asante saana kiongozi wetu.

  • @salmakarani139
    @salmakarani139 2 года назад

    Congratulations my governor 👏👏

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 2 года назад

    King Joho👍👍

  • @TurnerBoy0
    @TurnerBoy0 2 года назад +1

    Politicians can change on the snap of a finger 🙇

  • @kimathihellen872
    @kimathihellen872 2 года назад +5

    Wewe uliachilia port ikaenda. Just leave in peace

    • @jafarali2372
      @jafarali2372 2 года назад +4

      Mambo ya port yetu tunayajua vizuri.that nandi fool called was behind its relocation and insulting us coasterians in 2017.usidhani sisi ni wajinga

    • @Jowi-Jeff
      @Jowi-Jeff 2 года назад

      Wajinga wameiisha kenya

    • @richardkamau2431
      @richardkamau2431 2 года назад

      Kimathi ilienda wapi somali? Kubaff hii

    • @kevin-kw8bv
      @kevin-kw8bv 2 года назад

      @@richardkamau2431 port nyingine imeundwa lamu, ya naivasha itaserve hadi congo

  • @lilianchristensen5198
    @lilianchristensen5198 2 года назад +1

    0ooo joho who make you mad 😠 today

  • @feliciagyamfi5385
    @feliciagyamfi5385 2 года назад +5

    Wapi Bibi? Ghasia , kumbaff ya mwanaume, shughulikia watoto wako.

  • @andreskhalid9195
    @andreskhalid9195 2 года назад

    👏🏽👏🏽👍🏽👍🏽👍🏽

  • @hishammohamed6694
    @hishammohamed6694 2 года назад +2

    Joho acha unafiki umekua gavana miaka 10 kipi cha maana umefanya mombasa...jinga kabisa

  • @naiwakeke9753
    @naiwakeke9753 2 года назад +1

    👏👏

  • @remiomar7154
    @remiomar7154 2 года назад +10

    ww nenda nyumbani ukakae n mkeo musuhuluhishe ndoa mke anataka talaka yake sisi hatukuhitaji

    • @victorvicause8297
      @victorvicause8297 2 года назад +1

      Sasa nyinyi Kila mtu mnataka aende nyumbani haha

    • @salimmashjary8028
      @salimmashjary8028 2 года назад

      Mbona munaanza tabiya za kike mambo ya mke wa mtu ina wahusu nini?

    • @remiomar7154
      @remiomar7154 2 года назад +1

      @@salimmashjary8028 kama wange yamaliza majumbani mwao hatungejuwa kwaendelea nini lakini wataka wenyewe tuseme hawangekwenda kwenye KTN n NTV kutangaza upo bro

    • @remiomar7154
      @remiomar7154 2 года назад +1

      @@victorvicause8297 ametuchosha twaka tuone wengine watakuja nmaendeleo gani

    • @victorvicause8297
      @victorvicause8297 2 года назад

      @@remiomar7154 no politician will bring good to ur table so u just work hard and get use to whoever will rule u nxt

  • @kasenakenga2813
    @kasenakenga2813 2 года назад +3

    Kwendaaaaaa haufai hata kidogo , hausaidii mombasa na chochote

  • @benjamingathuku2450
    @benjamingathuku2450 2 года назад +2

    Lakini hii Coast ndio medics hugoma day in day out🤔

    • @eshmw9284
      @eshmw9284 2 года назад +1

      You have failed Mombasa

  • @lucyngunju8810
    @lucyngunju8810 2 года назад +2

    Una sema huna wakati wa kusikilza wa pinzani wako na huku una sema eti wali sema mambo meengi ju yako so you were glued in TV🤣🤣🤣🤣

  • @haronmwashumbe5896
    @haronmwashumbe5896 2 года назад

    Open democracy is the way to go in the future fr Kenya .only the truth will set Kenyan free.what is done is see .

  • @tarrusbigman4919
    @tarrusbigman4919 2 года назад +4

    Ni wamama waswahili tuu hufuata huyu Academic dwarf na 70/100 of them he has slept with them huyu ni bure kabisa and most of hawa wazee hawajielewi wakishakula Briani na 1000 sh wanakwenda nyumbani smh

  • @acapulco4842
    @acapulco4842 2 года назад

    But some Dr' & nurses are rude Sana in coast General you have to investigate yourselves

  • @Sir._Kip
    @Sir._Kip 2 года назад +6

    Ruto the 5th

  • @chummachamtaani7395
    @chummachamtaani7395 2 года назад

    Wewe mwenyewe wauliza siku brother

  • @khodabax3875
    @khodabax3875 2 года назад +2

    Mbona Hassan Joho "body language" ni kama ya msennge!

  • @James_Ole_Ntagusa
    @James_Ole_Ntagusa 2 года назад

    I always like listening to Joho, he is not only a great leader but a brilliant orator

  • @Busia254
    @Busia254 2 года назад +1

    Huyu mjinga mwenye anaharibu wasichana na kuuza madawa ya kulevya.Siku itafika hata Akasha alienda

  • @chummachamtaani7395
    @chummachamtaani7395 2 года назад

    Subbhana brother mbona wazungumza many maneno mazito wacheni mchezo bro mko na kivimbi sana brother

  • @fatmaomar6760
    @fatmaomar6760 2 года назад +1

    Leo una praise kazi inayo fanyika coast gen umesahau ulivyo watesa ma docs. Shame on u. Unazungumza ovyo. Grow up. Empty debe make a lot of noise

  • @josphatwachira3922
    @josphatwachira3922 2 года назад +3

    Yanani ,kubuka ukitukana uhuru ukisema hatashinda ,,

    • @yusufmwangichannel6692
      @yusufmwangichannel6692 2 года назад +1

      Acha ushamba. Ivi wewe hujawahi kosana na mtu kisha mkaelewana?

    • @mmwaapamghambonyi7836
      @mmwaapamghambonyi7836 2 года назад

      Pia alituabia 2022 atakuwa kwa debe,amezoea vya kunyongwa vya kuchinja hawezi ,alibebwa akawa gavana ,sasa ana angojea abebwe katika serikali ya kitaifa,utangojea sana ,round hii serikali ni ya hustler.

    • @yusufmwangichannel6692
      @yusufmwangichannel6692 2 года назад

      @@mmwaapamghambonyi7836 Naona siasa zenu ni za utoto hamjakoma kisiasa

    • @mmwaapamghambonyi7836
      @mmwaapamghambonyi7836 2 года назад

      @@yusufmwangichannel6692 kweli kabisa ,Uhuru hafai kukubali ujinga kama huu,ruto pia ana wafausi na raisi wao ni Uhuru , Uhuru should be a symbol of unit and raise above such upumbavu ! even if uhuru's project ascends to power God forbid ,he will have a very difficult time ruling Kenya , this kind of talk will take us back in the 80s ,when Moi found it very very difficult working with people of central Kenya

  • @immaculatewanjiru4627
    @immaculatewanjiru4627 2 года назад +3

    If wishes were horses,beggars could ride. Keep on dreaming your dream may be valid

    • @watairas2313
      @watairas2313 2 года назад

      Wimbo KĪAMBĪRĪRIA KĪA ŪGĪ NĪ GWĪTIGĪRA NGAI bonyeza hapa itacheza,,ruclips.net/video/tGojud5qVMg/видео.html

  • @metometo7089
    @metometo7089 2 года назад +2

    D- student standing a degree and masters man just saying 😂

  • @lucyngunju8810
    @lucyngunju8810 2 года назад +2

    🙄not even one positive massage hufai na acha hicho kizungu ya kuongeza chuumvi ni ya bure tu🤮🤮🤮

  • @lugomicheal6718
    @lugomicheal6718 2 года назад

    Sawa mkuu nakubali

  • @omararale7962
    @omararale7962 2 года назад +8

    What happened to johos wife heart❤️? He said he can fix problematic hearts in coast general hospital.

    • @omollookoth5848
      @omollookoth5848 2 года назад +3

      We wacha kuingilia bedroom ya watu wewe 🤐🤐🤐🤐🤐

    • @adhiambonyasuna4043
      @adhiambonyasuna4043 2 года назад +1

      Asked your mother

    • @moseh1317
      @moseh1317 2 года назад

      😂😂 point taken hope anaiona

  • @suleimandaholy5741
    @suleimandaholy5741 2 года назад

    acha kuongelea mapenzi boss???

  • @mbuguaaida8470
    @mbuguaaida8470 2 года назад +1

    D- PRODUCT

  • @geoffreymuriithi1279
    @geoffreymuriithi1279 2 года назад +2

    Utakuwa waziri wa elimu ya juu😂😂😂🤣🤣#academicdwarf

    • @Nat-wu4kj
      @Nat-wu4kj 2 года назад +3

      Do you know Governor Joho's education level is higher than yours? Yes, he wasn't the best student but alimaliza system. Research utajua! Importantly, he's richer than your whole lineage

    • @geoffreymuriithi1279
      @geoffreymuriithi1279 2 года назад

      @@Nat-wu4kj my p1kid is brighter than that pumpkin head joho

    • @anaksa4412
      @anaksa4412 2 года назад +2

      @@Nat-wu4kj leave alone the tangatanga brigades 😂😂😂they're political poor👌👌👌

    • @Nat-wu4kj
      @Nat-wu4kj 2 года назад

      @@geoffreymuriithi1279 hopefully your p1 kid isn't sent home for lack of school fees tomorrow?

    • @geoffreymuriithi1279
      @geoffreymuriithi1279 2 года назад

      @@anaksa4412 joho has made coast youth eat white floor, they look like zombies👹👹👿👿☠💀👺

  • @andrixmwema8064
    @andrixmwema8064 2 года назад +1

    Joho achana na kizungu kabsaaa...

  • @annomina8942
    @annomina8942 2 года назад +1

    Aisha Jumwa apelekwe coast hospital for open heart surgery.

  • @wesmaelijah8460
    @wesmaelijah8460 2 года назад

    Nasikia joho anakula mbili jubilee na ODM

  • @dankago8668
    @dankago8668 2 года назад

    Governor 001 Hoyeeee !!

  • @lucyngunju8810
    @lucyngunju8810 2 года назад +1

    Huyu joho aende kwanza aka tatue shida ya bibi na watoto before coming to lecture his opponents joho has nothing to offer Mombasa taka everywhere what a shame🤮🤮🤮

  • @meskymohammed230
    @meskymohammed230 2 года назад +1

    Nenda kapumzike na shukuru.

  • @johnndirangu1053
    @johnndirangu1053 2 года назад

    Amalize aende ,ametuharibia Uchumi, tena president anacheka mbele ya National tv kwa Atwoli kusema eti Ruto akate miti zile ziko karibu na nyumba yake asije akajinyonga August 9 akishindwa na Raila, president as a symbol of National unity
    Atwoli has been inciting the president to attack the DP since, then the president comes talking that "kazi " haifanywi juu ya gari"
    Remember at Mudavadi's mother's burial ,the same Atwoli came inciting the president that" Rais ukicheza huyu mtu ataingia kwa bedroom yako, toa kiboko ucharaze yeye" then Uhuru came attacking Ruto by saying " Ukiona Simba amenyeshewa ukasema ni paka"
    The president is a symbol of National unity, he tends to get easily into Atwoli's trap who is pressing Uhuru to make Raila the president ,that is very bad

  • @momandsonvlogs7220
    @momandsonvlogs7220 2 года назад +1

    Umechanganikiwa wewe

  • @hillarynyamwange1479
    @hillarynyamwange1479 2 года назад +1

    Ngombe wewe eti next government endelea kuota mchana purukenge mlowezi wa madawa za kulevya

    • @hassanovajunior6972
      @hassanovajunior6972 2 года назад

      Hata kuandika hujui kafirwe huko achana na King JOHO na utampata kwa serikali kuu round hii

  • @OldisGold1982
    @OldisGold1982 2 года назад

    Bibi alirudi😱🤣🤦

  • @sammycharomwalili6728
    @sammycharomwalili6728 2 года назад

    Wewe nataka uigie safari ijao wewe tutakuenua mpaka ufike

  • @joyjacqueline4733
    @joyjacqueline4733 2 года назад

    Wewe lipa madaktari kwanza na urudishe wenye ulisimamisha jobs. Panadol maker.

  • @johnkamau6695
    @johnkamau6695 2 года назад

    Nyamaza hujawasaidia wapwani ni kidomo tu

  • @nyanjechengokarisa1540
    @nyanjechengokarisa1540 2 года назад

    Huyu jamaa nimjinga wakili madawa yenyewe niyakununua sipitali ziko na madawa gani upuzi mutupu

  • @angash8071
    @angash8071 2 года назад

    Hata mkeo humpi mapenzi, utawezesha nje kupeana mapenzi

  • @susanmwangi5891
    @susanmwangi5891 2 года назад

    Hata na dawa. Utabaki hapo tu.

    • @watairas2313
      @watairas2313 2 года назад

      Wimbo KĪAMBĪRĪRIA KĪA ŪGĪ NĪ GWĪTIGĪRA NGAI bonyeza hapa itacheza,,ruclips.net/video/tGojud5qVMg/видео.html

  • @bensonondieki3607
    @bensonondieki3607 2 года назад +1

    Raila and Ouru will retire plus Johoho wanaelekea Nyumbain wapi bandaid ya beanie ask Ouru for us please

  • @lawrenceokuta6639
    @lawrenceokuta6639 2 года назад

    👍✊Gvn 001 'sultan' great work in health care n investment,aluta continua🏇💪🇰🇪🕊️🙏

  • @rosekaibunga6768
    @rosekaibunga6768 2 года назад

    Ambia dadi mukuje meru

  • @suhel5209
    @suhel5209 2 года назад

    Tafuta buyu ukune 2222

  • @tonygee5680
    @tonygee5680 2 года назад

    Tutakudharuu wewe mpaka kufa kwako mbwa wewe

  • @saadiaahmed3265
    @saadiaahmed3265 2 года назад

    Bibi amekutema coz ya tabia ya haramu back unajua drungs na unaongea hapa ukiwa nani wachana na wanawake ya watu kwanza

  • @fly69jamual62
    @fly69jamual62 2 года назад

    Mombasa County and the city itslef has witnessed the worst sanitation ever, alishindwa na Mombasa, pia bibi aka divorce ataweza nn huyu? Joho enjoys his Dubai and Zanzibar holidays with boys, truth be told people know it !

    • @springsmediafreelancing4258
      @springsmediafreelancing4258 2 года назад

      Kichwa maji sana.....you will never grow if you dont appreciate change.....shindwe

    • @fly69jamual62
      @fly69jamual62 2 года назад

      @@springsmediafreelancing4258 what change? did you see Mombasa city sewage running all over the city and drainage in the indian ocean for more than a year? has it been fixed now? even human feces, electricity just killed 5 innocent just last week, medical care personnel haven't been paid for months they were protesting for a month, look at the sanitation and the roads in entire county yet you're yip yapping Joho has brought change, change my foot

  • @sisi_tu
    @sisi_tu 2 года назад

    “Kukua single campo nayo ni ngori😂"See how comrades struggle🔥 ruclips.net/video/xl4L7b1dj_w/видео.html

  • @mkasiali6956
    @mkasiali6956 2 года назад

    Wachuki kama wewe

  • @elizabethwagare
    @elizabethwagare 2 года назад +1

    Kweda zako

    • @watairas2313
      @watairas2313 2 года назад

      Wimbo KĪAMBĪRĪRIA KĪA ŪGĪ NĪ GWĪTIGĪRA NGAI bonyeza hapa itacheza,,ruclips.net/video/tGojud5qVMg/видео.html

  • @tiktak1448
    @tiktak1448 2 года назад

    I, ve got a bills you, ve got a bills
    We all God childrens got bills
    We will go to heaven with our bills
    We will twerk twerk down there in heaven with our bills
    Because we all billygoats

  • @tukutanechuom3366
    @tukutanechuom3366 2 года назад

    A - Azimio la kuzimia na mawe
    B - BBI
    C - Coalitions
    E- Elfu sita
    I- IEBC rig for baba
    K- Kemsa ndani ya tumbo
    ya baba and azimio
    M- maandamano
    O- Orengo/omollo bandia
    O- ouru
    P- pesa/contribution/ flower girl kalonzo baba alikula
    R- Rusha mawe ni culture
    hadi KWA soccer 😂
    S- sida bribed na sh. 6K
    T- Teargas
    Y- Y-iguru😂😂😂

  • @puritykimondo6977
    @puritykimondo6977 2 года назад

    Day dreamers ,go marry and raise kids now your chance is over

    • @watairas2313
      @watairas2313 2 года назад

      Wimbo KĪAMBĪRĪRIA KĪA ŪGĪ NĪ GWĪTIGĪRA NGAI bonyeza hapa itacheza,,ruclips.net/video/tGojud5qVMg/видео.html

  • @JohnJuma
    @JohnJuma 2 года назад

    Joho amesema ukweli- kuna watu msa domo kaya. Ati hajafanya lolote.....Mungu awalani nyinyi mahasidi na fisadi kiwembe adui ya maendeleo.

  • @GeorgeLio-e7v
    @GeorgeLio-e7v 2 года назад

    KWA WALE WANAOHITAJI MAMBO YA WAKUBWA, KARIBUNI UYAPATE, 🍑🍆💦ruclips.net/video/BAhO1BiasgEh/видео.htmlttps://ruclips.net/video/BAhO1BiasgE/видео.html kc

  • @josphatwachira3922
    @josphatwachira3922 2 года назад +1

    Yanani ,kubuka ukitukana uhuru ukisema hatashinda ,,

    • @richardkamau2431
      @richardkamau2431 2 года назад +1

      And whats wrong with change of heart and supporting projects that affect his people shallow mind

    • @watairas2313
      @watairas2313 2 года назад

      Wimbo KĪAMBĪRĪRIA KĪA ŪGĪ NĪ GWĪTIGĪRA NGAI bonyeza hapa itacheza,,ruclips.net/video/tGojud5qVMg/видео.html