MUFTI AONGOZA SALA YA JENEZA YA DARUWESH MTI MKAVU MASJID KICHANGANI DSM
HTML-код
- Опубликовано: 8 фев 2025
- MUFTI AONGOZA SALA YA JENEZA YA DARUWESH MTI MKAVU MASJID KICHANGANI DSM
Follow Us On:
INSTAGRAM: / miladu_tv
FACEBOOK: / babdeo miladu/
TIKTOK: www.tiktok.com...
RUclips: / @babdeomiladu
Innaalillaahi wainnaa ilayhi raajiun... sitakusahau daima alhabib... hasa kwa mawaidha yako yaliyotutengeneza nyoyo kila ulipopata wasaa na kitutembelea na kujumuika nasi pale zawiyani Sinza Mori kwa alhabib marhum sheikh Ahmed bin Sheikh Msiya... hakika ulinijenga sana kiroho. Allah akuthibitishie kauli iliyothaabit, Aamiyn 😭😭😭
Pole sana Sheikh Abdurrazzak kwa Msiba wa baba yako na baba yetu kipenzi.
Pole sana Alhabibi Abdulrazaq kwa msiba wa baba yet kipenzi
Innalillah wainnalillah rajiu
Swahiba yangu,Rafiki ya Babaangu kumbe Amefariki? Inna lillahi wainna Ilayhi rrajiuun,Allah awjaalie pepo ya firdous pamoja na Babaangu Sheikh Twaha bin Muhammad,Allahawape vitabu vyao kwa Mkono wa Kulia
Pumzika😭 kwa amani huko uliko sote tuko nyuma yako 🤲😭
Innalillah wainnailaih raajeooun!
Allah amuwek pema daruweshi wet
Inalilahi waina ilayhi rajuun
Huyo aliyeshika bendera wakati wenzie wanasalia jeneza yeye hataki thawabu za kusalia mayyit? Au ndo anaogopa asiposhika bendera atakosa radhi za shekhe lake?. Allah atuhifadhi ili kaburi la huyu aliyefarik lisijegeuzwa kuwa ni sanamu liabudiwalo au sehemu ya kwenda kuomba kutatuliwa matatizo au kupata barka.
Napenda hiyo dhikri
Sasa Amepelekwa kwake Arusha Au amezikwa Dar es salaam???
Arusha
Kumbe huyu msanii wetu Abdurazak mtoto wa sheikh mkubwa😳😳
Mi mwenyewe ndo nimejua leo
Huyo dogo alikuwa anatumia jina la baba yake vibaya... na ndiyo maana alikuwa akijiita Sheikh.... Ni muda wa kumnasihi aachane na mambo ya kilimwengu na arudi kwa Mola wake.
Mi nashangaa Diva alivyo kuwa anamtusi huyu mzee sijui alikuwa hajui km ni mtu mkubwa Subhannallah
Mimi nimechoka na mambo ya diva😭😭😭 please 🙏
Abdulqadir ndio amsamehe marehemu dhambi?
Acha ukafiri yahudi wewe, unafata nini hapa si uenda kwa wazayuni wenzio wa kusalafi khabithi wewe.
@@rayisadesigns2646 hahahaha,,,,, hujajibu swali, Abdulqadir Ndio amsamehe dhambi marehemu?
Sasa hapo panaswaliwa nasheed ya kazi Gani?
Mdomo tu uliokuwa nao
Nyamaza tu ndugu yangu na mengine utazidishiwa au kama vipi unauliza swali na utajibiwa maana Bado na hata milele elimu ni bahari
Kwani Wanaoswali Watu. Au Inaswali Nashidi. Yaani Nikimbelembele Tu. Uonekano Mwanachuoni Mkubwa.