Sometimes we should be serious while hosting jobless partners🔥🔥🙌Look at this one for instance

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024

Комментарии • 321

  • @Coach_Nancy
    @Coach_Nancy Месяц назад +45

    Friends?????
    Not me.
    There is NOTHING LIKE BFF 🚮
    Be your own friend, thats it.

  • @user-gz2bs7fj7y
    @user-gz2bs7fj7y Месяц назад +51

    Stivo sanitizer simu ya sidechick sijui kama unasomanga hizi ihave been suggesting this for a while plz

    • @OneKeshy
      @OneKeshy Месяц назад +1

      Wachana na cheaters wakae pamoja sasa kusantize sidechic ni ufala tu coz si waujua majamaa wakona watu na bado hawajali,relationship ndio ya maana ,sidechic ni mafala timewasters

    • @shamalalycious
      @shamalalycious Месяц назад

      He uses to di that ktambo....angel wainaina normally sanitises sidechick and am sure hawa hakuna kwenye wanapelekana

    • @DorrenDoreen
      @DorrenDoreen 29 дней назад

      I agree with you.pia simu ya side chick iangaliwe

  • @jackiekirui9140
    @jackiekirui9140 Месяц назад +27

    If jealousy was a person, kweli kikulacho kinguoni mwako.

    • @contentinmotion
      @contentinmotion Месяц назад

      @@jackiekirui9140 umeskia hiyo "ati juu uko na job". Ni wivu juu yeye ni idler

    • @jackiecarmen8374
      @jackiecarmen8374 Месяц назад

      @Jackiekirui9140 Namesake kanyanga kubwa kubwa Tete.

  • @rogerslubanga5955
    @rogerslubanga5955 Месяц назад +32

    Kitu ya wizi obviously ni tamu but when the reality comes knocking they won't handle it

    • @stl6824
      @stl6824 Месяц назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @chiccollatta
      @chiccollatta Месяц назад +1

      Reality is Coming None of them is having a Job.....na ndio wanacheka and then upate dame ashike Ball Wueeeh... Karma iS Coming

    • @edithwalusaka5933
      @edithwalusaka5933 Месяц назад

      Natalia sanaa hawa.very soon

  • @Mama-A
    @Mama-A Месяц назад +7

    Steve asked this lady a very good question na hajajibu....alijilazimisha kwa maisha ya huyu kijana mwenye ni jobless hoping for this and that.but she doesn't know hope is not a plan

  • @ToxicAfricanKing
    @ToxicAfricanKing 27 дней назад +1

    Caro sat there like the elegant lady that she is. Keep your head up Caro! It's his loss, not yours. You deserve better.

  • @lavoste007
    @lavoste007 Месяц назад +6

    BMS You should be posting the link of the previous sanitisation episode for those who missed it to follow it.

  • @robertmudegu2415
    @robertmudegu2415 Месяц назад +18

    😊ladies can you normalise having babies with men not boys ,men are commanded to be providers, with or without a white colour job

    • @gracenyambura1620-tk9jd
      @gracenyambura1620-tk9jd Месяц назад +1

      Learnt the had way😅 wacha nilee huyu hadi notate mtu mzima amekomaa akili

    • @ibrahimsalim6835
      @ibrahimsalim6835 Месяц назад

      Women don't need men they need Hundsome boys😂😂😂

  • @josephngola
    @josephngola Месяц назад +15

    If unampenda hungekua na nguvu ya kuketi next na side chick burukenge hivi ndivyo watu hutupa watoto wao.

    • @Jackiebenard
      @Jackiebenard Месяц назад

      Wangu pia aliends na bestie 😂ata hawakusunguka 2months jamaa akaanza unitafunta nimlipie mkopa phone bestie naye akanikall niendee Mzee wangu she thought ni yy amenieka hakujua alikuwa anaspoiliwa na doo zangu na ivio ndivyo waliachana 😂😂

  • @paulinanduku2748
    @paulinanduku2748 Месяц назад +19

    I repeat"fear friends"

  • @AgnesWambui-wr9wl
    @AgnesWambui-wr9wl Месяц назад +2

    Dunia rangi rangile,..yaani,watu wanaumizwa na mapenzi badala ya uchumi ya zakayo....hizi ndizo zile siku za mwisho

  • @user-sc3sn6tl4z
    @user-sc3sn6tl4z Месяц назад +12

    Thank God story za bestie bestie nilicut off🙌🙌🙌

  • @marctonwakhungu443
    @marctonwakhungu443 Месяц назад +13

    Huyu dem ni mpoa..dem kukuweka hii Nairobi si kitu rahisi..nipee huyu

  • @TonnyOmondi-sp8jr
    @TonnyOmondi-sp8jr Месяц назад +37

    I will marry the woman who emails me when I block her😂

  • @johnyjoe2894
    @johnyjoe2894 Месяц назад +3

    If jealousy was a person.........

  • @akinyiokeyo4618
    @akinyiokeyo4618 Месяц назад +10

    BMS good questions to the keeper girl....

  • @marionmuturi5283
    @marionmuturi5283 Месяц назад +39

    These two fools deserve each other😂😂😂. Wote wanaangusha wakiongea washenzi sana😂😂😂.

    • @andendabonfaceakumu-lw8vy
      @andendabonfaceakumu-lw8vy Месяц назад +1

      Valoyence nayo

    • @marionmuturi5283
      @marionmuturi5283 Месяц назад

      @@andendabonfaceakumu-lw8vy 🤣🤣🤣🤣but it's true

    • @fredrickochieng4783
      @fredrickochieng4783 Месяц назад +1

      Haki si nipewe contact ya this hardworking lady. This man...sorry boy does not seem to understand the meaning of love, friendship, relationship, and marriage. Ningepata huyu I'd build an empire. Someone aniconnect na huyo

    • @collinsonano4286
      @collinsonano4286 Месяц назад

      They are real idiots watoto watongea ni tongues 😂😂😂

    • @lindakiage2916
      @lindakiage2916 Месяц назад

      Two stupid fools

  • @AnnGreat
    @AnnGreat Месяц назад +3

    BMS huyu boy snatcher is just jealous but it will bring her down..if she doesn't change haendi mbali.

  • @jina253
    @jina253 Месяц назад +14

    Ladies please Stop telling ur frnds everything,u might be educating an enemy

    • @wanjiruolive
      @wanjiruolive Месяц назад +1

      Weeh nice quote or statement....

    • @tashawambui7248
      @tashawambui7248 Месяц назад +1

      It should be a quote 😂

    • @wanjiruolive
      @wanjiruolive Месяц назад

      @@tashawambui7248 aki 😂😂😂

    • @jina253
      @jina253 Месяц назад

      @@tashawambui7248 u can put it in to practice koz most of them come from real life experience

    • @juliewambui2618
      @juliewambui2618 Месяц назад +1

      Exactly.As far as am concerned " Nina Siri naye yesu" only na hii maisha " Tembea na yesu".

  • @stellanyakoa2082
    @stellanyakoa2082 Месяц назад +25

    Madam freedom fighter, she knows how to treat a man ...soon utaskia she is asking the man * utanipea nini?*

    • @Lifewithsharleen
      @Lifewithsharleen Месяц назад +4

      Mbona Hana wake if she knows how to treat a man,I don't like her character

    • @Meloh879
      @Meloh879 Месяц назад +2

      @@Lifewithsharleen na they are both jobless🤣🤣

    • @Lifewithsharleen
      @Lifewithsharleen Месяц назад +1

      @@Meloh879 imagine

    • @carolynkipkebut2420
      @carolynkipkebut2420 Месяц назад

      What I have seen on earth is karma is real

  • @kk-xl2pp
    @kk-xl2pp Месяц назад +8

    Kiasi huyu mjinga apate huyo mtoto ndio atajielewa hii tu njia ndio atapitia

  • @charitymutungi0013
    @charitymutungi0013 Месяц назад +5

    The reason why I have no female friends😢

  • @chibabydaniel
    @chibabydaniel Месяц назад +7

    Aliona free life akaamua tu kakalia kende for two years.

  • @everlineandeso822
    @everlineandeso822 28 дней назад +2

    The thing is uyu bestie ana wivu she just want to spoil her friends relationship

  • @hauteur-svp
    @hauteur-svp Месяц назад +2

    I like when Stivo greets his guests : '' KARIBU SANA ''.

  • @marctonwakhungu443
    @marctonwakhungu443 Месяц назад +3

    Explaining it all,, then BMS "shida yako ni gani 😂

  • @aomealaome4933
    @aomealaome4933 Месяц назад +7

    Mimi hakuna kitu hunisinya kaa hizi mic 🎤 za stivo 😢 sauti hakuna kabisaa ata ukitumia earphones 🎧

    • @Vymo-lv9cu
      @Vymo-lv9cu Месяц назад

      Simu yako ndio mbaya

    • @IvineAlumasa-oc8kf
      @IvineAlumasa-oc8kf Месяц назад

      Hii kitu ya kuambia wengine simu zao ni mbaya mkome, some of us have got quality phones and we experience the same , also, if we watch other contents we dont see the problem, kama hii episode ikianza the volume was too low i had to leave it alone nawatch sai iko sawa​@@Vymo-lv9cu

    • @contentinmotion
      @contentinmotion Месяц назад

      Ni simu yako iko na shida

    • @aomealaome4933
      @aomealaome4933 Месяц назад

      @@contentinmotion ati ndio mbayaa wewe hausiki haina Sauti mzuri

    • @aomealaome4933
      @aomealaome4933 Месяц назад

      @@Vymo-lv9cu ati mbayaa

  • @SwadaBoy
    @SwadaBoy Месяц назад +5

    Umemuombea for how long😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 haki steve

  • @agatakelvin7397
    @agatakelvin7397 Месяц назад +3

    Madze huyu msichana Caro ni mfiti .. nipe number yake bro 😂😂😂

  • @marymbane210
    @marymbane210 Месяц назад +1

    Stevo tufanyie follow up after 3 weeks tuone vile June na Kababa wanaendelea.

  • @bentaaliwa7696
    @bentaaliwa7696 Месяц назад +3

    June wewe ni husband snacher. Wivu itakumaliza wewe na ujue hata wewe hautakaa hapo tafuta bwanako hapa hauolewi. June una bomoa ndoa ya rafiki yako juu ya wivu.

  • @eduhscott5998
    @eduhscott5998 Месяц назад +1

    The wife soo beautiful itabidi amehama siku ni jamo ama nianguke nayeye kibenja

  • @juliewambui2618
    @juliewambui2618 Месяц назад

    I learned that in life women " compare" and men " compete",all of which destroy relationships and friendships.
    Why cant people be supportive and respect boundaries? Some friends are real devils.

  • @eznermomanyi814
    @eznermomanyi814 Месяц назад

    I thank God..no friends..my family only are my friends

  • @ReginaMutua-ew8ub
    @ReginaMutua-ew8ub Месяц назад +1

    Sijawai tambua jina ya best friend in my life.

  • @user-xw1bd2ho6t
    @user-xw1bd2ho6t Месяц назад +7

    Hawa marafiki chuganeni nao wakuu😮😮

  • @malengojonny1092
    @malengojonny1092 Месяц назад

    Watching this contents has made me believe that everyone one has his own test

  • @jina253
    @jina253 Месяц назад +3

    Ladies if u r not ready to have kids,don't stay with a man,it all starts with u,some frnds though,if she was a real frnd she wud have said no to e man but she is a fake frnd

  • @marylinebarasa1764
    @marylinebarasa1764 Месяц назад +1

    Heheheee naumwa nikama n mm nimefanyiwa hivi😢😢😢,Ile siku nitapata hata mamangu kwa fence yangu nitamngoa hata meno, better tukutane home , ctaki marafiki mm

  • @stanbe.1088
    @stanbe.1088 Месяц назад +1

    Ahaa Mapenzi Shikamoo,, wahala😢

  • @janenyambura966
    @janenyambura966 Месяц назад +1

    I totally agree with the heading

  • @alisterlexter1115
    @alisterlexter1115 Месяц назад +2

    Unaingilia kama nani??
    Kama beshte yake☹️
    Pilipili usiyoila inakuwashia nini msichana?? Alifaa apigwe viboko vya makalio huyo akili ikae sawa😂

  • @ReginaNjeri-ee5oe
    @ReginaNjeri-ee5oe Месяц назад +1

    If you're my friend stick to your lane , friending with my man coz we're friend no go zone I don't tolerate this my man has nothing to do with our friendship if you can't respect that acha ubeshte iishe 😊😊

  • @user-gz2bs7fj7y
    @user-gz2bs7fj7y Месяц назад +1

    Yani hawa wanapigania kasusu imagine ata ww sidechick utaachwa tu what a poor reasoning eti mwanaume anfaa kua kichwa yet he's providing nothing ama kua kichwa ili change meaning jameni yawa😂

    • @nattymadcase
      @nattymadcase Месяц назад

      Ile kichwa ingine 😅😅😅

  • @SailezKingBee
    @SailezKingBee Месяц назад +5

    😢 🥺 Hmm love,I remember when my Ex sent me a breakup text,while on my way to pick up my mother from hospital,
    I came home with the wrong Mother..😂

    • @Leoh270
      @Leoh270 Месяц назад

      😂

    • @nimoh.m5445
      @nimoh.m5445 Месяц назад

      😂😂😂kajaba 😂

    • @rosenjue5793
      @rosenjue5793 Месяц назад

      Mic haifanyi kazi

    • @dorcasjebet1691
      @dorcasjebet1691 Месяц назад

      😂😂😂😂😂😂Kenya my country

    • @SailezKingBee
      @SailezKingBee Месяц назад

      @@dorcasjebet1691 😮‍💨 Mnifollow guy's ✋

  • @wilkistarodgers2761
    @wilkistarodgers2761 Месяц назад +2

    Kukaa na jama bila jb for years . wah mm siwezi

  • @angesmargaret3039
    @angesmargaret3039 Месяц назад

    Big man kanyaga kabisaa l like vile unauliza hyo dem maswali😂

  • @martinezkapelez8168
    @martinezkapelez8168 Месяц назад

    MAN STIVOH NIPE NU YA HUYO MAMA WA TUNAEZA RYM MBAYAAAAH NAWEZA PENDA ANIWEKE🤣🤣🤣🤣🤣🤣BETA YEYE NA ANICOMAND VENYE ANATAKA😅😅😅NIKUWE BABY BOY😋😋😋😋😋😋

  • @Seal_nation
    @Seal_nation 28 дней назад

    My fada my fada😂😂😂

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Месяц назад +1

    Ooh kumbe ni rafiki duuh mungu wangu

  • @mosesmudavadi9668
    @mosesmudavadi9668 Месяц назад +2

    Hawa ni watoto wa highschool wajameni🙆🏾‍♂️

  • @nyokskinyah8246
    @nyokskinyah8246 Месяц назад +1

    Avoid frds aki i pity them the boy will go looking for the gal kitamramba

    • @contentinmotion
      @contentinmotion Месяц назад

      Wacha akose pesa ya kumpea tuone hiyo mapenzi itafika wapi

  • @irenewanjiru8857
    @irenewanjiru8857 Месяц назад

    June kitakuramba vile inafaa, we kuwa doctor wa mapenzi tu mbwaa hii

  • @leeroyshinsky7285
    @leeroyshinsky7285 Месяц назад +1

    Wacha wafanyiwe vile wanfanyia boychild uku nje..
    Watu wanalea watoto si wao unauliwa ukianza kuzeeka

  • @user-wl7bk5di1x
    @user-wl7bk5di1x Месяц назад

    The voice of the voiceless.😅😅😅😅😅 si aende na yeye

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Месяц назад +3

    Dada fukuza wote hapo hakun watuy

  • @Jacobbethel
    @Jacobbethel Месяц назад +3

    Waendeeee😂

  • @rahabmugo
    @rahabmugo Месяц назад +1

    Sasa hiki kaschana kinareason aje ati aka ni kababa okay endeni mkapeane attention nauko ubwa then unapewa kila kitu na huyu jamaa na jamaa anapata pesa kwa wife fear friends

  • @dorcaspebler453
    @dorcaspebler453 Месяц назад

    This girl is mjiga sana. Girl you just gombe.kwa Nini una wako ? Dio una bagabaga mwanaume warafi😮😮

  • @user-ig5pz4oq2y
    @user-ig5pz4oq2y Месяц назад

    Mm. Tangu best yangu anichukulia boy nilisarenda mambo na best best walai acha nikae bila best mm nkt

  • @Nym-dz8rq
    @Nym-dz8rq Месяц назад

    If you still think that you have "friends "... THINK AGAIN ⛳

  • @Steposhina
    @Steposhina Месяц назад

    Friends indeed! Ati kababa nkt!

  • @ogegajohnson4484
    @ogegajohnson4484 Месяц назад +2

    Hawa ni ma Gen-Z kweli......

  • @user-mq9rb2ds9j
    @user-mq9rb2ds9j Месяц назад +5

    I am looking for good lady to marry here.

  • @Esty1248
    @Esty1248 Месяц назад

    Stevo tumesema sana hutaki kusikia,why?simu za side chick,hen and ostriches uwe unasanitize ndio wenye wamekufia side ostrich wapigwe na realty

  • @hellenNzilani-dk1sn
    @hellenNzilani-dk1sn Месяц назад +1

    Kuna dem alikua anacheat na hubby nilikua namchat aachane na bwanangu 😅😅guess what she got married and am cheating with her hubby 😂😂😂ananitext aty niachane na bwanake😂😂😂😂😂... what goes around comes around...

  • @DorrenDoreen
    @DorrenDoreen 29 дней назад

    Huyu June ni red cross😂😂

  • @FidelisWaithera
    @FidelisWaithera Месяц назад +2

    Edeni na huko mkapeane attention,rafiki mwitu

  • @eunice-gi7ze
    @eunice-gi7ze Месяц назад +1

    Huyu ni kababa😅😅😅

  • @Jacobbethel
    @Jacobbethel Месяц назад +3

    Mchukue mfanye kichwa 😂

  • @SavannaSafaris01
    @SavannaSafaris01 Месяц назад

    Lakini zile choices madem humake hunishangaza tu, uyu mwanaume anakaa tu mjinga hata haezi reason, unamweka, unambuyia mpaka nguo, unamlisha, wueh.

  • @josephmwenda2601
    @josephmwenda2601 Месяц назад +1

    Comrade good job

  • @danielihugo
    @danielihugo Месяц назад +1

    Weee kijana eti wanaume ni wale wale..but mimi Si kama wewe

  • @feisty-KoolQueen54
    @feisty-KoolQueen54 Месяц назад

    Keep your friends out of sight out of reach......never invite any.....endeni girls out or boys out kando kando bila kujuana

  • @user-hn3pc4ql6s
    @user-hn3pc4ql6s Месяц назад

    Na vyenye kijana ni mcute,mcool and handsome

  • @johnyjoe2894
    @johnyjoe2894 Месяц назад

    Huyu dame ndo fuliza ya majamaa wa mtaa.......akiona jeshi imeboeka anaokolea

  • @MinahMjeni
    @MinahMjeni Месяц назад +1

    Angalia simu ya side chick,huyu jamaa anakaa mala😂😂😂

  • @wambuimwangi5123
    @wambuimwangi5123 Месяц назад

    Kama amekaliwa....kwa nini bwana anaitikia kuinama akaliwe.

  • @wilsonmaroa
    @wilsonmaroa Месяц назад

    BMS always sanitize simu za sidechicks wherever you do a follow-up pliiiz

  • @ironlady254theone2
    @ironlady254theone2 Месяц назад

    Stev Steve sanitize side chicks, please

  • @beckydavid3247
    @beckydavid3247 Месяц назад

    Shenzi sana!

  • @CyrusBruce-ot7wf
    @CyrusBruce-ot7wf Месяц назад

    The two ladies mnapigania mtu Hana chochote simkuje kwangu

  • @gloriaann5108
    @gloriaann5108 Месяц назад

    Stevo c uniconnect na uyo dem wa dreadlocks anipee io kazi plz 🙏

  • @Ewing-snoop
    @Ewing-snoop Месяц назад

    At the right time, anyone can betray you.

  • @robertsimbeiywet1257
    @robertsimbeiywet1257 Месяц назад

    ukiambia wanawake their nothing like female friends hawasikii....their nothing like a friend in a womans life.......

  • @EdwinAmatalo-p5n
    @EdwinAmatalo-p5n Месяц назад

    Friends ahaaa that y I walk alone

  • @user-pj1rg7mz7d
    @user-pj1rg7mz7d Месяц назад

    Yawaa stevoo leo umelemea husband snatcher 😂

  • @simonmwangi2614
    @simonmwangi2614 Месяц назад

    Huyu jamaa ni kafukuswi sana..

  • @fredmoranga2439
    @fredmoranga2439 Месяц назад +1

    mwanamke ni vitendo ndugu sio sura

  • @Jacobbethel
    @Jacobbethel Месяц назад

    Mtoto niwake sasa..this lady ako na shida

  • @DorrenDoreen
    @DorrenDoreen 29 дней назад

    Hata June mwenyewe si mcute

  • @stephenmashauri4392
    @stephenmashauri4392 Месяц назад

    Baby gal amechukua watch akasahau izo sneakers😂😂😂

  • @johnmaina546
    @johnmaina546 Месяц назад

    Can i get connected with this madam.he deserve a real gentle man like me

  • @SonduRiver
    @SonduRiver Месяц назад

    How many people tried to zoom.......

  • @contentinmotion
    @contentinmotion Месяц назад

    Caro comment hapa nitakuweka na nikutunze ata bills nitalipa zote

  • @blackylampard640
    @blackylampard640 Месяц назад

    The man is unserious about life

  • @Martha-w6h
    @Martha-w6h Месяц назад

    Congrats stevo lwa maswali😢😢😢😢😢😢

  • @mwateewawundanyi4319
    @mwateewawundanyi4319 Месяц назад

    The man looks like mamaz boy

  • @georgeoluoch1470
    @georgeoluoch1470 Месяц назад

    Stevo nipe huyu dem amenda 😅😅

  • @franciskimemia621
    @franciskimemia621 Месяц назад

    Uyu burekenge anacheka niniii surely 🤔 he should Man up aache ufala,,he is just kidding compaired to wife who is loyal ❤️ n mature lady just walk away baby girl 💓 n All the best