Chief Apostle Jean Luc Schneider Divine service Tanzania // IBADA YA MTUME MKUU DAR ES SALAAM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 сен 2024
  • Ibada iliyoongozwa na Mtume mkuu Jean Luc Schneider jijini Dar es Salaam, Tanzania
    Ibada hii ilifanyika Ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es Salaam Tanzania
    Iliongozwa na Neno kutoka Kitabu Cha Kutoka 16:4
    Kutoka 16:4
    [4]Ndipo BWANA akamwambia Musa, Tazama, mimi nitawanyeshea ninyi mvua ya mkate kutoka mbinguni; na hao watu watatoka nje na kuokota kila siku sehemu ya siku; ili nipate kuwajaribu, kwamba watakwenda katika sheria yangu, ama sivyo.
    Mhubili
    Mtume Mkuu Jean Luc Schneider
    Mtuwe wa Wilaya ya Africa ya Kusini Peter Lambert
    Nyimbo
    Kufungua:- 21 - Mungu Atukuzwe
    To God be the glory (NEH 66)
    Toba:- 269 - Tazama niko mlangoni
    Behold Me standing at your door (NEH 269)
    Ushirika Mtakatifu:-
    Wimbo namba 1
    210 - Bwana wewe ni Nuru
    Star, to which I'am looking (NEH 210)
    Wimbo namba 2
    197 - Bwana awatambua tangia zamani
    The Lord Knows all his people (NIH 335)
    Wimbo namba 3
    128 - Nikiwa na amani naye Baba
    When peace with the Father (NIH 295)
    Kufunga:- 10 - Uaminifu wako Baba
    Great is Thy faithfulness
    ©All right reserved 18 AUGUST 2024

Комментарии • 34