@@SPYMKOROFIAcha bangi bro, sikuona sehemu ambapo munakemeya au ku question ushoga ila muna enjoy tu. In fact, muliwatumia ili nyimbo yenu ikimbia. Mawa trop. Hakukuwa na maana ya kuwaleta mashoga kucheza hata uhalisia ulikuwa unautafuta kiasi gani.
NA MAMBO YA KUTANGAZA USHOGA ACHENI SIJAPENDA TIMU YA NYUMBN KUSHUTI NA WATU Kama wale najua mnanifahamu maharufu niitwa kalonda labda jina liwa sumbuwe ila shuti goma sio unatiya watu wasiye eleweka tutaviacha na sipombe tu navinginevyo vipo sasa naona mna base sana tu ku pombe naninyimbo ya tutaviacha yani kk mkubwa ide ya vidio kk
Ngoma nzuri sana wadunge family
Naipend saaan saaan kewel kwa kaz yn
Never disappoint guys ❤❤❤
Wadungeeee family for life
Mna jitaodo Bojan wa kwetu ma home!!!
Kazi kubwa iyo
Kazi kubwa sana🙏🙏
Ujawahi niangusha kiongizi unaweza adi unaweza tena mwaya 🫶
Ni kweli tutaviacha
🔥🔥🔥
Kali ya mwaka tena
Ngoma nzuri sana❤❤❤❤🎉
Yohana dj invisible aneipendaa iiih
I like this
Video mbovu sn munatangaza ushoga tu 🤦🏿♂️🤦🏿♂️
Elewa Tafsiri Ya Audio Kwanza TUTAVIACHA inamana Mpaka Huo Ushoga Unaouhona ndani Tutauhacha Pia
@@SPYMKOROFIAcha bangi bro, sikuona sehemu ambapo munakemeya au ku question ushoga ila muna enjoy tu. In fact, muliwatumia ili nyimbo yenu ikimbia. Mawa trop. Hakukuwa na maana ya kuwaleta mashoga kucheza hata uhalisia ulikuwa unautafuta kiasi gani.
🙏🙏🙏🙏🙏
💜💙🤍🧡🤎💚❤️
Kikubwa Duwa bro Wangu 💛
POPOTE TUNAISHI 🙏
❤Pini
Wow💞 wasio vijuwa husema wana ibiwa 🤣💪💪👈
Nakuona Dechike mwambaah 💞💕💕hakuna kinacho haribika hapo 🥰Keeeeeh Dck💕👈💬💬👈
🙌🙌🙌🙌❤️❤️
NA MAMBO YA KUTANGAZA USHOGA ACHENI SIJAPENDA TIMU YA NYUMBN KUSHUTI NA WATU Kama wale najua mnanifahamu maharufu niitwa kalonda labda jina liwa sumbuwe ila shuti goma sio unatiya watu wasiye eleweka tutaviacha na sipombe tu navinginevyo vipo sasa naona mna base sana tu ku pombe naninyimbo ya tutaviacha yani kk mkubwa ide ya vidio kk
DC Emil design una nihingiza mu team streck kweli mbona awakujuwi DC nauliza
Nimekubaki 🎉🎉🎉🎉 mnastaili mauwa yenu
Ngoma nzuri sana lakini sidhani kama kulikua na umuhimu wowote ule wakutangaza ushoga kwenye huu wimbo
Wanasema tutaviacha
Ujahelewa wimbo wewe wamesema tutaviacha
I love it ❤️
Bonge la rumba baba
Ngoma nzuri sn
Kali
Kamawewe nimbembe gonga lick😊😊😊
Kazi zuri sana
Kazi nzuri sana kabisa vya dunia tutaviacha kabisa asante sana kwa hiyo
Nakubali sana wadunge family pamoja na wanyaturu kwaya
Jamani nimesikia Raha Sana kuhona hii kitu daah nimehamini tutafika mbali Sana ✊✊♥️😂
By jackasongo from vunja mbavu family
Naona wanyaturu ipo fresh kweli
Vizuri sana
🔥🔥✌️
Watoto wa nyumbani nawasikiya pade hizi
Bonge laujumbe ❤❤
Eeeeeeee nitakufamie
Kali 🎉san
Kazi suri wenye hakili yao wata jifuza kupitia uhooo wimbo 😢😢😢
Hatar sana hii kitu
Bonge la vibe
❤❤❤❤❤❤❤
Pipo namuona kwa ubora mkubwa sana
Marie ata niuwaaaa
First one ☝️ to like
Kali iyo wadunge family tutazidi kuwasapoti ili mufike mbali
Talented
@ACTOR BONGO MOVIE TZ @
Mz photos 📸
Tokossssss
nEllOw pAnnY 👌✊
nc
Bic rouge
Timu yangu pendwa
Kazi zuri na
Big up
striker team on 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Made By Director Mr Spy
Ngoma ipo smart sn kbs
Hila Kijana Ni Wakuhache Tu
Khgkicxndjb🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉vlfv🎉
Kitu kimekaa smart kweli ❤️❤️❤️ big up sana 🔥🔥🔥🔥🔥
Director khasi see it
Nikwweli mambo sio mabaya asante sana vijana wakazi.
Kazi zuri sana na
Unaweza kaka mungu akuzidishe maharifa
Kali
Aise vema sn
red pen vizuri sana
Asante
Goma nzuri ila kuna mapungufu ndani ya video
ngoma kali san
Good message 🎉
Bonge kubwa langoma ❤🎉
Noma sanaa
Watu wangu amunaga tabiya ya kuniangusha
🎉🎉🎉
Nice
Mnajuwa mpaka mnakera tene 🔥🔥🔥🎊
Nakubal Xan 🎉🎉🎉❤❤❤
Good song
Good job
Tutaviacha
🔥🔥🔥🔥
Good message
Wadunge family
Seen by Hp
My favorite song♥️🙌
Safi sna🔥🎖️
Team streak uwaga man ni kill
Tutaacha vyote kabisa
Well done guys🔥🔥🔥🙏
❤️🎊🎊🎊
Wahooh vizuri sana ❤❤
Haaaaaaah DC Emil design
Dogo Unawenza San.
🌹🌹🌹
Nimeikubali zaidi 🙏
My favorite song ❤️
Nawapenda saana ❤️❤️
❤❤❤ ngoma hii imeenda mbali kiukweli big up sana kijana 𝐏 𝐁𝐎𝐘 𝐒𝐓𝐑𝐈𝐂𝐊𝐄𝐑
❤❤❤❤❤❤❤❤
Iyo ipo babukwa
iPhone ya TZ
Nakubali san