MICHENZANI MALL HALI TETE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

Комментарии • 79

  • @yakoubfaki2026
    @yakoubfaki2026 Месяц назад +7

    Ingekuwa watu wanao fanya biashara bc tyr ingekuwa wamesha watimua mbio Ila usafi kwa hawaon, hatuna uadilifu ktk kazi zetu,

  • @HassanIdrisa-uo6qc
    @HassanIdrisa-uo6qc Месяц назад +9

    Kweli mm leo nimeamini kwamba zanzibar hakuna serekali iv hweli mashiomo ya karo hadi muombe msada ujeruman? Niaibu kubwa sana dh!!!

  • @user-sh2os4yh5l
    @user-sh2os4yh5l Месяц назад +10

    Nchi ndogo viongozi telee lkn hawana tija yoyote kw wananchi 😢😢😢😢

  • @AbdulRahmanAliy-sr7gw
    @AbdulRahmanAliy-sr7gw Месяц назад +6

    Manispaa kuvunja vibanda vya maskini na kutia Gari za watuwa minyororo tu lkn usafi aaaaa

  • @ghalibelghanim1151
    @ghalibelghanim1151 Месяц назад +3

    Jamaa yupo yupo Tu anaonesha maneno Yake Hana Hata interest ya kufanya kitu. M.MUNGU tusaidie Wazanzibari .

  • @shaabanmohammed2611
    @shaabanmohammed2611 Месяц назад +6

    Mkuu Karo zinatushinda. Usafi wa maji machafu tunashindwa. Serikali nzima yenye Uchumi wa kujenga Barabara zaidi ya kilomita 250 inashindwa kushughulikia drainage system ya nyumba mbili hadi tuombe Msaada kwa Serikali za nje!!! Hatuoni aibu.

  • @user-jl9gi6fm4d
    @user-jl9gi6fm4d Месяц назад +2

    Aibu kubwa sana serikali nzima tena kwenye kitovu cha mji uchafu mtupu

  • @saidmc8206
    @saidmc8206 Месяц назад +3

    Huyu jamaa anoitwa Meya hana akili hata kidogo nini anasema anakataa mara anakubali, CCM Oyeee 😂😂😂

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 Месяц назад +2

    Tatizo wavivu na zarau hao wasaidizi wake Mwinyi.wabunge manispaa wakilishi.wao kutwa wapo mageto na wake za watu kazi hawafanyi.hiyo mitaro ya zamani ishaziba maji machafu hayaendi.yanahitajika kutengeneza upya mitaro

  • @nassorseif7907
    @nassorseif7907 Месяц назад +2

    Zanzibar km Dubai hata bado mukiambiwa hamna serekali hamuamini Zanzibar bila ya mamlaka kamili haiwi

    • @hajiabdalla5772
      @hajiabdalla5772 Месяц назад

      Hata akae raisi yoyote mambo ndio hivyo hivyo hata hao Act ndio watakuja kulala haswa kwa kuvimbiwa kwa pesa za wizi.

    • @AbdulhaamidSoud
      @AbdulhaamidSoud Месяц назад

      Acha ukereketwa Apewe uyo yyte tubadilishe tuone haiwi chakula tunabadili Leo wali kesho ugali au ndiz ​@@hajiabdalla5772

  • @mustamimmushajara8992
    @mustamimmushajara8992 Месяц назад +1

    Wanachoweza kufanya ni kuwavunjia watu ila maji machafu aaaaah yanashinda

  • @yasminjuma9146
    @yasminjuma9146 Месяц назад +2

    Na majumba ya michenzani hilo no 1 nalo uchafu nje unatiririka

  • @masoudmasoud8138
    @masoudmasoud8138 Месяц назад

    dohhh hata kusafisha hayo makaro mpaka muombe msaada jamaniyyy aibuuu 😂😂😂😂😂

  • @JumaAbdalla-xm9pb
    @JumaAbdalla-xm9pb Месяц назад +2

    Kwann kila siku mnajengewa vitu ambavyo havina ubora na nyinyi mpo mna faida gni si bora muondoke hamna maana ya kuwepo hapo

  • @MasnamussaPp
    @MasnamussaPp Месяц назад +1

    Duu kijisiwa kama mkono,uchafu kila upande viongozi tele kila1avutia tumbolake wananchi njaa,maradhi,na kubaguliwa serekali hio iwapi puuuuu😂

  • @mangofish9079
    @mangofish9079 Месяц назад +1

    Serikali haina mana hii hata kidogo hayo majumba kila sehem kuna matangi utasema kiwanda cha kutengeneza hayo matenki yani miaka yote hio maji yameshindikana kupanda umbali wa gorofa 5 tu yani bado tuko nyuma sana kazi viongozi kujisifia kwa maendeleo kudanganyana watu

  • @abdullayahya8717
    @abdullayahya8717 Месяц назад +2

    Hapa Mstahili Meya Mahmoud unamuangusha rais wetu haiwezekani hata kutengeneza mitaro ya maji msubiri msaada kutoka ujerumani! Aibu raisi hawezi kuona kila kitu bali wateuzi wake ndio mnamuangusha

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz Месяц назад

      Kujenga mtaro ni kumwambia tajiri 1 tu aisaidie serekali kuwajengea

  • @yakoubfaki2026
    @yakoubfaki2026 Месяц назад +2

    Bc plan zenu mbovu km mall limejengwa juz,

  • @harisazizkhalfan4918
    @harisazizkhalfan4918 Месяц назад

    Mall mulitengeneze kwanza hili karo lenu

  • @Allybinamour
    @Allybinamour Месяц назад +1

    kwa hiyo hata hizi karo serikali mpaka iombe msaada nje ya nchi!

    • @abdallah2676
      @abdallah2676 Месяц назад

      Wnafik tu wnakaa ofisini hawajali lolote zaid ya matumbo yao

  • @bindawood978
    @bindawood978 Месяц назад +1

    Ajabu jumba kubwa la gharama kubwa mmeshindwa kujenga karo,duh kuomba msaada serikali ya ujerumani tena?!

  • @aliasgarhussein1157
    @aliasgarhussein1157 Месяц назад

    Wamengangania kufanya mambo wanayo pata pesa tu .. mara ukieka gari ushafungiwa,mara muuza machungwa na njugu wanakamtwa .. lkni vya msingi hawafanyi .. yaani nchii hee inavituko kweli

  • @kalengashoppingcenter1108
    @kalengashoppingcenter1108 Месяц назад

    Tumenawa uso tukaacha nyumaa😮😮😮😮

  • @afropanorama4730
    @afropanorama4730 Месяц назад

    Iyo mall na izo nyumba za michenzani zote ni wafu kwa wafu mavi kila kipembe

  • @ibrahimnadir4490
    @ibrahimnadir4490 27 дней назад

    Kwa io ata io mall haina faida haiwezi ata kutengeneza karo😂😂
    Yaani unajikaza umekwenda hatua kumbe umeomba msaada ujerumani kisa karo tu dah 😢😢

  • @RastaSuma
    @RastaSuma Месяц назад

    Hii mitaro nikabla ya michenzani mall kujegwa namba tatu makaro yanatiririsha mavi hadi mwisho wa jengo baraste hotel. kazi hamfanyi shirika la nyumba majumba yote namba 3, 8 , 9 na 10 zote ni aibu na kodi zao mnachukua na mshahara mnakula bila kufanyakazi, Acheni uvivu.

  • @seifmajid8088
    @seifmajid8088 Месяц назад

    Camera man punguza basi kuchukua kila mara huo uchafu unaotiririka, tunaotizama tunashindwa hata kuangalia hii video, lazima tu forward.

  • @rosetourandsafaris1551
    @rosetourandsafaris1551 Месяц назад

    dah karo pia tunaomba msaada kweli jaman sie bado

  • @bongo39
    @bongo39 Месяц назад +2

    Tatizo la watendaji wetu hawafanyo kazi zao au majukumu ya kazi zao hawafanyi mpaka rais sasa aseme ndio wanajazana na kuja kibao kama nzi wa choni pumbavu kabisa zanzibar yenyewe ndogo kama kigamja pia inawashinda mitaa michafu barabara mbovu ni aibu rais hao piga na chini ndio wanao kuchafulia cv yako usijifanye unajua kuzungumza usituregezee macho kama umekula kungu fanya kazi

    • @nailamohd-wn6sb
      @nailamohd-wn6sb Месяц назад +1

      😅😅😅Khatari

    • @user-jl9gi6fm4d
      @user-jl9gi6fm4d Месяц назад

      😂😂anatia hasira

    • @MuzneOthman-l7i
      @MuzneOthman-l7i Месяц назад

      RAIS ANAINGIA TU MADARAKANI ALISEMA MJI WA ZANZIBAR MCHAFU NI KWELI HAKUKOSEA. NAMUONEA HURUMA HANA WATU WA KUMSAIDIA KAZI KUBADILISHA CULTURE YA WATU ITAMCHUKUWA MUDA MREFU KUWEZA KUFIKIA MALENGO ALIYOKUSUDIA

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 Месяц назад

      Anaowachagua sio wapigakazi ndio maana yake .

  • @harisazizkhalfan4918
    @harisazizkhalfan4918 Месяц назад

    Yaani mall hili karo lenu mpaka msaidiwe hiyo ni dharau kubwa

  • @JumaAbdalla-xm9pb
    @JumaAbdalla-xm9pb Месяц назад +2

    Kodi kila kona lakini kusafisha makaro ety mpaka wapate misaada hii nchi jamani ni noma bara bara zenyewe hazina viwango na mainyinia wa serekali wp lakini sijui wanachokifanya ni nn

  • @JumaAbdalla-xm9pb
    @JumaAbdalla-xm9pb Месяц назад +1

    Kila kitu mnategemea misaada na mkishaidiwa kuhudumia pia hamuwezi mtihani mkubwa huu duh

  • @khamisjuma3760
    @khamisjuma3760 Месяц назад

    Yeye kazi yake kujenga tu sio kutengeneza

  • @DadialiDadi
    @DadialiDadi Месяц назад

    😂😂😂😂😂 vibandaaa vooo aaaahhhh jaman😅😅😅😅

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab Месяц назад

    Kwa ushauri wananchi nendeni ikulu mukawashitaki hao maana wao ni kuigiza kukaa ofisini kama wanashughuli za kufanya kumbe hawana lolote kazi kuwagombanisha wananchi na Raisi wao tu

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji6202 Месяц назад

    Mnatia aibu viongozi fanyeni wajibu wenu.mnataka utalii ili watu waje waone mavi mjini???

  • @abdallahdullah8642
    @abdallahdullah8642 Месяц назад

    Maendeleo yasio ufanisi jumba zuri lkn maji taka mitaani, majengo ya michenzani ndo Tumechoka nayo kwa uchafu uhodari wa kukusanya kodi na kufukuza walala Hoi kwa kicngizio cha kuweka mji Safi wkt mall na majumba ya michenzani yameshinda.

  • @AliNassor-qt6fm
    @AliNassor-qt6fm Месяц назад

    Hamna kitu apo 😂😂😂

  • @user-fs7bs6gy4z
    @user-fs7bs6gy4z Месяц назад

    Hakuna cha kusubiria tengezeni miundo mbinu izo pesa za kodi , bandari ,utalii, kilimo /karafuu zinaenda wapi mpaka muombe ujerumani km sio kutia aibu

  • @Dranka186
    @Dranka186 Месяц назад

    Karo tu mpaka mpewe misada aibu asaa

  • @JumaAbdalla-xm9pb
    @JumaAbdalla-xm9pb Месяц назад +1

    Kila kitu tusaidiwe na tukishasaidiwa kuhudumia pia inashindikana mh Rais fukuza iyo mijitu wanakuchafulia jina

  • @abdallah2676
    @abdallah2676 Месяц назад +1

    Uyo jamaa anapiga zogo tu hapo yeye yupo katika secta inabidi lishulikiwe haraka iwezekanavyo na sio kuongea ongea tu

  • @zanzibarsmzenji
    @zanzibarsmzenji Месяц назад

    Hio ndio kazi yao, kunya ovyo tu.kusafisha hawawezi

  • @aliasgarhussein1157
    @aliasgarhussein1157 Месяц назад

    Weee usituletee maswala ya mashimo ya kharo au capacity ya kharo ..wee ushayaona majii ya kharo,yashulikiwe usitake kubishana kama ni ya mchnzani mall au majumba za wakazi wengne ..ni jukumu lako itabidi ushulikie tu

  • @saeedmassoud256
    @saeedmassoud256 Месяц назад

    Ccm oyeeee😅

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab Месяц назад

    DAH HUSSENI MWINYI ALIWAMBIA MANISPAA WAO KAZI YAO NI KUSHUGHULIKIA USAFI TU SASA MKURUGENZI ANAFANYA NINI HUKO OFISINI ????AU WANA HUJUMA ZAO KWA SERIKALI HAWA ?

  • @hawrajehan2398
    @hawrajehan2398 18 дней назад

    Huyu meya ni mpuuzi sasa anatka kukwepa nni?si mall peke yake ndio kiswahili gani?alafu ashirikiane na wananchi kivipi wakat wananchi wanlipa kodi wajibu wao ni kutengeneza haijalishi shida iwe jumba la michenzani au popote,hii ni kadhia ya seeikali,nd shida ya kuw na viongozi wapuuzi

  • @Jeff_Tz
    @Jeff_Tz Месяц назад

    Badala ya kutatua tatizo Mheshimiwa unaaza kuleta story za Jumba namba 4? Je nikuulize Jumba namba 4 Lipo Dubai au hapa hapa Zanzibar?

  • @abdallahdullah8642
    @abdallahdullah8642 Месяц назад

    Abeid Amani karume ndio kiongozi pekee aliejenga kwa mtazamo wa baadae waliobaki hujenga Leo kesho kubomoa. Nia aibu kuomba msaada hata wa mashimo ya maji taka.

  • @AliyussufMakame-js5dp
    @AliyussufMakame-js5dp Месяц назад +1

    Uchumi wa bluu

  • @KhalidfoumHaji
    @KhalidfoumHaji Месяц назад

    Hamna cha mashirikiano ccm hamtendi haki kial kitu ubabe maarifa hamna kila kitiu kesho kesho

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 Месяц назад

    Majanga noma lol 😆 aibu kubwa

  • @munaomar9532
    @munaomar9532 Месяц назад

    Mie ndo nikawa sikupendi huko mjini ,bora nikae huko kwarara

  • @AbdulhaamidSoud
    @AbdulhaamidSoud Месяц назад

    Hakika nchi ndogo viongoz kibao sheha,diwani inawawakilishi,wabunge,meya,mkuu wawilaya,mkuu wamkowa,wazir wamo wamo tu kujaza matumbo yao nakuisahau jamii yao haya ndo madhara uongoz wakujiweka tu madarakan wanakuwa si wawajibikaji mapuwa

  • @suleimanmuhiddin5363
    @suleimanmuhiddin5363 Месяц назад

    Eti mavi 😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @RastaSuma
    @RastaSuma Месяц назад

    Hii ni aibu kubwa sana. Wazanzibar hadi makaro mkaombe msahaada ujeruman ! Loo shame on you

  • @abubakarsaid7303
    @abubakarsaid7303 Месяц назад

    Hamuoni hata aibuu makaro pia lazima muombe msada?

  • @AyoubPapiy
    @AyoubPapiy Месяц назад

    Manispaa wanachukua vitu vya wauza biashara kazi muhimu hawafanyi😂

  • @user-jl9gi6fm4d
    @user-jl9gi6fm4d Месяц назад

    Hawako serious ni kuangalia maslahi yao tu

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 Месяц назад

    Kwakwel kila kitu Hadi tusimamiwe dhu