Kila k2 kipo wazi hakuna ambye hajaon mr mwnya kikubwa tumshukr mung 2 kwa kumalz salam na siku zotr mshindi atabk kuwa mshindi 2💪 Daima mbel nyum mwik
yeah well said,tatizo linaanzia kwenye mifumo ya serikali yetu freedom of expression ni ndogo ndo maana hata wachezaji wetu wamejengeka na confidence ndogo we need revolution for sure la sivyo tutaendelea kuonewa kila mahali kila siku
Kwenye eneo hilo wachezaji walifeli sana (1) Hawakushangilia lile goli (2) Hawa kumpa presha mwamuzi --- Nilimshangaa captain Mwamnyeto,badala ya kuongoza mapambano kwa yule mwamuzi " mwovu " anaondoka --- ni ajabu.
Pia mmezoea zulumu wengine mfano goli na ihefu latano halikua goli kabisa lakini mlichekelea hivyo mjifunze Jambo hapo usipende kudhulumu Mana dhuluma inauma
👍 👍 Umeongea vizuri sana 💚💛💛💛💛
Kila k2 kipo wazi hakuna ambye hajaon mr mwnya kikubwa tumshukr mung 2 kwa kumalz salam na siku zotr mshindi atabk kuwa mshindi 2💪 Daima mbel nyum mwik
Safi mwanya umeongelea timu zote
yeah well said,tatizo linaanzia kwenye mifumo ya serikali yetu freedom of expression ni ndogo ndo maana hata wachezaji wetu wamejengeka na confidence ndogo we need revolution for sure la sivyo tutaendelea kuonewa kila mahali kila siku
Kumbe Kuna wakati unaongeaga point
Msemaji wa yanga kwenye katika social media🔰💛🫂
Niache Mimi nimecheka🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌
Wana simba nguvu moja lakini yanga kuzulumiwa imeniuma
Kumbe mwanya kichwan upo Smart
Yeah 😮😮
Kwenye eneo hilo wachezaji walifeli sana (1) Hawakushangilia lile goli (2) Hawa kumpa presha mwamuzi --- Nilimshangaa captain Mwamnyeto,badala ya kuongoza mapambano kwa yule mwamuzi " mwovu " anaondoka --- ni ajabu.
Uwongo bwana Mr mwanya uwezo umeamua
wamezurumishiwa hii lile goli
Pia mmezoea zulumu wengine mfano goli na ihefu latano halikua goli kabisa lakini mlichekelea hivyo mjifunze Jambo hapo usipende kudhulumu Mana dhuluma inauma
🎉🎉
👍👍💛💛💚💚💚👏
zidane hajawah kukosa penalt😮
Mimi ni simba dam na tena mimi nishabiki ako san ila umeongea vizur
Umeongea point san ☹☹😢😢
kale ka refa ni kamchongo hata kwenye fainali ya usm alg
🙏
Mwanya😭😭😭😭
Et saba au nane😂😂😂😂 na wamshukuru mungu wa mbingu na ardhi kwa kufungwa hizo goli3 kwakweli😅😅😅
hahaha !!! mbn kufungwa ni kawaida sio jambo kubwa
maua Y yako chukiua mwanya
Apo ni uongo ile haikukuwa goal mr mwanya
Huo ni wivu naona na wewe na team yako mmeshinda
ilikuwa goli unakataa nn sas acha wivu ww😂😂😂😂
🎉🎉🎉