We hii move inamafuzo mazuri sana kwa wanaume brown kaubuka kweupe mau ya loveness na Ibrahim 🎉🎉🎉 mnanifunza sana milima haikutani ila binadamu tunakutana kweli
Hii iwaendee wasiojali utu na ubinadamu kwa maisha ya wawili safari ni safari ndefu, hapo brown amechemsha kama umeliona hilo weka like yako hapo chini ila nawapendeni sana❤❤❤ haya loveness mtawala wa Ibrahim
Brown ukome kabisa ulifikili umemuaca kijijini hamutokutana wona sasa mawumivu ukonayo na ukamupatia mwenzako kelvin kukulelea mutoto nakucukiz brown😢😢
Movie tamu sana ila brown anasikia wivu juu ya loveness bro ulimtelekeza n ujauzito n mungu naye akawa upande wake ,wimbo tamu eti umenikata ulimi nisiseme kila kitu haaaaaaa love you guys from kenya ❤❤❤❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Yaani alivyocheza akiwa kama dada wa kazi maisha aliyo pitia mule na huku angefanya hivyo hapo ingenoga zaidi yaani mwanamke mwenye shida anakuwa na nywele kali nguo kali hapo mmetupiga donta hila content ni kari hina ujumbe mkubwa sana hasa kwa vijana wanaotaka mambo mazuri kwa pupa
Like za team strong 💪oyaaaahh nawakirisha from riyadh 🎉
Kazi Yako naipenda sana dear loveness kwa kumnyongeza brown wah
Ivi lovenee mbona nakupenda Bure 😂😂😂 good job lovenee.
Nimekua wakumi na Tano wapi like za team storing Kwa loveness wetu nakupenda loveness from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦
Team strong hoyeeeee
Pamoja ❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦
@@Fatuma-th3ni hoyeee
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@@MwaJuma-x3t❤❤❤❤
Nyimbo tamu sana❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kazi nzuri sna 🎉🎉🎉 like tukisonga team strong hoyeeee 😂😂❤❤❤🇸🇦🇰🇪
Episode y Leo 🔥🔥 alfu huo wimbo nyuma yake nzuri sana All the way from Kenya 🇰🇪 tunawapenda sana my fellow Kenyans wapi likes
Yaan hii ya leo imenoga sanaaaaaaaa😂😂 kunambi jicho limemtoka kama fundi saa kapoteza mshale🤣🤣🤣 lovenesss nae kwakumkomoa sasa dah kwel ni 🔥🔥🎉🎉
Pamoja ❤
Lovenes nimekupenda Bure na kinyimbo chetu kunambi jicho limemtoka kama amebanwa na mlango chukueni hongera zenu🎉🎉🎉🎉🎉
Daaah love wee ni noma sana nakupenda bure ongereni sana 🎉❤❤❤😂
Kazi nzuri jamani mungu awatie nguvu zaidi❤❤❤ nawapenda sana
Kazi mzuri donta we love you from kenya❤❤
Good job kunambii. Upo siku nta wa join. Watching from Kenya. Nairobi.
Wangp wanaamin io ndoto ya loveness itatimia jmn ila ilo Kofi loveness 😂ungemrudia apo ndipo angejua hajui😢😢😢love from 🇰🇪🇸🇦♥️
Wakwanza leo wapi likes jamani 🎉🎉❤❤ from Kenya
mnakulanga likes ama mnafanyaga nini nazo nyie waomba likes
Loveness napenda macho Yako yalivyo
Jamani hpa ss tumeoana nn kumbukumbu za loveness tuu krbu episode nzimaa, alfu loveness usiipoteze bahati hyo Kw ajili ya kunambi mpuuzi
Movie nzuri inamafudisho mazuri sn 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hii movie saa zingne inanichanganya,movie 🎥🍿 nitamu sana
Ata me nawapenda xna kelvin, loveness na nyuki
Kiukweli episode ya leo nimeipenda sana much love donta family pokea maua yenu 🎉🎉🎉🎉🎉wimbo nao ni mtanu waendana na movie yenyewe❤❤❤❤❤
Nyimbo tamu san team donta family ❤❤❤❤
🎉🎉❤❤
We hii move inamafuzo mazuri sana kwa wanaume brown kaubuka kweupe mau ya loveness na Ibrahim 🎉🎉🎉 mnanifunza sana milima haikutani ila binadamu tunakutana kweli
Wacheni ubanaifu na kutusumbua,mtoto wa boss,ya delay haijaisha,mnaanzisha game mpya..hovyo sana !🇰🇪
Hii iwaendee wasiojali utu na ubinadamu kwa maisha ya wawili safari ni safari ndefu, hapo brown amechemsha kama umeliona hilo weka like yako hapo chini ila nawapendeni sana❤❤❤ haya loveness mtawala wa Ibrahim
Loveness umefanya vizuri wanaume wenye awajitambui kama brown nawapa pole
Love habbty nakupendaa hayatii❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Jamani haka kalavnes kwanini kazuri hivi ?nakapenda sana natamani nikaowe
😂😂 na Mimi nitamuch siku ya harusi yenu😂😂
Namm pia
Nilikuwa nataka namba yakee ya watsap
Wakwanza hapa😂😂nipeeni like kama mia tano tu😂😂🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤hiki kihouse girl naeza kigonga hdi kishangae.mtu unajifnya unageuka ukinipiga😂
😂😂😂
Hapo sasa me mwenyew nimetaman kukipiga kibao kwa cm
😂😂😂😂😂😂😂😂
Eyo goma ni tamu sana ❤❤❤
😂😂😂😂😂😂,,,,,kunambi umetoa macho kama umetekwa na watu wasijulikana,,hiyo ndio adhabu ya wanaume kama kunambi
Brown ukome kabisa ulifikili umemuaca kijijini hamutokutana wona sasa mawumivu ukonayo na ukamupatia mwenzako kelvin kukulelea mutoto nakucukiz brown😢😢
😅😅😅😅😅Jamani loveness kila movie ni masoimba sasa hapa unapinga mateke yausinginzini do from Kenya 🇰🇪 🎉🎉🎉🎉
Movie tamu sana ila brown anasikia wivu juu ya loveness bro ulimtelekeza n ujauzito n mungu naye akawa upande wake ,wimbo tamu eti umenikata ulimi nisiseme kila kitu haaaaaaa love you guys from kenya ❤❤❤❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Whaoo, nzuri❤🎉❤🎉❤🎉🎉🎉
Wow umepigaje hapo laveness❤❤❤
NDONTA tunawakubali sana kwa mafunzo jema kwa jamii much ❤❤❤❤from Kenya 🇰🇪
😂😂😂😂ila loveless umejua kumkomesha brown 😂😂😂😂😂😂😂brown unaiyonaje hiyo 😂😂😂kula chuma hicho
Donta family hoyeeee kazi nzuri sana wapendwa napenda sanaa kutoka Jeddah
😂😂😂😂😂😂 loveness wakubalije makofi hayo😅😅😅
Kazi ni nzuli lakin mkiongea punguzen sauti ya mziki
Sada and kunambi are writing and deleting 😂😂😂😂nauza sunflower jmni mcniache bila😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ak hatari hii jamn haaaah😂😂😂😂😂😂😂😂
@@MwaliSuleih umeonaeeeeh,,,hatari na nusu wallaaaiii😆😆
Brown kimekuramba kaka 😂😂😂😂 sikizia sasa
Dah 🔥🔥🔥🔥to much hongera zenu❤❤❤
guyz hao wanawake wawili kwenye mtoto was boss hatuwataki wanabore movie sana kupitia wao mnaeza mkakosa hata subscribers
Nani na nani hapo
@@esterkimalio8846 mke wa anko kiss na Diana wananiboh sana kwakweli
Kweli ile,mutuleteye Victor Na shaineza
Nyie watu jamni unajua sana kuigiza🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤Love ndg yang nakupenda mnoo
Safi sana vijana Nawapenda sana Kev na Loness na Kendy na baba Kev
Kazi nzuri lisa,dawa ya moto ni moto
ila loveness 😂😂😂😂😂nakupenda bure kazi yako nizuti sana❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wakwanza Leo from kenya
Kazi nzuri mashaulllh 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Muvi mzuli🎉🎉
Nawapenda sana wana donta💕💕💕💕
Sabra jaman kumbe yupo pia❤❤❤❤
Imepigwaje hiyo 😂😂
inapendeza sana ❤❤
Kazi nzuri
nawapenda sana kazinzuri
Hili bonge la move❤❤
Nawakubali saaana watu wangu hongereni saaana
Kazi nzuri sana❤
😂😂😂😂😂 ila huyo sada amenishinda tabia kha ametushinda sote wivu tu kunenepa aaah😀😀🤣
Jina ya wimbo please ❤
❤❤
Safi loveness nakukubari sana❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Uyu brown ataniulia love ness🎉🎉🎉 koma
Sada jamani😅😂😂😂😂❤❤❤❤
Kazi safi sana ❤❤❤
Naombona munisadie Hiyo nyimbo ikaimba nani
Yangu haija toka bado 💪🙏
kazi nzur jaman
Jamaniii huo wimbo unaitwaje mwisho apo
Weee acha tu 😂😂😂❤❤❤ from 🇰🇪🇰🇪 nipeni like zangu
Courage ❤❤❤❤❤❤
Mambo ni moto kiukweli 🎉🎉🎉🎉🎉
Lisa na kukubali sana move inanoga❤❤❤
🎀✨KAZI NZURISANA #NDUGUYANGU BOSS #DONTA_FAMILY BIG UP🙏😊📽🌍💕🕊
Kazi nzur 🔥 🔥
Asa mbona lisaa hamkumbuki ata mtoto wake 😢😢
Yaani alivyocheza akiwa kama dada wa kazi maisha aliyo pitia mule na huku angefanya hivyo hapo ingenoga zaidi yaani mwanamke mwenye shida anakuwa na nywele kali nguo kali hapo mmetupiga donta hila content ni kari hina ujumbe mkubwa sana hasa kwa vijana wanaotaka mambo mazuri kwa pupa
jamn leo nimemuona brown alikua kwwny basi nimefurahi sana yani
Wakati wa mazungumzo toeni sauti ya Wimbo tafadhali
Kwakweli watutesa sana 😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣 sio kwa Hilo Kofi uchawi sio had ilove ni vitendo tu
Shogaangu anatia huruma uyo dada wa kaz😂
Lkn leo nimewahi mapema sana from congo
Congratulations hii n fire 🔥 nahako kawimbo huko mwisho daaaa
Kaz nzur mtuletee muemdelezo haraka ❤❤❤
Asante sana muko.poa
Filamu mpya yakufatiya naitaji nimuone da Vicky
Kunambi anavyomeza meza mate unaeza dhani anameza sumu😂😂😂 inauma sana😅
Hongera sana loveness umejua kumkomesha brown😂😂😂😂
Kama nipeni namm likes zenu🎉
Napenda kunambi akiumizwa ndo movie inanoga😂😂😂
❤❤❤ more love to lisa
Lakini brown unataka kumpeleka muke wako kwa kelvin unataka kuvuja urafiki mwenyewe😢😢😢
Kwani hii movie mumechang jina❤❤
Loveness pole my daer inauma mpaka bas😢😢😢
Kunambi 😂😂😂😂 Liya tu Demu Anakutoka mbere yako 🎉🎉🎉🎉
Kuteswa kwa dhamu ndo hiii sasa🤣🤣🤣🤣🤣🤣loveness tunakupenda hakii
Kunambi mtaka yote ukosa yote.
Kidogo tu brown kataka kutoka nje🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
😅😅😅😅😅😅😅😅brown ujui binadamu ukutana milima ndio haikutani bro unatoroka maskini hila lazy uko n musimamo kweli🎉🎉🎉