STEP FATHER | 04 | Love Story ❤️

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024
  • #love
    KIJANA MASIKINI ALIOKOTA MTOTO MAISHA YAKE YAKABADILIKA 💞 | STEP FATHER PART 04 | Love Story ❤️

Комментарии • 247

  • @DoreenKaimenyi-km6ux
    @DoreenKaimenyi-km6ux 2 дня назад +35

    Like za team strong 💪oyaaaahh nawakirisha from riyadh 🎉

  • @WinnieNtoiti
    @WinnieNtoiti 2 дня назад +15

    Kazi Yako naipenda sana dear loveness kwa kumnyongeza brown wah

  • @SharksSimba
    @SharksSimba 2 дня назад +17

    Ivi lovenee mbona nakupenda Bure 😂😂😂 good job lovenee.

  • @MwanalimaMwalimu-c4m
    @MwanalimaMwalimu-c4m 2 дня назад +55

    Nimekua wakumi na Tano wapi like za team storing Kwa loveness wetu nakupenda loveness from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦

    • @Fatuma-th3ni
      @Fatuma-th3ni 2 дня назад +2

      Team strong hoyeeeee

    • @MwaJuma-x3t
      @MwaJuma-x3t 2 дня назад +1

      Pamoja ❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦

    • @MwanalimaMwalimu-c4m
      @MwanalimaMwalimu-c4m 2 дня назад

      @@Fatuma-th3ni hoyeee

    • @jamilashabani8580
      @jamilashabani8580 2 дня назад

      ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @RehemaMwegele
      @RehemaMwegele 2 дня назад

      ​@@MwaJuma-x3t❤❤❤❤

  • @MwaJuma-x3t
    @MwaJuma-x3t 2 дня назад +6

    Nyimbo tamu sana❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @GraceKenya-i4j
    @GraceKenya-i4j 2 дня назад +28

    Kazi nzuri sna 🎉🎉🎉 like tukisonga team strong hoyeeee 😂😂❤❤❤🇸🇦🇰🇪

  • @Chebet254
    @Chebet254 2 дня назад +23

    Episode y Leo 🔥🔥 alfu huo wimbo nyuma yake nzuri sana All the way from Kenya 🇰🇪 tunawapenda sana my fellow Kenyans wapi likes

    • @JescaYusuph-m4y
      @JescaYusuph-m4y 2 дня назад +2

      Yaan hii ya leo imenoga sanaaaaaaaa😂😂 kunambi jicho limemtoka kama fundi saa kapoteza mshale🤣🤣🤣 lovenesss nae kwakumkomoa sasa dah kwel ni 🔥🔥🎉🎉

    • @MwaJuma-x3t
      @MwaJuma-x3t 2 дня назад +1

      Pamoja ❤

  • @AgnesMiyi
    @AgnesMiyi 2 дня назад +4

    Lovenes nimekupenda Bure na kinyimbo chetu kunambi jicho limemtoka kama amebanwa na mlango chukueni hongera zenu🎉🎉🎉🎉🎉

  • @lydiahnyamokami5058
    @lydiahnyamokami5058 2 дня назад +10

    Daaah love wee ni noma sana nakupenda bure ongereni sana 🎉❤❤❤😂

  • @DoreenKabeby-kw4bj
    @DoreenKabeby-kw4bj 2 дня назад +14

    Kazi nzuri jamani mungu awatie nguvu zaidi❤❤❤ nawapenda sana

  • @MargretMburu-z2x
    @MargretMburu-z2x 2 дня назад +10

    Kazi mzuri donta we love you from kenya❤❤

  • @SharksSimba
    @SharksSimba 2 дня назад +12

    Good job kunambii. Upo siku nta wa join. Watching from Kenya. Nairobi.

  • @judithpendo9985
    @judithpendo9985 2 дня назад +10

    Wangp wanaamin io ndoto ya loveness itatimia jmn ila ilo Kofi loveness 😂ungemrudia apo ndipo angejua hajui😢😢😢love from 🇰🇪🇸🇦♥️

  • @ElizabethRodgers-lm9xs
    @ElizabethRodgers-lm9xs 2 дня назад +26

    Wakwanza leo wapi likes jamani 🎉🎉❤❤ from Kenya

    • @TeshmonyAntonio
      @TeshmonyAntonio 2 дня назад +1

      mnakulanga likes ama mnafanyaga nini nazo nyie waomba likes

  • @gideonchipepo8405
    @gideonchipepo8405 2 дня назад +4

    Loveness napenda macho Yako yalivyo

  • @SdFft-j5g
    @SdFft-j5g 2 дня назад +10

    Jamani hpa ss tumeoana nn kumbukumbu za loveness tuu krbu episode nzimaa, alfu loveness usiipoteze bahati hyo Kw ajili ya kunambi mpuuzi

  • @Marlenapilikitsao-gk9je
    @Marlenapilikitsao-gk9je 2 дня назад +9

    Movie nzuri inamafudisho mazuri sn 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @BAZUMWESHNDEREBA
    @BAZUMWESHNDEREBA 2 дня назад +4

    Hii movie saa zingne inanichanganya,movie 🎥🍿 nitamu sana

  • @antonyRuth
    @antonyRuth 2 дня назад +4

    Ata me nawapenda xna kelvin, loveness na nyuki

  • @milkahmachana
    @milkahmachana 2 дня назад +4

    Kiukweli episode ya leo nimeipenda sana much love donta family pokea maua yenu 🎉🎉🎉🎉🎉wimbo nao ni mtanu waendana na movie yenyewe❤❤❤❤❤

  • @ashamwanganzi6400
    @ashamwanganzi6400 16 часов назад +1

    Nyimbo tamu san team donta family ❤❤❤❤

  • @khafidamkambeKhafidamk-dq7nj
    @khafidamkambeKhafidamk-dq7nj 2 дня назад +1

    We hii move inamafuzo mazuri sana kwa wanaume brown kaubuka kweupe mau ya loveness na Ibrahim 🎉🎉🎉 mnanifunza sana milima haikutani ila binadamu tunakutana kweli

  • @ChristineKesi-k9r
    @ChristineKesi-k9r 2 дня назад +1

    Wacheni ubanaifu na kutusumbua,mtoto wa boss,ya delay haijaisha,mnaanzisha game mpya..hovyo sana !🇰🇪

  • @malikahiribae
    @malikahiribae 11 часов назад

    Hii iwaendee wasiojali utu na ubinadamu kwa maisha ya wawili safari ni safari ndefu, hapo brown amechemsha kama umeliona hilo weka like yako hapo chini ila nawapendeni sana❤❤❤ haya loveness mtawala wa Ibrahim

  • @JosephineMomanyi-jp8tv
    @JosephineMomanyi-jp8tv 2 дня назад +3

    Loveness umefanya vizuri wanaume wenye awajitambui kama brown nawapa pole

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 День назад +1

    Love habbty nakupendaa hayatii❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @ChristopheMufariji-kh3kq
    @ChristopheMufariji-kh3kq 2 дня назад +7

    Jamani haka kalavnes kwanini kazuri hivi ?nakapenda sana natamani nikaowe

  • @Viviankemmy-p4k
    @Viviankemmy-p4k 2 дня назад +14

    Wakwanza hapa😂😂nipeeni like kama mia tano tu😂😂🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤hiki kihouse girl naeza kigonga hdi kishangae.mtu unajifnya unageuka ukinipiga😂

  • @AnnaWaswa
    @AnnaWaswa 2 дня назад +3

    Eyo goma ni tamu sana ❤❤❤

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846 2 дня назад +1

    😂😂😂😂😂😂,,,,,kunambi umetoa macho kama umetekwa na watu wasijulikana,,hiyo ndio adhabu ya wanaume kama kunambi

  • @DivineIngabire-lj3sr
    @DivineIngabire-lj3sr 2 дня назад +2

    Brown ukome kabisa ulifikili umemuaca kijijini hamutokutana wona sasa mawumivu ukonayo na ukamupatia mwenzako kelvin kukulelea mutoto nakucukiz brown😢😢

  • @SyombuaMuvengei
    @SyombuaMuvengei 2 дня назад +1

    😅😅😅😅😅Jamani loveness kila movie ni masoimba sasa hapa unapinga mateke yausinginzini do from Kenya 🇰🇪 🎉🎉🎉🎉

  • @elosygatwiri-r4l
    @elosygatwiri-r4l 2 дня назад +1

    Movie tamu sana ila brown anasikia wivu juu ya loveness bro ulimtelekeza n ujauzito n mungu naye akawa upande wake ,wimbo tamu eti umenikata ulimi nisiseme kila kitu haaaaaaa love you guys from kenya ❤❤❤❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @KatavalyKambale
    @KatavalyKambale 2 дня назад +3

    Whaoo, nzuri❤🎉❤🎉❤🎉🎉🎉

  • @SaumuWanje
    @SaumuWanje 2 дня назад +2

    Wow umepigaje hapo laveness❤❤❤

  • @InukaUangaze-s3y
    @InukaUangaze-s3y 2 дня назад +1

    NDONTA tunawakubali sana kwa mafunzo jema kwa jamii much ❤❤❤❤from Kenya 🇰🇪

  • @BintmohamedNasiri
    @BintmohamedNasiri 2 дня назад +8

    😂😂😂😂ila loveless umejua kumkomesha brown 😂😂😂😂😂😂😂brown unaiyonaje hiyo 😂😂😂kula chuma hicho

  • @KahindiNyevu
    @KahindiNyevu 2 дня назад +1

    Donta family hoyeeee kazi nzuri sana wapendwa napenda sanaa kutoka Jeddah

  • @NoorEesa
    @NoorEesa 2 дня назад +3

    😂😂😂😂😂😂 loveness wakubalije makofi hayo😅😅😅

  • @Tabu-r1i
    @Tabu-r1i 2 дня назад +4

    Kazi ni nzuli lakin mkiongea punguzen sauti ya mziki

  • @shahrayn93
    @shahrayn93 2 дня назад +3

    Sada and kunambi are writing and deleting 😂😂😂😂nauza sunflower jmni mcniache bila😂😂😂

    • @MwaliSuleih
      @MwaliSuleih 2 дня назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ak hatari hii jamn haaaah😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @shahrayn93
      @shahrayn93 2 дня назад

      @@MwaliSuleih umeonaeeeeh,,,hatari na nusu wallaaaiii😆😆

  • @GraceKenya-i4j
    @GraceKenya-i4j 2 дня назад +3

    Brown kimekuramba kaka 😂😂😂😂 sikizia sasa

  • @SakinaHassani-xm7ti
    @SakinaHassani-xm7ti 2 дня назад +2

    Dah 🔥🔥🔥🔥to much hongera zenu❤❤❤

  • @TeshmonyAntonio
    @TeshmonyAntonio 2 дня назад +7

    guyz hao wanawake wawili kwenye mtoto was boss hatuwataki wanabore movie sana kupitia wao mnaeza mkakosa hata subscribers

  • @MshuaLongest
    @MshuaLongest 2 дня назад +1

    Nyie watu jamni unajua sana kuigiza🎉🎉🎉🎉

  • @MwajayChamshama
    @MwajayChamshama 2 дня назад +3

    ❤❤❤❤Love ndg yang nakupenda mnoo

  • @EvaMwabulambo
    @EvaMwabulambo 2 дня назад +1

    Safi sana vijana Nawapenda sana Kev na Loness na Kendy na baba Kev

  • @mercymsemwa7020
    @mercymsemwa7020 2 дня назад +1

    Kazi nzuri lisa,dawa ya moto ni moto

  • @omanbid7794
    @omanbid7794 2 дня назад +1

    ila loveness 😂😂😂😂😂nakupenda bure kazi yako nizuti sana❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @EmmaculateNzembei-gl1gq
    @EmmaculateNzembei-gl1gq 2 дня назад +5

    Wakwanza Leo from kenya

  • @SalamaTaura
    @SalamaTaura 2 дня назад +1

    Kazi nzuri mashaulllh 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @samjabri2611
    @samjabri2611 2 дня назад +3

    Muvi mzuli🎉🎉

  • @JdbdJdnr
    @JdbdJdnr 2 дня назад +2

    Nawapenda sana wana donta💕💕💕💕

  • @Sabrasaid-o6j
    @Sabrasaid-o6j 2 дня назад +1

    Sabra jaman kumbe yupo pia❤❤❤❤

  • @KhadijahKinyuri
    @KhadijahKinyuri 2 дня назад +3

    Imepigwaje hiyo 😂😂

  • @BrianWanjala-fd9zp
    @BrianWanjala-fd9zp 2 дня назад +1

    inapendeza sana ❤❤

  • @AbibaChindigwa
    @AbibaChindigwa 2 дня назад +1

    Kazi nzuri

  • @LorrieDiella
    @LorrieDiella 2 дня назад +1

    nawapenda sana kazinzuri

  • @SaraaSaraa-i1j
    @SaraaSaraa-i1j 2 дня назад +3

    Hili bonge la move❤❤

  • @RehemaRacheltumba
    @RehemaRacheltumba 2 дня назад +1

    Nawakubali saaana watu wangu hongereni saaana

  • @glorymanga3650
    @glorymanga3650 2 дня назад +1

    Kazi nzuri sana❤

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 2 дня назад +3

    😂😂😂😂😂 ila huyo sada amenishinda tabia kha ametushinda sote wivu tu kunenepa aaah😀😀🤣

  • @Martinksu
    @Martinksu День назад +1

    Jina ya wimbo please ❤

  • @nasraAl-b1w
    @nasraAl-b1w День назад

    Safi loveness nakukubari sana❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @chrismwendemwende4100
    @chrismwendemwende4100 2 дня назад

    Uyu brown ataniulia love ness🎉🎉🎉 koma

  • @Mary-cm3tt
    @Mary-cm3tt 2 дня назад +2

    Sada jamani😅😂😂😂😂❤❤❤❤

  • @123rehema-q9h
    @123rehema-q9h 2 дня назад +1

    Kazi safi sana ❤❤❤

  • @23Maryamu
    @23Maryamu 9 часов назад +1

    Naombona munisadie Hiyo nyimbo ikaimba nani

    • @Malesa255..1
      @Malesa255..1 2 часа назад

      Yangu haija toka bado 💪🙏

  • @SamouOman
    @SamouOman День назад

    kazi nzur jaman

  • @HappyMbonye-im5nj
    @HappyMbonye-im5nj 2 дня назад +1

    Jamaniii huo wimbo unaitwaje mwisho apo

  • @Fatumahassan-h5m
    @Fatumahassan-h5m День назад

    Weee acha tu 😂😂😂❤❤❤ from 🇰🇪🇰🇪 nipeni like zangu

  • @arikibok4735
    @arikibok4735 2 дня назад +1

    Courage ❤❤❤❤❤❤

  • @ginafaruque5335
    @ginafaruque5335 2 дня назад +2

    Mambo ni moto kiukweli 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @NasraIbrahim-dw1hr
    @NasraIbrahim-dw1hr 2 дня назад +1

    Lisa na kukubali sana move inanoga❤❤❤

  • @ClamVevoTV
    @ClamVevoTV 2 дня назад +2

    🎀✨KAZI NZURISANA #NDUGUYANGU BOSS #DONTA_FAMILY BIG UP🙏😊📽🌍💕🕊

  • @Rosematheka-u8l
    @Rosematheka-u8l 2 дня назад +1

    Kazi nzur 🔥 🔥

  • @jacksonsimon3759
    @jacksonsimon3759 2 дня назад +1

    Asa mbona lisaa hamkumbuki ata mtoto wake 😢😢

  • @user-sf6zi8ho6p
    @user-sf6zi8ho6p 2 дня назад

    Yaani alivyocheza akiwa kama dada wa kazi maisha aliyo pitia mule na huku angefanya hivyo hapo ingenoga zaidi yaani mwanamke mwenye shida anakuwa na nywele kali nguo kali hapo mmetupiga donta hila content ni kari hina ujumbe mkubwa sana hasa kwa vijana wanaotaka mambo mazuri kwa pupa

  • @CarolineWilly-k4u
    @CarolineWilly-k4u День назад

    jamn leo nimemuona brown alikua kwwny basi nimefurahi sana yani

  • @ndetanigroup1371
    @ndetanigroup1371 2 дня назад +1

    Wakati wa mazungumzo toeni sauti ya Wimbo tafadhali

    • @lrene4442
      @lrene4442 День назад

      Kwakweli watutesa sana 😅😅

  • @MamuLiana
    @MamuLiana 2 дня назад +3

    🤣🤣🤣🤣🤣 sio kwa Hilo Kofi uchawi sio had ilove ni vitendo tu

  • @ZenaKhamis-pv1un
    @ZenaKhamis-pv1un 2 дня назад +1

    Shogaangu anatia huruma uyo dada wa kaz😂

  • @JeannetteEdwige-z5b
    @JeannetteEdwige-z5b 2 дня назад +2

    Lkn leo nimewahi mapema sana from congo

  • @JACKLINEKAZUNGU-w3n
    @JACKLINEKAZUNGU-w3n 2 дня назад

    Congratulations hii n fire 🔥 nahako kawimbo huko mwisho daaaa

  • @salhamsekeni907
    @salhamsekeni907 2 дня назад

    Kaz nzur mtuletee muemdelezo haraka ❤❤❤

  • @AnithaNahimana
    @AnithaNahimana 2 дня назад

    Asante sana muko.poa

  • @ByamteByaesemtema
    @ByamteByaesemtema День назад +1

    Filamu mpya yakufatiya naitaji nimuone da Vicky

  • @JoselineJuma-r7o
    @JoselineJuma-r7o 2 дня назад

    Kunambi anavyomeza meza mate unaeza dhani anameza sumu😂😂😂 inauma sana😅

  • @JanetRiziki-ut2is
    @JanetRiziki-ut2is 2 дня назад +1

    Hongera sana loveness umejua kumkomesha brown😂😂😂😂

  • @ShadiaIdrissa-r2f
    @ShadiaIdrissa-r2f 2 дня назад +2

    Kama nipeni namm likes zenu🎉

  • @Araphrqra
    @Araphrqra 2 дня назад +2

    Napenda kunambi akiumizwa ndo movie inanoga😂😂😂

  • @Sitiabdhallah
    @Sitiabdhallah 2 дня назад

    ❤❤❤ more love to lisa

  • @pendomwaringa7597
    @pendomwaringa7597 2 дня назад

    Lakini brown unataka kumpeleka muke wako kwa kelvin unataka kuvuja urafiki mwenyewe😢😢😢

  • @MajokaSharoo
    @MajokaSharoo 2 дня назад

    Kwani hii movie mumechang jina❤❤

  • @HoHo-l1r
    @HoHo-l1r 2 дня назад

    Loveness pole my daer inauma mpaka bas😢😢😢

  • @AghHh-v3f
    @AghHh-v3f 2 дня назад

    Kunambi 😂😂😂😂 Liya tu Demu Anakutoka mbere yako 🎉🎉🎉🎉

  • @NduwimanavovobiVovobi
    @NduwimanavovobiVovobi 2 дня назад

    Kuteswa kwa dhamu ndo hiii sasa🤣🤣🤣🤣🤣🤣loveness tunakupenda hakii

  • @tonykonki1437
    @tonykonki1437 2 дня назад +1

    Kunambi mtaka yote ukosa yote.

  • @methodnkundumukiza6367
    @methodnkundumukiza6367 2 дня назад +6

    Kidogo tu brown kataka kutoka nje🤣🤣🤣🤣

  • @VeronicahOtwori
    @VeronicahOtwori 2 дня назад

    😅😅😅😅😅😅😅😅brown ujui binadamu ukutana milima ndio haikutani bro unatoroka maskini hila lazy uko n musimamo kweli🎉🎉🎉