PENZI LA KIJANA MASIKINI NA BINTI MWENYE TAMAA💞 Love Story |
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- #dontatv #Kelvin #clam #bongomove #trending #trending #komasava #cookingvillage #like #live #mapenzi #clamvevo #comedy #kelvinkhan #peteyaajabu #dontatv #clamvevo #mapenzi #love #penzilamtotowaboss #bongomovie
Nawapenda sana Kwa KAZI nzuri mnaoifanya
Ila muendelezo unachelewesha sana ❤❤❤tunapenda kazi yako
Asante karibu sana
Hongerani sana Wana donta tv, Kelivn nakikosi chako mngu awazidishie
KILA SIKU TINA NDIO MBAYA HUMU TUKO NA MOVIE KAMA 3 MPAKA SASA ZINAZO TOKA KILA SIKU KWANINI TINA YAN 😂😂😂
😒😂
@@Malesa255..1 movie nzuri ila jitahidini kubadili watu tina tunamchoka na roh mbaya yake
Ndo nashangaa jamani kila siku TINA au ndo yy anaweza Mambo hayo
anaweza kusumbua watu anaweza
@@UmmuIsmaili😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nakubali
May Jah bless your hand work ila tamu 😂
Tina Na tamaa kila movie wa😂😂😂❤❤
🥹
i loving your movie mr Kevin me ime tanzania but ime from zambia MY Provence kigomatz
Tina nitatizo Kila sehem, Hafai kuishi katika Dunia hii
Hapana lkn huo ndo uhuska wake tu ,Tinah
Tina n mfano mzuri Kwa gilrs wenye tamaa in this world of today congratulations to all members of donta TV mungu awazidishie kipawa chenu
🥹🙏🫡
Yan Tina Jamani kila move yeye ni mtata tu hajawai kuwa mstarabu hata kidogo khaaaa 🙌🙌🙌😂😂😂
🤣🤣
Ila kev, unanifulaisha sana namisimamo yako
Unaweza kaka
Tina acha tamaaa Kila movie 🎥 ww tyuuu 😂😂😂
Tunajifunza mambo mengi kupitia move zenu wanafamilia wa Donta TV tunawapenda sanaa 🎉🎉🎉🎉❤
Karibu sana
@@Malesa255..1 🙏🙏
Kanumba umeuwa mungu akusimamie kaka
Asante sana kak yangu
Alafu uyu somo yangu tina mbona kila movies anakuwa upende watamaa😂😂😂😂
😊
Mwenyezi Mungu awape afya njema ndugu zangu na penda sana kazi zenu zote 🤲🤲🤲🤲
Asante sana🥰😍🙏
Welcome back my broo May God bless you in your work❤❤
Ama mimwenzen nitayasikia ty mapenz kwenye mitandao ila sitak yafik kwenye moy wang wacha nitafut hel mapenz shikamoooo 😂😂😂😂😂😂
Tuwekeeni shanaiza na shanganzi bna . Tina tumemchoka nna khaa😅
Malesa hunabahat kwenye mapenzi kabisa ila ukoviziru❤
Sijapenda😏Dakika kidogo muendelezo haupo kabsaa mnachosha 😌
Upo unatoka kesho kutwa
Mapenzi shikamo😅😅
Good job next 🔥
Soon✌️🙏
Mm langu jicho tu ila Tina hajawahi kuwa mstarabu movies hata moja 😂😂😂😂😂 nawapenda sana from kenya 🇰🇪
Iko bt s nying
Congratulations good job
😂😂😂😂ᴡᴀᴀᴀᴀʜ ᴛɪɴᴀ ᴛɪɴᴀ😂😂😂
Nakubali Kanumba
😂
Tina nakukubali mtu wangu😂😂😂 we do unaweza iyo part vizuri kenya
😍✌️💣
@@Malesa255..1 pamoja
Hatar sana🎉🎉🎉
Sijui nizae katoto kasumbufu kama Dina 😂😂😂Dina akizeeka kaendele kusumbua nakupenda Dina❤
🤣
Nelly nimependa jinsi unavyo mshauri rafiki yako ila nothing hurts like painful on broken hearted 💔 bro
Kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉❤❤
Asante 😒🙏❤️
Wa kwanza hapa kutokea 🇰🇪🇰🇪
😂😂😂😂😂😂😂
Saf sana
❤️😍
Jamani tumemiss shanizer
Tina kimekuta uwonga haufaii sikuzote
Ila Tina Un a mdomo sana hebu punguza 😂😂😂😂
😂😂😂jmn tina kwani tina huyu akoje
Jamani nyie hamchokiii nawatu mnaenda mnabadilisha mniweke basi❤❤
Karibu
Kelvin yy niskta yamalavidav Tina sasa kila sekta mgomvi 😂😂😂😂
Ombi langu mue munabadirisha majina ndoo mouvie itakuwa nzuri jammani apana majina yareyaye jamani
Sawa asante tutalipitia ✍️🙏❤️
Ila Nely muda mwngn n mtu wa maana sana,
Kabisa🥰
I like it,
Pamoja
Malesa mjukuu😂😂😂😂😂
😂😂😂
mh inauma lakin😂😂😂
🥹
Tina tena heee,,,tumemchoka bhana kila move yupo na roho mbaya yake duuh
Pole
This bad girl do this
Yaani Kila filamu Tina ye ukuwag mtu wa tamaa na Mali za wenyewe duuh kiukweli ueda kiualisia uko hivoh ..movie kadhaaa anakuwag aki act mtu wa tamaa za mali
Kwani hii ni full movie au ni season?
Season part 2 inakuja
Endelea kukaza buti kaka siku moja nitaja tuigize sote
🎉 congratulations
Shukurani sana ndugu ❤🙏
Mwanamke hasomeshwi 😅😅
Nimeyakanyaga ila sikubali 🫣😂
Kiukweli Tina anaitendea haki nafasi yake much ❤ baby girl
🩸🙏❤️❤️
Uku Kelvin na candy...wako kwenye penzi zito.....wakati Kwa dada wa kaz n pamba na moto...aky mapenz ww...😅
Noma sana kaka
Sanaaaa
Tina 😂.ww
Alafu brown alienda wapi amepotea sana wakiwa na Vicky
Wapo Donta family ⚒️
Inaonekana Ako ivyo
Babuuuu
🎉❤
❤❤❤❤🎉🎉
😂😂 fumaninzi
😀
ᴜᴢʀɪ ɴ ᴀᴄᴛ ʙᴛ ʟᴢᴍᴀ ᴀᴡᴇ ᴜᴋᴏ ʜᴠʏᴏ😂😂😂😂😂😂ʜɪɪ ɴᴅɪᴏ ʟɪғᴇ ʏᴋᴇ😅😅😅😅ᴀᴜ ᴍɴᴀʙɪsʜᴀ😂😂
❤❤❤🎉
😂
Tina ajui kuongea na wanaume wasitalabu kama kev kazoea kufokeana na kunambi
😒
Oyo mnatuboa muv ammalizi
ℳ𝓈𝒾𝒻𝓊𝓅𝒾𝓈𝒽𝑒 𝒮𝒶𝓃𝒶 jamani
Sawa part 2 itaongezeka
Tina unajua kuwaliza wezako kwa usaliti jmn we mdada hujambo ila mko pw cn hongelen
Asante sanaaa
Skuping family 🔥🔥🔥
💣🦾
❤❤❤
❤️❤️❤️
Shida yenu maogezi ni mengi kuliko vitendo halaf dakika zenu nikidogo sana kma hi penzi la mtoto wa boss naona sai zimefika 25 kunakoelekea zitafika hata kumi na Tano mna tuboo
Asante kwa maoni tuta yafanyia kazi🎉❤
Dina ubadiliki
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
🩸
Af mtoto tinaa anakuag jau
❤️❤️
♥️♥️♥️♥️♥️♥️🇰🇪🇰🇪🇰🇪
💣❤️❤️❤️
😊😊
Tina hyo ni tabia yko ama vipi
Mim wa pili jmn naombani na mim like nijione mwenye bahati😅
❤🎉
🎉🎉
Tina zilipendwa.jamani
Muendelezo tafadhali
Kesho kutwa 🥰🙏
@@Malesa255..1 mungu akipenda fanya hima ina bamba salimia tina🤣🤣🤣✌️nampenda bureee from kenya
Kkkkkkk
Pore kaka zangu
Asante❤️
Tina Hana tamaa
😂
Mm ishawai nitokea kudanganya na mwenyewe akafanya uchunguzi akajua ukweli 😢😢…chenye nilijifunza tangu hio siku n kwamba mwanaume anapenda kuambiwa ukweli hata kama unauma ju atakusamehe Ila ukimdanganya itachukua mda kukusamehe
Pole 😒
💯
🙏
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
ntafte malesa
Chukua number plofile
Iv nyie ko movie zenu kila siku zitakuwa mapenz mapenz tu kwan kwenye jamii hakuna kitu kingine kinachoendelea zaid ya mapenz
Mnatuchosha bn😡😡
Pole 😭❤️🙏
❤❤❤❤
❤️❤️❤️
Kipaji Mali
S😂🎉uuy
🤣🤣🤣
Malesa hunabahat kwenye mapenzi kabisa ila ukoviziru❤
🥹😊
Kazi nzuri sana 💯
Msaniii
Tina 😂.ww
❤❤❤❤❤
❤️❤️❤️❤️
Tina 😂.ww
@@shiichannel5623 mko vizuli sana ila kevi nakupendea msimamo wako na busala zako