PENZI LA KIJANA MASIKINI NA BINTI MWENYE TAMAA💞 Love Story |

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • #dontatv #Kelvin #clam #bongomove #trending #trending #komasava #cookingvillage #like #live #mapenzi #clamvevo #comedy #kelvinkhan #peteyaajabu #dontatv #clamvevo #mapenzi #love #penzilamtotowaboss #bongomovie

Комментарии • 184

  • @JuBoy-
    @JuBoy- Месяц назад +5

    Nawapenda sana Kwa KAZI nzuri mnaoifanya

  • @Johar903
    @Johar903 Месяц назад +2

    Ila muendelezo unachelewesha sana ❤❤❤tunapenda kazi yako

  • @RammyanLewah
    @RammyanLewah Месяц назад +4

    Hongerani sana Wana donta tv, Kelivn nakikosi chako mngu awazidishie

  • @UmmuIsmaili
    @UmmuIsmaili Месяц назад +32

    KILA SIKU TINA NDIO MBAYA HUMU TUKO NA MOVIE KAMA 3 MPAKA SASA ZINAZO TOKA KILA SIKU KWANINI TINA YAN 😂😂😂

    • @Malesa255..1
      @Malesa255..1  Месяц назад +3

      😒😂

    • @UmmuIsmaili
      @UmmuIsmaili Месяц назад +2

      @@Malesa255..1 movie nzuri ila jitahidini kubadili watu tina tunamchoka na roh mbaya yake

    • @PillyEliasa
      @PillyEliasa Месяц назад +2

      Ndo nashangaa jamani kila siku TINA au ndo yy anaweza Mambo hayo

    • @jamilashabani8580
      @jamilashabani8580 Месяц назад +3

      anaweza kusumbua watu anaweza

    • @jamilashabani8580
      @jamilashabani8580 Месяц назад +1

      ​@@UmmuIsmaili😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @DarleenWilliam-h6e
    @DarleenWilliam-h6e Месяц назад +2

    Nakubali
    May Jah bless your hand work ila tamu 😂

  • @GraceMoraa-ln1dk
    @GraceMoraa-ln1dk 25 дней назад +2

    Tina Na tamaa kila movie wa😂😂😂❤❤

  • @jailomunyuka
    @jailomunyuka Месяц назад +2

    i loving your movie mr Kevin me ime tanzania but ime from zambia MY Provence kigomatz

  • @KhadijaShah-cg4jm
    @KhadijaShah-cg4jm Месяц назад +6

    Tina nitatizo Kila sehem, Hafai kuishi katika Dunia hii

  • @annUmazi-s7u
    @annUmazi-s7u Месяц назад +1

    Tina n mfano mzuri Kwa gilrs wenye tamaa in this world of today congratulations to all members of donta TV mungu awazidishie kipawa chenu

  • @HappyDaudi-ub4hw
    @HappyDaudi-ub4hw Месяц назад +4

    Yan Tina Jamani kila move yeye ni mtata tu hajawai kuwa mstarabu hata kidogo khaaaa 🙌🙌🙌😂😂😂

  • @KhadijaShah-cg4jm
    @KhadijaShah-cg4jm Месяц назад +2

    Ila kev, unanifulaisha sana namisimamo yako

  • @Faudhani-u7t
    @Faudhani-u7t Месяц назад +2

    Unaweza kaka

  • @GaudenciaMadirisha
    @GaudenciaMadirisha Месяц назад +2

    Tina acha tamaaa Kila movie 🎥 ww tyuuu 😂😂😂

  • @RoseMeshack-c9x
    @RoseMeshack-c9x Месяц назад

    Tunajifunza mambo mengi kupitia move zenu wanafamilia wa Donta TV tunawapenda sanaa 🎉🎉🎉🎉❤

  • @twizydadytv_
    @twizydadytv_ Месяц назад +4

    Kanumba umeuwa mungu akusimamie kaka

  • @Nihenya
    @Nihenya 20 дней назад +1

    Alafu uyu somo yangu tina mbona kila movies anakuwa upende watamaa😂😂😂😂

  • @shebitz255
    @shebitz255 Месяц назад +1

    Mwenyezi Mungu awape afya njema ndugu zangu na penda sana kazi zenu zote 🤲🤲🤲🤲

  • @AugustinhoManyangaunitedboetz3
    @AugustinhoManyangaunitedboetz3 Месяц назад +2

    Welcome back my broo May God bless you in your work❤❤

  • @AmenaMm-r5t
    @AmenaMm-r5t Месяц назад +1

    Ama mimwenzen nitayasikia ty mapenz kwenye mitandao ila sitak yafik kwenye moy wang wacha nitafut hel mapenz shikamoooo 😂😂😂😂😂😂

  • @elizabethismile6827
    @elizabethismile6827 Месяц назад +3

    Tuwekeeni shanaiza na shanganzi bna . Tina tumemchoka nna khaa😅

  • @DianaDamas-y3q
    @DianaDamas-y3q Месяц назад +2

    Malesa hunabahat kwenye mapenzi kabisa ila ukoviziru❤

  • @sommohd7903
    @sommohd7903 Месяц назад +1

    Sijapenda😏Dakika kidogo muendelezo haupo kabsaa mnachosha 😌

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki Месяц назад +1

    Mapenzi shikamo😅😅

  • @SakinaHassani-xm7ti
    @SakinaHassani-xm7ti Месяц назад +1

    Good job next 🔥

  • @MargaretPendo-t7w
    @MargaretPendo-t7w Месяц назад +1

    Mm langu jicho tu ila Tina hajawahi kuwa mstarabu movies hata moja 😂😂😂😂😂 nawapenda sana from kenya 🇰🇪

  • @MahaSaeed-hf3gs
    @MahaSaeed-hf3gs Месяц назад +1

    Congratulations good job

  • @priscahmahenzo642
    @priscahmahenzo642 Месяц назад +1

    😂😂😂😂ᴡᴀᴀᴀᴀʜ ᴛɪɴᴀ ᴛɪɴᴀ😂😂😂

  • @sasiNJ
    @sasiNJ Месяц назад +2

    Nakubali Kanumba

  • @joycemuenimutua4506
    @joycemuenimutua4506 Месяц назад +1

    Tina nakukubali mtu wangu😂😂😂 we do unaweza iyo part vizuri kenya

  • @IbuniKilapaya
    @IbuniKilapaya Месяц назад +1

    Hatar sana🎉🎉🎉

  • @hadihadi9167
    @hadihadi9167 Месяц назад +1

    Sijui nizae katoto kasumbufu kama Dina 😂😂😂Dina akizeeka kaendele kusumbua nakupenda Dina❤

  • @TeshmonyAntonio
    @TeshmonyAntonio Месяц назад +2

    Nelly nimependa jinsi unavyo mshauri rafiki yako ila nothing hurts like painful on broken hearted 💔 bro

  • @Aisha-ld3ol
    @Aisha-ld3ol Месяц назад +1

    Kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉❤❤

  • @twizydadytv_
    @twizydadytv_ Месяц назад +3

    Wa kwanza hapa kutokea 🇰🇪🇰🇪

  • @Latifa123Latifa12
    @Latifa123Latifa12 Месяц назад +1

    Saf sana

  • @cartoonpati2914
    @cartoonpati2914 Месяц назад +3

    Jamani tumemiss shanizer

    • @MercyMercy-l1k
      @MercyMercy-l1k Месяц назад

      Tina kimekuta uwonga haufaii sikuzote

  • @بيتيكينيا-س1و
    @بيتيكينيا-س1و Месяц назад +4

    Ila Tina Un a mdomo sana hebu punguza 😂😂😂😂

    • @KuinAlaska
      @KuinAlaska Месяц назад

      😂😂😂jmn tina kwani tina huyu akoje

  • @Jojo-y7k8g
    @Jojo-y7k8g Месяц назад +2

    Jamani nyie hamchokiii nawatu mnaenda mnabadilisha mniweke basi❤❤

  • @AishaDiddi
    @AishaDiddi Месяц назад +1

    Kelvin yy niskta yamalavidav Tina sasa kila sekta mgomvi 😂😂😂😂

  • @NishimweDiego
    @NishimweDiego Месяц назад +1

    Ombi langu mue munabadirisha majina ndoo mouvie itakuwa nzuri jammani apana majina yareyaye jamani

    • @Malesa255..1
      @Malesa255..1  Месяц назад

      Sawa asante tutalipitia ✍️🙏❤️

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg Месяц назад +2

    Ila Nely muda mwngn n mtu wa maana sana,

  • @TunguNhonge
    @TunguNhonge Месяц назад +2

    I like it,

  • @TonyMasterog
    @TonyMasterog Месяц назад +1

    Malesa mjukuu😂😂😂😂😂

  • @FestoFabiano
    @FestoFabiano 16 часов назад +1

    mh inauma lakin😂😂😂

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846 Месяц назад +1

    Tina tena heee,,,tumemchoka bhana kila move yupo na roho mbaya yake duuh

  • @CyrusMwayo
    @CyrusMwayo Месяц назад +1

    This bad girl do this

  • @TitusMutemi-y4b
    @TitusMutemi-y4b Месяц назад +2

    Yaani Kila filamu Tina ye ukuwag mtu wa tamaa na Mali za wenyewe duuh kiukweli ueda kiualisia uko hivoh ..movie kadhaaa anakuwag aki act mtu wa tamaa za mali

  • @ntahangarwaemmanuel1675
    @ntahangarwaemmanuel1675 Месяц назад +2

    Kwani hii ni full movie au ni season?

  • @becadoksultan8144
    @becadoksultan8144 Месяц назад +1

    Endelea kukaza buti kaka siku moja nitaja tuigize sote

  • @Echo254_
    @Echo254_ Месяц назад +1

    🎉 congratulations

  • @sirkomba
    @sirkomba Месяц назад +1

    Mwanamke hasomeshwi 😅😅

    • @Malesa255..1
      @Malesa255..1  Месяц назад

      Nimeyakanyaga ila sikubali 🫣😂

  • @magrethmarwa7759
    @magrethmarwa7759 Месяц назад +1

    Kiukweli Tina anaitendea haki nafasi yake much ❤ baby girl

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 Месяц назад +1

    Uku Kelvin na candy...wako kwenye penzi zito.....wakati Kwa dada wa kaz n pamba na moto...aky mapenz ww...😅

  • @masterkeys_tz1595
    @masterkeys_tz1595 Месяц назад +2

    Noma sana kaka

  • @shiichannel5623
    @shiichannel5623 Месяц назад +2

    Tina 😂.ww

  • @ESTHERMUGAMBI-k2c
    @ESTHERMUGAMBI-k2c Месяц назад +1

    Alafu brown alienda wapi amepotea sana wakiwa na Vicky

  • @KalimboKombo-ph2su
    @KalimboKombo-ph2su Месяц назад +2

    Inaonekana Ako ivyo

  • @Ruzubha2
    @Ruzubha2 Месяц назад +2

    Babuuuu

  • @Linetmokogoti
    @Linetmokogoti Месяц назад +2

    ❤❤❤❤🎉🎉

  • @Zahara-l3l
    @Zahara-l3l Месяц назад +1

    😂😂 fumaninzi

  • @priscahmahenzo642
    @priscahmahenzo642 Месяц назад +1

    ᴜᴢʀɪ ɴ ᴀᴄᴛ ʙᴛ ʟᴢᴍᴀ ᴀᴡᴇ ᴜᴋᴏ ʜᴠʏᴏ😂😂😂😂😂😂ʜɪɪ ɴᴅɪᴏ ʟɪғᴇ ʏᴋᴇ😅😅😅😅ᴀᴜ ᴍɴᴀʙɪsʜᴀ😂😂

  • @AishaMwaka-q8p
    @AishaMwaka-q8p Месяц назад +2

    ❤❤❤🎉

  • @marwajuma8322
    @marwajuma8322 Месяц назад +1

    😂

  • @ScolaBahati-i3r
    @ScolaBahati-i3r Месяц назад +1

    Tina ajui kuongea na wanaume wasitalabu kama kev kazoea kufokeana na kunambi

  • @eliasicharlesi
    @eliasicharlesi Месяц назад +1

    Oyo mnatuboa muv ammalizi

  • @ZulfaMaganza
    @ZulfaMaganza Месяц назад +1

    ℳ𝓈𝒾𝒻𝓊𝓅𝒾𝓈𝒽𝑒 𝒮𝒶𝓃𝒶 jamani

  • @NeemaMbuji-i7s
    @NeemaMbuji-i7s Месяц назад +1

    Tina unajua kuwaliza wezako kwa usaliti jmn we mdada hujambo ila mko pw cn hongelen

  • @djisley1400
    @djisley1400 Месяц назад

    Skuping family 🔥🔥🔥

  • @mariammariam5723
    @mariammariam5723 Месяц назад +1

    ❤❤❤

  • @Halima-d8s
    @Halima-d8s Месяц назад +1

    Shida yenu maogezi ni mengi kuliko vitendo halaf dakika zenu nikidogo sana kma hi penzi la mtoto wa boss naona sai zimefika 25 kunakoelekea zitafika hata kumi na Tano mna tuboo

    • @Malesa255..1
      @Malesa255..1  Месяц назад

      Asante kwa maoni tuta yafanyia kazi🎉❤

  • @JosephineMomanyi-jp8tv
    @JosephineMomanyi-jp8tv Месяц назад +1

    Dina ubadiliki

  • @SalamaTaura
    @SalamaTaura Месяц назад +1

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤

  • @merryclement-f4o
    @merryclement-f4o Месяц назад +2

    Af mtoto tinaa anakuag jau

  • @DiscoCell-n6v
    @DiscoCell-n6v 25 дней назад +1

    ♥️♥️♥️♥️♥️♥️🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @Faudhani-u7t
    @Faudhani-u7t Месяц назад +1

    😊😊

  • @ZeinabBakar-je4nr
    @ZeinabBakar-je4nr Месяц назад +1

    Tina hyo ni tabia yko ama vipi

  • @Emmyk3483
    @Emmyk3483 Месяц назад +6

    Mim wa pili jmn naombani na mim like nijione mwenye bahati😅

  • @MercyMercy-l1k
    @MercyMercy-l1k Месяц назад +1

    Tina zilipendwa.jamani

  • @selinacharo9350
    @selinacharo9350 Месяц назад +1

    Muendelezo tafadhali

    • @Malesa255..1
      @Malesa255..1  Месяц назад

      Kesho kutwa 🥰🙏

    • @selinacharo9350
      @selinacharo9350 Месяц назад

      @@Malesa255..1 mungu akipenda fanya hima ina bamba salimia tina🤣🤣🤣✌️nampenda bureee from kenya

  • @ChristopherBonfils-dk1tx
    @ChristopherBonfils-dk1tx Месяц назад +1

    Kkkkkkk

  • @ayshaysah6228
    @ayshaysah6228 Месяц назад +1

    Pore kaka zangu

  • @cartoonpati2914
    @cartoonpati2914 Месяц назад +2

    Tina Hana tamaa

  • @stacymutindi7699
    @stacymutindi7699 Месяц назад

    Mm ishawai nitokea kudanganya na mwenyewe akafanya uchunguzi akajua ukweli 😢😢…chenye nilijifunza tangu hio siku n kwamba mwanaume anapenda kuambiwa ukweli hata kama unauma ju atakusamehe Ila ukimdanganya itachukua mda kukusamehe

  • @SabrinaShaibu
    @SabrinaShaibu Месяц назад

    💯

  • @relaxstarman
    @relaxstarman Месяц назад +1

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MagangaThomas
    @MagangaThomas 12 дней назад +1

    ntafte malesa

  • @GloryKalengo
    @GloryKalengo Месяц назад +1

    Iv nyie ko movie zenu kila siku zitakuwa mapenz mapenz tu kwan kwenye jamii hakuna kitu kingine kinachoendelea zaid ya mapenz
    Mnatuchosha bn😡😡

  • @MignonBips
    @MignonBips Месяц назад +2

    ❤❤❤❤

  • @Faudhani-u7t
    @Faudhani-u7t Месяц назад +1

    Kipaji Mali

  • @EliaGersondamsonkilonji-xw1lm
    @EliaGersondamsonkilonji-xw1lm Месяц назад +1

    S😂🎉uuy

  • @DianaDamas-y3q
    @DianaDamas-y3q Месяц назад +1

    Malesa hunabahat kwenye mapenzi kabisa ila ukoviziru❤

  • @relaxstarman
    @relaxstarman Месяц назад +1

    Kazi nzuri sana 💯

  • @shiichannel5623
    @shiichannel5623 Месяц назад +2

    Tina 😂.ww

  • @fatimafatuma4848
    @fatimafatuma4848 Месяц назад +1

    ❤❤❤❤❤

  • @shiichannel5623
    @shiichannel5623 Месяц назад +2

    Tina 😂.ww

    • @KhadijaShah-cg4jm
      @KhadijaShah-cg4jm Месяц назад

      @@shiichannel5623 mko vizuli sana ila kevi nakupendea msimamo wako na busala zako