Nkweli kabisa mchungaji, mwezi wa pili mwaka huu nlipata mume mwaminifu sanaa... alipatikana mama mmoja aliyejifanya kuwa nabii kumbe alikua mpelelezi, kila siku alikuja kwangu iliapate taarifa,bila kujua nlimuambia kila kitu, ajabu nkwamba tumemaliza mezi sita bila mawasiliano, kwakweli umeleta somo nzuri sana be blessed
Mwingine alivoona hapati taarifa zangu akaja kwenye ndoto kuniuliza taarifa zangu na mimi nikamdanganya huko ndotoni.. Asante sana kwa somo zuri tunasubi maombi kwa hamu sana..
Nkweli kabisa mchungaji, mwezi wa pili mwaka huu nlipata mume mwaminifu sanaa... alipatikana mama mmoja aliyejifanya kuwa nabii kumbe alikua mpelelezi, kila siku alikuja kwangu iliapate taarifa,bila kujua nlimuambia kila kitu, ajabu nkwamba tumemaliza mezi sita bila mawasiliano, kwakweli umeleta somo nzuri sana be blessed
@@Hellen-gw5cb pole sana
Pole sana kwa kilochotokea
Lakini Mim ni mama mch, sio Mch
@@Nenolamaarifa sawa barikiwa mama mchungaji
@@Hellen-gw5cb aminaa
Ni kweli dada unasema kweli pia mm nilipata hivo kwa kweli watu sio wema
Amen Amen Mtumishi.
Amen nimejifunza mengi sana kupitia wewe mchungaji
Mim ni mama mch, sio mch
Amen
Mungu akubariki sana mama mchungaji nimrjifunza mengi sana toka kwako ubarikiwe sana
@@MaryYoshua amina
Amen 🎉nakupata vizuri kutoka tunduma songwe barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Amina amina
Mungu akubariki nimepokea maarifa
Amina
Mwingine alivoona hapati taarifa zangu akaja kwenye ndoto kuniuliza taarifa zangu na mimi nikamdanganya huko ndotoni.. Asante sana kwa somo zuri tunasubi maombi kwa hamu sana..
Amina usidanganye kwenye ndoto bora ukae kimya
@@Nenolamaarifa Amen ameen!
Ameni mtumishi ubarikiwe sana kwa ujumbe
Amina
Amen mtumishi Ubarikiwe sana
Amen amen
Amen amen nabarikiwa na neno na nmejifunza kitu na mungu azidi kukupa mafunuo mengi yakutufunza
Amina Rehema
Barikiwa saana mtumishi wa Mungu
Aminaa
Amen mtumishi wa MUNGU natazama kutoka zambia nilichojifunza tunaangamizwa kwa kukosa mpaka madhabahu za MUNGU zimeingiliwa na maanjenti
Mungu atusaidie
Amen, Hallelujah nasubiri kwa hamu somo lijalo
@@rosemarymwanitega7926 amen amem
AMEN MUTUMISHI WA MUNGU UBARIKIWE SANA,yani BWANA WETU YESU KRISTO nimwema sana kutufunulia siri hizi,asante mutumishi.
@@LorineOgola-ro7jd amen amen
AMEN AMEN MUNGU awabariki sana kwa mafuzo mazuri
@@neemasafi3533 aminaa
Ahsante Bwana kwa hili neno naamini napona kabisa.
Umepona kabisa kwa neema ya Mungu
Amen Amen nimekuelewa sana mama mch naomba sana BWANA anisadie nisiwe agenti mwenye kutumiwa kwa kutojua shalom
Amen
Amen mama mchungaji yaani nimejifunza kitu kikubwa sana . Namshukuru Mungu kwa kukutumia barikiwa sana
@@asiliTz23 amina amina asante
AMEN KWELI KABISA
@@EZRA-b1c amen
Amen mtumishi ulisema utatufundisha kuomba ili adui asisikie asije akajibu tukajua ni MUNGU
@@sarabura8933 amina endelea kufatilia
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu kwa haya mambo muhimu sana ktk maisha yetu.
@@RoseMayige-gn9qb amen amen
Amen mtumishi barikiwa sana kwa hili neno
Amen amen
❤Ameen hakikq Mungu akubariki sana mutumishi wa Mungu maaan umenifunza mengi Heri ungelifanya kitambo somo hili ningepona lkn piq sijachelewa
Mungu atakutejeshea usijali
Kuna jambo kubwa la kujifunza,Mungu atusaidie sana Barikiwa mama mchungaji
Amen amen
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Amen
Aminaa ,barikiwa.mimi nishawahi hangukia MITEGO hiyo ya watu kunikarinia na maombi na nabii lakini moyo wangu ukawa ngumu
@@NellyDeborah77 pole Mtumishi
Amen amen MUNGU nisaidie
@@Upendo6045 amen
Ee Mungu naomba unisaidie
Amen
UBARIKIWEEE MAMA ANGU KUNA MAHALI NAVUKA HAPA MM. nimche Mungu siku zote mm
@@Joyceisaka amen amen
Unaongea kweli mama mchungaji
@@fridafrancis1960 amina
Mama mchungaj mungu azd kukuinua,Kama vile umeyaona mawazo yangu
Asantw
MUNGU akubariki pomoja familiy yote AMEN
Amen
Amen mugu nisaidie
@@tabithawanjiru2829 amen
Halellujah tulikua tumekumis sana
Amina asante
Nimesikia mna kanisa Bunju. Liko maeneo gani?
Tulihamia Tegeta karibu na Kibo Complex karibu sana 0712699762
Utanisaidia number yako mummy. Hakika Mungu ni Mkuu, ninamshukuru kwa kukutumia kama chombo.
Amina karibu +255712699762
hii number iko whatsup
Mama inakuaje kusaidia lafiki yako mwisho was siku anakugeuka,?je kutoa nidhambi?
@@AllyKarugaba kutoa nin
Mbona mimi nimeharibu sana, nafanyajeeee?, mimi soksi zangu zinapotea gafla halafu nazopata naomba huo mda wa maombi mniambie
Naomba niunge kwenye group la wanandoa
Amen nipigie 0712699762
Wasilian a nami kwa 0712699762
Pole
Amen
@@ClarteCom amen
Ameni nimepata kitu yote ni ya kwangu
@@MaryKisitu-pw4ub amen
Na je kama kama mimi ni mwenye dhambi nitawezaje kuomba au kuombea kitu chochote cha kula
Tubu
Ameni na MUNGU atusaidie kumutafuta yy maana hatuna pa kwenda
Amen amen
ATA mimi nimepata kitu
@@leylasai6860 amen
YEREMIA 33:3
Amina
Amen mtumishi Ubarikiwe sana
Amina asante