PART 2 JINSI MAAJENTI WA GIZA WANAVYOWAKAMATA WALOKOLE WASIFANIKIWE KATIKA MAISHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • +255712699762 WASILIANA NASI KWA NAMBA HIYO

Комментарии • 99

  • @Hellen-gw5cb
    @Hellen-gw5cb 3 дня назад +8

    Nkweli kabisa mchungaji, mwezi wa pili mwaka huu nlipata mume mwaminifu sanaa... alipatikana mama mmoja aliyejifanya kuwa nabii kumbe alikua mpelelezi, kila siku alikuja kwangu iliapate taarifa,bila kujua nlimuambia kila kitu, ajabu nkwamba tumemaliza mezi sita bila mawasiliano, kwakweli umeleta somo nzuri sana be blessed

    • @Nenolamaarifa
      @Nenolamaarifa  3 дня назад +1

      @@Hellen-gw5cb pole sana

    • @Nenolamaarifa
      @Nenolamaarifa  3 дня назад +3

      Pole sana kwa kilochotokea
      Lakini Mim ni mama mch, sio Mch

    • @Hellen-gw5cb
      @Hellen-gw5cb 3 дня назад +2

      @@Nenolamaarifa sawa barikiwa mama mchungaji

    • @Nenolamaarifa
      @Nenolamaarifa  3 дня назад +2

      @@Hellen-gw5cb aminaa

    • @valentinanduku8718
      @valentinanduku8718 День назад +1

      Ni kweli dada unasema kweli pia mm nilipata hivo kwa kweli watu sio wema

  • @sekikigosi8265
    @sekikigosi8265 День назад +1

    Amen Amen Mtumishi.

  • @valentinanduku8718
    @valentinanduku8718 2 дня назад +2

    Amen nimejifunza mengi sana kupitia wewe mchungaji

  • @MaryYoshua
    @MaryYoshua 4 часа назад +1

    Mungu akubariki sana mama mchungaji nimrjifunza mengi sana toka kwako ubarikiwe sana

  • @JemaMbwilo
    @JemaMbwilo 3 дня назад +1

    Amen 🎉nakupata vizuri kutoka tunduma songwe barikiwa sana mtumishi wa Mungu

  • @TukaeSanga-z8q
    @TukaeSanga-z8q День назад +1

    Mungu akubariki nimepokea maarifa

  • @agnesaron7108
    @agnesaron7108 День назад +1

    Mwingine alivoona hapati taarifa zangu akaja kwenye ndoto kuniuliza taarifa zangu na mimi nikamdanganya huko ndotoni.. Asante sana kwa somo zuri tunasubi maombi kwa hamu sana..

    • @Nenolamaarifa
      @Nenolamaarifa  День назад +2

      Amina usidanganye kwenye ndoto bora ukae kimya

    • @agnesaron7108
      @agnesaron7108 День назад +1

      @@Nenolamaarifa Amen ameen!

  • @MariaMwasyila-mq6yc
    @MariaMwasyila-mq6yc 2 дня назад +1

    Ameni mtumishi ubarikiwe sana kwa ujumbe

  • @BeatriceMgumba
    @BeatriceMgumba 3 дня назад +1

    Amen mtumishi Ubarikiwe sana

  • @RehemaRehema-g6r
    @RehemaRehema-g6r 3 дня назад +1

    Amen amen nabarikiwa na neno na nmejifunza kitu na mungu azidi kukupa mafunuo mengi yakutufunza

  • @furahasovelo
    @furahasovelo 2 дня назад +1

    Barikiwa saana mtumishi wa Mungu

  • @AmbeleMwakihaba
    @AmbeleMwakihaba 3 дня назад +1

    Amen mtumishi wa MUNGU natazama kutoka zambia nilichojifunza tunaangamizwa kwa kukosa mpaka madhabahu za MUNGU zimeingiliwa na maanjenti

  • @rosemarymwanitega7926
    @rosemarymwanitega7926 2 дня назад +1

    Amen, Hallelujah nasubiri kwa hamu somo lijalo

  • @LorineOgola-ro7jd
    @LorineOgola-ro7jd 2 дня назад +1

    AMEN MUTUMISHI WA MUNGU UBARIKIWE SANA,yani BWANA WETU YESU KRISTO nimwema sana kutufunulia siri hizi,asante mutumishi.

  • @neemasafi3533
    @neemasafi3533 3 дня назад +1

    AMEN AMEN MUNGU awabariki sana kwa mafuzo mazuri

  • @theresiagisberth6197
    @theresiagisberth6197 3 дня назад +1

    Ahsante Bwana kwa hili neno naamini napona kabisa.

  • @Akinyisafi
    @Akinyisafi 3 дня назад +1

    Amen Amen nimekuelewa sana mama mch naomba sana BWANA anisadie nisiwe agenti mwenye kutumiwa kwa kutojua shalom

  • @asiliTz23
    @asiliTz23 3 дня назад +1

    Amen mama mchungaji yaani nimejifunza kitu kikubwa sana . Namshukuru Mungu kwa kukutumia barikiwa sana

  • @EZRA-b1c
    @EZRA-b1c 2 дня назад +1

    AMEN KWELI KABISA

  • @sarabura8933
    @sarabura8933 3 дня назад +1

    Amen mtumishi ulisema utatufundisha kuomba ili adui asisikie asije akajibu tukajua ni MUNGU

    • @Nenolamaarifa
      @Nenolamaarifa  3 дня назад +1

      @@sarabura8933 amina endelea kufatilia

  • @RoseMayige-gn9qb
    @RoseMayige-gn9qb 3 дня назад +1

    Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu kwa haya mambo muhimu sana ktk maisha yetu.

  • @AfirenAfiren
    @AfirenAfiren 3 дня назад +1

    Amen mtumishi barikiwa sana kwa hili neno

  • @abigaelmwadena2262
    @abigaelmwadena2262 3 дня назад +1

    ❤Ameen hakikq Mungu akubariki sana mutumishi wa Mungu maaan umenifunza mengi Heri ungelifanya kitambo somo hili ningepona lkn piq sijachelewa

  • @heriethmwanguya433
    @heriethmwanguya433 3 дня назад +1

    Kuna jambo kubwa la kujifunza,Mungu atusaidie sana Barikiwa mama mchungaji

  • @asstudio6619
    @asstudio6619 3 дня назад +1

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @NellyDeborah77
    @NellyDeborah77 3 дня назад +1

    Aminaa ,barikiwa.mimi nishawahi hangukia MITEGO hiyo ya watu kunikarinia na maombi na nabii lakini moyo wangu ukawa ngumu

  • @Upendo6045
    @Upendo6045 3 дня назад +1

    Amen amen MUNGU nisaidie

  • @gracekasambala4712
    @gracekasambala4712 День назад +1

    Ee Mungu naomba unisaidie

  • @Joyceisaka
    @Joyceisaka 3 дня назад +1

    UBARIKIWEEE MAMA ANGU KUNA MAHALI NAVUKA HAPA MM. nimche Mungu siku zote mm

  • @fridafrancis1960
    @fridafrancis1960 17 часов назад +1

    Unaongea kweli mama mchungaji

  • @AllyKarugaba
    @AllyKarugaba 3 дня назад +1

    Mama mchungaj mungu azd kukuinua,Kama vile umeyaona mawazo yangu

  • @neemasafi3533
    @neemasafi3533 3 дня назад +1

    MUNGU akubariki pomoja familiy yote AMEN

  • @tabithawanjiru2829
    @tabithawanjiru2829 3 дня назад +1

    Amen mugu nisaidie

  • @Hellen-gw5cb
    @Hellen-gw5cb 3 дня назад +2

    Halellujah tulikua tumekumis sana

  • @catherineangaufoo2530
    @catherineangaufoo2530 3 дня назад +1

    Nimesikia mna kanisa Bunju. Liko maeneo gani?

    • @Nenolamaarifa
      @Nenolamaarifa  3 дня назад +1

      Tulihamia Tegeta karibu na Kibo Complex karibu sana 0712699762

  • @BerylSeer1
    @BerylSeer1 3 дня назад +2

    Utanisaidia number yako mummy. Hakika Mungu ni Mkuu, ninamshukuru kwa kukutumia kama chombo.

  • @AllyKarugaba
    @AllyKarugaba 3 дня назад +1

    Mama inakuaje kusaidia lafiki yako mwisho was siku anakugeuka,?je kutoa nidhambi?

  • @annaezra2344
    @annaezra2344 2 дня назад +1

    Mbona mimi nimeharibu sana, nafanyajeeee?, mimi soksi zangu zinapotea gafla halafu nazopata naomba huo mda wa maombi mniambie

  • @TukaeSanga-z8q
    @TukaeSanga-z8q День назад +1

    Naomba niunge kwenye group la wanandoa

  • @ClarteCom
    @ClarteCom 3 дня назад +2

    Amen

  • @MaryKisitu-pw4ub
    @MaryKisitu-pw4ub 3 дня назад +2

    Ameni nimepata kitu yote ni ya kwangu

  • @annaezra2344
    @annaezra2344 2 дня назад +1

    Na je kama kama mimi ni mwenye dhambi nitawezaje kuomba au kuombea kitu chochote cha kula

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 3 дня назад +1

    Ameni na MUNGU atusaidie kumutafuta yy maana hatuna pa kwenda

  • @leylasai6860
    @leylasai6860 3 дня назад +1

    ATA mimi nimepata kitu

  • @Hellen-gw5cb
    @Hellen-gw5cb 3 дня назад +1

    YEREMIA 33:3

  • @BeatriceMgumba
    @BeatriceMgumba 3 дня назад +2

    Amen mtumishi Ubarikiwe sana