🔴
HTML-код
- Опубликовано: 24 апр 2024
- 🔴#Live: CHECHE za NAIBU WAZIRI MKUU BITEKO AKIHITIMISHA HOJA WIZARA YAKE ya NISHATI -ATOA MAAGIZO...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Bigup bro
Truth and full detailed speach
Kwako mheshimiwa Biteko unafaa,unafaa sana,tunataka mawaziri kama wewe,kazi unafanya na kazi imepata mfanya kazi,hongera sana viatu vimekutosha vizuri kabisa
Nakuelewa sana muishmiwa mungu akunyanyue zaidi ya hapo ufike mahali ukaekiti cha wakuuwako
Ndio wazirii mkuu ajayeee
Geita mbona miradi ya serikali ni ziro,,
👏👏👏
Samahani jamani mhe daktari Doto Biteko, Hongera sana kwa uongozi wako uliochangamka sana Mhe Waziri.
Lakini kubwa zaidi tunashangaa katika uongozi wako kitengo cha castomer care cha makaomakuu kimekufa ambapo kilikuwa kinasaidia sana mkuu.
Mawaziri wangekuwa kama wewe Doto Biteko tungeenda Mbali
Nimecheka eti nyie nao tushawazowea 😂😂😂😂😂kwakuta umeme
Bado majibu ya kukatika kwa umeme yanachanganya Biteko usiwe na wewe mleta porojo za majibu ya kukatika kwa umeme
Huyu Waziri yuko vizuri sana