MTWARA NOMA! DUKA LINALALA USIKU KUCHA, HAKUNA MLANGO, HALIJAWAHI KUIBIWA, MMILIKI AFUNGUKA..
HTML-код
- Опубликовано: 10 фев 2025
- MTWARA NOMA! DUKA LINALALA USIKU KUCHA, HAKUNA MLANGO, HALIJAWAHI KUIBIWA, MMILIKI AFUNGUKA..
UKISTAAJABU ya Musa mtayaona ya Firauni, mtu mmoja mkazi wa Mtwara, anayemiliki duka la vyakula, ameibua gumzo kubwa kufuatia duka hilo kutakuwa na ulinzi wowote, hajaweka mlango, wala geti, limewekwa pazia tu na hakuna mtu aliyewahi kuiba..
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Hapo ndo anaibiwa sasa. Mmemfuatilia sana mpk siri itafichuka. Hapo angetembelea hiyo nyota mpk akapata mlango.
Mazingira yanachangia kufanya hivyo, kuna msehemu zingine hata mlango si kinga ya kuibiwa ukipuuza taratibu zingine za kujihami
Mhhh eti mwenyezi Mungu nyinyi viumbe kwa kumshirikisha Mwenyezi Mungu na vingine mtakuja kuona
Huko lindi shida nn mbona meno hamna??
Mungu ni mwanzo na mwisho huyo huyo...Piga Kazi Konde Boy.
Ukupanda juu inchale ukishuka chini inchale mweeee
Kwani Ntwara kuna nn? Jamani maana wote hamna Meno
Mmmmmh kwaiyo sisi Hakuna mungu?
MOLA PEKEE NDIO WA KUTEGEMEWA.
Hiyo Kali Ya mwaka
aje aliweke mtaani kwetu. ss wenyewe tunamuomba Mungu ndo tunakula biscuti.
🤣🤣🤣
Au aje uku chuga
Huko ndio ntwara bana, ana hak asiwek mlango kaibe uone 🤣hyo ya kusem anamuomba Mwenyez Mungu ni kujivunga tu, eeh hapo iba uone inaitw
Imeandikwa Mji asipo ulinda Bwana Alindae Akesha Bure , ,Mtegemee Bwana wa majeshi aweza yote ktk yote ,
Hivyo ndivyo inavyotakiwa kuwa salama sio wizi
Lipo mtwara sehemu gan hapo
Hakuna Cha kuiba umo
Huyu jamaa nimfahamu mimi
Mbona wote meno hamna🙄🙄
Wameuza🤣🤣🤣🤣
Wee acha kumtaja mungu apo mpk mashehe na wachungaji wanaibiwa unatumia ndumba wewe
Sasa hakuna mlango mtu akiingia akaweka sumu kwenye sukarinau chumvi. Pia vumbi kwenye mali. Huyo ni chizi kweli, mlango unalinda vingi sio wezi tu na ubora wa mali zako
Serikali lipen pesa ya korosho 6600000(mil6 na 600000))
Haaa aweke mlango asifanye hivyo
umejiwahi nguo chafu chafu
We mkali
😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌
Yan wote hamna meno jamani😁
watu wa pwani
Mmmmmmmh
Hiyo Kali Ya mwaka