DOGO JANJA ampa za USO RAYVANNY Kisa SURUALI ya MILIONI 7 "Inafuta ZAMBI?"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • ...........................................................
    Contact Us : 0742447854
    -------------------------------------------------------------------------------
    Instagram www.instagram....
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Facebook / rickmediatz
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Website www.rickmediatz.com
    -----------------------------------------------------------------------------------
    #DOGOJANJA #RAYVANNY

Комментарии • 183

  • @jumakapola419
    @jumakapola419 3 года назад +1

    Dogo janja umeongea vizuri sana mna wasanii wenge wanaishi maisha feck laivu

  • @amoscapo1619
    @amoscapo1619 3 года назад +1

    True words....very humble and educative,big up dogo janja for the kind words

  • @evamringo2331
    @evamringo2331 3 года назад +7

    Unampenda Mungu sawa ni jambo jema .. okoka basi mdogo wangu hizo pete na hizo .. zilizotoboka toboka acha nazo .. huko kubaya 😎

  • @jamilaingu7922
    @jamilaingu7922 3 года назад +10

    Abdul aziz, mashaallah tabarakah llah

  • @EastCoasTGorilla90
    @EastCoasTGorilla90 3 года назад +7

    Respect this kid...he is different 🙌💯

  • @zachariamaige1709
    @zachariamaige1709 3 года назад +3

    Umeongea vizuri sana mdogo wangu.. Hongera sana Mungu atakusimamia na utafika mbali sana.

  • @hanceysamuel5475
    @hanceysamuel5475 3 года назад +3

    Dogo anajielewa, na anajua nin anafanya. Kwa kiazi kikubwa elimu imemsadia sana!!👍🏻👍🏻👍🏻

  • @benjaminnshimba2917
    @benjaminnshimba2917 3 года назад +1

    Nimependa majibu ya dogo nanja hongera sana umekua kifikiraaaà waooooooooo

  • @hakitv4717
    @hakitv4717 3 года назад +5

    We manzi ni bonge presenter unajua mpaka noma yan! Safi sana

  • @priscaassenga378
    @priscaassenga378 3 года назад +1

    Asee dogo upo vizuri balaa nakukubali kinoma mwanangu

  • @allyhusseinally2461
    @allyhusseinally2461 3 года назад +2

    Nimekubali janjaro👍💪🙏

  • @swaaztheclassic5638
    @swaaztheclassic5638 3 года назад +2

    top bro dogo janjaro👍

  • @eray5446
    @eray5446 3 года назад +7

    Positive Sana!umekuwa aisee

  • @hijaTz
    @hijaTz 3 года назад

    Mdogo wangu xaiz umekua big up sana kamanda wanguu

  • @youngsimbawcb1814
    @youngsimbawcb1814 3 года назад +1

    Napenda ushindani wa dogo janja na rayvany..... 😂😂😂😂😂😂😂😂.... Sio mbayaaa ni mzuri sio wa matusi

  • @phdmgaya95
    @phdmgaya95 3 года назад +1

    Nakubali Kaka janja upo vzri

  • @al4classic691
    @al4classic691 3 года назад +9

    Daah janja umekuwa kwelii👏👏

    • @VennyTz
      @VennyTz 3 года назад

      Mtanzania mwenzang ukitak kupat nyimb za mapenz, hihop andika j junior9 utapat kil kitu

  • @jovemcarlos1538
    @jovemcarlos1538 3 года назад +1

    Ume ongea vizuri sana Dogo

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 3 года назад +7

    Huyu dada ni bonge la presenter anajua sana kuuliza maswali ya akili

  • @malikingoma900
    @malikingoma900 3 года назад

    Jajanja the real boy Safi Sana umeongea points Sana 👍👍

  • @eddovanny2553
    @eddovanny2553 3 года назад +5

    Janjaro Ngarenaro Republic ✊

  • @barackatarimo9151
    @barackatarimo9151 3 года назад

    Nakubali

  • @maishakisunzu1029
    @maishakisunzu1029 3 года назад +10

    Dogo janja umeongea utamu kweli na mtangazaji uko na stail mzuri

  • @alwattanchinga
    @alwattanchinga 3 года назад +15

    Hahahaha mwanagu wa nguvu janjaro,umenichekesha eti jinsi yafuta dhambi hahaha,nakutambua sana brother

    • @VennyTz
      @VennyTz 3 года назад

      Mtanzania mwenzang ukitak kupat nyimb za mapenz, hihop andika j junior9 utapat kil kitu

  • @mosalim871
    @mosalim871 3 года назад +15

    Hio jeansi itakua inafuta dhambi🤣🤣🤣🤣janjaro umetisha...

  • @godfreyhaule8331
    @godfreyhaule8331 3 года назад

    Ntangazaji mzuri anamaswali mazuri na interview nzuri 👍

  • @abubakariaman8575
    @abubakariaman8575 3 года назад +2

    Xo cool Dogo janja aprst together my brother

  • @selemangasper4669
    @selemangasper4669 3 года назад +1

    Daaaaah kweli Janjaro una unabusara sana utakuwa roily modol wangu

  • @mligogodfrey8882
    @mligogodfrey8882 3 года назад +12

    Dogo janja kakua yaan anaongea kiutu uzima

  • @fatmafetty4117
    @fatmafetty4117 3 года назад

    Nakukubali sn yan dogo nja afu sn una alikili👍👍👍👍👍

  • @younglady118
    @younglady118 3 года назад +1

    Mbele ya fashion ..mshamba wa fashion...limbuken wa maisha....asante janjaaaro huwa una maneeeno saaana ww

  • @mbwarapatz1549
    @mbwarapatz1549 3 года назад +1

    Nakubali janjalo

  • @suleimankatana9442
    @suleimankatana9442 3 года назад +1

    Janja nakubali sana mia kwa mia

  • @tonyayoo7402
    @tonyayoo7402 3 года назад +7

    Konki mzaz point mwanzo mwisho,,,,waache waishi maisha ya video si mwendo alisiaaaa

  • @johnsanchez1538
    @johnsanchez1538 3 года назад

    Nakubali sana kwa maneno yako janjaro

  • @hamisijuma6704
    @hamisijuma6704 3 года назад

    Kweli janjaro we unajitambua sana

  • @Saneboy255
    @Saneboy255 3 года назад

    Kweli janja haikatai mzee

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 3 года назад +5

    Si dogo tena wew...WEWE NI BIG

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free 3 года назад +1

    Chawa we!!!mweeeeh,umesema mskitini unaingia na kanisani anaingia daaah,Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un

  • @magdalineparsaloi1740
    @magdalineparsaloi1740 3 года назад

    U r always top janjaro

  • @bakariathumani2740
    @bakariathumani2740 3 года назад +7

    Dogo janja unajitambua sana mdogo wangu endelea hivyo hivyo waache wapumbavu waendelee kupumbaa ,,, hata birdman & lill wayne ,, Chris Brown hawajawahi kuvaa jeans ya 7.4ml ,,, lakini kibongo bongo duuhhh huo ni ushamba

    • @salumlaurent9422
      @salumlaurent9422 3 года назад +1

      Wivu tu na wewe nunua

    • @danielsamson1013
      @danielsamson1013 3 года назад +1

      Huna hela na wivu unakusumbua

    • @khadijangaima1096
      @khadijangaima1096 3 года назад

      Mzee waongopee wasioelewa kwhyo hayo mavazi wananunua wakina nani kama wakina Chris brown hawavai mdomoni tu MTU kama drake anavaa million 22

    • @khadijangaima1096
      @khadijangaima1096 3 года назад

      Wanavaa jeans brand kama amiri, Balmain, ni zaidi ya hyo bei na ndo wanavaa wakina birdman,mayweather n.k

    • @edinamsonge1593
      @edinamsonge1593 3 года назад

      We n fala zao zinakuus nn

  • @abdallahdachi2406
    @abdallahdachi2406 3 года назад

    A r jal kala muna alla nnisay
    Majukumu ni kukichunga unachotakiwa kukichungu siku moja nitafurahi nitakapo sikia Rinah ni mke wako
    Jitahidi kumlingania ili umuoe si unajua maisha ni mafupi
    Kul hak laukana muraa
    Dini na dunia chapa kazi dogo
    Tumeambiwa tukumbushane kwa yalio mema

  • @amourhasaan7242
    @amourhasaan7242 3 года назад +5

    Hapaa dogo sipoo nawe jinaa zurii naa unajuwa kulitaja ilaa imanii yk hujuwe ipoo wp jiangalie muisilam au mkirisito sw

  • @samaalexmaleto2509
    @samaalexmaleto2509 3 года назад +1

    First to view...more likes plz

  • @isayalaizer1367
    @isayalaizer1367 3 года назад +1

    Good

  • @josephinebenjaminmassawe4264
    @josephinebenjaminmassawe4264 3 года назад +7

    Una akili jajaro never let your life in public

  • @peterkiswigo3439
    @peterkiswigo3439 3 года назад +1

    Sanaa janja

  • @kanuernest1425
    @kanuernest1425 3 года назад

    Facts sana janjaro

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free 3 года назад

    Mtangazaji anafaa kufanya kazi Wasafi Tv/FM

  • @khadijangaima1096
    @khadijangaima1096 3 года назад +2

    Mtangazaji fundi sana

  • @shabaninassoro9421
    @shabaninassoro9421 3 года назад +10

    Dogo umekuwa sana

  • @muniramunira401
    @muniramunira401 3 года назад +7

    🔥🔥

  • @freadyjackson315
    @freadyjackson315 Год назад +1

    Chuiii Respct this kid.he is diferent 🍡🍡 ravnnyn dogo janja ravnnyn Chuiii 🐯🐯🐯🐯

  • @روبيروبي-ج2ح
    @روبيروبي-ج2ح 3 года назад +1

    Ahaaaa piga mswagi bro

  • @rakishanlajivu8427
    @rakishanlajivu8427 3 года назад

    Nakubali Sana chuga boy

  • @joshuashauri6513
    @joshuashauri6513 3 года назад

    Big up sana janjaro

  • @godblessnkyale8980
    @godblessnkyale8980 3 года назад +1

    Nimependa Sana janjaa

  • @kingstyleband4471
    @kingstyleband4471 3 года назад

    Kali iyo

  • @johnshirima6198
    @johnshirima6198 3 года назад +3

    KASNETA KIBOKO YA MICHEPUKO
    Kama unahisi mpenzi wako anakusaliti na unahitaji kusoma meseji zake kwa siri bila kushika simu yake na pasipo mpenzi wako kujua kama unaziona meseji zake, ingia PLAYSTORE kisha tafuta Application inayoitwa KASNETA download kwenye simu yako unganisha namba ya mpenzi wako kwenye hiyo Application utaweza kunasa meseji zake zote anazotuma na anazotumiwa kwa kutumia hii App ya KASNETA inapatikana PLAYSTORE...

    • @peninak1622
      @peninak1622 3 года назад

      Ata mkiwa amuhishi pamoja?

    • @johnshirima6198
      @johnshirima6198 3 года назад

      @@peninak1622 hii hauhitaji kushika simu yake hata kama yupo mbali

    • @peninak1622
      @peninak1622 3 года назад

      Okay but akuna ya kingereza cz mimi apa wanaleta only inchi mbili Tanzania na kenya na mimi sipo katika izo incho, what can I do?

    • @johnshirima6198
      @johnshirima6198 3 года назад

      @@peninak1622 uko nchi gani?

    • @jamilaingu7922
      @jamilaingu7922 3 года назад

      Mbona inakataa kufunguka shida nnini

  • @kelvinmboya5373
    @kelvinmboya5373 3 года назад

    Dogo janja unaongea fact kinoma nakukubal sanaaaah

  • @mustaphagairo1936
    @mustaphagairo1936 3 года назад +3

    Inapendeza

  • @youngmasamah9864
    @youngmasamah9864 3 года назад +3

    Nakubal dingiii

  • @ramsootz
    @ramsootz 3 года назад +1

    Kashaishiwa sura ngumu kama mkate wa garilaya kamkazania Vanny boy kuhusu kuvaa sasa apo ye kavaa nini cha ajabu 😊

  • @emmanuelv.cc.kisese2806
    @emmanuelv.cc.kisese2806 3 года назад

    Nimekukubari Sana kwa majibu yako mkari wangu

  • @yusuphtito3396
    @yusuphtito3396 3 года назад

    Dogo j CV mzur sana

  • @bosiitzrevocat8116
    @bosiitzrevocat8116 3 года назад +3

    umekuwa kaka

  • @shukranitv2971
    @shukranitv2971 3 года назад +6

    I nterview ya janjaro hainipitagiiii

  • @paulopascali1313
    @paulopascali1313 3 года назад

    👐👐👐

  • @chumilahazard6286
    @chumilahazard6286 3 года назад

    Janja makin Sanaa

  • @jamesphiri3087
    @jamesphiri3087 3 года назад +1

    Big huyo

  • @saidimarizia7770
    @saidimarizia7770 3 года назад

    I love Tanzania

  • @youngmasamah9864
    @youngmasamah9864 3 года назад +6

    Siachag angalia interview yko mzee

  • @faharadam169
    @faharadam169 3 года назад +1

    Janjaro is normal

  • @saida.muhsin2187
    @saida.muhsin2187 3 года назад +1

    Mbele ya fashion,mshamba wa fashion na limbukeni wa fashion 🤣🤣🤣

  • @emilytv9526
    @emilytv9526 3 года назад +4

    Wa kwanza naombeni like ila Dogo janja simuelewi kabisa!

    • @mussamayele3134
      @mussamayele3134 3 года назад

      kila mtu na alivo umbwa we uja post mchumba ? acha izo kumbe walewale

  • @yohanahalamela3115
    @yohanahalamela3115 3 года назад +4

    Jajaj umekua mkubwa kwa sas

  • @dechaggagirl1614
    @dechaggagirl1614 3 года назад +2

    Janjaroo

  • @stevenmasato5787
    @stevenmasato5787 3 года назад +4

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 inafuta dhambi hahahhahaha

  • @nyimbizikamtima7671
    @nyimbizikamtima7671 3 года назад +3

    Aisee kiukweli umekuwa Hadi kimawazo maneno unayoyaongea leo naona yafundisha

  • @juniorchristopher2110
    @juniorchristopher2110 3 года назад

    Tisha sana janjaroo

  • @helenkambi3918
    @helenkambi3918 3 года назад +4

    Misalaba ya free........

  • @emannueljohn3502
    @emannueljohn3502 3 года назад +2

    Boraa ukae kimya uwaacheeee waimbe pumbaa

  • @maishahalisitz1505
    @maishahalisitz1505 3 года назад

    Mtangazaji unajua sana

  • @francissamson8028
    @francissamson8028 3 года назад +5

    Hakuna mtu anapenda kuwa maskini, ukipata lazima utumie lkn ukipenda kuishi kinaskini basi hukustaili kupata. Kuonyesha vitu vya gharama ni kumfanya mwingine afanye kazi ili apate kama ww.

    • @rashidisaidi7744
      @rashidisaidi7744 3 года назад

      Niushamba

    • @francissamson8028
      @francissamson8028 3 года назад

      @@rashidisaidi7744 umaskini unakusumbua

    • @rashidisaidi7744
      @rashidisaidi7744 3 года назад

      @@francissamson8028 sawa wewe tajiri

    • @francissamson8028
      @francissamson8028 3 года назад

      @@rashidisaidi7744 unapoweka makasilliko na wivu kwa aliyepata kwakufanya kazi ni mbaya, huwezi mpangia mtu jinsi yakuishi. Mwanamuziki au celebrities kwa ujumla huwezi waambie waishi kama wachungaji au mashehe ni ngumu iven ww huwezi. Tafuta pesa utapata heshima kwa ndugu,marafiki,majirani na watu wengine.

  • @nassorokarambo6798
    @nassorokarambo6798 3 года назад +2

    Umeongea point san

  • @jumakapola419
    @jumakapola419 3 года назад

    Wasanii wa bongo mfara sana

  • @mwinyimvuaadonia8237
    @mwinyimvuaadonia8237 3 года назад

    Sasaivi anaitwa babu janja

  • @ibrahimradjabu3625
    @ibrahimradjabu3625 3 года назад +1

    Kwani wakati wewe unawonyesha watu chumba kimeja viyato ulihisi nini acheni chuki mtuu akipata muwache apate 🤷‍♂️

  • @kimuratv255
    @kimuratv255 3 года назад +1

    Janja salut kwako

  • @aminahally1393
    @aminahally1393 2 года назад

    Haaaaaa apo kwa itakua inafuta dhambi

  • @dankalama7677
    @dankalama7677 3 года назад +3

    Dogo anakàa down sana sio mwenye furaha ila interview nzuri

  • @hassanichangalawa649
    @hassanichangalawa649 3 года назад

    Uy jamaha mshambatu dogo janja mpezauso mshambauy suali zabii yachini sawana15000

  • @ayshachondo9090
    @ayshachondo9090 3 года назад +8

    Endelea ivoivo usiweke mamb yako hazan una akil sana

  • @kassimjaffar2112
    @kassimjaffar2112 3 года назад +4

    Hakuna muislam mwenye imani mbili wewe dogo,,, tatizo la waislam wa kurithi ni kutosoma dini pamoja na "Quran tukuf " ndo maana wanalega lega na imani zao maana wanaona dini ni kama team za mpira leo kawa muislam kesho kawa dini nyengine, na kama huyu mtoto kweli ni muislam na kasoma Quran basi asingezungumza neno alilozungumza eti mimi ni mshabiki wa mungu popote alipo na mm nipo "INNA LILLAH WAINNA ILAYH RAAJIOUN" hakika huu ni msiba tena uliomkubwa mno,,,,, namshauri aangalie na kaulizake anazozitoa mdomoni mwake asije jutia pindi kukutana na mola wake mlezi

    • @mereyamhomesmariamhomes3464
      @mereyamhomesmariamhomes3464 3 года назад

      Usimuhukumu mwenzio ata ww unamapungufu yako

    • @kassimjaffar2112
      @kassimjaffar2112 3 года назад +2

      homes kwanza kabisa acha nikuulize,,, unajua nini maana ya neno hukumu? Pili nipe kauli ya neno niliyo andika hapo linalo onyesha Kua nimemuhukumu, na hata hivyo mwenye mamlaka ya kuhukumu ni ALLAH pekee,,, na ndio maana mwisho kabisa nikamtahadharisha Kua achunge kauli zake asije kujuta pindi akikutana na mola wake mlezi nikiwa na maana hiyo siku ya kuhukumiwa asije akajutia ,,,sasa wewe mwamba unavyo sema nimemuhukumu hapo hata sjakuelewa kabisa point gani iliyokupelekea mpaka uhisi au uone kua mimi nimeandika maneno ya kumuhukumu huyo dogo,,, hem Rudia vizuri kaisoma hiyo comment yangu, nahisi hukuielewa ,,,, narudia tena muhukumu ni ALLAH pekee hakuna kiumbe chochote chenye mamlaka hayo

    • @ellyscarlxrd7380
      @ellyscarlxrd7380 3 года назад

      @@kassimjaffar2112 kwani wewe umezaliwa na dini wote tumerithi tu kutoka kwa wazazi wetu

    • @kassimjaffar2112
      @kassimjaffar2112 3 года назад +1

      @@ellyscarlxrd7380 mm nimezaliwa nikiwa ni muislam na ndio maana baada ya kuzaliwa tu nikaadhiniwa adhana

  • @olayo2556
    @olayo2556 3 года назад +1

    janjaro umekua xaxa naanza kukaa na nyimbo zako

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 3 года назад

    Ajawai kosea uyu janjaro 😘😘

  • @omarimohammed1791
    @omarimohammed1791 3 года назад

    Hi

  • @samiasoud5040
    @samiasoud5040 3 года назад +2

    Umekua janjaro

  • @tobiastobias4319
    @tobiastobias4319 3 года назад +1

    Duh dogo cyo pw

  • @alexjackson6608
    @alexjackson6608 3 года назад +1

    Umkn kijana usije ukajilinda na ustaa bali ujilinde na ukimwi