DOGO JANJA ampa za USO RAYVANNY Kisa SURUALI ya MILIONI 7 "Inafuta ZAMBI?"
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- ...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram www.instagram....
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#DOGOJANJA #RAYVANNY
Dogo janja umeongea vizuri sana mna wasanii wenge wanaishi maisha feck laivu
True words....very humble and educative,big up dogo janja for the kind words
Unampenda Mungu sawa ni jambo jema .. okoka basi mdogo wangu hizo pete na hizo .. zilizotoboka toboka acha nazo .. huko kubaya 😎
Abdul aziz, mashaallah tabarakah llah
Respect this kid...he is different 🙌💯
Umeongea vizuri sana mdogo wangu.. Hongera sana Mungu atakusimamia na utafika mbali sana.
Dogo anajielewa, na anajua nin anafanya. Kwa kiazi kikubwa elimu imemsadia sana!!👍🏻👍🏻👍🏻
Nimependa majibu ya dogo nanja hongera sana umekua kifikiraaaà waooooooooo
We manzi ni bonge presenter unajua mpaka noma yan! Safi sana
Asee dogo upo vizuri balaa nakukubali kinoma mwanangu
Nimekubali janjaro👍💪🙏
top bro dogo janjaro👍
Positive Sana!umekuwa aisee
Mdogo wangu xaiz umekua big up sana kamanda wanguu
Napenda ushindani wa dogo janja na rayvany..... 😂😂😂😂😂😂😂😂.... Sio mbayaaa ni mzuri sio wa matusi
Nakubali Kaka janja upo vzri
Daah janja umekuwa kwelii👏👏
Mtanzania mwenzang ukitak kupat nyimb za mapenz, hihop andika j junior9 utapat kil kitu
Ume ongea vizuri sana Dogo
Huyu dada ni bonge la presenter anajua sana kuuliza maswali ya akili
Jajanja the real boy Safi Sana umeongea points Sana 👍👍
Janjaro Ngarenaro Republic ✊
Nakubali
Dogo janja umeongea utamu kweli na mtangazaji uko na stail mzuri
Hahahaha mwanagu wa nguvu janjaro,umenichekesha eti jinsi yafuta dhambi hahaha,nakutambua sana brother
Mtanzania mwenzang ukitak kupat nyimb za mapenz, hihop andika j junior9 utapat kil kitu
Hio jeansi itakua inafuta dhambi🤣🤣🤣🤣janjaro umetisha...
Ntangazaji mzuri anamaswali mazuri na interview nzuri 👍
Xo cool Dogo janja aprst together my brother
Daaaaah kweli Janjaro una unabusara sana utakuwa roily modol wangu
Dogo janja kakua yaan anaongea kiutu uzima
Nakukubali sn yan dogo nja afu sn una alikili👍👍👍👍👍
Mbele ya fashion ..mshamba wa fashion...limbuken wa maisha....asante janjaaaro huwa una maneeeno saaana ww
Nakubali janjalo
Janja nakubali sana mia kwa mia
Konki mzaz point mwanzo mwisho,,,,waache waishi maisha ya video si mwendo alisiaaaa
Nakubali sana kwa maneno yako janjaro
Kweli janjaro we unajitambua sana
Kweli janja haikatai mzee
Si dogo tena wew...WEWE NI BIG
Chawa we!!!mweeeeh,umesema mskitini unaingia na kanisani anaingia daaah,Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un
U r always top janjaro
Dogo janja unajitambua sana mdogo wangu endelea hivyo hivyo waache wapumbavu waendelee kupumbaa ,,, hata birdman & lill wayne ,, Chris Brown hawajawahi kuvaa jeans ya 7.4ml ,,, lakini kibongo bongo duuhhh huo ni ushamba
Wivu tu na wewe nunua
Huna hela na wivu unakusumbua
Mzee waongopee wasioelewa kwhyo hayo mavazi wananunua wakina nani kama wakina Chris brown hawavai mdomoni tu MTU kama drake anavaa million 22
Wanavaa jeans brand kama amiri, Balmain, ni zaidi ya hyo bei na ndo wanavaa wakina birdman,mayweather n.k
We n fala zao zinakuus nn
A r jal kala muna alla nnisay
Majukumu ni kukichunga unachotakiwa kukichungu siku moja nitafurahi nitakapo sikia Rinah ni mke wako
Jitahidi kumlingania ili umuoe si unajua maisha ni mafupi
Kul hak laukana muraa
Dini na dunia chapa kazi dogo
Tumeambiwa tukumbushane kwa yalio mema
Hapaa dogo sipoo nawe jinaa zurii naa unajuwa kulitaja ilaa imanii yk hujuwe ipoo wp jiangalie muisilam au mkirisito sw
Si alisema kabadili sasa huamini nini hapo.!?
Umeona,karitadi
Umeona,karitadi
First to view...more likes plz
Good
Una akili jajaro never let your life in public
Sanaa janja
Facts sana janjaro
Mtangazaji anafaa kufanya kazi Wasafi Tv/FM
Mtangazaji fundi sana
Dogo umekuwa sana
🔥🔥
Chuiii Respct this kid.he is diferent 🍡🍡 ravnnyn dogo janja ravnnyn Chuiii 🐯🐯🐯🐯
Ahaaaa piga mswagi bro
Nakubali Sana chuga boy
Big up sana janjaro
Nimependa Sana janjaa
Kali iyo
KASNETA KIBOKO YA MICHEPUKO
Kama unahisi mpenzi wako anakusaliti na unahitaji kusoma meseji zake kwa siri bila kushika simu yake na pasipo mpenzi wako kujua kama unaziona meseji zake, ingia PLAYSTORE kisha tafuta Application inayoitwa KASNETA download kwenye simu yako unganisha namba ya mpenzi wako kwenye hiyo Application utaweza kunasa meseji zake zote anazotuma na anazotumiwa kwa kutumia hii App ya KASNETA inapatikana PLAYSTORE...
Ata mkiwa amuhishi pamoja?
@@peninak1622 hii hauhitaji kushika simu yake hata kama yupo mbali
Okay but akuna ya kingereza cz mimi apa wanaleta only inchi mbili Tanzania na kenya na mimi sipo katika izo incho, what can I do?
@@peninak1622 uko nchi gani?
Mbona inakataa kufunguka shida nnini
Dogo janja unaongea fact kinoma nakukubal sanaaaah
Inapendeza
Nakubal dingiii
Kashaishiwa sura ngumu kama mkate wa garilaya kamkazania Vanny boy kuhusu kuvaa sasa apo ye kavaa nini cha ajabu 😊
Nimekukubari Sana kwa majibu yako mkari wangu
Dogo j CV mzur sana
umekuwa kaka
I nterview ya janjaro hainipitagiiii
👐👐👐
Janja makin Sanaa
Big huyo
I love Tanzania
Siachag angalia interview yko mzee
Dogo nakukubali
Janjaro is normal
Mbele ya fashion,mshamba wa fashion na limbukeni wa fashion 🤣🤣🤣
Wa kwanza naombeni like ila Dogo janja simuelewi kabisa!
kila mtu na alivo umbwa we uja post mchumba ? acha izo kumbe walewale
Jajaj umekua mkubwa kwa sas
Janjaroo
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 inafuta dhambi hahahhahaha
Inafuta dhambi😂😂😂😂😂😂😂
Aisee kiukweli umekuwa Hadi kimawazo maneno unayoyaongea leo naona yafundisha
Pic sana janjaro
Tisha sana janjaroo
Misalaba ya free........
Boraa ukae kimya uwaacheeee waimbe pumbaa
Mtangazaji unajua sana
Hakuna mtu anapenda kuwa maskini, ukipata lazima utumie lkn ukipenda kuishi kinaskini basi hukustaili kupata. Kuonyesha vitu vya gharama ni kumfanya mwingine afanye kazi ili apate kama ww.
Niushamba
@@rashidisaidi7744 umaskini unakusumbua
@@francissamson8028 sawa wewe tajiri
@@rashidisaidi7744 unapoweka makasilliko na wivu kwa aliyepata kwakufanya kazi ni mbaya, huwezi mpangia mtu jinsi yakuishi. Mwanamuziki au celebrities kwa ujumla huwezi waambie waishi kama wachungaji au mashehe ni ngumu iven ww huwezi. Tafuta pesa utapata heshima kwa ndugu,marafiki,majirani na watu wengine.
Umeongea point san
Wasanii wa bongo mfara sana
Sasaivi anaitwa babu janja
Kwani wakati wewe unawonyesha watu chumba kimeja viyato ulihisi nini acheni chuki mtuu akipata muwache apate 🤷♂️
Janja salut kwako
Haaaaaa apo kwa itakua inafuta dhambi
Dogo anakàa down sana sio mwenye furaha ila interview nzuri
Uy jamaha mshambatu dogo janja mpezauso mshambauy suali zabii yachini sawana15000
Endelea ivoivo usiweke mamb yako hazan una akil sana
Hakuna muislam mwenye imani mbili wewe dogo,,, tatizo la waislam wa kurithi ni kutosoma dini pamoja na "Quran tukuf " ndo maana wanalega lega na imani zao maana wanaona dini ni kama team za mpira leo kawa muislam kesho kawa dini nyengine, na kama huyu mtoto kweli ni muislam na kasoma Quran basi asingezungumza neno alilozungumza eti mimi ni mshabiki wa mungu popote alipo na mm nipo "INNA LILLAH WAINNA ILAYH RAAJIOUN" hakika huu ni msiba tena uliomkubwa mno,,,,, namshauri aangalie na kaulizake anazozitoa mdomoni mwake asije jutia pindi kukutana na mola wake mlezi
Usimuhukumu mwenzio ata ww unamapungufu yako
homes kwanza kabisa acha nikuulize,,, unajua nini maana ya neno hukumu? Pili nipe kauli ya neno niliyo andika hapo linalo onyesha Kua nimemuhukumu, na hata hivyo mwenye mamlaka ya kuhukumu ni ALLAH pekee,,, na ndio maana mwisho kabisa nikamtahadharisha Kua achunge kauli zake asije kujuta pindi akikutana na mola wake mlezi nikiwa na maana hiyo siku ya kuhukumiwa asije akajutia ,,,sasa wewe mwamba unavyo sema nimemuhukumu hapo hata sjakuelewa kabisa point gani iliyokupelekea mpaka uhisi au uone kua mimi nimeandika maneno ya kumuhukumu huyo dogo,,, hem Rudia vizuri kaisoma hiyo comment yangu, nahisi hukuielewa ,,,, narudia tena muhukumu ni ALLAH pekee hakuna kiumbe chochote chenye mamlaka hayo
@@kassimjaffar2112 kwani wewe umezaliwa na dini wote tumerithi tu kutoka kwa wazazi wetu
@@ellyscarlxrd7380 mm nimezaliwa nikiwa ni muislam na ndio maana baada ya kuzaliwa tu nikaadhiniwa adhana
janjaro umekua xaxa naanza kukaa na nyimbo zako
Ajawai kosea uyu janjaro 😘😘
Hi
Umekua janjaro
Duh dogo cyo pw
Umkn kijana usije ukajilinda na ustaa bali ujilinde na ukimwi