PAULA AFUNGUKA KWA MARA YA KWANZA SABABU ZA KUTOKA KIMAPENZI NA MARIOO,,,TAZAMA HAPA....

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • #harmonize #diamondplatnumz #kajalamasanja

Комментарии • 78

  • @HalimaSamwel
    @HalimaSamwel 15 дней назад +1

    Wao Paula una nyota atali kila atakae kuwa karibu Yako Kam mpnz bas ana tok kimaisha atali has nawapenda wotee❤❤❤❤❤❤

  • @SuhailaMohammed-t2o
    @SuhailaMohammed-t2o 20 дней назад +1

    Mashallah mwijaku umeongea point kajala awe anaficha kitovuuu

  • @Ofolwande
    @Ofolwande Год назад +4

    Nawapenden wote wawil ilov you too Paula💕💞

  • @lelyaelmi6582
    @lelyaelmi6582 Год назад +14

    Ni wakati wake Paula mrembo na Ana nyota❤️❤️❤️❤️❤️

  • @nurumohammed1310
    @nurumohammed1310 9 месяцев назад +2

    Paula mrembo jmn kapendeza hatari mashallah ❤❤❤❤❤❤❤

  • @muntueric-oy1ty
    @muntueric-oy1ty Год назад +11

    Acheni Marioo awape raha Paula na Kajala.....Harmonize aliwapa machozi hadi kidogo Paula ajiue.....Harmonize laana itamuua😂😂😂

  • @Omah_lay_music
    @Omah_lay_music Год назад +3

    I love Paula and marioo

    • @Omah_lay_music
      @Omah_lay_music Год назад +1

      I love Paula and marioo to come my mom

    • @Omah_lay_music
      @Omah_lay_music Год назад +1

      Marrio and paula I like to look to see the to see you see romorr

  • @audreyirakoze7807
    @audreyirakoze7807 Год назад +2

    Mwijaku leo umeongeya point👌🤣🤣🇧🇮

  • @joyRozy-xb9qj
    @joyRozy-xb9qj 7 месяцев назад +2

    Inger paula

  • @IreneKisambwe
    @IreneKisambwe 8 месяцев назад +2

    Paula we ni mzuri Kam mpenz wako alivyokusifia

  • @rahmanamani3422
    @rahmanamani3422 Год назад +3

    Mujaku mnafiq mkubwa eti kagistiri paula ivo ndio kajistiri astaghfirullah

  • @Noah-zt5zf
    @Noah-zt5zf Год назад +5

    Mwijaku anaongea akimeza nyongo😂😂😂😂Nilingoja amuulize kama alimaliza powercef

  • @zamilahemed7037
    @zamilahemed7037 Год назад +6

    Mtabaki kuongopewa hivohvo kila siku Paula katembea na huyu mara huyu wenzenu wako kibiashara zaid

  • @saislassbirhas
    @saislassbirhas Год назад +4

    Hili DC linafki hili🤣🤣😍

  • @AnisiaKamala-nq1yk
    @AnisiaKamala-nq1yk Год назад +4

    Akuna chanyota niujinga not watu wanaitumia vizur mbona yeye anaitumia vibaya

  • @wahidaabeid5712
    @wahidaabeid5712 Год назад +6

    Sasa unataka kujipendekeza kwa Mario na kajala na Paula si uliwavuruga Sasa unaona Mario anakuja juu unataka kumvaa acha hizo mtu mzima punguza hizo acha tamaa za uzeeni

  • @angelinndinda254
    @angelinndinda254 Год назад +4

    😂😂😂mwijaku naye mmbea kweli

  • @AshaHamza-n5n
    @AshaHamza-n5n Год назад +1

    Jamn mwijaku ACH hizo bhan

  • @estatekisombola9251
    @estatekisombola9251 Год назад +5

    Mwijaku mnafki sana

  • @annageorge43
    @annageorge43 Год назад +1

    Zilipendwa tayari. Hakuna jipya

  • @nurually5993
    @nurually5993 Год назад +3

    Mwijaku mnafki sana mbwa huyo

  • @hasinaaljabri1502
    @hasinaaljabri1502 Год назад +1

    Kajala uko uche kwanini😮

  • @mejumaabaraza3989
    @mejumaabaraza3989 Год назад +1

    Kwani uyu c aliolewa juzi tu mbona bongo shikamoo

  • @swariotibi6134
    @swariotibi6134 Год назад +1

    Jamani mwejako 😢😢

  • @pillyomaryhemedi6577
    @pillyomaryhemedi6577 Год назад +1

    Mwinjaja ataolewa mwisho wake😅😅😅😅

  • @Shamilaempress-ux4mv
    @Shamilaempress-ux4mv Год назад +2

    Ifike Mahali msipende kufatilia Maisha ya Watu Kwan Hamna kazi za kufanya, ucjal Mwaya Kama unasemwa jua wanakukubali, af pia we ni star, ndo maana wanakufatilia💔💘👐

  • @mercymwabonje9953
    @mercymwabonje9953 Год назад +1

    Mwijakuuu😅

  • @MayungasalumuMabilika
    @MayungasalumuMabilika Год назад +1

    We mwijaku watakuoa usipo jiangalia

  • @AminaAbduly-m4i
    @AminaAbduly-m4i Год назад

    ❤❤❤❤

  • @FatmaHassan-dn7wk
    @FatmaHassan-dn7wk 11 месяцев назад +1

    We nae uchawa umekuzidi kajistir kitu Gani hap

  • @alouisejohn7752
    @alouisejohn7752 Год назад +2

    Paula na kajala noma sana hawana lolote

  • @munimuni3365
    @munimuni3365 Год назад +1

    Mwinjaku mnafiki sana🤣

  • @mishimwarabu1824
    @mishimwarabu1824 Год назад +2

    Mwijaku ww😂

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe118 Год назад +1

    Acha uongo kajala aliachwa na hamo

  • @JeannetteManirambona-o6m
    @JeannetteManirambona-o6m Год назад +3

    Wamuache mtoto wawatu paulla

  • @ashaamour1537
    @ashaamour1537 Год назад +1

    Kwenda uko miwani kobe ati kalelewa kimadili mwenye kulelewa kimadili anavaa Uchi kama hivo

  • @mwanjinzara8009
    @mwanjinzara8009 Год назад +1

    Mwijaku mbona hamjiheshimu lkn Paula eti mdogo wako so kajala ni mama yako msijizimage data kwani ungesema.anko ungepungukiwa nn Paula ni mtoto wenu mwenzenu ni kajala sijui kwa nn mnajionaga watoto hata miliam aliwah sema eti Paula mdogo wake jiheshimuni basi Paula nyinyi ni mtoto wenu

  • @IddAgombi
    @IddAgombi Год назад

    Kwanini wameachana jamani hii ni huzuni sana tena kubwa 🤔

  • @نجمةكينيا
    @نجمةكينيا Год назад +1

    uyo mwijaku mnafi

  • @sabraomar6604
    @sabraomar6604 Год назад +3

    Paula kapendeza

  • @lee-pi8je
    @lee-pi8je Год назад +1

    Ila mwijaku 🤣🤣🤣🤣

  • @SalmaAhmada-hw9sc
    @SalmaAhmada-hw9sc Год назад +2

    Achenicomment za kijinga watu tunaishi kimaesabu mjin apa kila nyumba ina namba kajala usijali maneno ya wakoswaji

  • @mamakeprince4411
    @mamakeprince4411 Год назад +1

    Ana nyota huyu

  • @Mina.15
    @Mina.15 Год назад

    She look 🤭😘😂😂😂

  • @valentinenanjala6495
    @valentinenanjala6495 Год назад +1

    Toto la kike

  • @leonardmungindo2544
    @leonardmungindo2544 Год назад +4

    Meneja ding'ano anakuskia chuja maneno yako PTV 😂 🇰🇪🇰🇪

  • @husseinmwanga
    @husseinmwanga Год назад +2

    Duu kweli tutafute pesa uzuri wote huyu mtoto anaokotaokota tu na watu wasio wa hadhi yake 😂😂😂😂 ngoja nicheke mie

    • @bibitogo7789
      @bibitogo7789 Год назад

      Yaani inauma sana halafu anayempoteza huyu mtoto ni mama yake

  • @CaoCao-t1y
    @CaoCao-t1y Год назад +1

    We muandishi mpuuzi eeee mav yako

  • @Lanihsarumu
    @Lanihsarumu Год назад +1

    Kajala alipendeza kwa konde pia

  • @victormbugobola802
    @victormbugobola802 Год назад +2

    Bongo Ni kuishi kwa Akili 😂😂tu wanawake ishini kwa akili Kama kajala na Paul na wema septu nivgum kunielewa lkn nd hvyo..... kajala na Paul wanatembelea nyota za watu😂😂

    • @Omah_lay_music
      @Omah_lay_music Год назад +1

      OK you see marroo to doweing to paula

    • @Omah_lay_music
      @Omah_lay_music Год назад

      I don 😙😙😭😭😭😭😭😭😭

  • @BiteLyatuu
    @BiteLyatuu Год назад

    mwijaku ana lolote mnafk mkubw

  • @esthakilicho
    @esthakilicho Год назад +2

    Munafki mukubwa

  • @rahmanamani3422
    @rahmanamani3422 Год назад +1

    Watu washamba nyie

  • @biggievandar254
    @biggievandar254 Год назад +2

    Wacha unafki wewe

  • @rahmanamani3422
    @rahmanamani3422 Год назад +1

    Unanixhefua roho wewe mujaku loo

  • @HassinaAlharthi
    @HassinaAlharthi Год назад +1

    Mbona huweleweki wewe bwana????

  • @aminaasia-jl8fk
    @aminaasia-jl8fk Год назад +2

    Mtoto mdogo wakati abadilisha wanaume

    • @omanmct135
      @omanmct135 Год назад

      Maskini anatiya huruma b0ra aolewe astirike

    • @omanmct135
      @omanmct135 Год назад

      Namamuoneya huruma sana Paula usijali paula

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 Год назад

      Baadae watamuita mzee, kumbe ni ujinga alianza mapema

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq Год назад +1

    😂😂😂

  • @abdallah-gv2sk
    @abdallah-gv2sk Год назад +1

    Mwijaku wacha upumbavu wako ww kazi yako ni kuweka kelele tu na kihere here mbele watu wamekuchoka ni vile hawakwambii tu😅😅😅

  • @rahmanamani3422
    @rahmanamani3422 Год назад +2

    Mujaku mnafiq mkubwa eti kagistiri paula ivo ndio kajistiri astaghfirullah

  • @saidatniyonkuru9910
    @saidatniyonkuru9910 Год назад +2

    Mmmh mwijaku itaku Allah 😂😅

  • @ElizaChacha-ww5lq
    @ElizaChacha-ww5lq Год назад +6

    So cute jmn paul

  • @ChambiliNguti-yk4tv
    @ChambiliNguti-yk4tv 7 месяцев назад

    Emuri

  • @rahmanamani3422
    @rahmanamani3422 Год назад +1

    Mujaku mnafiq mkubwa eti kagistiri paula ivo ndio kajistiri astaghfirullah