#live

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 окт 2024

Комментарии • 43

  • @domnickalone
    @domnickalone Час назад +1

    Napokea uponyaji wa afya yangu familia na uzao wangu ktk jina la yesu alie hai.

  • @gospuskhaemba
    @gospuskhaemba Час назад +1

    Usiku wa leo mimi na familia yangu tufunguliwe katika jina la YESU KRISTO wanazareti

  • @Anitakasola
    @Anitakasola 2 часа назад +1

    Usiku huu nikobolewe mm pamoja na familia yangu mama angu apone miguu inayomsumbua kwa jina la yesu Ameen 🙏

  • @sadathEdthom-d3m
    @sadathEdthom-d3m Час назад +1

    Asante sana mtumishi Mungu akulinde miaka Mia tano Mungu naomba anifungue mm na family yang tuish dar

  • @domnickalone
    @domnickalone Час назад

    Napokea uponyaji wa afya yangu familia na uzao wangu ktk jina la yesu.

  • @JanethMajaba
    @JanethMajaba Час назад +1

    Usiku huu nikombolewe mimi na familiar yangu kesho mwanangu anaanza mtihan mungu mtende

  • @neemasalvatory3185
    @neemasalvatory3185 Час назад +1

    Na mimi nikombolewe na mwanangu apone ugonjwa wa moyo kwa jina yesu

  • @NuratyAthumani-sx5il
    @NuratyAthumani-sx5il 41 минуту назад

    Usiku hu nakumboa family yangu hinayo sumbiuliwa namaradhi damu ya yesu wakomboe🙏 Amin

  • @ZainabuMsangi-t5g
    @ZainabuMsangi-t5g Час назад

    Mama yngu akombolewe kiafya,uchumi ,alipwe pesa zake mume wangu apate kazi nzuri yenye mshahara mzuri ,amalize ujenzi kwao anunue kiwanja na ajenge, anipende mm tu zainabu asitamani wanawKe wangine tufunge ndoamwakani kiislam

  • @EmillyTymon
    @EmillyTymon 55 минут назад

    Bwana yesu asifiwe kwajina nayitwa emilly William nawomba mungu afunguwe family yangu

  • @domnickalone
    @domnickalone Час назад

    Navunja Kila madhabau zilizojengwa ktkt mwili wangu madhabau za laana uchawi ushilikina madhabau za laana uchawi ushilikina uganga zishindwe ktk jina la yesu alie hai.

  • @JanethRazalo
    @JanethRazalo Час назад +1

    naomba unisaidie nipate kazi nzur naomba ufungue mpenz wangu akubali ujauzito wake naomba anipende kama mwanz namin bwan utaenda kutenda

  • @atanasitsaxara844
    @atanasitsaxara844 31 минуту назад

    Naomba nikombolewe kiiuchumi kwa jina la yesu ameen

  • @domnickalone
    @domnickalone Час назад

    Yesu nisaidie nipate ndoa sahihi ktk jina la yesu alie hai.

  • @domnickalone
    @domnickalone Час назад

    Nataka Sophia na Bojani na Amini na Irene na moreen mbuna wafaulu 10 Bora Kwa jina la yesu alie hai.

  • @ZainabuMsangi-t5g
    @ZainabuMsangi-t5g Час назад

    Nakombolewa kupata kazi serikalini ,ndoa kuzidiwa na wateja , davidi anipende mm tu ♥️ , nipate mafanikio kiuchumi na kiroho

  • @JanethMajaba
    @JanethMajaba Час назад

    Naomba Namibia mungu wamwamposa nitendee ili siku moja nishuhudie ukuu wako

  • @JanethMajaba
    @JanethMajaba Час назад

    Mungu wa mwamposa msaidie mwanangu neema apone

  • @agnesmutindi3094
    @agnesmutindi3094 Час назад

    Hallelujah

  • @JanethMajaba
    @JanethMajaba Час назад

    Mungu nitendee usku wa leo

  • @geromanahilly3320
    @geromanahilly3320 2 часа назад

    Ee mwenyezi Mungu mkumbuke mwanangu heavenlight katika mitihani yake ya form two

  • @JanethMajaba
    @JanethMajaba Час назад

    Mungu wamwamposa nisaidie naming nipate kiwanja nijenge

  • @geromanahilly3320
    @geromanahilly3320 Час назад

    Mungu naomba mtoe Hamissy Pascal Cleva katika kifungo cha kukamatwa ufahamu ma Tumaini Kenani ambaye ni mke wa mtu

  • @domnickalone
    @domnickalone Час назад

    Napokea kibali Cha kudum kazini ktk jina la yesu.

  • @domnickalone
    @domnickalone Час назад

    Nataka Kila wazo baya kwangu lishindwe ktk jina la yesu alie hai.

  • @domnickalone
    @domnickalone Час назад

    Ñapokea wateja watakaonunu viwanja Kwa bei nayotaka mm ktk jina la yesu,

  • @domnickalone
    @domnickalone Час назад

    Nataka aginetha aolewe Kwa mahali nayotaka mm na ndoa kanisani ktkt jina la yesu alie hai,

  • @domnickalone
    @domnickalone Час назад

    Nataka Nilipwe madeni yangu yote nayodai mishahala na Nssf Kwa vigu treding na Deo tadelyus fumbe kilaisi ktkt jina la yesu,

  • @domnickalone
    @domnickalone Час назад

    Ñapokea ndoa sahihi ktk jina la yesu alie hai.

  • @atanasitsaxara844
    @atanasitsaxara844 39 минут назад

    Naomba nikombolewe kiuchumi

  • @domnickalone
    @domnickalone Час назад

    Nataka Essau Dominick mbuna apone bawasili ktk jina la yesu alie hai.

  • @domnickalone
    @domnickalone Час назад

    Natataka ndoto za watu walokufa zisije Kwa ktk jina la yesu.

  • @WaziriMchome
    @WaziriMchome Час назад

    Usiku wa leo naomba kesho nipate kazi oficn kwangu

  • @FurahaMbele
    @FurahaMbele Час назад

    Nisaidie niweze jifungua kesho

  • @domnickalone
    @domnickalone Час назад

    Nataka leya nyanginywa na familia yake waniuzie shamba lile walilonikodisha Kwa bei nayotaka mm ktk jina la yesu.

  • @ELISHAZAKAYO-gw5mf
    @ELISHAZAKAYO-gw5mf Час назад

    Napokea maombi 12 usiku wa leo kama nilivyoandika kwenye karatasi

  • @PaskalinaSulle-ei6ws
    @PaskalinaSulle-ei6ws Час назад

    Nyota yangu ikangaeni

  • @PaskalinaSulle-ei6ws
    @PaskalinaSulle-ei6ws Час назад

    Rr❤

  • @domnickalone
    @domnickalone Час назад

    Ñapokea ndoa sahihi ktk jina la yesu alie hai.

  • @domnickalone
    @domnickalone Час назад

    Ñapokea ndoa sahihi ktk jina la yesu alie hai.