Mama yngu akombolewe kiafya,uchumi ,alipwe pesa zake mume wangu apate kazi nzuri yenye mshahara mzuri ,amalize ujenzi kwao anunue kiwanja na ajenge, anipende mm tu zainabu asitamani wanawKe wangine tufunge ndoamwakani kiislam
Navunja Kila madhabau zilizojengwa ktkt mwili wangu madhabau za laana uchawi ushilikina madhabau za laana uchawi ushilikina uganga zishindwe ktk jina la yesu alie hai.
Napokea uponyaji wa afya yangu familia na uzao wangu ktk jina la yesu alie hai.
Usiku wa leo mimi na familia yangu tufunguliwe katika jina la YESU KRISTO wanazareti
Usiku huu nikobolewe mm pamoja na familia yangu mama angu apone miguu inayomsumbua kwa jina la yesu Ameen 🙏
Asante sana mtumishi Mungu akulinde miaka Mia tano Mungu naomba anifungue mm na family yang tuish dar
Amen
Napokea uponyaji wa afya yangu familia na uzao wangu ktk jina la yesu.
Usiku huu nikombolewe mimi na familiar yangu kesho mwanangu anaanza mtihan mungu mtende
Na mimi nikombolewe na mwanangu apone ugonjwa wa moyo kwa jina yesu
Usiku hu nakumboa family yangu hinayo sumbiuliwa namaradhi damu ya yesu wakomboe🙏 Amin
Mama yngu akombolewe kiafya,uchumi ,alipwe pesa zake mume wangu apate kazi nzuri yenye mshahara mzuri ,amalize ujenzi kwao anunue kiwanja na ajenge, anipende mm tu zainabu asitamani wanawKe wangine tufunge ndoamwakani kiislam
Bwana yesu asifiwe kwajina nayitwa emilly William nawomba mungu afunguwe family yangu
Navunja Kila madhabau zilizojengwa ktkt mwili wangu madhabau za laana uchawi ushilikina madhabau za laana uchawi ushilikina uganga zishindwe ktk jina la yesu alie hai.
naomba unisaidie nipate kazi nzur naomba ufungue mpenz wangu akubali ujauzito wake naomba anipende kama mwanz namin bwan utaenda kutenda
Amin
Naomba nikombolewe kiiuchumi kwa jina la yesu ameen
Yesu nisaidie nipate ndoa sahihi ktk jina la yesu alie hai.
Nataka Sophia na Bojani na Amini na Irene na moreen mbuna wafaulu 10 Bora Kwa jina la yesu alie hai.
Nakombolewa kupata kazi serikalini ,ndoa kuzidiwa na wateja , davidi anipende mm tu ♥️ , nipate mafanikio kiuchumi na kiroho
Naomba Namibia mungu wamwamposa nitendee ili siku moja nishuhudie ukuu wako
Mungu wa mwamposa msaidie mwanangu neema apone
Hallelujah
Mungu nitendee usku wa leo
Ee mwenyezi Mungu mkumbuke mwanangu heavenlight katika mitihani yake ya form two
Mungu wamwamposa nisaidie naming nipate kiwanja nijenge
Mungu naomba mtoe Hamissy Pascal Cleva katika kifungo cha kukamatwa ufahamu ma Tumaini Kenani ambaye ni mke wa mtu
Napokea kibali Cha kudum kazini ktk jina la yesu.
Nataka Kila wazo baya kwangu lishindwe ktk jina la yesu alie hai.
Ñapokea wateja watakaonunu viwanja Kwa bei nayotaka mm ktk jina la yesu,
Nataka aginetha aolewe Kwa mahali nayotaka mm na ndoa kanisani ktkt jina la yesu alie hai,
Nataka Nilipwe madeni yangu yote nayodai mishahala na Nssf Kwa vigu treding na Deo tadelyus fumbe kilaisi ktkt jina la yesu,
Ñapokea ndoa sahihi ktk jina la yesu alie hai.
Naomba nikombolewe kiuchumi
Nataka Essau Dominick mbuna apone bawasili ktk jina la yesu alie hai.
Natataka ndoto za watu walokufa zisije Kwa ktk jina la yesu.
Usiku wa leo naomba kesho nipate kazi oficn kwangu
Nisaidie niweze jifungua kesho
Nataka leya nyanginywa na familia yake waniuzie shamba lile walilonikodisha Kwa bei nayotaka mm ktk jina la yesu.
Napokea maombi 12 usiku wa leo kama nilivyoandika kwenye karatasi
Nyota yangu ikangaeni
Rr❤
Ñapokea ndoa sahihi ktk jina la yesu alie hai.
Ñapokea ndoa sahihi ktk jina la yesu alie hai.