SHEIK JUMA AMTILIA SHAKA P DIDDY KAMA ALIWAACHA SALAMA DIAMOND LUKAMBA NA BABU TALE
HTML-код
- Опубликовано: 2 окт 2024
- HAPA TUMEPATA WASAA WA KUCHAMBUA YANAYOTOKEA KATIKA MZIKI MPAKA P DIDDY KUFIKIA KUWALA WANAUME HUKU TUKIPIMA KAULI YA DIAMOND KUSEMA WALIFANYA MAMBO YA SIRI
Shekhe maashaallah mungu akuzidishie,hii ishu umeimaliza
Ndiyo yule ana nguvu za kishetani. ILLUMINATI. NA LAZIMA ALIWALALA HAOO.
Bwana pididiii amezua jambo😂😂
UNAWAZAJE NAMBA 1 DUNIANI WAKATI HATA KWENU KUNA WATU HUWAGUSI HATAA.NCHI ZIPO 54 SIJUI 56 UKO...KIPO KILICHOKUAMINISHA TUCHUNGE SANA NDIMI IZI...AFU TUPENDE KUTOSHEKA.
Nakuelewa sana shekh Wang
Kwel sheikh unajibu kwa ufasaha mkubwa sana tunakuelewa
Mtangazaji unajua sana kuuliza maswali
Kwani kuna ugumu gani kusema mziki haramu
Zuchu atakua ana majibu halisi ya hii habari,wakiwa chumbani wanafanya yao,Zuchu ajaribu kuzamisha dole la kati kwenye tako la Domo,akiona limeteleza chap bila kusita.Basi ajue mchizi kawa kama chaji ya sim,yaani inachomekwa kwenye socket ya umeme ndiyo inachaji,au power bank!
Kweli hakuna sili
Vijana waache Viherehere, kizazi hiki kina tamaa
HUYU SHEHE KAKUELIMISHA VYEMA SANA NDUGU MTANGAZAJI KMA UTATOKA KAPA HAPO BASI WEWE NI KICHWA NGUMU HUWEZI KUMWELEWA MTU MWINGINE YEYOTE MWENYE ELIMU YA DINI, TUBADILIKE JAMANI HII DUNIA ITATUMALIZA
Simulizi hawa walimu wanakufunza sana lakini sijui unawaelewa???
Sheikh nakuelewa sana na Mungu akuhifadhi uishi miaka mingi uendelee kutoa elimu
Hukusita kuja kuongea vitu vya kisomi na ukweli bila kujipendekeza na uchawa kama wengine.
Ilikua lazima afikie hapo so sio kitu chakushangaza huyo sio rizki
Ndiomaana kuna kipindi alivaa sket na vikuku
@@AlexMlaba !!??
Kaka ujaweka wazi uharamu wa mziki ni haramu sheikh kondo wawe msomi apo umeulizwa swali la kidini ulitakiwa utoe fatua kisheria kwa majibu wa kitabu na suna
Nomaa sana
Mziki wowote haufai mara nyingi mziki hufuatana na ushetani yaani hupelekea kufanya machafu
Mense 💔😭😭😭😭 young die 👏👏
Mondi kaliwa
Ameenda kusafisha nyota wasemavyo wenyewe
Ilo ni somo tosha shekhe umetoa elimu ya Bure asante
Mashaallah sheikh Allah akupe umri, From +254
Sheikh nimekuelewaaa sanaaa
Mashehe au njaa
jitu P.Didi limemfanya Simba kuwa Paka😂😂
kwahio jmn ndo kamfila? 😢😢
😂😂😂
shekhe samahani mziki niharam usiseme hankuna nasu sema sijaona
Ilaaa piddy
Sheikh 👍🏿👍🏿👍🏿🔥🔥🔥
Huyu shehe kam mziki kauhalalisha man ankwambia mziki.haramm.km.siharamm.ila wao wana vuka.mpak.san ina maana huyu sisheh
hajauhalalisha😂😂😂,amedhibitisha