SHEIK JUMA AMTILIA SHAKA P DIDDY KAMA ALIWAACHA SALAMA DIAMOND LUKAMBA NA BABU TALE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • HAPA TUMEPATA WASAA WA KUCHAMBUA YANAYOTOKEA KATIKA MZIKI MPAKA P DIDDY KUFIKIA KUWALA WANAUME HUKU TUKIPIMA KAULI YA DIAMOND KUSEMA WALIFANYA MAMBO YA SIRI

Комментарии • 40

  • @MahmudClay
    @MahmudClay 2 дня назад +2

    Shekhe maashaallah mungu akuzidishie,hii ishu umeimaliza

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 2 дня назад +1

    Ndiyo yule ana nguvu za kishetani. ILLUMINATI. NA LAZIMA ALIWALALA HAOO.

  • @MzeeKigogo_
    @MzeeKigogo_ 3 дня назад +4

    Bwana pididiii amezua jambo😂😂

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 3 дня назад +4

    UNAWAZAJE NAMBA 1 DUNIANI WAKATI HATA KWENU KUNA WATU HUWAGUSI HATAA.NCHI ZIPO 54 SIJUI 56 UKO...KIPO KILICHOKUAMINISHA TUCHUNGE SANA NDIMI IZI...AFU TUPENDE KUTOSHEKA.

  • @JamesJastin-bg1rx
    @JamesJastin-bg1rx 4 дня назад +4

    Nakuelewa sana shekh Wang

  • @Haji-yr9db
    @Haji-yr9db 2 дня назад +1

    Kwel sheikh unajibu kwa ufasaha mkubwa sana tunakuelewa

  • @zzeby2043
    @zzeby2043 3 дня назад +3

    Mtangazaji unajua sana kuuliza maswali

  • @BinSultan-t5g
    @BinSultan-t5g 2 дня назад +1

    Kwani kuna ugumu gani kusema mziki haramu

  • @kdloon2030
    @kdloon2030 4 дня назад +3

    Zuchu atakua ana majibu halisi ya hii habari,wakiwa chumbani wanafanya yao,Zuchu ajaribu kuzamisha dole la kati kwenye tako la Domo,akiona limeteleza chap bila kusita.Basi ajue mchizi kawa kama chaji ya sim,yaani inachomekwa kwenye socket ya umeme ndiyo inachaji,au power bank!

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk 2 дня назад +1

    Kweli hakuna sili

  • @hezronpeterhongoli9060
    @hezronpeterhongoli9060 3 дня назад +3

    Vijana waache Viherehere, kizazi hiki kina tamaa

  • @masumbukomaganga438
    @masumbukomaganga438 3 дня назад +2

    HUYU SHEHE KAKUELIMISHA VYEMA SANA NDUGU MTANGAZAJI KMA UTATOKA KAPA HAPO BASI WEWE NI KICHWA NGUMU HUWEZI KUMWELEWA MTU MWINGINE YEYOTE MWENYE ELIMU YA DINI, TUBADILIKE JAMANI HII DUNIA ITATUMALIZA

  • @samxx411
    @samxx411 4 дня назад +2

    Simulizi hawa walimu wanakufunza sana lakini sijui unawaelewa???

  • @jafarinauma6798
    @jafarinauma6798 3 дня назад +1

    Sheikh nakuelewa sana na Mungu akuhifadhi uishi miaka mingi uendelee kutoa elimu
    Hukusita kuja kuongea vitu vya kisomi na ukweli bila kujipendekeza na uchawa kama wengine.

  • @mohamedgandi8832
    @mohamedgandi8832 4 дня назад +2

    Ilikua lazima afikie hapo so sio kitu chakushangaza huyo sio rizki

  • @AlexMlaba
    @AlexMlaba 3 дня назад +2

    Ndiomaana kuna kipindi alivaa sket na vikuku

  • @shariffmazrui7632
    @shariffmazrui7632 День назад

    Kaka ujaweka wazi uharamu wa mziki ni haramu sheikh kondo wawe msomi apo umeulizwa swali la kidini ulitakiwa utoe fatua kisheria kwa majibu wa kitabu na suna

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 3 дня назад +2

    Nomaa sana

  • @samxx411
    @samxx411 4 дня назад +2

    Mziki wowote haufai mara nyingi mziki hufuatana na ushetani yaani hupelekea kufanya machafu

  • @amina2044amin-zv2gh
    @amina2044amin-zv2gh 2 дня назад

    Mense 💔😭😭😭😭 young die 👏👏

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 4 дня назад +5

    Mondi kaliwa

    • @JoshuaSalimu
      @JoshuaSalimu 4 дня назад +1

      Ameenda kusafisha nyota wasemavyo wenyewe

    • @MjuniLaulian
      @MjuniLaulian 4 дня назад

      Ilo ni somo tosha shekhe umetoa elimu ya Bure asante

    • @AshaAbdallah-wi7og
      @AshaAbdallah-wi7og 2 дня назад

      Mashaallah sheikh Allah akupe umri, From +254

  • @NemesMasawe
    @NemesMasawe 3 дня назад +1

    Sheikh nimekuelewaaa sanaaa

  • @TimotheoNtibayaga
    @TimotheoNtibayaga День назад

    Mashehe au njaa

  • @johnfelixnatala6777
    @johnfelixnatala6777 18 часов назад

    jitu P.Didi limemfanya Simba kuwa Paka😂😂

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 3 дня назад +1

    kwahio jmn ndo kamfila? 😢😢

  • @fakidiverfaki2609
    @fakidiverfaki2609 3 дня назад

    shekhe samahani mziki niharam usiseme hankuna nasu sema sijaona

  • @NemesMasawe
    @NemesMasawe 3 дня назад +1

    Ilaaa piddy

  • @joezeno8
    @joezeno8 4 дня назад

    Sheikh 👍🏿👍🏿👍🏿🔥🔥🔥

  • @SihabaAbdallah-li6dx
    @SihabaAbdallah-li6dx 23 часа назад

    Huyu shehe kam mziki kauhalalisha man ankwambia mziki.haramm.km.siharamm.ila wao wana vuka.mpak.san ina maana huyu sisheh