Kenya mtakuja juta sana kwa sababu huyu rais yuko kwa ajili ya kenya ! Ngojeni niwaambie acheni mihemko nchi ni ya kwenu wote moeni nafasi aijenge kenya yenu
Hata mm huwa nawaambia watu kuwa shida sio Rais shida ni watumishi waliopewa jukumu la kusimamia majukumu, Sasa kama huku kwetu Tanzania Madudu waziri Mkuu au Makonda maana hawa ndo viongozi nchini wanavumbua Madudu na mateso yanayofanywa na watumishi, mtu anafuatilia Jambo miaka 10 ,anazungushwa tu, Lkni anakuja Makonda analitatua siku moja je hapo utasema Rais ndo mwenye makosa, kama juzi Arusha mtu kapewa ajenge shule toka mwaka 2000 hadi leo hajalipwa Lkni Mkurugenzi wa Halmashauri anajibu utumbo kuwa hawaoni documents za huyo mtu, anaulizwa je shule alijenga nani amekazania Mh Mkuu wa mkoa tulimwambia alete documents yaani unatamani umpige mtu kofi maana kiongozi uliepewa dhamana na Mh Rais ukatumikie watu mtu mnampa tenda pesa kulipa hamlipi hizo mmekula, hapo utamlaumu Rais, watumishi ndo chanzo kikuu cha wananchi kuichukia serikali yao na Rais.
Mungu akupiganie Rais Wetu Mpendwz
Thanks my president
Ruto my advice for you is Next time don't start what you cannot finish 😂
Ruto kama atutakuweza mungu atakuweza tu...
Wakenya nawaombeni mpeni huyu jamaa one more chance apige kazi..
Kenya mtakuja juta sana kwa sababu huyu rais yuko kwa ajili ya kenya ! Ngojeni niwaambie acheni mihemko nchi ni ya kwenu wote moeni nafasi aijenge kenya yenu
😢😢watu wanekufa😢😢😢😢 watu wamepotea😢😢😢😢
Kenya mnachokitafuta mtakipata....watch and pray
Viongozi wetu ni wazuri tatizo watenda na washauri wao wa karibu ndo wanao waangusha
Hata mm huwa nawaambia watu kuwa shida sio Rais shida ni watumishi waliopewa jukumu la kusimamia majukumu, Sasa kama huku kwetu Tanzania Madudu waziri Mkuu au Makonda maana hawa ndo viongozi nchini wanavumbua Madudu na mateso yanayofanywa na watumishi, mtu anafuatilia Jambo miaka 10 ,anazungushwa tu, Lkni anakuja Makonda analitatua siku moja je hapo utasema Rais ndo mwenye makosa, kama juzi Arusha mtu kapewa ajenge shule toka mwaka 2000 hadi leo hajalipwa Lkni Mkurugenzi wa Halmashauri anajibu utumbo kuwa hawaoni documents za huyo mtu, anaulizwa je shule alijenga nani amekazania Mh Mkuu wa mkoa tulimwambia alete documents yaani unatamani umpige mtu kofi maana kiongozi uliepewa dhamana na Mh Rais ukatumikie watu mtu mnampa tenda pesa kulipa hamlipi hizo mmekula, hapo utamlaumu Rais, watumishi ndo chanzo kikuu cha wananchi kuichukia serikali yao na Rais.
Reduce cabinet ministers
Nampenda rais wangu Ruto!
😮you don't see what he's doing !
Ezekieli mwenye akili niyule wa Bible tu, Ila wengine ni wajinga like you 😂😂
Ongea wasikie
You kenyan you are aware of citizenship
Huyu jamaa anaongea ni kama ni accident imetokea na ni kitu yy alipanga
Rais ndiye alipanga maandamano ya kuharibu Mali?
@@ezekielshija9251 Ni utendaji mbovu wa serikali yake