🔴LIVE: RAIS WA KENYA, WILLIAM RUTO ANATOA TAMKO MUDA HUU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • ..................
    Kwa taarifa zaidi subscribe channel yetu na endelea kutufuatilia kupitia mitandao ya kijamii
    Instagram, Twitter na Facebook
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 19

  • @pastoremanuelnicodemus8648
    @pastoremanuelnicodemus8648 3 месяца назад +2

    Mungu akupiganie Rais Wetu Mpendwz

  • @katondostudio652
    @katondostudio652 3 месяца назад +1

    Thanks my president

  • @johannesssamsonambogo4125
    @johannesssamsonambogo4125 3 месяца назад +2

    Ruto my advice for you is Next time don't start what you cannot finish 😂

  • @caromwende7918
    @caromwende7918 2 месяца назад

    Ruto kama atutakuweza mungu atakuweza tu...

  • @samwelqallo8082
    @samwelqallo8082 3 месяца назад +1

    Wakenya nawaombeni mpeni huyu jamaa one more chance apige kazi..

  • @severinantunuligwa4598
    @severinantunuligwa4598 3 месяца назад +1

    Kenya mtakuja juta sana kwa sababu huyu rais yuko kwa ajili ya kenya ! Ngojeni niwaambie acheni mihemko nchi ni ya kwenu wote moeni nafasi aijenge kenya yenu

  • @caromwende7918
    @caromwende7918 2 месяца назад

    😢😢watu wanekufa😢😢😢😢 watu wamepotea😢😢😢😢

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 3 месяца назад +1

    Kenya mnachokitafuta mtakipata....watch and pray

  • @samwelqallo8082
    @samwelqallo8082 3 месяца назад +1

    Viongozi wetu ni wazuri tatizo watenda na washauri wao wa karibu ndo wanao waangusha

    • @mochemba
      @mochemba 2 месяца назад

      Hata mm huwa nawaambia watu kuwa shida sio Rais shida ni watumishi waliopewa jukumu la kusimamia majukumu, Sasa kama huku kwetu Tanzania Madudu waziri Mkuu au Makonda maana hawa ndo viongozi nchini wanavumbua Madudu na mateso yanayofanywa na watumishi, mtu anafuatilia Jambo miaka 10 ,anazungushwa tu, Lkni anakuja Makonda analitatua siku moja je hapo utasema Rais ndo mwenye makosa, kama juzi Arusha mtu kapewa ajenge shule toka mwaka 2000 hadi leo hajalipwa Lkni Mkurugenzi wa Halmashauri anajibu utumbo kuwa hawaoni documents za huyo mtu, anaulizwa je shule alijenga nani amekazania Mh Mkuu wa mkoa tulimwambia alete documents yaani unatamani umpige mtu kofi maana kiongozi uliepewa dhamana na Mh Rais ukatumikie watu mtu mnampa tenda pesa kulipa hamlipi hizo mmekula, hapo utamlaumu Rais, watumishi ndo chanzo kikuu cha wananchi kuichukia serikali yao na Rais.

  • @Nicechannel01
    @Nicechannel01 3 месяца назад

    Reduce cabinet ministers

  • @ezekielshija9251
    @ezekielshija9251 3 месяца назад +1

    Nampenda rais wangu Ruto!

    • @zulekhaponti9353
      @zulekhaponti9353 3 месяца назад

      😮you don't see what he's doing !

    • @johannesssamsonambogo4125
      @johannesssamsonambogo4125 3 месяца назад

      Ezekieli mwenye akili niyule wa Bible tu, Ila wengine ni wajinga like you 😂😂

  • @INUMBUMWANDU
    @INUMBUMWANDU 3 месяца назад +1

    Ongea wasikie

  • @JohnManyilizu-rl5bm
    @JohnManyilizu-rl5bm 3 месяца назад

    You kenyan you are aware of citizenship

  • @djsudysykes4222
    @djsudysykes4222 3 месяца назад +1

    Huyu jamaa anaongea ni kama ni accident imetokea na ni kitu yy alipanga

    • @ezekielshija9251
      @ezekielshija9251 3 месяца назад

      Rais ndiye alipanga maandamano ya kuharibu Mali?

    • @HelbethMlelwa
      @HelbethMlelwa 3 месяца назад

      ​@@ezekielshija9251 Ni utendaji mbovu wa serikali yake