MAMA ALIYEKWENDA GEITA KWA WANAE LIOPOTEZANA NAO MIAKA 50 ARUDI DAR NA KUTUELEZA MAISHA YA GEITA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • Nimeenda kumtembelea mama huyu ambae alikuwa geita kwa watoto wake ambao alipo tezana takribani miaka 50 ambapo kupitia kipindi cha LeotenaCloudsfm alifanikisha kuwapata sasa tangu arudi kutoka Geita nilikuwa sijaonana na,nimeenda juzi kumuona .Kutaka kufahamu baada ya kufika huko maisha yamekuaje na watoto wake hadi amerudi
    #geahhabibu #GeahTv #MatukioyaGeah

Комментарии • 97

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 3 года назад +18

    Gea tupe mrejesho wa yule mama mwingine aliyetoka Kenya nawanae aziza na baba yao mdogo taji

  • @faisalwaafrica7478
    @faisalwaafrica7478 3 года назад +20

    Mapenzi yalikua kwa wazazi wetu wazaman, mzee mashallah

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 3 года назад +10

    Babu anajuwa kupenda mashaalah mungu azidishiye iman amepe mri mrefu na afya nje ishaalah

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si 3 года назад +6

    Allah atujaalie tuwe ni wenye kudumu ktk ndoa zetu na mapenzi yasiyoisha sijui tunakwama wapi vijana

  • @zainabusaid8730
    @zainabusaid8730 3 года назад +6

    Nimemtamani Sanaaa bi mkubwa Mimi Nina Kaka yangu pamoja na Dada Angu wa Tumbo moja walipelekwa kwa baba yao wakiwa wadogo Mpaka leo hii Ni Miaka 32 Sijuhi nitawapataje na Ndugu Atuna habri yoyote Kama wpo Hi....Mungu Atufanyie Wepesi wairah

    • @khadijatanzania8040
      @khadijatanzania8040 2 года назад

      Zainabu Said Mtafute geah uongee nae ujielezee unaweza wapata

  • @shamzone388
    @shamzone388 3 года назад +6

    Alhamdulilah mungu amrehem huyo mama amin
    Sisi pia tumelelewa na mama wa kambo alikuwa mtu mzuri sana tena sana...tunamkumbuka sana allah amjalie janat firdous ulya yarab amin
    Namkubuka sana kwa mapenzi na malezi yake ya dhati juu yetu...

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 3 года назад +6

    Babu anampenda sana mke wake aisee uruma sana. Bahati wamepata familia yenye upendo pande zote mbili

  • @enterenter1921
    @enterenter1921 3 года назад +9

    Mashaa Allah babu anauliza mda waswala km tayar 🤲🤲ALLAH amjaalie mwisho mwema

  • @kiri5807
    @kiri5807 3 года назад +6

    Lucky mama yuko hai Alhamdulillah .

  • @fatmasalima3847
    @fatmasalima3847 3 года назад +9

    Mash Allah God bless you ameen 🙏

  • @khadijahomankweliyamjahaya7421
    @khadijahomankweliyamjahaya7421 3 года назад +3

    Ma shaa allah , jaman wazee wetu wana mapenzi jaman hadi raha

  • @kilizajumainn826
    @kilizajumainn826 3 года назад +9

    Babu maashaallah anauliza muda WA salaa

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 3 года назад +3

    Mama wakambo asilimia kubwa huwa Ni waziri tatizo huwa linakuja watoto wakijua huyu sio mama yao hapo ndo shida huanzia

  • @roseatieno6691
    @roseatieno6691 3 года назад +1

    DA Geah kweli ulifanya vizuri kwa kukutanisha hii familia. Nakupenda kweli maana kwenu tanga na kwetu Kenya ni majirani. Yaani kutoka tanga mpaka Mombasa msambweni karibu kuliko tanga hadi Daresalaam.

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 3 года назад +5

    MashAllah daeya mwenyezi .mungu akupe maisha marefu kwakweli unayapambaniya maisha ya watu wenye mateso. Mama mungu awabariki na watoto wenu

  • @zainabohus4903
    @zainabohus4903 3 года назад +2

    Mashallah mashallah hongoera sana kwa kazi nzuri dada G

  • @winfridakaaya2758
    @winfridakaaya2758 3 года назад +3

    Mungu ambariki huyo mama uko alikooo

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 3 года назад +2

    MashaAllah, Mungu ampe kauli Thabit mama aliowalea hao watoto kama wanae wa kuwazaa🤲🙏🙏🙏

  • @hadjamlkong0851
    @hadjamlkong0851 3 года назад +6

    Ata mmi nilipoterewa na mma yangu miaka 20 lakini tukaonana. Nilifanyiws sherehe kubwaa uko kijijini masasi lindi

  • @waminzashunu831
    @waminzashunu831 3 года назад +4

    Wasukuma kwa kuiba watoto hawajambo

  • @raiye5621
    @raiye5621 3 года назад +3

    💗💗Allah ni mwing wa rehma ❤❤

  • @a.856
    @a.856 3 года назад +5

    Mashaallah

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 3 года назад +3

    Mashaallah mashaallah wapendanao

  • @Manka-g5y
    @Manka-g5y 3 года назад +3

    Mungu ni mwema

  • @aliaden5512
    @aliaden5512 3 года назад +4

    Mjukuu ako sawa

  • @themagadir
    @themagadir 3 года назад +9

    Mimi namtafuta kakaangu huko kwenu TZ. Mara ya mwisho nakumbuka alikuwa akiishi Ruvu Juu. Mamake anaita Kidawa alikuwa akifanya kazi spitali ya Muhimbili. Jina la kakaangu ni Jumanne Ahmed Mzee

    • @issakessy1821
      @issakessy1821 3 года назад

      Namjua huyu kaka jumanne anaishi kinondoni mkwajuni kwel kabisa Dada angu

    • @themagadir
      @themagadir 3 года назад

      @@issakessy1821 ana umri gani?

    • @salehfakih4848
      @salehfakih4848 3 года назад

      Chukuwa namba za kina geah utatangazwa

    • @issakessy1821
      @issakessy1821 3 года назад

      hee unataka nikamuulize au

    • @themagadir
      @themagadir 3 года назад

      @@issakessy1821 kakaangu kwa uchache atakuwa katika miaka 60 ushei

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 3 года назад +4

    Maa Shaa Allah, Alhamdulillah,

  • @monadinadi5295
    @monadinadi5295 3 года назад +8

    Mashaallah mtu na ubavu wke bhana watu Wazaman Wana mahaba htr 🙏🙏

    • @sweetie6934
      @sweetie6934 3 года назад +1

      Yaani wee acha tu

    • @kiri5807
      @kiri5807 3 года назад +1

      ingekuwa hawa wengine ungekuta mwenzako ndani vitu vyako viko upenuni vyapigwa na mvua .

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 3 года назад +2

      Aisee we acha tu sasa hivi pasua kichwa

    • @kiri5807
      @kiri5807 3 года назад

      @@Mpakauseme 😂😂😂

    • @monadinadi5295
      @monadinadi5295 3 года назад

      @@Mpakauseme hta cm yke usingeipata yaan ndio ingekuwa hbd yke 🤣🤣🤣kwakulala nje anabadilisha tu magesti hkn wazee wala vijana wote chefuuu

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si 3 года назад +2

    Masha Allah

  • @omantimes9699
    @omantimes9699 3 года назад +3

    Babu alivyo sikia kurudi mwakani Katulia tuli😆😆

  • @sylviermuhonjah8411
    @sylviermuhonjah8411 3 года назад +1

    Furaha babu hadi,,amulize secretary wake bibi😀

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Год назад

    Mashaallah wajukuu wazuri

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317 3 года назад +2

    Mashaallaah babu alishitukia mchezo

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988 2 месяца назад

    Wapo bado wamama wanaolea watt😂 wa kufkia kama watt wao

  • @ashamwandu6572
    @ashamwandu6572 3 года назад

    Masikini wazazi wao waliwalea kwa Upendo,lakini wasukuma hawanaga maneno Wala uswahili,walasema Mtoto wa mume ni wako,

  • @thuvakonde2584
    @thuvakonde2584 3 года назад +7

    Mtu chake bana 😂😂😂😂😂 babu

  • @saudmohammed3390
    @saudmohammed3390 2 года назад

    Mimi ushauri wangu hichi kipindi kiwe endelefu daima kiwepo akitokea mtu ana shida yake asirejeshwe kusubiria hiyo sherehe au hiyo May

  • @alijuma675
    @alijuma675 3 года назад

    Nimempenda njukuu geah

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 3 года назад

    Maa shaa Allah

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 года назад +2

    Big up

  • @khazinawaziri1402
    @khazinawaziri1402 3 года назад +2

    Mahabba hayo

  • @ZaharadaffaZaharadaff
    @ZaharadaffaZaharadaff 3 года назад +3

    Geah kumbe wa nyumbani 💕💕

    • @enockmaige8936
      @enockmaige8936 3 месяца назад

      Af mrembo sura Hadi rahaaa ❤❤

  • @razikimustapha4731
    @razikimustapha4731 3 года назад

    MA SHAA ALLAH

  • @kreamagdfsa1697
    @kreamagdfsa1697 3 года назад

    Allah Kareem

  • @hawaamkubwa2020
    @hawaamkubwa2020 3 года назад

    mashaallah tabaraka

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews 3 года назад +2

    Mungu mkubwa

  • @aminaabdalla9949
    @aminaabdalla9949 2 года назад

    Bibianamwili mzuri tu

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 3 года назад

    Allah awarehem wote🤗🤗😥

  • @FatimaFatima-wk1jk
    @FatimaFatima-wk1jk 3 года назад

    Da gea kama ninashida na wewe nakupataje? Maana na Mimi Nina shida km hiyo

  • @jeygayanijosewimboumenifar4256
    @jeygayanijosewimboumenifar4256 3 года назад +4

    Mungu mkubwa jmn babu Yani Hadi rahaa

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 3 года назад

      Aisee dah nimemkumbuka babu yangu 😓

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 3 года назад

    Bass haya

  • @tatutatu1570
    @tatutatu1570 3 года назад

    mtu chake babu analia wivu🤣🤣

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 3 года назад

    💕💕💕💕💕😍

  • @jamilasalimvilog6752
    @jamilasalimvilog6752 3 года назад +4

    Mashallah

  • @rehemaothman2200
    @rehemaothman2200 3 года назад

    Ma sha Allah

  • @sheriibrahim6753
    @sheriibrahim6753 3 года назад

    Mashallah.

  • @samsungoman5626
    @samsungoman5626 3 года назад

    Maashallah

  • @RahmaRahma-xp9jr
    @RahmaRahma-xp9jr 3 года назад

    Mashallah

  • @raziqashban345
    @raziqashban345 3 года назад +2

    Mashallah