RAMADHAN KWENYE BIBLIA😱😱 !!
HTML-код
- Опубликовано: 15 мар 2024
- @StraightPathDawah Tunajitahidi kufikisha ujumbe wa Uislamu hadi mashinani. Tafadhali subscribe kwenye channel yetu ya STRAIGHT PATH DAWAH ili uendelee kunufaika kupitia video zetu. kwa mawasiliano zaidi tafadhali tupigie kupitia nambari zetu zilizoko kwenye screen yako.
Ma sha Allah shekh ramadhan Allah akutunze kwa kila changamoto yenye kukukwaza na kukuumiza akupe nguvu na afya nakutakia mfungo mwema na crew yako yote
A.alaikum sheikh Ramadhan Allah akufanyie wepes ktk asbab zako za kujipatia rizki na nakutakia Ramadhan kariim
MASHAALLAH...Ramadhan kuria...Ramadhan karym❤
mashaallah Allah akupe tawfiq
Fantastic comparative religion...Kazi mufti ya daawa I love it...
Mashaallah!!! sheikh Ramadhan ALLAH akupe tawfiq
❤❤❤❤ Masha'Allah... Alhamdulilah
Mashallah allah akupe nguvu uzidi kufanya ijtihad
Asalam Elkum Sheikh Ramadhan President Ruto anakatanza pombe wambiye wakristo
Mashaallah Tabaraka Rahman.
MashaAllah Allah barik inshaAllah
Mashaalah shelkh unafanya kazi Poa mungu akubariki sanaaa
Asalam alaykum mungu akujaz kilalakheri mniko namanga nimejifunza mengi kwenu
Allah awazidishie
Kazi poa sana ustadh napenda daawah yako na elimika na kufunza wengine Allah akulipe hizi kheri
Ujumbe umefika shukran Ramadhani kuria
Masha Allah...good job bro
Allah akulind ramazani🇲🇿🤲
Ma sha Allah
ALLAHU AKBAR
Mashallah
Huyo msomaji wa leo ndio mzuri anafaa kwa kusoma maandiko
Allah barik ustadh Ramadan nkikosa dawah yko wallah narudia zote za mwanzo Allah ukupe afya na kheir nyingi Kwa kazi ufanyayo
MashaAllah Jazzakkallahukheir Ustadh Ramadan...Saum maqbul
Mashaallah tabarakallah Allah akulipe kilalakher shekh
Keep on sheikh, may Allah give u strength inshallah
Mashaalah shekh upo vizuri kutoka kueneza dini ya mungu hivyo ndivo mitume walifanya kuwafikia watu wengi mungu akupe nguvu zaidi yakufanya kazi hiyo
Mashallah mashekh wetu Allah awahifadhi awape subra
MashaAllah Tabarakah Rahman
Bro assalamualaikum warahmatullah wabarkat,
Mashallah shelkh mungu akulipe kheri inshallah Kwa kz unayofanya
Shekh RAMADHAN msomaji uyo usimuache anasoma vizuri sana adi raha
Mashallah shiek mungu akubarika
Mungu akuzidishie ilmu na rizki njema
Mungu Akupe wepesi kwa jambo la kheri
Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh
MashaAllah.
Ma sha Allah tabaraka llah walim ngu nawapenda kw ajili y Allah.saum makbul in sha Allah
Mashallah wabarak fiqi
Masha allah❤❤❤❤❤
Mashaallah wsiogope wesilmu nidini ya haki
guud work
Hii channel naipenda❤
Mashaa Allah Mashaa Allah
Mashaallah Allahu 💖💖💖
Mashaallah mwenyezi mungu akubariki❤
Allah Awalipe
Mashallah ❤️ sheikh
Ramadhani Kareem
MashAllah kaka Ramma ahjaaaab Saana
MashaAllah ❣️ USTADH
Kaka mungu akujalie kwa kazi kubwa unayo fanya
Ramadhan karim
Mungu akupe nguvu sana
MashaAllah tabarakallah
Ramadan Karim
Mashaallah sheikh
Keep going bro
Mashaa Allah
اللهم بارك
Saum Maqbul Sheikh Ramadhan
ManshaAllah ustadh Ramadhan, I love how you articulate yourself. Keep the solo dawah. InshaAllah
Ramadan bin kaguo usiwaache hivyo hawA wape Daawah zaidi waonyeshe maandiko ambayo wakiyaona na kuyasoma wataelewa ukweli
Hio ndio ajabu ya bibilia imeandikwa kwa kiswahili lakini maneno yake yamejifunga funga hadi ufafanuliwe vizur maneno ndipo uelewee hili linanishangaza sana
Yesu alifunga siku 40 Usiku na Mchana Lakini Muhammad alishindwa kufunga siku 40 mchana na Usiku kwakuwa hakuwa na Uwezo wa Kimungu kama Yesu hivyo akaamuru Yeye na Umma wake wafunge masaa 12 badala ya 24. Kufunga Ramadhani imekuwa ni kama kubadilisha Usiku kuwa Mchana maana waislamu wanakula Usiku kucha Mpka Saa 10Asubuhi Halafu wanafunga Mchana. Hapo mtu atakuwa ameshiba Mchana kutwa na huku anasema amefunga.
Of course, mnatumia Quran kuniambia ati Mwenyezi Mungu hana mwana. Pia mimi natumia Bibilia kuwaambia Jesus is the Son of God. Hakuna mahali penye Bible imesema kuwa Mungu alizaa. The Son means the Word, which was there from the beginning - "Let's make man in our own image." We are all created by God, but we are not all God's children (1 Corinthians 8:6; Romans 11:36; Colossians 1:16). Pia si kila mtu umwitae mwanako umemzaa? Tunakuwa wana wa Mungu tunapo okokelewa and adopted into God's family through our relationship with Jesus Christ (Galatians 4:5-6. La mwisho, before Abraham, hakukuwa na Judaism, Islam or Christianity. He is the father of nations and religions.
Uliyemsilimisha labda anaharakaharaka yakwenda miangaiko yake Bora ungemalizana Naye ndo ungewahoji wengine mungemuelekeza madrasa za bure za watu wakusilimu
Kwanini Mnahubirivna kutaja jina la Mungu kwa lugha ya Kiarabu badala mtumie lugha yenu ya Kiswahili Au Kikabila chenu? Mungu anasikia lugha zote za Duniani na sio kwamba Ukisali Kwa kutumia Kiarabu ndio Mungu anasikia au ndio mtu arasamehewa. Waswahili na Mataifa mengine mjifunze kupenda na kutumia lugha zenu na sio za Waarabu.
Mtu akisema kuwa dini ya ukristo ni ya ukweli yafaa umwambie atoe ushahidi. Ukimuacha itakuwa hatojua ukweli. Juu uislamu ndio dini ya ukweli
Ukianza kuwauliza maswali magumu watakimbia wakiwa wakaidi ndio unawauliza maswali ya kuwaweka sawa
Na huyo mwengine asema alikuwa muislamu akawa mkristo huwa sawa ni waongo yafaa ungemuliza asomee surat fatha na kul ya ayuha qafirun ndio utaweza kujua jee walikuwa waisilamu ama ni wakristo
Hakusoma
Tokyo n turki apo ndo watu waliwaita wafuasi wa yesu wakirsto
Sio Tokyo.
Ni ANTIOCH au ANTAKYA, in Turkey.
Wakristo tukiondoa ushabiki wa kuzaliwa nao kuhusu hii dini yetu, mnatuelezaga ukwel kabisa,maana wakati mwngne mpaka maandiko ya BIBLIA mnayotusomea ni kwel yanasema HIVYO,lkn ili tushinde hoja inabidi tuyakatae au tukuambie kuwa HUNA ROHO MTAKATIFU 😅😅😅😅
wewe Lamadhani chunga sana wacha kuchanganya watu jina Kristo si paulo na baranaba walimupa Yesu
wa Kristo ni watu wanamucha Kristo wanaamini yeye ndio aliokowa ulimwengu
sababu ya maovu ya Adamu na Hawa
hiyo ndio ilimuleta Yesu duniani
aliitwa jina Kristo juu ya kazi alifanya kazi ya kuokowa ulimwengo
WAFILIPI 2:9-11
MATHAYO 1:16
MARIKO 8:29
SOMA MAANDIKO NA MUACHE KUJIFANYA
ni ipi hukmu ya kurtadi?
hkumu ya kurtad ni kuuliwa
@@SalehAbdallah-zx2cq mkwanza mashaallah, kwa kuwa unajina la baba yangu mzazi pili ahsante kwa kunijibu
Biblia katika Kumbukumbu 13:6-10 ina majibu sahihi
@@SalehAbdallah-zx2cq
Porojo zako
We kama unajiamini usifuate watu ambao hawana uelewa mtafute bishop ngonyani
Hehe
Uyo Bishop km kweli anajiamini angelikuw na yeye anafanya km ivo afanyavyo shekh ramadhan na mabishop na mapasta wanashindw hilo kwasababu wanajua Dini yao haina ukweli wowte na hawana uthibitisho na maandiko ndani ya biblia yanayothibitish kuwa ukristo ndio dini ya kweli.
Uyo Ramadhani kashafanya mdahalo mpk na Ndacha ambae kenya nzma wanamtambua ijekuw huyo unomtaja ambae hata hajulikani.
@@dulividuli5237 kujulikana sio tija kwani ndacha unaemsemea ni wakaida sana
@@dulividuli5237 kweli unachekesha tena nakupa bure , Kwa akili ya kawaida pdri au mwinjirist au maaskof unaweza kulinganisha na mashehe wenu ambao hata shule ajakaenda ni lapili m2 kaacha shule afu anakuja kua hostaz, wakristo na watafiti wote wakristo wameenda shule toka enzi za kinapaulo paulo alikua ni msomi tena wa elim ya juu luka alikua doctor
Wenye dini potofu waendelea kukosa kufundisha dini yao,fundisha dini yenu bwana,swali langu bado ni nani kaandika quran,kwanini waomba jiwe nyeusi,a religion standing on lie
Hehe
Ttzo lako unaropoka tu hutak kuelimishwa ukiwa tyr kutak kuelimishwa utauliz kiustaarabu kabisaa.
Mashallah
Mashallah