Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Sema mnachofeli hamtoi vitu Kwa mtiririko Sasa ile movie ya ugai gai imeishia wapi tunaona mnaendelea kutoa story zingine kuwen serious bhana
Nilikua nataka ni comment ila tayari ume comment poa wanazingua
Fact
Kabisa
Ata ya mgosi imepotea... kalewa sifa jamaa
Kweli kabisa mgosi ilikua nzuri sana ila imepotea
Yaani chumvi nyingi na mambwende ni combination safi sana hawajawahi niangusha Kubali sanaaaaaaaaa
Mambwende na chumvi nyingi akili zenu Eti na majeneza tunadalalia😂😂😂😂😂😂😂
Mwanangu chumvi 🤣🤣 daah wejamaa 🙌
Aaah bb ugai uhai tshafka final cc
Mambwende you have too be very makini😂😂😂
Senga na Pembe. Mtanga na Bambo. Tin white na Ringo. Kipupwe na Mau fundi. Oka martin na Carpoza. CHUMVI & MAMBWENDE* 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥 harafu kuna *MAJUTO na YEYOTE*
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa ujio wa hawa jamaa...ndo tunaona ukubwa wa mkojani...Kaka umekua!!
Good application for video
😃😃😃😃team mkojani gang 💪 ❤❤❤chumvi nyingi mabwende
Team mkojani chumvi nyingi mwambwende kazi nzuri 👌👌👌
Chumvi na mabwende ni 🔥🔥🔥🔥🔥
Nice merry Muhoya
Mambwende Chumvi nyie 🤣🤣🤣🤣🤣🙌chumvi sasa hizo nguo zake 😂😂😂😂❤
Nice
Kaz nzur
Chumvi na mambwende mtatuuwa kwa kucheka nyie noma 😃😀
Hapa hapa siondoki😂😂😂😂😂mambwende
Wazee wa ugaigai
Mkojani awepo asipowepo sifuatilii ilo mulijue ata kama upo mzee wa mkongo kibiti bila ya mkojani ainogi
Na mkojani anafanya hivi Ili kuwainua vijana sio kila movie awepo lazima wajitengenezee confidence
@@yohanalukindo8260 kwel kabsa inatakiwa tuwa fatlie kuwapa moyo
jamani ivi mambwende haoni iyo kofiya yake 😄😄
TUPUMZISHENI BANA WEWE SIUPO GEITA😂. SAMOFI WAPI JAMENI
Hahaahhaah Aise mambwende & chumvi nying nikama pipa nakizibo mana siyo kwavituko ivo duuuuu sina mbavu mm
Noma sanaaaa
Madalali
Mwambwende the Englishman and Chumvi nyingi the man from China 😀😀😀
Mwambwendee 😂🤣🤣🤣🤣 nakubal unajua unajua unajua tenaaa
❤❤❤😂😂
Woyoooooooo
oya chumvi ee mi natak chumba lkn nataka uniletee nyumban kwangu kama ulivosema
Dahh broo chumvi.we.ni.noma
Naona kazi imeanza ni jiwe baada ya jiwe
Hahaha Noma Sana 😀😀😀😀😀😀
Mko vizuri sana aiser
Nice job big up
Mkojani Gang✌️
😂😂😂😂😂😂
Shida moja kila siku stry nying tumalize moja moja nyie
Namkubar mwanangu chumvii 🤣🤣👊👊
Mko vzr sana
Vichwa viwili vimekutana movie kali sanaaaaaaaaaa
Mnatoa movie azimaliziki hata kama hii YA NINI imebakia nusu tu kama mmeshindwa kuendeleza acheni tu
nakukubal mambwende😂😂
Nakukubal San sister khanifa yn daah
Duuh kwenye banda la muv😂😂
Una boa Sana umbambamba imeishia wapi?
🔥❤️🔥
Kigodoro kote hujanipa unakuja nipa mbele ya demu hahahahaha
Nawakubali sana,, pongez kwenuu
Mnatukwaza sana wateja wenu movie nyingi ila hazifiki mwisho kila siku mpya fikishen movie mwisho ndio mlete zingine
Kweli
Mambwende yuko vizur kweli
Chumvi muendelezo tunataka team mkojani
Darari wabukoba🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
Kazi nzuri 🔥🔥🔥
No comment 🤣🤣🤣
Big up sanaa
Kazi nzuri nawakubali
Kazi nzuri
Wakwanza
Mwanangu chumvi nakubali
Tumemalinza mfung tusubir saut ya mkojan
Khanifa love u
Nawapenda sana hawa jama kabs love from 🇧🇮🇷🇼
CHUMVIIII🔥🔥🔥
Mtakuja kunitoa moyo nyoko nyie🤣🤣🤣🤣
Mabwende na chumvi mumenimaliza San yani hi collabo hatari
Naaaam Mambo shawal
Hembu tuendelezee ugai gai kwanza ndo ulete hz nyingine
Safi Sana💯
Leo wa kwanz
Kimewaka huku majiraniiiii
😂😂😳🔥👌
Foi boa cara gostei
Hahahahah
Oyooo oyoooo
😂😂😂😂😂😂🙌
Kaz nzuri
Mambwende usiliuke sheria ulizowek mwenyew wacha wat wainjoi wewe mtto mdogo
Nawakubali sana
Milio ya paka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😊😊
😍😍🤣🤣😅
Turudishieni Ugaigai waseee 💓🇰🇪
kabisa ugai gai iendelee
Timua vumbi timua shemeji atafua
Ila ugai gai sijui mumeipeleka wapiiii aaaaniiii
good
Moto 😂😂
Et nend kachez sehm yoyt😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wapi mkojani??
Mimi kama hakuna mkojani humu sifagalii
Hii msiwe mnaichelewesha jamani
Bila mkojan hkuna movie hpa
Madalali wazur
Chap kwaa
Twende tukateteme ndani
Yani ata amueleweki mnatowa movi kipande mnaacha mnatowa nyingine ndo nini
Mkojani yupo kweli??
Dah chumvi boya sana kampa 100 aende banda la video 😂😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻
Sema mnachofeli hamtoi vitu Kwa mtiririko Sasa ile movie ya ugai gai imeishia wapi tunaona mnaendelea kutoa story zingine kuwen serious bhana
Nilikua nataka ni comment ila tayari ume comment poa wanazingua
Fact
Kabisa
Ata ya mgosi imepotea... kalewa sifa jamaa
Kweli kabisa mgosi ilikua nzuri sana ila imepotea
Yaani chumvi nyingi na mambwende ni combination safi sana hawajawahi niangusha
Kubali sanaaaaaaaaa
Mambwende na chumvi nyingi akili zenu Eti na majeneza tunadalalia😂😂😂😂😂😂😂
Mwanangu chumvi 🤣🤣 daah wejamaa 🙌
Aaah bb ugai uhai tshafka final cc
Mambwende you have too be very makini😂😂😂
Senga na Pembe. Mtanga na Bambo. Tin white na Ringo. Kipupwe na Mau fundi. Oka martin na Carpoza. CHUMVI & MAMBWENDE* 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥 harafu kuna *MAJUTO na YEYOTE*
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa ujio wa hawa jamaa...ndo tunaona ukubwa wa mkojani...Kaka umekua!!
Good application for video
😃😃😃😃team mkojani gang 💪 ❤❤❤chumvi nyingi mabwende
Team mkojani chumvi nyingi mwambwende kazi nzuri 👌👌👌
Chumvi na mabwende ni 🔥🔥🔥🔥🔥
Nice merry Muhoya
Mambwende Chumvi nyie 🤣🤣🤣🤣🤣🙌chumvi sasa hizo nguo zake 😂😂😂😂❤
Nice
Kaz nzur
Chumvi na mambwende mtatuuwa kwa kucheka nyie noma 😃😀
Hapa hapa siondoki😂😂😂😂😂mambwende
Wazee wa ugaigai
Mkojani awepo asipowepo sifuatilii ilo mulijue ata kama upo mzee wa mkongo kibiti bila ya mkojani ainogi
Na mkojani anafanya hivi Ili kuwainua vijana sio kila movie awepo lazima wajitengenezee confidence
@@yohanalukindo8260 kwel kabsa inatakiwa tuwa fatlie kuwapa moyo
jamani ivi mambwende haoni iyo kofiya yake 😄😄
TUPUMZISHENI BANA WEWE SIUPO GEITA😂. SAMOFI WAPI JAMENI
Hahaahhaah Aise mambwende & chumvi nying nikama pipa nakizibo mana siyo kwavituko ivo duuuuu sina mbavu mm
Noma sanaaaa
Madalali
Mwambwende the Englishman and Chumvi nyingi the man from China 😀😀😀
Mwambwendee 😂🤣🤣🤣🤣 nakubal unajua unajua unajua tenaaa
❤❤❤😂😂
Woyoooooooo
oya chumvi ee mi natak chumba lkn nataka uniletee nyumban kwangu kama ulivosema
Dahh broo chumvi.we.ni.noma
Naona kazi imeanza ni jiwe baada ya jiwe
Hahaha Noma Sana 😀😀😀😀😀😀
Mko vizuri sana aiser
Nice job big up
Mkojani Gang✌️
😂😂😂😂😂😂
Shida moja kila siku stry nying tumalize moja moja nyie
Namkubar mwanangu chumvii 🤣🤣👊👊
Mko vzr sana
Vichwa viwili vimekutana movie kali sanaaaaaaaaaa
Mnatoa movie azimaliziki hata kama hii YA NINI imebakia nusu tu kama mmeshindwa kuendeleza acheni tu
nakukubal mambwende😂😂
Nakukubal San sister khanifa yn daah
Duuh kwenye banda la muv😂😂
Una boa Sana umbambamba imeishia wapi?
🔥❤️🔥
Kigodoro kote hujanipa unakuja nipa mbele ya demu hahahahaha
Nawakubali sana,, pongez kwenuu
Mnatukwaza sana wateja wenu movie nyingi ila hazifiki mwisho kila siku mpya fikishen movie mwisho ndio mlete zingine
Kweli
Mambwende yuko vizur kweli
Chumvi muendelezo tunataka team mkojani
Darari wabukoba🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
Kazi nzuri 🔥🔥🔥
No comment 🤣🤣🤣
Big up sanaa
Kazi nzuri nawakubali
Kazi nzuri
Wakwanza
Mwanangu chumvi nakubali
Tumemalinza mfung tusubir saut ya mkojan
Khanifa love u
Nawapenda sana hawa jama kabs love from 🇧🇮🇷🇼
CHUMVIIII🔥🔥🔥
Mtakuja kunitoa moyo nyoko nyie🤣🤣🤣🤣
Mabwende na chumvi mumenimaliza San yani hi collabo hatari
Naaaam Mambo shawal
Hembu tuendelezee ugai gai kwanza ndo ulete hz nyingine
Safi Sana💯
Leo wa kwanz
Kimewaka huku majiraniiiii
😂😂😳🔥👌
Foi boa cara gostei
Hahahahah
Oyooo oyoooo
😂😂😂😂😂😂🙌
Kaz nzuri
Mambwende usiliuke sheria ulizowek mwenyew wacha wat wainjoi wewe mtto mdogo
Nawakubali sana
Milio ya paka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😊😊
😍😍🤣🤣😅
Turudishieni Ugaigai waseee 💓🇰🇪
kabisa ugai gai iendelee
Timua vumbi timua shemeji atafua
Ila ugai gai sijui mumeipeleka wapiiii aaaaniiii
good
Moto 😂😂
Et nend kachez sehm yoyt😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wapi mkojani??
Mimi kama hakuna mkojani humu sifagalii
Hii msiwe mnaichelewesha jamani
Bila mkojan hkuna movie hpa
Madalali wazur
Chap kwaa
Twende tukateteme ndani
Yani ata amueleweki mnatowa movi kipande mnaacha mnatowa nyingine ndo nini
Mkojani yupo kweli??
Dah chumvi boya sana kampa 100 aende banda la video 😂😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻