Senga na Pembe. Mtanga na Bambo. Tin white na Ringo. Kipupwe na Mau fundi. Oka martin na Carpoza. CHUMVI & MAMBWENDE* 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥 harafu kuna *MAJUTO na YEYOTE*
Hivi ugaigai iko hadi episode ya ngapi nimeona mpaka 29. Halafu film zote ziko nusu nusu saa ingine hujui imeanzia wapi imeisha wapi kaa Ile swaum zetu ili stop tu.
Sema mnachofeli hamtoi vitu Kwa mtiririko Sasa ile movie ya ugai gai imeishia wapi tunaona mnaendelea kutoa story zingine kuwen serious bhana
Nilikua nataka ni comment ila tayari ume comment poa wanazingua
Fact
Kabisa
Ata ya mgosi imepotea... kalewa sifa jamaa
Kweli kabisa mgosi ilikua nzuri sana ila imepotea
Yaani chumvi nyingi na mambwende ni combination safi sana hawajawahi niangusha
Kubali sanaaaaaaaaa
Mwanangu chumvi 🤣🤣 daah wejamaa 🙌
Mambwende na chumvi nyingi akili zenu Eti na majeneza tunadalalia😂😂😂😂😂😂😂
Aaah bb ugai uhai tshafka final cc
Team mkojani chumvi nyingi mwambwende kazi nzuri 👌👌👌
Mkojani awepo asipowepo sifuatilii ilo mulijue ata kama upo mzee wa mkongo kibiti bila ya mkojani ainogi
Na mkojani anafanya hivi Ili kuwainua vijana sio kila movie awepo lazima wajitengenezee confidence
@@yohanalukindo8260 kwel kabsa inatakiwa tuwa fatlie kuwapa moyo
Senga na Pembe. Mtanga na Bambo. Tin white na Ringo. Kipupwe na Mau fundi. Oka martin na Carpoza. CHUMVI & MAMBWENDE* 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥 harafu kuna *MAJUTO na YEYOTE*
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😃😃😃😃team mkojani gang 💪 ❤❤❤chumvi nyingi mabwende
Kwa ujio wa hawa jamaa...ndo tunaona ukubwa wa mkojani...Kaka umekua!!
Chumvi na mambwende mtatuuwa kwa kucheka nyie noma 😃😀
Mambwende you have too be very makini😂😂😂
Mambwende Chumvi nyie 🤣🤣🤣🤣🤣🙌chumvi sasa hizo nguo zake 😂😂😂😂❤
Chumvi na mabwende ni 🔥🔥🔥🔥🔥
Hapa hapa siondoki😂😂😂😂😂mambwende
Mwambwendee 😂🤣🤣🤣🤣 nakubal unajua unajua unajua tenaaa
Mnatukwaza sana wateja wenu movie nyingi ila hazifiki mwisho kila siku mpya fikishen movie mwisho ndio mlete zingine
Kweli
Hahaahhaah Aise mambwende & chumvi nying nikama pipa nakizibo mana siyo kwavituko ivo duuuuu sina mbavu mm
Mko vizuri sana aiser
Dahh broo chumvi.we.ni.noma
oya chumvi ee mi natak chumba lkn nataka uniletee nyumban kwangu kama ulivosema
Mko vzr sana
Naona kazi imeanza ni jiwe baada ya jiwe
Vichwa viwili vimekutana movie kali sanaaaaaaaaaa
Duuh kwenye banda la muv😂😂
Nakukubal San sister khanifa yn daah
Noma sanaaaa
Madalali
Kaz nzur
jamani ivi mambwende haoni iyo kofiya yake 😄😄
Namkubar mwanangu chumvii 🤣🤣👊👊
Hahaha Noma Sana 😀😀😀😀😀😀
Mtakuja kunitoa moyo nyoko nyie🤣🤣🤣🤣
Nice merry Muhoya
Nice job big up
Shida moja kila siku stry nying tumalize moja moja nyie
Good application for video
Darari wabukoba🤣🤣🤣🤣
Kigodoro kote hujanipa unakuja nipa mbele ya demu hahahahaha
Kazi nzuri 🔥🔥🔥
nakukubal mambwende😂😂
Nawapenda sana hawa jama kabs love from 🇧🇮🇷🇼
🔥❤️🔥
Turudishieni Ugaigai waseee 💓🇰🇪
kabisa ugai gai iendelee
❤❤
😅😅😅 1:24
TUPUMZISHENI BANA WEWE SIUPO GEITA😂. SAMOFI WAPI JAMENI
Mambwende yuko vizur kweli
❤❤❤😂😂
Chumvi muendelezo tunataka team mkojani
Mwanangu chumvi nakubali
Milio ya paka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nawakubali sana,, pongez kwenuu
Safi Sana💯
Hembu tuendelezee ugai gai kwanza ndo ulete hz nyingine
😂😂😂😂😂
Dah chumvi boya sana kampa 100 aende banda la video 😂😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻
CHUMVIIII🔥🔥🔥
Wazee wa ugaigai
Mambwende usiliuke sheria ulizowek mwenyew wacha wat wainjoi wewe mtto mdogo
Mwambwende the Englishman and Chumvi nyingi the man from China 😀😀😀
Naaaam Mambo shawal
Big up sanaa
Kaz nzuri
Mabwende na chumvi mumenimaliza San yani hi collabo hatari
😂😂😳🔥👌
Tumemalinza mfung tusubir saut ya mkojan
Una boa Sana umbambamba imeishia wapi?
😂😂😂😂😂😂🙌
Mkojani Gang✌️
Mnatoa movie azimaliziki hata kama hii YA NINI imebakia nusu tu kama mmeshindwa kuendeleza acheni tu
Nawakubali sana
Kimewaka huku majiraniiiii
Ila ugai gai sijui mumeipeleka wapiiii aaaaniiii
No comment 🤣🤣🤣
Leo wa kwanz
Et nend kachez sehm yoyt😂😂😂😂
Khanifa love u
Moto 😂😂
good
Hii msiwe mnaichelewesha jamani
Bila mkojan hkuna movie hpa
Oyooo oyoooo
Foi boa cara gostei
Hivi ugaigai iko hadi episode ya ngapi nimeona mpaka 29. Halafu film zote ziko nusu nusu saa ingine hujui imeanzia wapi imeisha wapi kaa Ile swaum zetu ili stop tu.
Haijaisha inaendelea
Leo utaiona ya30 na utaiona mwakamzima
Timua vumbi timua shemeji atafua
Woyoooooooo
Wakwanza
Mimi kama hakuna mkojani humu sifagalii
Wapi mkojani??
😊😊
Nice
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mkojani yupo kweli??
Yani ata amueleweki mnatowa movi kipande mnaacha mnatowa nyingine ndo nini
Twende tukateteme ndani
🤣🤣😂😂😂
😍😍🤣🤣😅
Hahahahah
Madalali wazur
Chap kwaa
🤣🤣🤣🤣