Masta Shangwe akikabidhi zawadi kwa washindi droo ya 5 - Mwanza

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 сен 2024
  • Kampeni ya #SambazaShangweGusaMaisha wiki hii ilitua Rock City - Mwanza na Masta Shangwe amekabidhi zawadi kibao
    Zawadi hizo ni pamoja na Pikipiki , Smart TV, Smartphone, 5G Router pamoja na kitita cha Tsh Milioni 10.

Комментарии • 17