MOTO MWINGINE WAWAKA MAGOMENI, WATEKETEZA MALI, MASHUHUDA NA ZIMAMOTO WAZUNGUMZA
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- Moto umewaka January 23, 2022 maeneo ya Magomeni Mapipa katika nyumba iliyokuwa ikifanyiwa biashara ya kuuzia Vyakula na Zimamoto wakafanikiwa kufika eneo la tukio na kuuzima moto huo.
Dah yani mungu wangu tunusulu waja wako tunyooshe kwenye njia ilio nyooka ahsante
Mungu tumekukosea baba tusamehe Sana tulipokosea 😭😭😭moto umetoka sokon na umeanza majumbani😭😭😭
Jamii YETU hakika imeguswa sana. MATUKIO ni mbaya kupita maelezo mungu tumrudie tu kwa uaminigi..
Moto moto jamani maombi yanahitajika mauwaji ya kikatili watu tunauwana wenyewe kwa wenyewe tanzania yetu imebadilika sana kuuwana nje nje lingine moto moto waislamu wakristo maombi yanahitajika tuiyombee nchi yetu poleni na janga la moto 😭
Maombi
Mwaka wa moto moto Tanzania ya moto baba
Duh shibam hapa yaani nemeshapiga msosi sana poleni sana wandugu
Pole sana
Mungu atunusuru kwa majanga haya ,unaenda hatua tano mbele alafu unarud kumi nyuma
Ayo tv mnajitahdi Sana kutuletea updates mbali mbali.Hongereni sana
Ayo tv mnajitahdi Sana ila muwe makini na msibweteke na kusifiwa kwenu Kuna hawa sauti na habari SNS wanakuja Kwa kasi sana.wanafatilia habari za ndani na nje ya nchi na kuzileta kwenye mtandao.msijisahau wenzenu hawalali usingizi Kwa ajili ya kutaka kuwa juu yenu.kuwekeni makini na msome alama za nyakati
Mmmmh tz yangu polen wahanga wa tatizo😒
Innahlillah wainnah illah rajiun Allah awape subira katika kipindi hiki kigumu poleni sana
Jaman jaman polen sana mtaan kwetu 😭😭😭😭Mungu wangu
Linanipa wasiwasi sana hili neno lilohifadhiwa kwa kila tukio utasikia uchunguzi unaendelea mwisho wa siku hatupati jibu nini chanzo ndo kwanza tunaletewa mabalaa mengine mmhu Astaghfirullah laadhwim 😒 inshaallah ipo siku ukweli utadhihiri na sio mbali siku chache tuu allah atajibu maombi,kwa wote wanauhusika na mauaji pamoja na haya matukio ya moto yakutia khasara wananchi pamoja na serikali
Dah poleni jamani shibam mitaa yetu iyoo
Pole sana Said mpemba 😭😭
Mungu bariki Tanzania na uongozi wake
Amiin
Poleni toweni faida mutengeneze tena hapo ndo utajua faida ya kuweka hakiba
Jamaa wa mwanzo anapenda sana kula,
Yaani mishkaki ndo kaona kitu cha kuokoa.
#POLENI WOTE MLIOPATWA NA HUO MTIHANI.
Wee optimale Passform òò t und
Nimecheka
Sasa angefanyaje jamani
NDIO RASILMALI YAKE
Tulisha sema mkuu wa mkoa dar es salaam ajiuzulu hii ni nuksi. Mama samia mtoe.
Agenda ya Wahujumu uchumi
Inaendelea serikali kuwa makini utafiti wa kina ni muhimu sana
Semeni na leo ni mateja tena wamewasha mishumaa walijisahau ?
Motooo, Motooo Tanzania ya moto moto😭😭
Daaa shibam oteli ni kwetu uko jamani ya miaka mingi polenisana
Uchunguz bado unaendelea,
Amefanikiwa kuokoa mishikaki😂😅
😂😂😂😂
MICHOSHO UNA CHOSHA WATU BWANA UTOPOLO ORIGINAL ) NISALIMIE MZEE ALI MNYAMA OG.)
Maeneo yabiashara moto kila mahali mauaji kila siku
Kuna mtu Inabidi aondoke Dar Ili Mambo yatulie Aisee.. Haiwezeka
Haha nani huyo
Mbona mambo ya moto navifo
Jaman labda ni gesi chanzo. Ila mshumaa mchana hapana
JPM mtamkumbuka daima
KWELI USEMAYO ALIBANA VYUMA MPAKA MABINTI WA SHULE UNAWATIA GREESE KWA CHIPS KUKU BUKU TATU UNATOMBA CHIPS KUKU UNATOMBA KWA NINI TUSIMKUMBUKE.
🥺🥺🥺
Uongozi ni nyota kutoka kwa mungu, NYERERE +JPM TUTAENDELEA KUWAKUMBUKA DAIMA. TANZANIA KWA SASA INATESEKA.
Umeiona Tanzania tu? Nigeria yanapozaliwa makanisa mengi ya kiroho, Ethiopia, Afghanistan na kwingineko hali ikoje? Turudi kwenye maandiko matakatifu kuwa Siku za mwisho zimekaribia
KAMA UONGOZI NI NYOTA BASI KAWAFUFUWE HAO ULIOWATAJA TUNA WAKUMBUKA KWA MAISHA MAGUMU 2. KADANGANYE WAJINGA WENZAKO FALA WEWE NA NYOTA ZAKO.
Mimi nawashauri wenye majengo dar wote waweke kamera ndo zitanasa kila kitu.
Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yang hapo kama hautojli
Shukran
@@maryamsaleh8438 Allah akubaarik
@@muhammadkipangatv2674 Amiin kwa sote
People,stay tune cause our Almighty GOD LORD is Saying something through fire.😎
Mmmmm jaman kuna nini tz
Wawekezaji after
Zimamoto wanapewa taarifa saa nane na dk 52 wao wanakuja saa tisa dk 2 afu anaulizwa swali kwanini wamechelewa kufika eneo la tukio anajibu taarifa zimechelewa kuwafikia hii ndo Tanzania
Et tumepigiwa simu saa nane lkn tumefik saa tisa,haraf et changamoto ni taarfa hazifk kwa wakat,MM NAONA CHANGAMOTO HAPO SIO TAARIFA ILA NI RUSHWA.
Hilo.ndilo neno sahihi kabisaa
Turudi kwa Allah tunayo ya tenda yana mchukiza Munfu acheni zina kubandika makucha mirasta kujichubua na mengineyo uchu wa mali pia
Ni maneno ya magufuli tutamkumbuka wakati alipokuwepo ayakuwepo mambo hayo lakin sasa yamezidi siku aiishi ujasikia kifo wala moto
Sasa hilo ni suala la mtu binafsi sio Serikali
UNA UHAKIKA NA UNAYOYASEMA??? UNAWEZA SEMA MBELE YA MOLA WAKO KAMA ENZI YA MAGUFULI YALIKUWA HAYAPO HAYO MTOTO WACHA FITINA ZAKO NIKUULIZE KWANI MAGUFULI ALIKUWA MALAIKA AU MTUME WA MUNGU??? WACHA KUSIFIA UJINGA
Kwaiyo kipind cha magu kulkua hakuna vifo kumbe unaumwa kweli wee ndio iliongoza kwa ivo vifo usituzonge
Msije mkajisahaulisha Kuna kauli alizungumza maguu tutamkumbuka
KWANI MAGU KASEMA YEYE AKIFA ATAKUWA ANARUDI KUCHOMA MOTO???
Baba tuta kukumbuka Daimaa
Utamkumbuka peke ako