MOTO MWINGINE WAWAKA MAGOMENI, WATEKETEZA MALI, MASHUHUDA NA ZIMAMOTO WAZUNGUMZA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Moto umewaka January 23, 2022 maeneo ya Magomeni Mapipa katika nyumba iliyokuwa ikifanyiwa biashara ya kuuzia Vyakula na Zimamoto wakafanikiwa kufika eneo la tukio na kuuzima moto huo.

Комментарии • 66

  • @kambiyusufu7709
    @kambiyusufu7709 2 года назад +1

    Dah yani mungu wangu tunusulu waja wako tunyooshe kwenye njia ilio nyooka ahsante

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 2 года назад +5

    Mungu tumekukosea baba tusamehe Sana tulipokosea 😭😭😭moto umetoka sokon na umeanza majumbani😭😭😭

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 2 года назад +2

    Jamii YETU hakika imeguswa sana. MATUKIO ni mbaya kupita maelezo mungu tumrudie tu kwa uaminigi..

  • @mamaahmad8615
    @mamaahmad8615 2 года назад +8

    Moto moto jamani maombi yanahitajika mauwaji ya kikatili watu tunauwana wenyewe kwa wenyewe tanzania yetu imebadilika sana kuuwana nje nje lingine moto moto waislamu wakristo maombi yanahitajika tuiyombee nchi yetu poleni na janga la moto 😭

  • @ahmedalkiyum7592
    @ahmedalkiyum7592 2 года назад

    Mwaka wa moto moto Tanzania ya moto baba

  • @abdulwahababdulkadir9965
    @abdulwahababdulkadir9965 2 года назад

    Duh shibam hapa yaani nemeshapiga msosi sana poleni sana wandugu

  • @bebisheni4380
    @bebisheni4380 2 года назад +1

    Pole sana

  • @sagumosospeter9963
    @sagumosospeter9963 2 года назад +4

    Mungu atunusuru kwa majanga haya ,unaenda hatua tano mbele alafu unarud kumi nyuma

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 2 года назад +1

    Ayo tv mnajitahdi Sana kutuletea updates mbali mbali.Hongereni sana

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 2 года назад +5

    Ayo tv mnajitahdi Sana ila muwe makini na msibweteke na kusifiwa kwenu Kuna hawa sauti na habari SNS wanakuja Kwa kasi sana.wanafatilia habari za ndani na nje ya nchi na kuzileta kwenye mtandao.msijisahau wenzenu hawalali usingizi Kwa ajili ya kutaka kuwa juu yenu.kuwekeni makini na msome alama za nyakati

  • @vickisansiaphares8925
    @vickisansiaphares8925 2 года назад

    Mmmmh tz yangu polen wahanga wa tatizo😒

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 2 года назад

    Innahlillah wainnah illah rajiun Allah awape subira katika kipindi hiki kigumu poleni sana

  • @ukhutykhadija9714
    @ukhutykhadija9714 2 года назад +1

    Jaman jaman polen sana mtaan kwetu 😭😭😭😭Mungu wangu

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania4912 2 года назад +3

    Linanipa wasiwasi sana hili neno lilohifadhiwa kwa kila tukio utasikia uchunguzi unaendelea mwisho wa siku hatupati jibu nini chanzo ndo kwanza tunaletewa mabalaa mengine mmhu Astaghfirullah laadhwim 😒 inshaallah ipo siku ukweli utadhihiri na sio mbali siku chache tuu allah atajibu maombi,kwa wote wanauhusika na mauaji pamoja na haya matukio ya moto yakutia khasara wananchi pamoja na serikali

  • @saodashabani2652
    @saodashabani2652 2 года назад

    Dah poleni jamani shibam mitaa yetu iyoo

  • @msalikemedia
    @msalikemedia 2 года назад

    Pole sana Said mpemba 😭😭

  • @evordmussa1155
    @evordmussa1155 2 года назад +2

    Mungu bariki Tanzania na uongozi wake

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 2 года назад

    Poleni toweni faida mutengeneze tena hapo ndo utajua faida ya kuweka hakiba

  • @abdallahamir9234
    @abdallahamir9234 2 года назад +1

    Jamaa wa mwanzo anapenda sana kula,
    Yaani mishkaki ndo kaona kitu cha kuokoa.
    #POLENI WOTE MLIOPATWA NA HUO MTIHANI.

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 2 года назад +1

    Tulisha sema mkuu wa mkoa dar es salaam ajiuzulu hii ni nuksi. Mama samia mtoe.

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 2 года назад

    Agenda ya Wahujumu uchumi
    Inaendelea serikali kuwa makini utafiti wa kina ni muhimu sana

  • @annestamwinuka
    @annestamwinuka 2 года назад

    Semeni na leo ni mateja tena wamewasha mishumaa walijisahau ?

  • @aishajuma18
    @aishajuma18 2 года назад

    Motooo, Motooo Tanzania ya moto moto😭😭

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 2 года назад +1

    Daaa shibam oteli ni kwetu uko jamani ya miaka mingi polenisana

  • @msafirimatingo4447
    @msafirimatingo4447 2 года назад

    Uchunguz bado unaendelea,

  • @bakamuubakamuu1556
    @bakamuubakamuu1556 2 года назад +1

    Amefanikiwa kuokoa mishikaki😂😅

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 2 года назад +1

    MICHOSHO UNA CHOSHA WATU BWANA UTOPOLO ORIGINAL ) NISALIMIE MZEE ALI MNYAMA OG.)

  • @mwanaishamande8880
    @mwanaishamande8880 2 года назад +1

    Maeneo yabiashara moto kila mahali mauaji kila siku

  • @ngamanyajoshua839
    @ngamanyajoshua839 2 года назад +2

    Kuna mtu Inabidi aondoke Dar Ili Mambo yatulie Aisee.. Haiwezeka

  • @khadijachacha3156
    @khadijachacha3156 2 года назад +1

    Mbona mambo ya moto navifo

  • @happydunstan9631
    @happydunstan9631 2 года назад

    Jaman labda ni gesi chanzo. Ila mshumaa mchana hapana

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 2 года назад +2

    JPM mtamkumbuka daima

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 года назад +1

      KWELI USEMAYO ALIBANA VYUMA MPAKA MABINTI WA SHULE UNAWATIA GREESE KWA CHIPS KUKU BUKU TATU UNATOMBA CHIPS KUKU UNATOMBA KWA NINI TUSIMKUMBUKE.

  • @Womanofpurple
    @Womanofpurple 4 месяца назад

    🥺🥺🥺

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 2 года назад +6

    Uongozi ni nyota kutoka kwa mungu, NYERERE +JPM TUTAENDELEA KUWAKUMBUKA DAIMA. TANZANIA KWA SASA INATESEKA.

    • @manilabonalumanula1014
      @manilabonalumanula1014 2 года назад +1

      Umeiona Tanzania tu? Nigeria yanapozaliwa makanisa mengi ya kiroho, Ethiopia, Afghanistan na kwingineko hali ikoje? Turudi kwenye maandiko matakatifu kuwa Siku za mwisho zimekaribia

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 года назад +1

      KAMA UONGOZI NI NYOTA BASI KAWAFUFUWE HAO ULIOWATAJA TUNA WAKUMBUKA KWA MAISHA MAGUMU 2. KADANGANYE WAJINGA WENZAKO FALA WEWE NA NYOTA ZAKO.

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 2 года назад +1

    Mimi nawashauri wenye majengo dar wote waweke kamera ndo zitanasa kila kitu.

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 года назад +2

    Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yang hapo kama hautojli

  • @editrudesmbonde9051
    @editrudesmbonde9051 2 года назад

    People,stay tune cause our Almighty GOD LORD is Saying something through fire.😎

  • @khadijahomankweliyamjahaya7421
    @khadijahomankweliyamjahaya7421 2 года назад

    Mmmmm jaman kuna nini tz

  • @mbarakaubuguyu7448
    @mbarakaubuguyu7448 2 года назад

    Wawekezaji after

  • @pelegrinmwamba1594
    @pelegrinmwamba1594 2 года назад

    Zimamoto wanapewa taarifa saa nane na dk 52 wao wanakuja saa tisa dk 2 afu anaulizwa swali kwanini wamechelewa kufika eneo la tukio anajibu taarifa zimechelewa kuwafikia hii ndo Tanzania

  • @msafirimatingo4447
    @msafirimatingo4447 2 года назад

    Et tumepigiwa simu saa nane lkn tumefik saa tisa,haraf et changamoto ni taarfa hazifk kwa wakat,MM NAONA CHANGAMOTO HAPO SIO TAARIFA ILA NI RUSHWA.

  • @zuhuramuhanga5400
    @zuhuramuhanga5400 2 года назад

    Turudi kwa Allah tunayo ya tenda yana mchukiza Munfu acheni zina kubandika makucha mirasta kujichubua na mengineyo uchu wa mali pia

  • @khadijachacha3156
    @khadijachacha3156 2 года назад +4

    Ni maneno ya magufuli tutamkumbuka wakati alipokuwepo ayakuwepo mambo hayo lakin sasa yamezidi siku aiishi ujasikia kifo wala moto

    • @binhussain3445
      @binhussain3445 2 года назад

      Sasa hilo ni suala la mtu binafsi sio Serikali

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 года назад +1

      UNA UHAKIKA NA UNAYOYASEMA??? UNAWEZA SEMA MBELE YA MOLA WAKO KAMA ENZI YA MAGUFULI YALIKUWA HAYAPO HAYO MTOTO WACHA FITINA ZAKO NIKUULIZE KWANI MAGUFULI ALIKUWA MALAIKA AU MTUME WA MUNGU??? WACHA KUSIFIA UJINGA

    • @mudighurayra
      @mudighurayra 2 года назад

      Kwaiyo kipind cha magu kulkua hakuna vifo kumbe unaumwa kweli wee ndio iliongoza kwa ivo vifo usituzonge

  • @hilalidismas9261
    @hilalidismas9261 2 года назад +2

    Msije mkajisahaulisha Kuna kauli alizungumza maguu tutamkumbuka

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 года назад +1

      KWANI MAGU KASEMA YEYE AKIFA ATAKUWA ANARUDI KUCHOMA MOTO???

    • @zainazaina9301
      @zainazaina9301 2 года назад

      Baba tuta kukumbuka Daimaa

    • @mudighurayra
      @mudighurayra 2 года назад

      Utamkumbuka peke ako