LOVE BITE 《07》
HTML-код
- Опубликовано: 20 сен 2024
- SUBSCRIBE BONCENA GOT TALENT
FOLLOW US IN
+255659096471
FACEBOOK; / angess.nsyengula
INSTARGRAM;www.instagram....
TIKTOK ; / boncena_gottalent
YOUYUBE ; / @boncenagottalentfaceb...
OR BONCENA GOT TALENT
INSTAGRAM; BONCENA_TZ
IIKTOK ;BONCENA_TZ
Mama Tifah umejitaidi Sana icho kipand maua yako ayo🎉
Hngeraa xanhaa brother boncn unafurahsha family zetu mungu akuzidishie mipango yko iendelee kuwa Zaid ya apo ulipo 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Wa kwanza kutoka Congo goma nipe like zangu asheni ushoyo🇨🇩🇨🇩🇨🇩
daaa happy unajua jmn hongera sana
Love❤ Bite my favorite season naomba ata like 10 kwa ajili ya lutaman
Dah tema ruta mnajua ila bayser mungu anakuona na kwa hii love bite inavyo zunguka nauona kabisa wakati wako unakuja na kitakuramba Ila nakupenda sana unavyo Act toka kwenye mganga wa kijiji much love from Kenya❤❤❤🎉🎉
Mimi wakwanza Léo from Congo nataka liké hata 10 tu ❤
Kenya ruta man 🎉
Nimechelewa kidogo ila hacha niwape mauwa yenu kwa kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉
Na mm wakwnza naomba like zangu
❤❤ got talent true
Wakwanza leo toka Mozambique sitaki ata like.
Wewe ndo mwamba sasa
Tuko pamoja na mm niko Mozambique🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Hahahahah umetisha sana
Unyama sana watu wanateseka sana na likes🤗🤗
Não
Daaah hya mapenz bana yanatuvuruga wengi
🤣🤣🤣🤣
Wa kumi kutoka Drc Congo sihitaji like zenu
We tena😂 sisi co wachoyo tutakupa tu
😂😂😂😂
Bora ww wengne wanaomba loke
Anae mkubali happy gonga like hapo
Happy umemponza
Namukbal san
Happy anajuaaa,,, semaa mlinzii usikae kizembee😂
Rose n jasiri
14:32 14:33 14:34 @@edwardjosephmuhunga6522
Couple ya happy nzuri sana
Nakubalii maniga funiko kwishaaa ipo ivyooo
0:11 0:11 0:11 0:11 0:00 0:00
Wakwanza kutoka Kenya nipeeni likes zangu jameni 🎉🎉❤
Kabaisa shida kabisa aachi kitu kabisa Duuuh ata mutumishi wa Ndani duuuh LIKE ZENU jameni
❤muniletee maua yangu❤😢😢kutoka ❤ Burundi 🇧🇮 ❤
Wanawake tinakitu Cha kujifunza hapa hasa sisi watafutaji👌
Tena kitu kikubwa
Kweli kbs aiseee
Sana tuuuui
Boncena Unajua Kala
Kala ndio nini
Kweli Waandaaji muko fiti👍 Naona Rutaman anajiokotea embedodo chini ya mparachichi, Ila achunguze lisije kua limeoza likamuletea madhala😂😂
kwel inabd aaanglie lisij lkaoz kwak
hongera mama tifa upo vzr sana umejitahidi sana
Nzuri sana ❤🇹🇿 ila inaumiza
❤❤
Mimi wa kwanza from morocco rutaman hongera sana
Gumba ajafavya vizuri ame tomba biti oyoo😂😂😂
Kazi nzuri saaan hongeren wasanii
Wa kwanza aaaaaaa❤❤
Wa Kwanza Leo... Like kwa Team Rutta Man
We baysa wee acha utundu jamen tafuta kazi acha kula za wanawake
Kazi nzuri ❤❤ila tifa unavuna ulicho kipanda
Sema mwanangu man badili kwandaa ilo una tuzalishaa walinzii
Nawakubali sana sasa uyo gumba mbona anakuwa mbumbumbu sana😮 ana nikera
Anaboa
mwanaume bwege kqbisa
Kabisaaaa
lutaman brò you good at what you doing kila mtu akaua kwa role yake ifaavyo manze
napenda Sana sehemu ya gumbwa inani Bamba Sana kazi nzuri bonsena
Pole sana happy aki utapata furaha baadae
Wakwanza apa kutoka Uganda 🇺🇬 🇺🇬 naitaji like zangu
Mwambieni baisa yee wakiume ajitume
Hiyo mimba ya tiffah baadae itakua ya RUTHA MAN kama unahisi hivo gonga like🎉🎉🎉
Lazima iwe hivo. Tiffah mhuni hajamwambia kama kafukuzwa kisa mimba. 😄😄😄😄
Duuh umefika mbali aise
@@edwinpeter8442 yaaani wanawake sisi tuna plan sanaaaa
Wow mashallah ruta man una roho nzr san man wallah❤❤❤❤
Yooh Mr lovebite ❤ hapa watching lovebite😂😂
Mwanzo nilikua namuona Tifah muhuni ila kaniliza hii scene Katia huruma sana baadhi ya wanaume duh
Ni hatariii
We acha tu
Wa kwanza leo like zangu
Kuna watu humu wanataka like ok mm nawapa like 5000 mgawane sasa ili mpunguze makelele
Ep kaza moyo mi naamin utashinda tu.❤❤❤❤❤❤❤
Boncena on 🔥
Nice one ruta mani❤❤
Una akili humo tumboni 😂😂😂😂❤❤❤
Hongeren sana kaz inapendeza ❤
Ongera sana Luta man kwa kaz nzur
Yaah unaangalia move kwa muda unao faah 37 minets
Una akili umo tumbon😂alie skia gonga apo
Oya tabia ya baisa ni ya hovyo
Gonga like apo
Boncena tumalizie unyago basi tunapenda kazi yako toka Kisii Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Gumbwa unajua lako Kali subilia tu
huyo jamaa fala kweli anapenda kitonga😂😂😂😂😂
Mama tifa chikua maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Jina lawmbo jmn
Boncena kwenye ubora wake Never give up ❤❤❤ endelea kutupa burudan mashaki zako tuko pamoja
Kaz mzur wakubwa
nice
kwenye hii movi alie gundua ma singo mother weng like hap🤣😀🥲
Mmmh we baisa wew mungu anakuona
Gumbo. Sasa hapa utatii utajuwa. Ebby ndio amekupepea damu yako❤❤❤❤
Wakwangu jamani tokea DRC apa bandale like ❤❤❤zangu
On time safi sana
nampenda sana eppy,anaweza.
Leo nimewayi 💯🏃 jamn
happy unajua kuigiza 🎉ongera nitakuwa nafatiria kaziyako 🎉
Hongereni kwa kazi nzuli sana ifwatayo wepesi jamani ❤
Unajua kweli kweli alf unataranta
Gubwa we cizi kabisa unganganiye mimba isiyokuwa yako ushupaliye mimba isiyo kiwa yako mama gibwa ongera sana kwamaamuzi ayo maana mwanao cizi kabisa😅
😂😂😂n chizi kwel huyo gubwa
yani mpaka nalichukia lijinga kweli
Naomba likes 5 from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Wa kwanza toka congo
Kenyan boy nko hapa,,, nipee huyu Happy nampenda sana
You are doing great work..naifurahia sana 🔥
Tifa shenani kabisaaa😊😊😊😊
Boncena unaweza
Baisaaaaa ndio mwanaumeeeee bhna
WA KWANZA MIMI LEO TEAM RUTA MAN GONGA LIKE HAPA 😂😂😂😂
Gumbo Bora ajue mimba ya tifa ni ya baisah halafu ajue ukweli buana me naumia kumuona happy anateswa😭
Duuuh hiiii 🔥🔥🔥
Good job ma brother..
Very nice kaz nzur san 🔥🔥🔥
Nipe like 10 tuuu 💯💯
ruta man nakukubali mani na unajua man
Time boncena 2juane kwa likes man
Wakwanza kutoka USA ❤
Kazi nzuri ila Gumbwa ndo kubwa jinga sanaa amekataa mimba yake na kukubali mimba ya mwanaume mwenzie nimechukia happy wangu anateseka mnoo gumbwa ungekuwa karbu yangu ningekuroga mdaa sana😂😂
Kumbe unayaweza
Fist from American 🇺🇸 🎉🎉🎉
Changamukeni
Jamniii tumeisubili sanaaa
Uyu mama amesheza karata kubwa sana 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Kweli mkataa pema pabaya pamwita, unakataa minba ya happy dah😢 mtoto alikua analia kichina dahh, inshort Kuna kitu najifunza🙏 KAZI nzuri 👊👊
Happy nmkubari sana
Ni fireeeee
Mama gumbwaaaaaaaaa
Nimeingoja sana man🇰🇪🇯🇲
Me nakelekwa kwann sku zote byser na gumbwa awaoneshani uyo mpenz wao wajue km wanashare ila ndio move tena😂😂
Kazi mzury sana
Naombeni Like Zangu Wa Kwanza Kutoka India
We Baisam Mungu anakuona😂