LOVE BITE 《07》

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 сен 2024
  • SUBSCRIBE BONCENA GOT TALENT
    FOLLOW US IN
    +255659096471
    FACEBOOK; / angess.nsyengula
    INSTARGRAM;www.instagram....
    TIKTOK ; / boncena_gottalent
    YOUYUBE ; / @boncenagottalentfaceb...
    OR BONCENA GOT TALENT
    INSTAGRAM; BONCENA_TZ
    IIKTOK ;BONCENA_TZ

Комментарии • 528

  • @IbrahimpeterIbrahimpeter
    @IbrahimpeterIbrahimpeter 4 месяца назад +36

    Mama Tifah umejitaidi Sana icho kipand maua yako ayo🎉

  • @KuchaikaXaid
    @KuchaikaXaid 4 месяца назад +25

    Hngeraa xanhaa brother boncn unafurahsha family zetu mungu akuzidishie mipango yko iendelee kuwa Zaid ya apo ulipo 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @aganzeroger
    @aganzeroger 4 месяца назад +27

    Wa kwanza kutoka Congo goma nipe like zangu asheni ushoyo🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @RasskinongoKinongo-ig1wd
    @RasskinongoKinongo-ig1wd 4 месяца назад +44

    daaa happy unajua jmn hongera sana

  • @morenobdi9187
    @morenobdi9187 4 месяца назад +75

    Love❤ Bite my favorite season naomba ata like 10 kwa ajili ya lutaman

  • @bernadethayamwaka1365
    @bernadethayamwaka1365 4 месяца назад +16

    Dah tema ruta mnajua ila bayser mungu anakuona na kwa hii love bite inavyo zunguka nauona kabisa wakati wako unakuja na kitakuramba Ila nakupenda sana unavyo Act toka kwenye mganga wa kijiji much love from Kenya❤❤❤🎉🎉

  • @FrJerkiss
    @FrJerkiss 4 месяца назад +28

    Mimi wakwanza Léo from Congo nataka liké hata 10 tu ❤

  • @SafaniaWafula
    @SafaniaWafula 4 месяца назад +16

    Kenya ruta man 🎉

  • @sangowilodja2806
    @sangowilodja2806 4 месяца назад +7

    Nimechelewa kidogo ila hacha niwape mauwa yenu kwa kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉

  • @FredyMwalongo-sq9hk
    @FredyMwalongo-sq9hk 4 месяца назад +26

    Na mm wakwnza naomba like zangu

    • @MutieMusumbi
      @MutieMusumbi 4 месяца назад +1

      ❤❤ got talent true

  • @wanancariaofficial5630
    @wanancariaofficial5630 4 месяца назад +130

    Wakwanza leo toka Mozambique sitaki ata like.

    • @willykijanaa
      @willykijanaa 4 месяца назад +8

      Wewe ndo mwamba sasa

    • @AgostinhocosmeNambanga
      @AgostinhocosmeNambanga 4 месяца назад +3

      Tuko pamoja na mm niko Mozambique🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

    • @DeusiFusi-qi4ql
      @DeusiFusi-qi4ql 4 месяца назад

      Hahahahah umetisha sana

    • @malimoya
      @malimoya 4 месяца назад

      Unyama sana watu wanateseka sana na likes🤗🤗

    • @HomemMafiosoBinamo
      @HomemMafiosoBinamo 3 месяца назад

      Não

  • @maimunarajab6826
    @maimunarajab6826 4 месяца назад +4

    Daaah hya mapenz bana yanatuvuruga wengi

  • @NasriKiango-ke9hy
    @NasriKiango-ke9hy 4 месяца назад +27

    Wa kumi kutoka Drc Congo sihitaji like zenu

  • @FethNyagawa-wd5jz
    @FethNyagawa-wd5jz 4 месяца назад +92

    Anae mkubali happy gonga like hapo

  • @DaudLucian
    @DaudLucian 4 месяца назад +13

    Couple ya happy nzuri sana

  • @THEEaglz
    @THEEaglz 4 месяца назад +9

    Nakubalii maniga funiko kwishaaa ipo ivyooo

    • @YusufLebbie
      @YusufLebbie 3 месяца назад

      0:11 0:11 0:11 0:11 0:00 0:00

  • @BothainaBothaina-k6c
    @BothainaBothaina-k6c 4 месяца назад +22

    Wakwanza kutoka Kenya nipeeni likes zangu jameni 🎉🎉❤

  • @rukingamaboar802
    @rukingamaboar802 4 месяца назад +4

    Kabaisa shida kabisa aachi kitu kabisa Duuuh ata mutumishi wa Ndani duuuh LIKE ZENU jameni

  • @BruceNshimirimana
    @BruceNshimirimana 4 месяца назад +9

    ❤muniletee maua yangu❤😢😢kutoka ❤ Burundi 🇧🇮 ❤

  • @elinapetro7136
    @elinapetro7136 4 месяца назад +23

    Wanawake tinakitu Cha kujifunza hapa hasa sisi watafutaji👌

  • @rashidibakary
    @rashidibakary 4 месяца назад +17

    Boncena Unajua Kala

  • @njutujedeofficial2998
    @njutujedeofficial2998 4 месяца назад +10

    Kweli Waandaaji muko fiti👍 Naona Rutaman anajiokotea embedodo chini ya mparachichi, Ila achunguze lisije kua limeoza likamuletea madhala😂😂

    • @FadhiliHimile
      @FadhiliHimile 4 месяца назад

      kwel inabd aaanglie lisij lkaoz kwak

  • @HalimaKininga
    @HalimaKininga 3 месяца назад +1

    hongera mama tifa upo vzr sana umejitahidi sana

  • @evelnjuma1834
    @evelnjuma1834 4 месяца назад +13

    Nzuri sana ❤🇹🇿 ila inaumiza

  • @ZaburiYohana
    @ZaburiYohana 3 месяца назад +1

    Mimi wa kwanza from morocco rutaman hongera sana

  • @FaqueSufo-mo8mi
    @FaqueSufo-mo8mi 4 месяца назад +5

    Gumba ajafavya vizuri ame tomba biti oyoo😂😂😂

  • @hadijamohamed1083
    @hadijamohamed1083 4 месяца назад +13

    Kazi nzuri saaan hongeren wasanii

  • @Mr_G-7c
    @Mr_G-7c 4 месяца назад +10

    Wa kwanza aaaaaaa❤❤

  • @vival8800
    @vival8800 4 месяца назад +20

    Wa Kwanza Leo... Like kwa Team Rutta Man

  • @AplA-x9b
    @AplA-x9b 4 месяца назад +7

    We baysa wee acha utundu jamen tafuta kazi acha kula za wanawake

  • @reginaIssa-m2j
    @reginaIssa-m2j 3 месяца назад +1

    Kazi nzuri ❤❤ila tifa unavuna ulicho kipanda

  • @officialgumbo1416
    @officialgumbo1416 3 месяца назад +1

    Sema mwanangu man badili kwandaa ilo una tuzalishaa walinzii

  • @Benaty-dreadlocks
    @Benaty-dreadlocks 4 месяца назад +7

    Nawakubali sana sasa uyo gumba mbona anakuwa mbumbumbu sana😮 ana nikera

  • @kimt_web2004
    @kimt_web2004 4 месяца назад +3

    lutaman brò you good at what you doing kila mtu akaua kwa role yake ifaavyo manze

  • @MargaretAkoth-n4k
    @MargaretAkoth-n4k 4 месяца назад +3

    napenda Sana sehemu ya gumbwa inani Bamba Sana kazi nzuri bonsena

  • @RoseOwiti-t3t
    @RoseOwiti-t3t 3 месяца назад +1

    Pole sana happy aki utapata furaha baadae

  • @raphaelvarane-rv9bv
    @raphaelvarane-rv9bv 4 месяца назад +4

    Wakwanza apa kutoka Uganda 🇺🇬 🇺🇬 naitaji like zangu

  • @MadingaMadinga-ff7po
    @MadingaMadinga-ff7po 4 месяца назад +8

    Mwambieni baisa yee wakiume ajitume

  • @annaki318
    @annaki318 4 месяца назад +8

    Hiyo mimba ya tiffah baadae itakua ya RUTHA MAN kama unahisi hivo gonga like🎉🎉🎉

    • @edwardjosephmuhunga6522
      @edwardjosephmuhunga6522 4 месяца назад +1

      Lazima iwe hivo. Tiffah mhuni hajamwambia kama kafukuzwa kisa mimba. 😄😄😄😄

    • @edwinpeter8442
      @edwinpeter8442 4 месяца назад +1

      Duuh umefika mbali aise

    • @annaki318
      @annaki318 4 месяца назад

      @@edwinpeter8442 yaaani wanawake sisi tuna plan sanaaaa

  • @ashamwanganzi6400
    @ashamwanganzi6400 4 месяца назад +2

    Wow mashallah ruta man una roho nzr san man wallah❤❤❤❤

  • @Mr.lovebite
    @Mr.lovebite 3 месяца назад +1

    Yooh Mr lovebite ❤ hapa watching lovebite😂😂

  • @lumistarboy8499
    @lumistarboy8499 4 месяца назад +5

    Mwanzo nilikua namuona Tifah muhuni ila kaniliza hii scene Katia huruma sana baadhi ya wanaume duh

  • @f6djolomos12
    @f6djolomos12 4 месяца назад +6

    Wa kwanza leo like zangu

  • @Raphaelyusufu
    @Raphaelyusufu 4 месяца назад +2

    Kuna watu humu wanataka like ok mm nawapa like 5000 mgawane sasa ili mpunguze makelele

  • @SibijaliLim
    @SibijaliLim 4 месяца назад +2

    Ep kaza moyo mi naamin utashinda tu.❤❤❤❤❤❤❤

  • @jeremiahmashaka963
    @jeremiahmashaka963 4 месяца назад +1

    Boncena on 🔥

  • @cedrickyvan4063
    @cedrickyvan4063 4 месяца назад +1

    Nice one ruta mani❤❤

  • @OmarAbdikadir-t6q
    @OmarAbdikadir-t6q 4 месяца назад +5

    Una akili humo tumboni 😂😂😂😂❤❤❤

  • @mariammariam5723
    @mariammariam5723 4 месяца назад +2

    Hongeren sana kaz inapendeza ❤

  • @ZuhuraNgubule
    @ZuhuraNgubule 4 месяца назад +4

    Ongera sana Luta man kwa kaz nzur

  • @nyawamwanyingo887
    @nyawamwanyingo887 4 месяца назад +5

    Yaah unaangalia move kwa muda unao faah 37 minets

  • @SeaPower-pu1mq
    @SeaPower-pu1mq 4 месяца назад +2

    Una akili umo tumbon😂alie skia gonga apo

  • @SamMbwilo
    @SamMbwilo 3 месяца назад +2

    Oya tabia ya baisa ni ya hovyo
    Gonga like apo

  • @DamarisMasese-rh6hy
    @DamarisMasese-rh6hy 4 месяца назад +3

    Boncena tumalizie unyago basi tunapenda kazi yako toka Kisii Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪

  • @MarthaMkasi
    @MarthaMkasi 4 месяца назад +2

    Gumbwa unajua lako Kali subilia tu

  • @ezekielyakobombeyacty1tang711
    @ezekielyakobombeyacty1tang711 3 месяца назад +1

    huyo jamaa fala kweli anapenda kitonga😂😂😂😂😂

  • @JoanMponda
    @JoanMponda 4 месяца назад +3

    Mama tifa chikua maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @bekhaboymnyama-ld7xs
    @bekhaboymnyama-ld7xs 4 месяца назад +2

    Jina lawmbo jmn

  • @dicksonbenard1741
    @dicksonbenard1741 4 месяца назад

    Boncena kwenye ubora wake Never give up ❤❤❤ endelea kutupa burudan mashaki zako tuko pamoja

  • @OmmyTalibu
    @OmmyTalibu 4 месяца назад +3

    Kaz mzur wakubwa

  • @JuniorCheyo
    @JuniorCheyo 4 месяца назад +1

    kwenye hii movi alie gundua ma singo mother weng like hap🤣😀🥲

  • @JojoLove-rq1xy
    @JojoLove-rq1xy 3 месяца назад +1

    Mmmh we baisa wew mungu anakuona

  • @philohmutua2968
    @philohmutua2968 4 месяца назад

    Gumbo. Sasa hapa utatii utajuwa. Ebby ndio amekupepea damu yako❤❤❤❤

  • @user-zadig
    @user-zadig 4 месяца назад +9

    Wakwangu jamani tokea DRC apa bandale like ❤❤❤zangu

  • @jumannemalungo5018
    @jumannemalungo5018 4 месяца назад +1

    On time safi sana

  • @issufomabbetto321
    @issufomabbetto321 2 месяца назад +1

    nampenda sana eppy,anaweza.

  • @Justin_Nano
    @Justin_Nano 4 месяца назад +5

    Leo nimewayi 💯🏃 jamn

  • @AnnetiJakwesi
    @AnnetiJakwesi 4 месяца назад

    happy unajua kuigiza 🎉ongera nitakuwa nafatiria kaziyako 🎉

  • @Misheckkazilist-cv2hb
    @Misheckkazilist-cv2hb 4 месяца назад

    Hongereni kwa kazi nzuli sana ifwatayo wepesi jamani ❤

  • @kisegeselokisegeselo3815
    @kisegeselokisegeselo3815 4 месяца назад +2

    Unajua kweli kweli alf unataranta

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 4 месяца назад +5

    Gubwa we cizi kabisa unganganiye mimba isiyokuwa yako ushupaliye mimba isiyo kiwa yako mama gibwa ongera sana kwamaamuzi ayo maana mwanao cizi kabisa😅

  • @TobiasjullioSimao
    @TobiasjullioSimao 4 месяца назад +1

    Naomba likes 5 from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @JoelKamabu-uq5qh
    @JoelKamabu-uq5qh 4 месяца назад +3

    Wa kwanza toka congo

  • @LivingstoneMwaya
    @LivingstoneMwaya 4 месяца назад

    Kenyan boy nko hapa,,, nipee huyu Happy nampenda sana

  • @princenelly17
    @princenelly17 4 месяца назад

    You are doing great work..naifurahia sana 🔥

  • @MossesFilbert
    @MossesFilbert 4 месяца назад +3

    Tifa shenani kabisaaa😊😊😊😊

  • @RusmaMtangi
    @RusmaMtangi 4 месяца назад +2

    Boncena unaweza

  • @gejoboyofficialtz8961
    @gejoboyofficialtz8961 3 месяца назад +1

    Baisaaaaa ndio mwanaumeeeee bhna

  • @LilmmyCrazyfficial
    @LilmmyCrazyfficial 4 месяца назад +37

    WA KWANZA MIMI LEO TEAM RUTA MAN GONGA LIKE HAPA 😂😂😂😂

  • @ShabanAbdulrahman-b6r
    @ShabanAbdulrahman-b6r Месяц назад +1

    Gumbo Bora ajue mimba ya tifa ni ya baisah halafu ajue ukweli buana me naumia kumuona happy anateswa😭

  • @edwinpeter8442
    @edwinpeter8442 4 месяца назад +2

    Duuuh hiiii 🔥🔥🔥

  • @JunnahydAbdullifatahu
    @JunnahydAbdullifatahu 4 месяца назад +2

    Good job ma brother..

  • @rajabjuma1450
    @rajabjuma1450 4 месяца назад

    Very nice kaz nzur san 🔥🔥🔥

  • @sataKongsataKong
    @sataKongsataKong 3 месяца назад +1

    Nipe like 10 tuuu 💯💯

  • @DismasFaustine
    @DismasFaustine 4 месяца назад +1

    ruta man nakukubali mani na unajua man

  • @sajalyamry6059
    @sajalyamry6059 4 месяца назад +1

    Time boncena 2juane kwa likes man

  • @SimonOmari-dk2qu
    @SimonOmari-dk2qu 4 месяца назад +6

    Wakwanza kutoka USA ❤

  • @RaymaNjoka-be6oh
    @RaymaNjoka-be6oh 4 месяца назад +3

    Kazi nzuri ila Gumbwa ndo kubwa jinga sanaa amekataa mimba yake na kukubali mimba ya mwanaume mwenzie nimechukia happy wangu anateseka mnoo gumbwa ungekuwa karbu yangu ningekuroga mdaa sana😂😂

  • @KabulimboElie
    @KabulimboElie 3 месяца назад +1

    Fist from American 🇺🇸 🎉🎉🎉
    Changamukeni

  • @yusufujafari6944
    @yusufujafari6944 4 месяца назад +3

    Jamniii tumeisubili sanaaa

  • @matiabodavidbenjamin7941
    @matiabodavidbenjamin7941 4 месяца назад

    Uyu mama amesheza karata kubwa sana 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @benardaloyce3443
    @benardaloyce3443 3 месяца назад

    Kweli mkataa pema pabaya pamwita, unakataa minba ya happy dah😢 mtoto alikua analia kichina dahh, inshort Kuna kitu najifunza🙏 KAZI nzuri 👊👊

  • @Yohana-q7f
    @Yohana-q7f 4 месяца назад +1

    Happy nmkubari sana

  • @KhalfanMabroucky
    @KhalfanMabroucky 3 месяца назад +1

    Ni fireeeee

  • @edwardjosephmuhunga6522
    @edwardjosephmuhunga6522 4 месяца назад +2

    Mama gumbwaaaaaaaaa

  • @siogopisiogopi6546
    @siogopisiogopi6546 4 месяца назад +3

    Nimeingoja sana man🇰🇪🇯🇲

  • @hythamshadrack2323
    @hythamshadrack2323 4 месяца назад +3

    Me nakelekwa kwann sku zote byser na gumbwa awaoneshani uyo mpenz wao wajue km wanashare ila ndio move tena😂😂

  • @TzgsmUnlocked
    @TzgsmUnlocked 4 месяца назад +3

    Kazi mzury sana

  • @rashidibakary
    @rashidibakary 4 месяца назад +6

    Naombeni Like Zangu Wa Kwanza Kutoka India

  • @Bibi-he6vt
    @Bibi-he6vt 3 месяца назад +1

    We Baisam Mungu anakuona😂