NAY WA MITEGO Live At BURUNDI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 авг 2018
  • For more informations SUBSCRIBE here
    VISIT ON WWW.BUJUMBURATV.COM

Комментарии • 37

  • @jmariehabarugira3149
    @jmariehabarugira3149 5 лет назад +1

    Karibu kwetu naitaji none kitu kipya cha T_ max Big fizzo na Neyo itakuwa bomba

  • @donaldsinkamba4867
    @donaldsinkamba4867 5 лет назад +1

    True Boy, Tunakukubali

  • @armeljoe3314
    @armeljoe3314 6 лет назад +3

    Keep it up Bujumbura TV u the best ever

  • @dodyrosariorosario1738
    @dodyrosariorosario1738 5 лет назад +1

    Oyooo!!!!!💪💪🦁🔥

  • @stadimonotheist9022
    @stadimonotheist9022 6 лет назад

    .mbel ya big fizzo na t-max na wengin wakal wetu razma aisome number, atawapa habar bongo.ila ingependeza zaidi kama sat b angekuwemo buja stand up

  • @arunajonas770
    @arunajonas770 6 лет назад +2

    Ney true boy, karibuni nyumbani. Mwanangu

  • @mbodzebemasika7477
    @mbodzebemasika7477 6 лет назад

    kumbe Nay ana heshima kubwa..na cjawai ckia Nay ameenda inje ya nchi kupiga show..hongera baba yagga

  • @mortishavida2273
    @mortishavida2273 6 лет назад +1

    Baba yaga a.k.a mwaka wa Roho mbaya! Amefika buja kwa mara ya kwanza pia na Mzee wa misimamo Mwanajeshi "T Max" amefika!!! Natamani ningekuepo Burundi nisingekosa kuepo kwa hii show.

  • @mbonimpamamy7141
    @mbonimpamamy7141 6 лет назад +2

    karibu tena Ney wa mitego

  • @hassanlunguya2102
    @hassanlunguya2102 6 лет назад +1

    Kweli bongo tupo vizuri naona ney wanamshangaa kinoma

  • @wawukweliaisha8414
    @wawukweliaisha8414 6 лет назад +5

    mwaka waroho mbaya 💪

  • @tunguizengo5996
    @tunguizengo5996 6 лет назад +1

    sawa Mzee baba nay wa mitego 👊👊

  • @azaqzszs1972
    @azaqzszs1972 6 лет назад +1

    mzee baba nakukubali kbs

  • @hadija846
    @hadija846 6 лет назад +2

    Nay wangu😘👍😍

  • @sandroog7217
    @sandroog7217 6 лет назад +1

    Watangazaji muwe munajaribu kuuliza maswali wastaa wageni sababu apo The true boy hamkuulmuuliza kitu.mjifunze kuwafanyisha interview yamaswali tofauti kama watangazaji.

  • @wizzytown6700
    @wizzytown6700 6 лет назад +1

    muziki waburudi unakutekenya vipi mikono juu

  • @lulumuyumba1386
    @lulumuyumba1386 6 лет назад +2

    Wakati huo simu kaniaribikia gafra ila nakubali muno

  • @february2866
    @february2866 6 лет назад +1

    Hayo maswali ya Burundi yalikuwa yanamchanganya kichwa kawapiga saundi tu!Hahahhaah

  • @uwimanaraoul6824
    @uwimanaraoul6824 6 лет назад +1

    Jamani Burundi mna mziki!?

  • @alexmerck2568
    @alexmerck2568 6 лет назад +1

    Mwaka waroho mbaya

  • @ommytrueboykimwaga7129
    @ommytrueboykimwaga7129 6 лет назад

    Baba yaga tisha sana bossss wangu

  • @alinemauwa778
    @alinemauwa778 6 лет назад +1

    safi sana mzee baba

  • @user-jb1bh2sn3p
    @user-jb1bh2sn3p 5 лет назад

    🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @afsa9595
    @afsa9595 6 лет назад +1

    To much love #mwaka wa roho mbaya😁

  • @francinehategekimana9486
    @francinehategekimana9486 5 лет назад

    mbona hajaulizwa chochote?

  • @mariamangel1264
    @mariamangel1264 6 лет назад

    Nakuona t mzx

  • @westonjob1265
    @westonjob1265 6 лет назад

    Mr nay

  • @dullahkitabu8496
    @dullahkitabu8496 6 лет назад

    True boy

  • @officialsonofficialson253
    @officialsonofficialson253 6 лет назад +1

    kwann ukae kifua wazi ugenini huoni aibu unawafunza nn mashabiki wako

  • @francinehategekimana9486
    @francinehategekimana9486 5 лет назад

    karibu sana wamitego

  • @february2866
    @february2866 6 лет назад +1

    Hayo maswali ya Burundi yalikuwa yanamchanganya kichwa kawapiga saundi tu!Hahahhaah

  • @sandroog7217
    @sandroog7217 6 лет назад +3

    Watangazaji muwe munajaribu kuuliza maswali wastaa wageni sababu apo The true boy hamkuulmuuliza kitu.mjifunze kuwafanyisha interview yamaswali tofauti kama watangazaji.