Baba yaga a.k.a mwaka wa Roho mbaya! Amefika buja kwa mara ya kwanza pia na Mzee wa misimamo Mwanajeshi "T Max" amefika!!! Natamani ningekuepo Burundi nisingekosa kuepo kwa hii show.
Watangazaji muwe munajaribu kuuliza maswali wastaa wageni sababu apo The true boy hamkuulmuuliza kitu.mjifunze kuwafanyisha interview yamaswali tofauti kama watangazaji.
Watangazaji muwe munajaribu kuuliza maswali wastaa wageni sababu apo The true boy hamkuulmuuliza kitu.mjifunze kuwafanyisha interview yamaswali tofauti kama watangazaji.
Karibu kwetu naitaji none kitu kipya cha T_ max Big fizzo na Neyo itakuwa bomba
True Boy, Tunakukubali
Keep it up Bujumbura TV u the best ever
Oyooo!!!!!💪💪🦁🔥
.mbel ya big fizzo na t-max na wengin wakal wetu razma aisome number, atawapa habar bongo.ila ingependeza zaidi kama sat b angekuwemo buja stand up
Ney true boy, karibuni nyumbani. Mwanangu
kumbe Nay ana heshima kubwa..na cjawai ckia Nay ameenda inje ya nchi kupiga show..hongera baba yagga
Baba yaga a.k.a mwaka wa Roho mbaya! Amefika buja kwa mara ya kwanza pia na Mzee wa misimamo Mwanajeshi "T Max" amefika!!! Natamani ningekuepo Burundi nisingekosa kuepo kwa hii show.
karibu tena Ney wa mitego
Kweli bongo tupo vizuri naona ney wanamshangaa kinoma
mwaka waroho mbaya 💪
sawa Mzee baba nay wa mitego 👊👊
mzee baba nakukubali kbs
Nay wangu😘👍😍
Watangazaji muwe munajaribu kuuliza maswali wastaa wageni sababu apo The true boy hamkuulmuuliza kitu.mjifunze kuwafanyisha interview yamaswali tofauti kama watangazaji.
muziki waburudi unakutekenya vipi mikono juu
haha so funny
Wakati huo simu kaniaribikia gafra ila nakubali muno
Hayo maswali ya Burundi yalikuwa yanamchanganya kichwa kawapiga saundi tu!Hahahhaah
Jamani Burundi mna mziki!?
Mwaka waroho mbaya
Baba yaga tisha sana bossss wangu
safi sana mzee baba
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
To much love #mwaka wa roho mbaya😁
mbona hajaulizwa chochote?
Nakuona t mzx
Mr nay
True boy
kwann ukae kifua wazi ugenini huoni aibu unawafunza nn mashabiki wako
Official son Officialson tulia ww
karibu sana wamitego
Hayo maswali ya Burundi yalikuwa yanamchanganya kichwa kawapiga saundi tu!Hahahhaah
Watangazaji muwe munajaribu kuuliza maswali wastaa wageni sababu apo The true boy hamkuulmuuliza kitu.mjifunze kuwafanyisha interview yamaswali tofauti kama watangazaji.
Muhoza Jackson point
Muhoza Jackson AU SIO