Wako Wapi: Bi Rukia- Alikua akiigiza kwa Tausi
HTML-код
- Опубликовано: 3 мар 2017
- Wako Wapi: Bi Rukia- Alikua akiigiza kwa Tausi
SUBSCRIBE to our RUclips channel for more great videos: / ktnkenya
Follow us on Twitter: / ktnnews
Like us on Facebook: / ktnnewskenya
For more great content go to www.standardmedia.co.ke/ktnnews and download our apps:
std.co.ke/apps/#android
KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond.
Rukia, the voice is still there. God bless you for blessing our childhood
Tausi sijui kama kuna kipindi ilikua inafuatiliwa ivo💯
Rukia alikuwa ananijazz Sana na maringo na kiherehere mob.
Aleast Rehema now Murang'a Women rep Sabina Chege alikuwa mpole. From 🇩🇪 👍👍
even though I was very young. ..I vividly remember rukia and all her colleagues 'wah .nice to see you and am also very happy to hear Lindi yuko and doing well. ...sorry for siti may she find peace. Indeed you guys did a great job. Maulana awabariki.
I was taught kiswahili in primary by Mr. Wekesa sijui kwa Tausi alikuwa anaitwa aje..but he was really good...he still is...
Daaah Rukia Rehema ! daah Hashina alifariki 😢😢 aendelee kupumzika kwa Amandaah tausi ilitesa sana hata kula hatukua twala jamani
Rukia binti kasri😭😭miss this old times
Daahh...Rukia,Ni vigumu kutofautisha,wanaokwambia walikupenda ila Mimi nilikupenda na nitazidi kukupenda,naomba Mungu nisifumbe macho Kama sijaajaliwa kukutana nawe na tukafanya movie japo moja.Rukia, Mwenyezi Mungu akulinde,na japo nilikuwa kitoto chini ya miaka kumi,nyinyi ndio mlionifanya kupenda uigizaji,natamani simu ingekuwa na chaji,nikueleweshe Ni jinsi gani nakuheshimu mkubwa wangu...
It was one of my favorite tv program on KBC (Voice of Kenya). though I was a bit young! still favorite!
ilipendwa sana Huku tz
I met Dama in PEV 207/09 on her way to UG 256
You've never changed even after 2 decades ... Umekuwa mathe
Waow waow she was my favourite
Rukia my neighbor at starehe. 🤗
👏🏾👏🏾👏🏾
Rukihya ❤
good to see you cuz!!!looking good
Rukia ni jirani yangu hapa nairobi, kayole vile alikuwa mkali tausi ndivyo alivyo real life
Wow
Miss you Rukia
Nilikuwa naifuwata movie ya tausi kutoka mwanzo mpaka mwisho wake kwa sasa niko MANCHESTER nazitamani sana hizo Swahili movie za kbc
Rukia fanya kazi yako rudia kuigiza
miss you
miss u Rukia
Very gifted actor, rudi soko Rukia na wenzio wa Tausi
My neighbor i see her almost daily
Hongera zake
Mtu akiitaka tausi anaweza ipata wapi haki naimiss kweli
youtube
ilove this lady
Hajabadilika ni ule ule
🌹🌻🌷🍎
tausi mlini bamba but ntapata wapi full movie
Naona kaa na itazama Tausi......umbo unayo kweli Rukia
Yaani bado umeiva ivo Rukia msalimie sikitu sana nilimpenda tu sana
Pongezi sana rukia leo kusikia sauti yako nimefurahi sana kukusikia kwa jna actor movie gani baada ya tausi na intwa nini naweza kuipata wapi
wako wapi? where is Rhoda?
Sabina chege kumbe ni ww rehema kweli watu hutoka mbali
Siti wa tausi amefariki dunia.. Mie sijuw.
Ndio kwanza niskie leo
Rukia wauu
maskini. ...I miss her
REHEMA = Sabina chege ??????????
Wawa alikuwa vyema sana
Watu hutoka mbali sabina chege kumbe alikuwa dadako mpole
Eeh i rem tausi ndio ilikuwa kipindi na nusuu wapi mzee kasri lindi na roda
mzee kasri passed on kitamboo
I rem rukia ukikuja barracks long time lanet tulikufwata tukiwa watoi kweli watu hutoka mbali
Bro nilikua apo lanet iyo siku, leta namba tujuane
Uko lanet
3kr
@@selfmademillionaire296hi
Tutafutie "Mike raendela" kutoka nakuru alikuwa mtangazaji wa mpira alikuwa katika ezi hizo
Hujambo.
Michael Wandera mtangazaji gwiji wa Mpira aliaga dunia miaka miwili iliyopita.
@@estellemwai5402 ngai🙉🤯 unamjua
@@estellemwai5402 please nataka kuongea na wewe unielezee nimeudhika sana haki nikutumie namba yangu please
Dama alienda wapi
Dama alikufa
@@joshuazadia6717
Woyee, why a you killing Dama? She is still alive. Sugu, mzee Kasiri na Ashina ndiyo walikufa. .
@@pamelaofulla7417 I think Siti pia
Malkia Rukia huyo.....
Reply for tausi please
Rukia barikiwa Kwa kazi nzuri unayofanya