Subhanna Allah, siku moja tu, mlango kufungwa imekua kesi kubwa ya kunyanyaswa na mtu aseme msikiti ufungashwe urudishe ulipotoka, au warudishiwe wa Omani? Kama kakusudia hivyo basi huyo anachuki za kupandikizwa, na hayo pats faida yoyote ile, Bali chuki hutia maradhi, tena yasio tibika, tujifunze katika matokeo na kauli kama hizo, na itakua bayana hatojificha kamwe, sasa amepata faida gani wenzio kujua una tabia mbaya na nyoyo chafu, Allah atustiri na aibu kama hizo.
Tufanyeni ibada kisha tuombe Allah autingize ktk pepo yake kwa huruma na neema zake kama alivyo mneemesha mtume wetu Muhammad (s.a.w). Sio kwa ibada zetu ikiwa wanazuoni au wasomi wa madrasa hio wame sema kweli maneno hayo basi niwaz wanasoma na chuki moyoni.allah atunusuru na mabalaa hio hali ni mbaya na zinaleta chembe za kinafik ndani yake
Maoni yangu mimi afatiliwe huyo alosambaza hizo fitna alochukuwa video akarusha akamatwe afahamishwe alivo fanya sio vzr kusambaza habari za fitna na uwongo
Wana dawa walikuja kuomba kibali cha kwa sheikh mkuu cha kuhuburi dini wakanyimwa.aibu kwa wasaidizi WA mufti.viongozi WA mufti mkuu. Kunauzembe mkubwa na wamwinyi
Achukuliwe hatua gani ukamshataki wapi? Kwa sheria zipi, za kikafiri, waislam tunapokoseana huwa tunatafuta suluhu kwanza na kuweka mambo Sawa na maisha yakaendelea, usishangae kulikuw na kitu nyuma ya pazia haiwezekani wala haiingii akilini mtu anafanya usafi miaka 4 Sasa asijuwe kwamba siku fulani kuna darsa
Subhanna Allah, siku moja tu, mlango kufungwa imekua kesi kubwa ya kunyanyaswa na mtu aseme msikiti ufungashwe urudishe ulipotoka, au warudishiwe wa Omani? Kama kakusudia hivyo basi huyo anachuki za kupandikizwa, na hayo pats faida yoyote ile, Bali chuki hutia maradhi, tena yasio tibika, tujifunze katika matokeo na kauli kama hizo, na itakua bayana hatojificha kamwe, sasa amepata faida gani wenzio kujua una tabia mbaya na nyoyo chafu, Allah atustiri na aibu kama hizo.
Tufanyeni ibada kisha tuombe Allah autingize ktk pepo yake kwa huruma na neema zake kama alivyo mneemesha mtume wetu Muhammad (s.a.w). Sio kwa ibada zetu ikiwa wanazuoni au wasomi wa madrasa hio wame sema kweli maneno hayo basi niwaz wanasoma na chuki moyoni.allah atunusuru na mabalaa hio hali ni mbaya na zinaleta chembe za kinafik ndani yake
Mtihani kweli
Ilo ndo tatizo la kuwa kila mtu muandishi wa habari,wanahisi kila habari ni taarifa ya habari Allah atusaidie
Mtihani. Sisi. Wazanzibar
ofisi ya wanafiq wakuu
Nyi wachokozeni wa Oman mtaona kwanza hamjiwezi
Kama ni hivo walifanya kosa na fitina kubwa sio vizuri waislam tujitahidi kufata mafundisho na maelekezo ya dini yetu ya uislam
ofisi ya mufti ni ofisi ya wanafiq
Maoni yangu mimi afatiliwe huyo alosambaza hizo fitna alochukuwa video akarusha akamatwe afahamishwe alivo fanya sio vzr kusambaza habari za fitna na uwongo
Wana dawa walikuja kuomba kibali cha kwa sheikh mkuu cha kuhuburi dini wakanyimwa.aibu kwa wasaidizi WA mufti.viongozi WA mufti mkuu. Kunauzembe mkubwa na wamwinyi
Nikuchukuliwa hatua za kisheria aliefanya hivyo ili iwe funzo kwa wengine.
Achukuliwe hatua gani ukamshataki wapi? Kwa sheria zipi, za kikafiri, waislam tunapokoseana huwa tunatafuta suluhu kwanza na kuweka mambo Sawa na maisha yakaendelea, usishangae kulikuw na kitu nyuma ya pazia haiwezekani wala haiingii akilini mtu anafanya usafi miaka 4 Sasa asijuwe kwamba siku fulani kuna darsa
Waislamu tutumie simu katika kuendeleza uislamu na Wala si kutoa madhaifu ya waislamu... Kwani hakuna mkamilifu ila Allah.
Wewe unaezungumza hapa ni munafiq Tena mnafiq